ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

ALI KAMWE AMTETEA INJINIA HERSI, AMCHANA VIBAYA MAGOMA, AJIBU HOJA ZAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 133

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 หลายเดือนก่อน +4

    Nikweli Mimi Leo Sikuwa Sawa Nimeonba Ruhusa Kazini Kwavile Siko Sawa.. Asante Sana Semaji..Allah Akuhifadhi Na Kilashari Fitna Zawaja Kwa Choyo...

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz หลายเดือนก่อน

      Umeswali Swala ya Asubuh Fajir

  • @SwediramadhaniJuma
    @SwediramadhaniJuma หลายเดือนก่อน +2

    Ally huna hoja mbele ya mzee magoma, unatetea ugali tu mpuuzi ww! Hy mzee anaijuwa yanga kabla hujazaliwa

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 หลายเดือนก่อน +4

    Nan wa ovyoo 😂😂😂😂 mmeweka viongozi majambazi😂😂😂 magoma kawanyooshaa bisha kwa hoja dogo af ukumbuke uyo n baba ako😂😂😂

    • @vanemmy6043
      @vanemmy6043 หลายเดือนก่อน +1

      Kwenye taasisi ,weka ubaba pembeni😅

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc หลายเดือนก่อน +3

    Mimi ni mkenya lakini NI mwana Yanga damu damu!!! Wazee watuwachie Yanga yetu! Yaani sisi huku diaspora tuko pamoja huko!!!

  • @EzekielGittu
    @EzekielGittu หลายเดือนก่อน +4

    Semaji upo vizuri sanaaaa kwa maelezo yako.

    • @mussandikumana3561
      @mussandikumana3561 หลายเดือนก่อน

      Ila tuu Manara kesi akifunguliwa watumike pamoja bila chuki ao maneno ya mambo yalio pita wewe Kama wale Bros wa Azam Hadji anaitajika
      (Oublier le passe )

    • @DulaMudi
      @DulaMudi หลายเดือนก่อน

      m semaji m somi ongea kaka

  • @MuslihiHassan-bi2nj
    @MuslihiHassan-bi2nj หลายเดือนก่อน +2

    Unatoa wapi NGUVU ya kupingana na mahakama

  • @SwediramadhaniJuma
    @SwediramadhaniJuma หลายเดือนก่อน +2

    Wewe kiazi kwel umekuja kutetea uozo, tuambie mahakama imeamuanini

  • @JohnMasonga
    @JohnMasonga หลายเดือนก่อน +1

    acha kuongea uongo na kudanganya watu ujui historia ya magoma na injinia wenu

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 หลายเดือนก่อน +1

    Ali mdogo wangu tone yako tu inaonesha panics na hasira ndani yake ikumbukwe iliyotoa hukumu ni mahakama ukisema hoja zao ni za hovyo na watu ni wa hovyo means chombo kilichotoa haki kwa hoja za hovyo na chenyewe ni hovyo is that what you exactly mean? Vyema kujifunza kuwa calm kwenye changamoto zinapotokea makasiriko hajawahi leta suluhu sahihi

  • @SwediramadhaniJuma
    @SwediramadhaniJuma หลายเดือนก่อน +1

    Kama mlifanya marekebisho ya katiba mbn hamkuirudisha kwa wanachama Kama wanahaki.

  • @FrankCharles-gv5cs
    @FrankCharles-gv5cs หลายเดือนก่อน +3

    Hao wazee hawajitambui wazoea kutuludisha nyuma.Hii ni level nyingine tunataka mafanikio ss watuache vijana tufanye kazi.

  • @franccoz94
    @franccoz94 หลายเดือนก่อน +2

    WAZEE WA YANGA WAPEWEE TEAM YAO,ACHA JANJA JANJA

  • @likubaro7443
    @likubaro7443 หลายเดือนก่อน +1

    Jambo hili lilipelekwa muda mrefu Sana,mpaka leo mahakama wanataka hukumu ndio mnaona Kuna mamluki

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 หลายเดือนก่อน

    MZEE MAGOMA HAKUTAMBUI NYAMBAFU WEWE😅

  • @williammapunda1012
    @williammapunda1012 หลายเดือนก่อน +6

    Waache porojo wazingatie Sheria. Kumbuka unaposema hoja za hovyo maana yake MAHAKAMA ni ya hovyo.
    Waandishi hawataenda mahakani jipangeni kisheria

    • @user-sj2rw5ev2v
      @user-sj2rw5ev2v หลายเดือนก่อน

      Pimbi ww

    • @WakaliFashionTz
      @WakaliFashionTz หลายเดือนก่อน

      Hata mahakam ni ya hovyo unatoaje hukm Kwa Saini za kughushi

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 หลายเดือนก่อน

      We kaache kahangaike..kamesema wana Members elf 80 na kwenye Mkutano anasema walikuwa wamekidhi AKIDI..? huyu ni Bwege mtoto

  • @HajiMiraji-hn1dq
    @HajiMiraji-hn1dq หลายเดือนก่อน

    upo sawa kaka

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 หลายเดือนก่อน +3

    Iv wew all kamwe unaakil kwahyo unakinzana na maaakamaa au umedharau au umekuja kujifunza kujibu

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 หลายเดือนก่อน +4

    Mmebaka katiba

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 หลายเดือนก่อน +1

    Ndiyo maana vyombo vya habari vingine hata sitaki kusikiliza mwandishi baada ya kuhoji na kuuliza maswali ya msingi anasikiliza umbea

    • @IsmailAthuman-tr1wr
      @IsmailAthuman-tr1wr หลายเดือนก่อน

      wewe una adabu namana unahizarau mahakma sindiyo

    • @IsmailAthuman-tr1wr
      @IsmailAthuman-tr1wr หลายเดือนก่อน

      na bado mpk mishipa ya mkundu isimame

    • @IsmailAthuman-tr1wr
      @IsmailAthuman-tr1wr หลายเดือนก่อน

      wewe wa rini unawazarau ao wazee sasa ngoja uwaone

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂kwetu furaha

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 หลายเดือนก่อน +1

    Leo umekuwa mkweli mna wanacha elfu 80 tu hahahahahaaaaa

  • @EsteR-dt9iw
    @EsteR-dt9iw หลายเดือนก่อน

    Huyo mzee asiturudishe nyuma kwani iyo miaka minne iliyo pita hakuona tulivyo teseka? Leo tunakwenda vizuri anataka kutualibia atuachie yanga yetu

  • @emanwelmsuya7320
    @emanwelmsuya7320 หลายเดือนก่อน +1

    Ivikwanini watu hawapendi kuzungumza vitu vizuri ivi yanga ikikorofishana simba unafurahia yanisielewi hii

  • @hamzayusuph6052
    @hamzayusuph6052 หลายเดือนก่อน

    Ukipenda kukaa katika MATAKO ya matajiri mengi yatakukuta,WEWE KENGE ALI KAMWE BADO MDOGO USITAKE WAPA HUZUNI YA MAISHA WAZAZI WAKO HUYO MZEE UNGEKUWA NA HEKIMA NA BUSARA HUYO NI UMRI WA WAKUBWA ZAKO KWENU UNAMWITA KAMA MTOTO MWENZIO BASI SUBIRI BACK BURST YAKE.

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 หลายเดือนก่อน

    Wananchi wote hatuwezi kwenda Bungeni ndio maana kuna wawakilishi

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad2706 หลายเดือนก่อน

    Bahati hawa wazee wasasa wengi wao walikuwa wavuta bangi katika ujana wao Leo anaonekana Mzee kumbe nijitu la hovyo kabisa

  • @LovelyPipette-ew7lv
    @LovelyPipette-ew7lv หลายเดือนก่อน

    Wana yanga tupo pamoja kuiombea timu yetu pendwa hakika mungu atatushindia dhidi ya waovu.

  • @HawangaMohamed
    @HawangaMohamed หลายเดือนก่อน +1

    Inamaana bungeni tungeingia wananchi wote bungeni ndo maana kuna wawakilishi

    • @SurprisedFullMoon-gg9vu
      @SurprisedFullMoon-gg9vu หลายเดือนก่อน

      Waawakilishi wa wap??rais gan anaye chaguliwa na watu watanoo??

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 หลายเดือนก่อน

      Huo ukumbi wa Bunge sijui ingekuwaje😅😅😂

  • @PacchaYassin
    @PacchaYassin หลายเดือนก่อน

    Anataka vile visent alivyokuwa anakula avifaid na sasa.

  • @IvanSaid-ef8tb
    @IvanSaid-ef8tb หลายเดือนก่อน

    Kwahyo wanachoma wote waende mkutanoni ukumbi upi Sasa utatosha mfano bungeni badala ya wabunge wananchi waende watatosha au utaratibu up

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt หลายเดือนก่อน

    Pamoja na yote ila isifikie hatua ya kumvunjia heshima mzee watu mana huyo ni kama baba yenu pia!mana nimeona wengi wenu hamna hoja bali ni mihemko na kukosa busara!huyo mzee mngemwita kwenye kamati zenu huko muyaongee kwa sababu huyo mzee sio chizi mpaka kufika huko alipofika!heshima ishike hatam hauwezi kumwita mzee wako ni mtu wa hovyo huko ni kukosa hadabu

  • @MaryMsenga
    @MaryMsenga หลายเดือนก่อน

    Ana miaka mingap yanga

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 หลายเดือนก่อน +1

    Soka la bongo ovyo sana

  • @zakaria924
    @zakaria924 หลายเดือนก่อน +1

    Kuni zikiwaka huteketea na kugeuka kuwa majivu! Bundi katua na hizo ndiyo kasheshe zake!

  • @jumakuchele3624
    @jumakuchele3624 หลายเดือนก่อน

    Huyo magoma kumanina zake ataka kuturudisha nyuma kwenye mabakuri tulikotoka sisi hatutaki kuteseka kama mikia fc

  • @yassinhabibu
    @yassinhabibu หลายเดือนก่อน

    Hao wazee wa ovyo xana badala wawe watu wa maana ndo wanakuwa wa ovyo,nyie wazeee acheni njaa kama mlijisahau kutengenez maisha yenu ujanani Leo ndo mnakumbuka?,acheni njaa

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 หลายเดือนก่อน

    Nyie angaikeni na mipira wenzenu huko wanapiga pesa

  • @MaryMsenga
    @MaryMsenga หลายเดือนก่อน +1

    Bora usemaji tumpe ommy wa dubai

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc หลายเดือนก่อน

    Watu wa hovyo!!!! Semaji kama semaji!!! Leo semaji kacharuka mbaya!!!!

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 หลายเดือนก่อน

    DUH! NJA ZINAWATESA HAWA ( ) WALIZOEA KUGAWANA VIJISENTI 😂😂😂😂😂😂

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 หลายเดือนก่อน

    Muongo wewe huna Members elf 80 na uwe na Adabu kwa wazee wako..we ni mtoto mdogo sana kwenye Yanga...shauri yako..we idharau Busara utaona...but hata hiyo Katiba ulitakiwa uirudishe kwa Members waipitie..siyo kwa Kamati...acha kurukaruka

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q หลายเดือนก่อน

    Hao ndiy waliokiendesha maisha yao kupitia yanga, kumkataa Eris ni uchuzi

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 หลายเดือนก่อน

    Madram kawashika tayari nyie nendeni mahakani kabla hawajakazia hukum haya mambo ni ya kisheria semaji

    • @user-yd1pc8uy8x
      @user-yd1pc8uy8x หลายเดือนก่อน

      Mpira una mahakama zake

  • @emmanuelnyakunga8320
    @emmanuelnyakunga8320 หลายเดือนก่อน

    Wazee walizoea Kutumika kama kamati ya Ufundi wameona saiv hawaitwi soka limekuwa la kitaalam mno kuliko walivokuwa wanatumika hao wazee kwakupiga Ndumba😂

  • @moneycreator5736
    @moneycreator5736 หลายเดือนก่อน

    Wazee wakacheze na wazee wenzao

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l หลายเดือนก่อน

    BUNDI KAHAMIA JANGWANI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad2706 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtu dressing code yake inaonyesha wazi kabisa ni jitu ambalo halijitambui na hata huyu hakimu inaonyesha wazi hakutumia busara na yeye inaonyesha anajambo lake

  • @MaryMsenga
    @MaryMsenga หลายเดือนก่อน

    Au ndo Dubai

  • @SHERANasibu
    @SHERANasibu หลายเดือนก่อน +1

    Sis yanga tumeridhia kumpa tim mzee wetu mzee kagomaaa

  • @user-wb9gy2xx3p
    @user-wb9gy2xx3p หลายเดือนก่อน

    Anachomaanisha kuwa alikuwa na hoja za hovyo, kikundi cha watu wa hovyo yaani hadi wanasheria,karani wa mahakama na hakimu nao n wa hovyo

    • @user-yd1pc8uy8x
      @user-yd1pc8uy8x หลายเดือนก่อน

      Aliamuaje maswala ya mpira wakati caf wapo?

  • @user-zn5vu5yi1d
    @user-zn5vu5yi1d หลายเดือนก่อน

    Mbona serikali hawailalamikii kuhusu wabunge wachache kuwakilisha watu wengi?

  • @nurukimario-ob7dr
    @nurukimario-ob7dr หลายเดือนก่อน

    Aowazee wapuuuuz akilizao zipo kwawake zao awana akili awajajielewa bado ndowauni walio zeeka ao

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu หลายเดือนก่อน

    Wew ondoka hujulikan kikatiba mbumbavu wew"tuachie yanga yetuuu!nani aliwachaguaa??

    • @MrMatikiti_kudondoka
      @MrMatikiti_kudondoka หลายเดือนก่อน

      unatombw na aliemtoa bikra mamako

    • @SurprisedFullMoon-gg9vu
      @SurprisedFullMoon-gg9vu หลายเดือนก่อน

      @@MrMatikiti_kudondoka takutomba kama nilivyo mfira mama yakooo

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 หลายเดือนก่อน

    Simba mulichelewa. Timu ipo Avic na inasubir kuwashenyeta mungelianzisha kabla hatujasajili na kwa taarifa yenu mumelichokoza mtapigwa 10 huu msimu. Watu wenu wanaenda kifungoni kwa kosa la kuhushi sahihi ya mama mwenye heshima na jina lake

  • @WilliamuPaulo
    @WilliamuPaulo หลายเดือนก่อน

    Upo.sswa ndugu chapeni kazi tupo nyuma yenu

  • @user-cr5jy8mk6r
    @user-cr5jy8mk6r หลายเดือนก่อน

    Nyinyi MAKOLO mwambieni MANGOMA aje klabuni kwenu kupiga ngoma hana lolote huyo hivi anafikiri uendeshaji club ni sawa na kuuza KAHAWA NA KASHATA huyo hata kama ni Mwanachama yeye na mwenzake wafukuzwe hawatufai waende huko waache UPUMBAVU

  • @YohanaMagembe-vz7rg
    @YohanaMagembe-vz7rg หลายเดือนก่อน

    Yaani mpaka mseme😂😂😂

  • @fadhiliabasi6585
    @fadhiliabasi6585 หลายเดือนก่อน +1

    IPO SIKU MAGOMA ATAELEWEKA LAKINI ITAKUA WAMECHELEWA

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z หลายเดือนก่อน

    Mkiambiwa usemaji kazi za watu mnabisha😊,,sasa huo mziki angeucheza manara aaah we ujanuna kabisa uko hapi.

  • @MonaMaiko
    @MonaMaiko หลายเดือนก่อน

    Katumwa huyo akome akome akome Israel mtoa roho huyo mangoma

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 หลายเดือนก่อน

    Watu Nataka Nafasi Hiyo Ulio Kalia Aliy Kamwe Kama Hujuwi Na Mzungu Msuwali Yupo Nyuma Yao Wanakuonea Choyo
    Kuhusu Wandishi wahabari Wa Tanzania Wanapenda Unafiki Na Kufanya Fitna Hawana Mazungumzo Wala Hawajuwi Kumuhoji Mtu Wapo Wapo Tuu...

  • @MaryMsenga
    @MaryMsenga หลายเดือนก่อน

    Huyu dogo kakulia wapi ili tuangalie michezo alicheza

  • @Williammkandawile
    @Williammkandawile หลายเดือนก่อน

    Shower

  • @evaristgaspa6074
    @evaristgaspa6074 หลายเดือนก่อน

    Huyo mchawi

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma หลายเดือนก่อน +1

    SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ MAJILANI MKOWAP😢😢😅😅😂😂

  • @VictarKeya
    @VictarKeya หลายเดือนก่อน

    Alli kamwe akili aina unamtukana mzee wa watu anae kuzaa laana inakuadama mamake wewe ndio wa ovyo

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq หลายเดือนก่อน

    Huyo mxee akaongoze familia yake

  • @AbdulmarickLuhoma
    @AbdulmarickLuhoma หลายเดือนก่อน

    Muuwen uyo mpumbavu anaetaka kuivunja yanga

  • @IbrahimOmar-tu5tc
    @IbrahimOmar-tu5tc หลายเดือนก่อน

    Akaongoze familia yke kwanza yanga nguv moja

  • @salumhamad
    @salumhamad หลายเดือนก่อน

    uhakik🎉

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 หลายเดือนก่อน +2

    Mtajua nyie mmeweka vibaka watoke

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga หลายเดือนก่อน

    Wakati unafukuzia kazi yanga ulikua mwanachama wa yanga?

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 หลายเดือนก่อน

    Acheni timu yetu

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje หลายเดือนก่อน

    Wakwanza wa hovyo niwewe unakula hunenepi ka mchawi

  • @nestoryMlenge
    @nestoryMlenge หลายเดือนก่อน

    Unareweka somaji

  • @user-nz8uq5lq6x
    @user-nz8uq5lq6x หลายเดือนก่อน

    Simba nyie acheni midogo

  • @NyabasindiRutayagi-q3i
    @NyabasindiRutayagi-q3i หลายเดือนก่อน

    Huyo katumwa na hataweza

  • @mrajani786
    @mrajani786 หลายเดือนก่อน

    Semaji nunua hao wawili kamamagoli matano

  • @LeonardNilongo
    @LeonardNilongo หลายเดือนก่อน +1

    Oya nachatak injinia habak

  • @experymassawe3521
    @experymassawe3521 หลายเดือนก่อน

    Unatetea ugali dogo kushabikia team sio, Sawa ita ovyo ila mahakama ndo walisha amua

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 หลายเดือนก่อน

    Nyamaza kimya wee mfungwa. Umepinduliwa na mahakama. Kama unaendelea kudharau mahakama utaenda keko kunyea debe.

  • @MuslihiHassan-bi2nj
    @MuslihiHassan-bi2nj หลายเดือนก่อน

    Unatetea ugali wako 😂

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 หลายเดือนก่อน

    Na wewe si wewe ni njaa zako tu

  • @hassan-sarumbo
    @hassan-sarumbo หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂ubaya ubwera kumbe yanga mnqsiri na hamsemi

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA หลายเดือนก่อน +1

    HAYA MAELEZO KAYATOE MAHAKAMANI

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n หลายเดือนก่อน

    We dogo2 unajua habari za wazee acha kuchongaa

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 หลายเดือนก่อน

    Mwehu wewe huna hata kadi

  • @franklaurent216
    @franklaurent216 หลายเดือนก่อน

    Kawashika vibaya

  • @FeydhullahTwalib
    @FeydhullahTwalib หลายเดือนก่อน

    Kunanini unajua kulumbiza wewe

  • @RenatusFumbuka-gw4jo
    @RenatusFumbuka-gw4jo หลายเดือนก่อน

    Hayo maelezo mngetoa mahakamani

  • @Shabani-uz1sb
    @Shabani-uz1sb หลายเดือนก่อน

    Ww, Unatetea, Ugali, Hunaunachokijua, danganya, matutusa

  • @rizikylaizer1602
    @rizikylaizer1602 หลายเดือนก่อน

    Nenda mahakamani acha porojo😂😂

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA หลายเดือนก่อน

    UKIZUNGUMZA OVYO KUHUSU MAHAKAMA NI UTOVU WA NIDHSMU KWA MAHAKAMA .....UNA WATUSI WAANDISHI WA HABARI

  • @AllyMwitu
    @AllyMwitu หลายเดือนก่อน

    Haahaha

  • @johnsonsamwel7207
    @johnsonsamwel7207 หลายเดือนก่อน

    Bwabwabwabwaaaaaaana bado,toka waachie wenye timu yao

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 หลายเดือนก่อน

    Wanaojua kuzungumza wanazungumza mahakamani hapo unabweka tu kama jibwa koko

  • @user-pm7oe5gj8g
    @user-pm7oe5gj8g หลายเดือนก่อน

    Kwanini maelezo hamkuyatoa mahakamani? Sahv hata ukiongea sana haisaidii....

    • @barakagashaza8516
      @barakagashaza8516 หลายเดือนก่อน +1

      umesikiliza alichosema wakili wa yanga ???

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 หลายเดือนก่อน

    Umezoe kumtukana na kumsemea hovyo baba yako sasa jiangalie usije kuitukana mahakama na maamuzi yake utakwenda jela,hiyo miwani yalo ya buku jero isikupe kiburi

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 หลายเดือนก่อน

    Sasa mbona unaongea kwa kupanic. Ongea smart na nenda hoja kwa hoja. Pia usimkalipie kana kwamba ni mtoto

  • @PiusMnzajila
    @PiusMnzajila หลายเดือนก่อน +2

    Mm naambatana na Ali kamwe alicho kisema kwenye mkutano