HELA ZIKO HUKU RAFIKI ZANGU/MASANJA AWEKA WAZI HATUA ZOTE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- HELA ZIKO HUKU RAFIKI ZANGU/MASANJA AWEKA WAZI HATUA ZOTE.
KUMEKUWA NA WIMBI KUBWA LA WATU KUTAMANI KUJISHUGHULISHA NA MAMBO YA KILIMO SASA MFATILIE MASANJA AMBVAYE AMELIMA KWA MDA MREFU NA HAA ANAKUWEKEA WAZI HATUA KWA HATUA KUHUSIANA NA KILIMO CHA MPUNGA MAENEO YA KAPUNGA WILAYANI MBARALI MKOA WA MBEYA FATILIA UJIFUNZE ZAIDI
Wangapi wameelewa kama mimi big up masanja such a good soul🔥🔥🔥
MUNGU akubariki sanaa maana hio sir sio wote wanaweza kusema nakufatilia sanaa niko omani nikilud ishaallah
Hongera sana Ndg!na shukran sana kwa elimu nami najipanga kwa ajili ya msim ujao
Njau Son Sawa karibu sanaa
Hongera sana brother Mgaya, Huko kwetu usangu ni zaidi ya Mererani, Ni kuanzia hapo Kapunga, Ubaruku hadi madibira ni utajiri tu.
@@Feelfreechurch ni zaidi ya asante mtumishi,,,,, shukrani sana
Brother nahitaji kuja shambani Niko Iringa town
kwa kweli natamani kuwepo kwenye hiyo tour.
Napenda Sana Kulima najua itanisaidia kwa namna moja amazing nyingine
hello nitafute nipo huku tufanye kilimo
@@kijanisaini5688 Kaka habari nilikuwa napenda kuwasiliana na wewe juu ya hili suala naweza kukupata vipi.?
Data yang imeenda kihalali,,,,,,,
Asante mtumishi
Ubarikiwe sana mkuu Kwa kutuelekeza namna ya kilimo cha mpunga bro
Asante bro Masanja tuko pamoja kuijenga nchi
Ni kiwa ndani ya Dubai..wanipa moral... masanja ubarikiwe Sana.... wanibariki na Mungu akubariki pia nafatilia yote ufanyayo
Yaani Mungu akuinue kwa viwango vya hali ya juu maana ungeweza kuamua kukaa na mawazo yako.moja ya msingi mkuu wa imani ni kutoa kuliko kupokea na mataokeo yake utapokea zaidi hadi ushangae.nimeipenda na moja kati ya vitu 2 ninavyovipenda zaidi kuvifanya duniani ni kufanya biashara ambayo kwa wakati huohuo ni huduma ya muhimu zaidi kwa mwanadamu nayo ni kilimo na ndio maana hata watoto wangu nimewafundisha kabla ya kula anza kukibariki hicho chakula na waliohusika nacho kuanzia mashambani,barabarani,viwandani,masokoni,magengeni,jikoni n.k maana hadi kina fika hapo unapokula wewe, Mungu ameilinda na kuibariki mikono ya watu wengi sana.sina mtaji lkn naamini ipo cku Mungu atanibariki kwa upande huo pia.ubarikiwe mtumishi,inguluve igendage na veve.
Pastor Isaya my most High God bless you.
Mungu akubariki wachache kama wewe zidi kubarikiwa kwa sababu unatoa the way u give is the way u receive ni haki yako mungu akupe . Mungu akuinue mara zote
Thanx for your time brother and your education about farming
Nisaidie mamba ya muwekezaji tunashuru kwa elimu ya Burr ubarikiwe mungu akupe umri mrefu zaidi
Bro nimekufatilia, nimekuelewa! Kwa Neema za Mungu, mwakani msimu ujao tutakua pamoja
Pastor umetisha sana Elimu nzuri sana nimeipata Mungu akubariki sana
Hongera sana kaka Mtumishi! Nakukubali sana kakaangu, endelea kubarikiwa!
Masanja mbongo mwenye akili utampata wapi? Akusimamie
Nimekutunuku shahada ya uzamivu ktk kilimo Kutoka chuo cha Sokoine University of Agriculture SUA, Hongera sana
Asante Brother endelea kutuelimisha zaidi🙏🏽🙏🏽 unatupa hamasa vijana wenzako
Kwa mara ya kwanza nimepata elimu kubwa sana maana nilikua nakutana na wababaishaji sna thanx a lot masanja mungu akubariki maana umekua mkweli sna i appreciate
Dah nimenunua shamba Ruvu huko heka mbili yani nimelimankila kitu nikakata tamaa ila nimeangalia hii video kesho naingia shambani aiseee dah m inspired
God bless you my Bi-Shop Masanja, one day I bilive l will see you life in order to shere ldear of life in our Ministry of Jesus Christ. Pastor Paul Kisoma lringa.
i really appriciate you brother,you are a genius and thanks for the knowledge
Nakukubal sana masanja
braza mimi n mwanafunzi wa chuo npo mwaka wa mwisho kaka nashukuru kwa darasa umeniongezea idea nyingi nashukuru kaka kwa somo hili natamani hata siku moja nipate nafasi ya kukaa na wew ili kuendelea kujifunza mengi kutoka kwako natumai siku moja nitapata hiyo nafasi ila ahsante kwa darasa na endelea na moyo huohuo ilui wengine tujifunze kutoka kwenu
Great ideas from the man himself. Tour naihitaji brother Masanja.
👏 shukran Sana masanja mungu hakubarik
Masanja nakuomba Mtumishi w Mungu kama una nafasi nipo chini ya miguu yako naombaumsaidie Pascal muimbaji wa enjili . Ukisimama kumuombea michango watu wataitika mara hata kama una uwezo wa kulibeba hilo pia itaugusa Moyo wa Mungu. Ubarikiwe Mtumishi.
Bigp sanaa msanja mkandamizaji
Kiukwel nafatilia sanaa mapambano yako. 💪💪💪💪
Ahsante sana BROO kwa upendo wako kwa wananchi wenzako kwa kuwapa Darasa zuri na bure lenye manufaa kwa yule atakae amua kulifanya, kwakweli nimeipenda sana, mungu akuzidishie khery na baraka broo
Una roho nzuri masanja mungu akubariki .asante kwa mafundisho
Ahsante masanja nimepata elimu kubwa shukraaan kwa kupush ndoto yangu thnx brother
Uko vizuri kaka napateje conection yako
Masanja, kiukweli napenda sana, uhamasishaji wako.
Mungu akutie nguvu zaidi.
Mimi nimezaliwa Mbarali, yote unayoongea ni ukweli mtupu
'Inspiring!' Can you pls put english subtitle to this video!
Jaman nime subscribe kabisa wewe ni genius👏👏
Nimekuelewa sana Mungu akubariki
Aiseeee Mungu azidi kukuinua zaidi mtu wa Mungu maana ni wachache wanaoweza kushirikisha baraka wengine.🙏🙏🙏
Brother, brother ,brother wewe ni genius
umeongea point sana watu wengi tunadanganyana huku mtaani big up masanja
Nimejisikia raha sana kwa jinsi ulivyo ichambua future yangu
Ahsante masanja ahsante sana Mungu akubariki
Asanteee mtumishi wa MUNGU.
Ahsante sana kwa somo zuri. Ubarikiwe ndugu kwa elimu unayoitoa. Nimehamasika sana nitakutafuta.
Ur genius broh,,,salute
shukrani bro
Nimebarikiwa sana mkandamizaji,no yako naihitaji mwakani tutakwenda wote Madibila kaka yangu ❤
Uko vizuri sana brother masanja halafu umeelezea vizuri sana sana
It s very nice, live story.
Umetoa elimu nzuri sana, barikiwa kaka
Great its inspiring. Be blessed
Wow great opportunity for those who want this business
Aisee Braza Masanja mm ni moja kati y wadau ambao wanaamini ktk kilimo ila bad sijaingia huko lakn naamin one day kuanzia mwishon mwa mwak huu naweza kufanya kitu
Masanja kazi nzuri
incredible my bro
Nmekuelewa brather nakukubali sana
GOD bleass MASANJA good work.
Kweli masanja ana moyo waku saidia au ana moyo kutu kama mabosi wengine
Mungu aenderee kukubariki nakukupa marifamengi mtumishi wa mungu
mtu kama huyu lazma serikali ikuthamini sana kazi nzuri sana.
duh, ahsante sana kaka,,,,,,,,,,,mwaka huu nitafanya, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Wow! Be biessed. Nimefurahi saana
Asante kwa elimu nzuri
Unanipa MACHUNGU Sana ,masanja 😍😍😍hongera saana
Nimeiamini ile kauli ya baba aliye wambia watoto wake mkiitaka Mali mtaipata shambani!!!!! Thanks 🙏 my brother masanja
Brayton John Umeonaeee
Safi sana Mtumishi wa Mungu . Mwaka huu tutakua pamoja
Dah! Yani Masanja yani umeniacha mdomo wazi.hongera sana mkuu
Duuh masanja umetisha kaka I appreciate you bro
Braza Elimu unayo toa nikubwa mmno Mungu akupe MAISHA marefu
Umenihamasisha sana kaka Masanja shukran🤝
Nakukubali sana ndg ktk KRISTO YESU, ila hukusema garama za mbegu ya awali kabisa
good bro
Daaah huyuu jamaa no mpiganajii snaaa na hajikweziii I appreciate you bro for what your doing
Dah Masanja you are an inspiration
Nimekupata Mr Masanja umekuwa mfano wa kuigwa ubarikiwe sana
Masanja uko vizuri nimekuelewa sana
Asante sana kaka maana mpango wangu naona umekaa kwa mstari mwakani namimi natia miguu
Safi sana mchungaji uko vizuri, tupe ujasiri maana kilimo kinataka moyo kaka.
Emmanuel Mgaya huna baya,,,God bless you brother
Hongera sana mng azidi kukusimamia, pia asante kwa elimu nzr nimejifunza
Mungu akubariki sana Brother, haujawa mchoyo kutupa elimu juu ya kilimo
Safi sana
Kilimo nakielewa🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Thank you for sharing
Napenda sana kazi unayo fanya tafadhali niunganishe huko
Napenda kilimo inshallah 🙏
Kazi nzuri sana
Ur the best brother.... Nami ntaingia huko karibu
Kweli toa pesa ingiza pesa jamani msimjaji mtu anautajiri wa nguvu za Giza wakati hamjajua historia yake na maisha yake ongera kaka kwa kazi nzuri
Mungu akubariki kwa kuamua kushare na sisi mi idea mikubwa kiasi hiki!!!
Hongera sana Masanja
Safsana masanja, tuombe uzima mwakani panapo majaaliwa tutakuwa wote kwenye kilimo inashaallah
Hongera masanja
Asante sana kwa kushare bro, lkn waombe dereva wa fuso wawe makini sana
Kazi 💪 I love it 🇩🇰 🇹🇿
Vjfsutahzb
Nimepeda sana
Habali mtumishi huwa nakufuatilia Sana nikijana ambae Ninandotonyingisana naomba muongozo mtumish naomba unishikemkono
Upo sawa kaka
Kazi nzuri Sana kweri
Kazi nzuri kaka. Na mm natamani kuingia huko naomba mungozo.
Thanks brother I make my brain hot
Asantee
Shukrani sana brother, nipo nyuma yako usichoke kunishika mkono.
Safi Ila dah! Mbona hzo hesabu zako zko juu sana Mzee
Hiyi kazi ni nzuri