HELA ZIKO HUKU RAFIKI ZANGU/MASANJA AWEKA WAZI HATUA ZOTE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • HELA ZIKO HUKU RAFIKI ZANGU/MASANJA AWEKA WAZI HATUA ZOTE.
    KUMEKUWA NA WIMBI KUBWA LA WATU KUTAMANI KUJISHUGHULISHA NA MAMBO YA KILIMO SASA MFATILIE MASANJA AMBVAYE AMELIMA KWA MDA MREFU NA HAA ANAKUWEKEA WAZI HATUA KWA HATUA KUHUSIANA NA KILIMO CHA MPUNGA MAENEO YA KAPUNGA WILAYANI MBARALI MKOA WA MBEYA FATILIA UJIFUNZE ZAIDI

ความคิดเห็น • 597

  • @rosecruzy6666
    @rosecruzy6666 4 ปีที่แล้ว +19

    Wangapi wameelewa kama mimi big up masanja such a good soul🔥🔥🔥

  • @mariammwasile4792
    @mariammwasile4792 3 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU akubariki sanaa maana hio sir sio wote wanaweza kusema nakufatilia sanaa niko omani nikilud ishaallah

  • @njauson5965
    @njauson5965 5 ปีที่แล้ว +32

    Hongera sana Ndg!na shukran sana kwa elimu nami najipanga kwa ajili ya msim ujao

    • @Feelfreechurch
      @Feelfreechurch  5 ปีที่แล้ว +1

      Njau Son Sawa karibu sanaa

    • @felixmagulu6142
      @felixmagulu6142 5 ปีที่แล้ว +1

      Hongera sana brother Mgaya, Huko kwetu usangu ni zaidi ya Mererani, Ni kuanzia hapo Kapunga, Ubaruku hadi madibira ni utajiri tu.

    • @godfreymagoso5334
      @godfreymagoso5334 4 ปีที่แล้ว

      @@Feelfreechurch ni zaidi ya asante mtumishi,,,,, shukrani sana

    • @aliymajala5678
      @aliymajala5678 3 ปีที่แล้ว

      Brother nahitaji kuja shambani Niko Iringa town

  • @aggy_cakeandbites
    @aggy_cakeandbites 5 ปีที่แล้ว +9

    kwa kweli natamani kuwepo kwenye hiyo tour.
    Napenda Sana Kulima najua itanisaidia kwa namna moja amazing nyingine

    • @kijanisaini5688
      @kijanisaini5688 7 หลายเดือนก่อน

      hello nitafute nipo huku tufanye kilimo

    • @nizarkatunda9662
      @nizarkatunda9662 หลายเดือนก่อน

      @@kijanisaini5688 Kaka habari nilikuwa napenda kuwasiliana na wewe juu ya hili suala naweza kukupata vipi.?

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso5334 4 ปีที่แล้ว +5

    Data yang imeenda kihalali,,,,,,,
    Asante mtumishi

  • @revocatusmanyama3311
    @revocatusmanyama3311 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mkuu Kwa kutuelekeza namna ya kilimo cha mpunga bro

  • @kisinzaemmanuel6318
    @kisinzaemmanuel6318 5 ปีที่แล้ว +6

    Asante bro Masanja tuko pamoja kuijenga nchi

  • @mammyali3424
    @mammyali3424 5 ปีที่แล้ว +1

    Ni kiwa ndani ya Dubai..wanipa moral... masanja ubarikiwe Sana.... wanibariki na Mungu akubariki pia nafatilia yote ufanyayo

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 ปีที่แล้ว

    Yaani Mungu akuinue kwa viwango vya hali ya juu maana ungeweza kuamua kukaa na mawazo yako.moja ya msingi mkuu wa imani ni kutoa kuliko kupokea na mataokeo yake utapokea zaidi hadi ushangae.nimeipenda na moja kati ya vitu 2 ninavyovipenda zaidi kuvifanya duniani ni kufanya biashara ambayo kwa wakati huohuo ni huduma ya muhimu zaidi kwa mwanadamu nayo ni kilimo na ndio maana hata watoto wangu nimewafundisha kabla ya kula anza kukibariki hicho chakula na waliohusika nacho kuanzia mashambani,barabarani,viwandani,masokoni,magengeni,jikoni n.k maana hadi kina fika hapo unapokula wewe, Mungu ameilinda na kuibariki mikono ya watu wengi sana.sina mtaji lkn naamini ipo cku Mungu atanibariki kwa upande huo pia.ubarikiwe mtumishi,inguluve igendage na veve.

  • @dannyhimmtafya5625
    @dannyhimmtafya5625 3 ปีที่แล้ว +2

    Pastor Isaya my most High God bless you.

  • @mariumukasiba-nq6uz
    @mariumukasiba-nq6uz 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki wachache kama wewe zidi kubarikiwa kwa sababu unatoa the way u give is the way u receive ni haki yako mungu akupe . Mungu akuinue mara zote

  • @theosaimon6933
    @theosaimon6933 5 ปีที่แล้ว +6

    Thanx for your time brother and your education about farming

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 5 ปีที่แล้ว +9

    Nisaidie mamba ya muwekezaji tunashuru kwa elimu ya Burr ubarikiwe mungu akupe umri mrefu zaidi

  • @bightenabednego4580
    @bightenabednego4580 5 ปีที่แล้ว +7

    Bro nimekufatilia, nimekuelewa! Kwa Neema za Mungu, mwakani msimu ujao tutakua pamoja

  • @jobmwakijale7447
    @jobmwakijale7447 3 ปีที่แล้ว +1

    Pastor umetisha sana Elimu nzuri sana nimeipata Mungu akubariki sana

  • @sarahmichael7538
    @sarahmichael7538 3 ปีที่แล้ว +5

    Hongera sana kaka Mtumishi! Nakukubali sana kakaangu, endelea kubarikiwa!

    • @SaidiMadunda
      @SaidiMadunda 6 วันที่ผ่านมา

      Masanja mbongo mwenye akili utampata wapi? Akusimamie

  • @pinielalphayo4111
    @pinielalphayo4111 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimekutunuku shahada ya uzamivu ktk kilimo Kutoka chuo cha Sokoine University of Agriculture SUA, Hongera sana

  • @abdulkarimjuma8460
    @abdulkarimjuma8460 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Brother endelea kutuelimisha zaidi🙏🏽🙏🏽 unatupa hamasa vijana wenzako

  • @seifmwagao8943
    @seifmwagao8943 5 ปีที่แล้ว

    Kwa mara ya kwanza nimepata elimu kubwa sana maana nilikua nakutana na wababaishaji sna thanx a lot masanja mungu akubariki maana umekua mkweli sna i appreciate

  • @Crownvalz
    @Crownvalz 5 ปีที่แล้ว +1

    Dah nimenunua shamba Ruvu huko heka mbili yani nimelimankila kitu nikakata tamaa ila nimeangalia hii video kesho naingia shambani aiseee dah m inspired

  • @paulokisoma177
    @paulokisoma177 2 ปีที่แล้ว

    God bless you my Bi-Shop Masanja, one day I bilive l will see you life in order to shere ldear of life in our Ministry of Jesus Christ. Pastor Paul Kisoma lringa.

  • @theresiaswai6801
    @theresiaswai6801 4 ปีที่แล้ว +4

    i really appriciate you brother,you are a genius and thanks for the knowledge

  • @m-musicstudios2023
    @m-musicstudios2023 5 ปีที่แล้ว +5

    braza mimi n mwanafunzi wa chuo npo mwaka wa mwisho kaka nashukuru kwa darasa umeniongezea idea nyingi nashukuru kaka kwa somo hili natamani hata siku moja nipate nafasi ya kukaa na wew ili kuendelea kujifunza mengi kutoka kwako natumai siku moja nitapata hiyo nafasi ila ahsante kwa darasa na endelea na moyo huohuo ilui wengine tujifunze kutoka kwenu

  • @masellemaziku1096
    @masellemaziku1096 7 หลายเดือนก่อน

    Great ideas from the man himself. Tour naihitaji brother Masanja.

  • @prosperutwa2260
    @prosperutwa2260 4 ปีที่แล้ว +1

    👏 shukran Sana masanja mungu hakubarik

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk6324 5 ปีที่แล้ว

    Masanja nakuomba Mtumishi w Mungu kama una nafasi nipo chini ya miguu yako naombaumsaidie Pascal muimbaji wa enjili . Ukisimama kumuombea michango watu wataitika mara hata kama una uwezo wa kulibeba hilo pia itaugusa Moyo wa Mungu. Ubarikiwe Mtumishi.

  • @stanleysamson7756
    @stanleysamson7756 5 ปีที่แล้ว +1

    Bigp sanaa msanja mkandamizaji
    Kiukwel nafatilia sanaa mapambano yako. 💪💪💪💪

  • @allysaid6742
    @allysaid6742 5 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana BROO kwa upendo wako kwa wananchi wenzako kwa kuwapa Darasa zuri na bure lenye manufaa kwa yule atakae amua kulifanya, kwakweli nimeipenda sana, mungu akuzidishie khery na baraka broo

  • @angelmwanja3295
    @angelmwanja3295 4 ปีที่แล้ว

    Una roho nzuri masanja mungu akubariki .asante kwa mafundisho

  • @jumasultani8611
    @jumasultani8611 ปีที่แล้ว

    Ahsante masanja nimepata elimu kubwa shukraaan kwa kupush ndoto yangu thnx brother

  • @michaelkalokola2597
    @michaelkalokola2597 16 วันที่ผ่านมา

    Uko vizuri kaka napateje conection yako

  • @anzatv8628
    @anzatv8628 5 ปีที่แล้ว +1

    Masanja, kiukweli napenda sana, uhamasishaji wako.
    Mungu akutie nguvu zaidi.
    Mimi nimezaliwa Mbarali, yote unayoongea ni ukweli mtupu

  • @isayachihota8264
    @isayachihota8264 3 ปีที่แล้ว +5

    'Inspiring!' Can you pls put english subtitle to this video!

  • @rosecruzy6666
    @rosecruzy6666 4 ปีที่แล้ว +6

    Jaman nime subscribe kabisa wewe ni genius👏👏

  • @dafrozakipingi1803
    @dafrozakipingi1803 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimekuelewa sana Mungu akubariki

  • @cyprianoanthony8622
    @cyprianoanthony8622 3 ปีที่แล้ว

    Aiseeee Mungu azidi kukuinua zaidi mtu wa Mungu maana ni wachache wanaoweza kushirikisha baraka wengine.🙏🙏🙏

  • @omariochumu935
    @omariochumu935 4 ปีที่แล้ว +2

    Brother, brother ,brother wewe ni genius

  • @amanijolam4140
    @amanijolam4140 5 ปีที่แล้ว +1

    umeongea point sana watu wengi tunadanganyana huku mtaani big up masanja

  • @carloskomba5869
    @carloskomba5869 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimejisikia raha sana kwa jinsi ulivyo ichambua future yangu

  • @abdulabdallah4350
    @abdulabdallah4350 4 ปีที่แล้ว

    Ahsante masanja ahsante sana Mungu akubariki

  • @scollamadaya7874
    @scollamadaya7874 ปีที่แล้ว

    Asanteee mtumishi wa MUNGU.

  • @ramadhanhaji2993
    @ramadhanhaji2993 5 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana kwa somo zuri. Ubarikiwe ndugu kwa elimu unayoitoa. Nimehamasika sana nitakutafuta.

  • @johnsonmsuya1495
    @johnsonmsuya1495 3 ปีที่แล้ว +2

    Ur genius broh,,,salute

  • @zedec4690
    @zedec4690 2 ปีที่แล้ว +3

    shukrani bro

  • @salomevestinamichael1458
    @salomevestinamichael1458 9 หลายเดือนก่อน

    Nimebarikiwa sana mkandamizaji,no yako naihitaji mwakani tutakwenda wote Madibila kaka yangu ❤

  • @Mike-yg7pb
    @Mike-yg7pb 4 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri sana brother masanja halafu umeelezea vizuri sana sana
    It s very nice, live story.

  • @deborahlusenga3574
    @deborahlusenga3574 4 ปีที่แล้ว +1

    Umetoa elimu nzuri sana, barikiwa kaka

  • @jescagodwin5177
    @jescagodwin5177 4 ปีที่แล้ว +6

    Great its inspiring. Be blessed

  • @jabalimikechi7750
    @jabalimikechi7750 4 ปีที่แล้ว +1

    Wow great opportunity for those who want this business

  • @bakariomary4772
    @bakariomary4772 5 ปีที่แล้ว +3

    Aisee Braza Masanja mm ni moja kati y wadau ambao wanaamini ktk kilimo ila bad sijaingia huko lakn naamin one day kuanzia mwishon mwa mwak huu naweza kufanya kitu

  • @frankbiznews2902
    @frankbiznews2902 3 ปีที่แล้ว +1

    Masanja kazi nzuri

  • @meekhoon1378
    @meekhoon1378 5 ปีที่แล้ว +3

    incredible my bro

  • @jonathanliwa1955
    @jonathanliwa1955 3 ปีที่แล้ว +1

    Nmekuelewa brather nakukubali sana

  • @msemakwelimdhalendo7782
    @msemakwelimdhalendo7782 4 ปีที่แล้ว +3

    GOD bleass MASANJA good work.

    • @yusufujacobo9475
      @yusufujacobo9475 4 ปีที่แล้ว

      Kweli masanja ana moyo waku saidia au ana moyo kutu kama mabosi wengine

  • @tausimwangwale1575
    @tausimwangwale1575 2 ปีที่แล้ว

    Mungu aenderee kukubariki nakukupa marifamengi mtumishi wa mungu

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 5 ปีที่แล้ว +1

    mtu kama huyu lazma serikali ikuthamini sana kazi nzuri sana.

  • @anselmokidaboma9328
    @anselmokidaboma9328 5 ปีที่แล้ว

    duh, ahsante sana kaka,,,,,,,,,,,mwaka huu nitafanya, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @dominionbiginga4170
    @dominionbiginga4170 3 ปีที่แล้ว

    Wow! Be biessed. Nimefurahi saana

  • @mohamedharunamohamedharuna7124
    @mohamedharunamohamedharuna7124 3 ปีที่แล้ว

    Asante kwa elimu nzuri

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 4 ปีที่แล้ว

    Unanipa MACHUNGU Sana ,masanja 😍😍😍hongera saana

  • @braytonjohn8332
    @braytonjohn8332 5 ปีที่แล้ว

    Nimeiamini ile kauli ya baba aliye wambia watoto wake mkiitaka Mali mtaipata shambani!!!!! Thanks 🙏 my brother masanja

  • @bonifacenzogere3026
    @bonifacenzogere3026 4 ปีที่แล้ว

    Safi sana Mtumishi wa Mungu . Mwaka huu tutakua pamoja

  • @mhojamsafiri2273
    @mhojamsafiri2273 3 ปีที่แล้ว

    Dah! Yani Masanja yani umeniacha mdomo wazi.hongera sana mkuu

  • @awesafari6027
    @awesafari6027 3 ปีที่แล้ว

    Duuh masanja umetisha kaka I appreciate you bro

  • @ernestclemence6076
    @ernestclemence6076 3 ปีที่แล้ว +1

    Braza Elimu unayo toa nikubwa mmno Mungu akupe MAISHA marefu

  • @saidmabrouknassor4229
    @saidmabrouknassor4229 4 ปีที่แล้ว

    Umenihamasisha sana kaka Masanja shukran🤝

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali sana ndg ktk KRISTO YESU, ila hukusema garama za mbegu ya awali kabisa

  • @floradouglas7153
    @floradouglas7153 ปีที่แล้ว

    good bro

  • @deotv503
    @deotv503 4 ปีที่แล้ว

    Daaah huyuu jamaa no mpiganajii snaaa na hajikweziii I appreciate you bro for what your doing

  • @HASASON
    @HASASON 5 ปีที่แล้ว

    Dah Masanja you are an inspiration

  • @francekomba5335
    @francekomba5335 3 ปีที่แล้ว

    Nimekupata Mr Masanja umekuwa mfano wa kuigwa ubarikiwe sana

  • @johnmwaya6858
    @johnmwaya6858 ปีที่แล้ว

    Masanja uko vizuri nimekuelewa sana

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kaka maana mpango wangu naona umekaa kwa mstari mwakani namimi natia miguu

  • @zawdigaare9559
    @zawdigaare9559 5 ปีที่แล้ว

    Safi sana mchungaji uko vizuri, tupe ujasiri maana kilimo kinataka moyo kaka.

  • @edwardpeter2577
    @edwardpeter2577 ปีที่แล้ว

    Emmanuel Mgaya huna baya,,,God bless you brother

  • @esterpetro4605
    @esterpetro4605 4 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mng azidi kukusimamia, pia asante kwa elimu nzr nimejifunza

  • @isacklaghaa2955
    @isacklaghaa2955 5 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana Brother, haujawa mchoyo kutupa elimu juu ya kilimo

  • @user-ll4vi4oz2n
    @user-ll4vi4oz2n 10 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @user-bu7rq6tk2c
    @user-bu7rq6tk2c 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kilimo nakielewa🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @susanmarco9982
    @susanmarco9982 3 ปีที่แล้ว

    Thank you for sharing

  • @joelburton7207
    @joelburton7207 4 ปีที่แล้ว

    Napenda sana kazi unayo fanya tafadhali niunganishe huko

  • @monabangaseka1064
    @monabangaseka1064 4 ปีที่แล้ว +5

    Napenda kilimo inshallah 🙏

  • @elishampinda4102
    @elishampinda4102 5 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri sana

  • @mixinfo6202
    @mixinfo6202 4 ปีที่แล้ว

    Ur the best brother.... Nami ntaingia huko karibu

  • @joramrevelian404
    @joramrevelian404 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli toa pesa ingiza pesa jamani msimjaji mtu anautajiri wa nguvu za Giza wakati hamjajua historia yake na maisha yake ongera kaka kwa kazi nzuri

  • @godfreysasi3946
    @godfreysasi3946 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki kwa kuamua kushare na sisi mi idea mikubwa kiasi hiki!!!

  • @immwillswilliams8656
    @immwillswilliams8656 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Masanja

  • @harissalum2887
    @harissalum2887 2 ปีที่แล้ว

    Safsana masanja, tuombe uzima mwakani panapo majaaliwa tutakuwa wote kwenye kilimo inashaallah

  • @thomasjijim6327
    @thomasjijim6327 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera masanja

  • @mrmea1935
    @mrmea1935 4 ปีที่แล้ว +4

    Asante sana kwa kushare bro, lkn waombe dereva wa fuso wawe makini sana

  • @sallys7454
    @sallys7454 5 ปีที่แล้ว +3

    Kazi 💪 I love it 🇩🇰 🇹🇿

  • @deodatuselias412
    @deodatuselias412 7 หลายเดือนก่อน

    Habali mtumishi huwa nakufuatilia Sana nikijana ambae Ninandotonyingisana naomba muongozo mtumish naomba unishikemkono

  • @mohamedimmbaga7185
    @mohamedimmbaga7185 3 ปีที่แล้ว +1

    Upo sawa kaka

  • @hekimarichard1088
    @hekimarichard1088 3 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri Sana kweri

  • @marymwahalende5128
    @marymwahalende5128 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri kaka. Na mm natamani kuingia huko naomba mungozo.

  • @gsix1280
    @gsix1280 5 ปีที่แล้ว +3

    Thanks brother I make my brain hot

  • @noahsgtv3438
    @noahsgtv3438 11 หลายเดือนก่อน

    Asantee

  • @ibrahimalexander4653
    @ibrahimalexander4653 5 ปีที่แล้ว

    Shukrani sana brother, nipo nyuma yako usichoke kunishika mkono.

  • @ramadhansylvesta1952
    @ramadhansylvesta1952 5 ปีที่แล้ว

    Safi Ila dah! Mbona hzo hesabu zako zko juu sana Mzee

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 ปีที่แล้ว

    Hiyi kazi ni nzuri