MASANJA MKANDAMIZAJI - SHORT AND CLEAR - (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- MASANJA MKANDAMIZAJI - SHORT AND CLEAR - (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
SHORT AND CLEAR NI NYIMBO AMBAYO INAELEZEA MAISHA YA BWANA WETU YESU KRISTO HASA LAKINI ZAIDI IMEJIKITA KATIKA JINSI AMBAVYO ALIKUA ANAULIZA NA KUJIBU MASWALI .
USISAHAU KU SUBSCRIBE ILI UWE WA KWANZA KUPOKEA NOTIFICATION YA VIDEO MPYA KUTOKA KWANGU MUNGU AKUBARIKI
Jamani TH-cam wafanye tuwe tuna like Mara kumi
NDUGU ZANGU NAWASHUKURUNI SANA SANA, ASANTENI KWA PONGEZI, NAMI NAFANYIA KAZI KILA USHAURI MLIONIANDIKIA!!
MUNGU AWABARIKI KWA KUNIHESHIMISHA, NAWATAKIA MEMA!!
Emmanuel Mgaya masanja hongera sana na Mungu azidi kukuinua
Ubarikiwe mtumishi..hakika nyimbo zako zinanibariki hapa dodoma.
Emmanuel Mgaya masanja hongera sana mgaya kwa kazi nzuri
Short and klia
BE BLESSED MJUKUU WA MUNGU
Dah safi sana mtumishi wa Mungu nimependa wimbo
daah aise nibonge la ngoma nimebalikiwa kabsa
Kama umeipenda hii nyimbo kama mm plz gonga like...short & clear
Masanja ur fabulous na mm naomba like yangu
Naona mpaka mjomba yesu anagonga sebene safi sana
Nakukubali sana masanja ila kuinga mambo ya yesu umekosea sana ila nitazidi kuwa wako daima
kama umerudia mara mingimingi kama mimi gonga like tujuane
Kupitia wimbo huu ,,unapelekea kukumbuka maneno ya Yesu gonga kukubali(though this song influence to remember the words of Jesus click like)
Duh! Haposawa endelea mbele
Dah kweli we jamaa Ni shida nimeurudia Hadi nimeishiwa bando short Anadclear barikiwa sana
Nimefurahi umesema "Wimbo huu na siyo Nyimbo hii" kama wasiojua kiswahili wanavyosema. Najisikia kichefuchefu kusikia "Nyimbo hii"
Barikiwa mtumishi imebarikiwa namahubiri yako
Cheza kiyunani kama mimi au siyo pamoja sana masanja
Wanao penda hii nyimbo kama mimi wagonge like hapa tujuane!
Irumva Donciella
Kanum! B
Unataka kucheza kigalatia😂😂
Masanja ww ni mbunifu Mungu akutunze
Irumva Donciella p
Hime ni fundisha vingi sana
Mungu ambariki sana
Kama utaiangalia 2020 gonga like APA chin⬇️⬇️
honger mtumishi wa mungu!
Wooooow uyoo ni ye ye yesuuuuu ni ji ji ji Jesus nimeupenda brother bllesed
uyo ndio masanja mbunifu anatoa kile usicho kifikilia
masanja nimeikubali nyimbo yako
mikasa tv kweli Kabsa
Unaonaje ukiigiza full movie ya yesu gonga like hapa
Umeona eeeeh
daaa kwel umezaliwa na ubunifuuuu gonga like hapa
short and clear😂😂😂😂😂😂😂🙏🏽
Masanja wewe ni baraa katika nyimbo zako zote hii ni komesha nikiisikiliza najisikia vizur na haka kabeet kazuri Sana utafikili watu wa Kenya Mungu akubaliki Sana Kama umebalikiwa sema amina
Kama umetabasamu au kucheeeka kama Mimi gonga dole LA like plz
Sikutazama kabla huu wimbo nimetazama Leo ni zaidi ya wimbo pia nizaidi ya filamu so ubunifu mzuri sana MUNGU akubaliki kwa aina ya ubunifu wako injili lazima isonge mbele.
Waaaaaoh Masanja ubarikiweeew
Kama unamkubari masanja gonga like
Good job ....My God bless you !!! brother Masanja mkandamizaji toka nikujue hujawahi niangusha.
Wanaume wakiwa katika mavazi halis ya kiume.... nimebarikiwa sana na wimbo huu
Nimebarikiwa.sanaaaaaaaa
Hiv kwa nn tusiwe na sinema ya Yesu ya Kitanzania, ni wazo tu, after all Yesu hakuwa mzungu alikuwa ni brown
Yesu alikuwa?
Kama unairudia-rudia hii kui wochi mwanawane gonga like Nikuone (Short and Clear) uwiii hahaha tomaso nimependa naonaaaa....
Kupitia wimbo huu nimejifuza mengi sana ubarikiwe sana
Mungu aliejuu azid kukuinua zaid maana nimeamin Mungu anakutumia sawasawa barkiwa sana short And clear
Ulieangalia kwa kurudia gonga like
Nakupenda sana was kunyumba hongera sana
je ni halali kuangalia huu wimbo mara kumi SHORT AND CLEAR
de mau TV Hahahahhahahha
de mau TV mi mwenyewe kila nikipata MB nauangalia
Aise huu wimbo mzuri sana yan unafuraisha na ina ujumbe mzuri ndani yake nice song
Gonga likeeeeee jmn nmeipenda sana hii video
All of you who are watching this video be blessed and inspired
Thanks masanja be blessed bro
Aamen mtumishi maneno ulioyoyatumia nimeyaelewa saaaana
Haaaaaa haaaaaa oyaaa wee Anae mkubali huyu jamaa agonge like hapa
Kwani ilifikaje hapa?
Naam,,,, chezakigalatia, au kiyaudi short and clear, basi kiyunani, nauzidi mtumwa wa Bwana.🇹🇿
SHORT & CLEAR NICE ONE LIKE TULIA TULIA KWA BWANA..........GONGA LIKE KAMA UMEGUSWA KAMA MIM
Lakini masanja akili zako Mungu ndio anazijia mwenyeweeee aiseee stay blessed broo
Nelson shukran w
Wanyama
Short and clear kweli . Likes basi ili twende sawa
Huwa nakuelewa sana street pastor Masanja hongera kwa guwimbo guzuri mwanawane ubunifu wako umejitofautisha sana
Nikajua mapigo ya Mr ong'eng'o 👏👏👏👏👏👏 safi sana
Eeeh Mwenyezi Mungu tujalie vinywa visivyo na maneno mengi Kama Bwana wetu Yesu kristo.... yaani Short and clear... Asante mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgaya
Noma sans
Nategemea kuona viewers 5M na zaidi
nyimbo iko tamu atafikisha
Dini ya kikiristo ni nzuri sana kwa kufanyia biashara.
Hakika masanja umefanya ubunifu mkubwa. Hongera Sana Mungu azidi kukuinua
Uliimba yimbo nyingi tena nzuri ila huu nikiboko yao ....... barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. Ujumbe huu umefika 🙏
Nyimbo hii unaweza ikakushikia dhamana polisi,n mahakaman
Yote kwa yote nyimbo nzuri Sana m bunifu sana wee mtu
Jamani Mungu akubariki Emanuel nimeuona Leo tu nakujihisi kama nakumbuka kitu flani cha zamani
Hii ndo nyimbo ya masanja bora kabisa kuwahi kutengeneza. Hongera sana
Tunahitaji vitu kama hivi katika tasnia ya Mziki wa Injili🙏Saafi kabisa Masanja God Bless You🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sam Marcus Asante Sana
Mbarikiwe kazi yenu ni njema
masanja umetisha hii niite tz one kwa jina la yesu
I am in Kenya I have appreciate it. Be blessed brother.
Hii kweli #masanja ni injili mpya kwa kizazi kipya nime barikiwa na nime Cheka nilikuwa na stress nyingi
we masanja japo wimbo umenibariki ila nimekuwa nikicheka kuanzia mwanzo wa wimbo mpaka mwisho nimekuelewa nivile tu nawe unielewe short and clear.we bonge la mbunifuu barikiwaaaaaaaa shoti endee kiliaaa.
Daaaaah bonge la song. Miaka kama yote nakuelewa sana.hapa nacheza kigalatia,. Kiyaudi, na kiyunani
Hahahahaaa
Yaaaani hapa ni shangwe tu
Bro,we first kwa comment yako
@@DiCulture ni fireeeee
@@heppyshila31 💃
Dah Ila Nakuelewa sana, unaisambaza Injili kwa aina yake kabisa. Mungu na akuinue.
Mzee huu wimbo mie niliuona tu,,, nikajua nomaa. ...umeua sana masanja, ,, gonga like twende zetu
😚😃😃Mungu akubariki sanaaa.
Jamani masanja.. iyo biti ya kijaluo😁😁
Jama,jama! katitu za kiluo kabisaaa
Short and clear.
I love this song i will be waiting for the full movie
who else thinks this should be a movie 🙌🙋 😍😍😍😍😍😍
Unaticha sana wangu ubarikiwe
Hongera sana mtumishi wa Mungu zidi kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana atakupeleka viwango vingine vya juu na kukupa mafunuo mapya ya kujenga ufarume wa mbingun ubarikiwe
Hiyo cheza kigalatia imeniacha hoi sana BE BLESSED MASANJA
mh Allah wondoe waja wako katka ukafiri
Umeonaaa
Wewe achana na sisi,beba mzingo yako mwenyewe
Tulia wewe Mungu hafundishwi kazi na mwanadamu,kafiri unamuona wewe ila Kwa Mungu ni mtumishi wake na anamuheshimu.
Amina
Nyimbo unazozitoa mgaya hua sichoki kuzisikiliza, ubarikiwe zaidi ndugu
Mzeee umetish bonge la bit nimelipenda
Kiukweli Ngosha, unatumia akili pana sana kutengeneza kazi zako. Karibu sana Magu-Mwanza
Waoooh nyimbo nzur izonguo tu mmeniacha hoi Mm
Safi sana masanja nyimbo ya ubunifu na kuitangaza injili video nzuri sana kabisa ya uwalisia kweri kipaji chako kizuri sana
Huu wimbo ni zaidi ya ubunifu!
Endelea kubarikiwa pastor
Kinyamagoha Amelye T
Powa sana mchungaji
Haya bana uwepo wa Mungu ndani yako unaanza kuonekana
Jamaa anajitahidi kutafuta pesa za wasio jijua zinaingia mfukoni mwake ..hongera kwa ubunifu wa kurafuata pesa
Umeitendea haki kaka.....hongera pia kwa director onessimo
Haya wajina, mungu akubariki bro, kwa kazi nzuri hakika ujumbe umefika
Hongera mtumishi nimefurahishwa kile Mungu ameweka ndani yako,safi sana
Nakupongeza San Kaka mungu akujarie zaid umebuni kitu kizur San hongera san
Daaaaah jaman Bro. Masanja aiseee kazi njema sana😂😂😂😂.
**KUBALI TU**
Nimependa yaan umechukua uhakisia kabisa, barikiwa sana kaka Masanja, INJILI LAZIMA IHUBIRIWE, na wataelewa tu
Its so nice Song Nmeuelewa huu wimbo
😘😘😘 i love this song short and clear
Uko vizur Sana
Hahahaaaa! Step ya kiyunani sijaona mtumishi. Ubarikiwe sana mtu wa Mungu kwa ujumbe huu wa injili.
Masanja noma
Yani nguo za kiislam. Na vilemba kumbe muonekano uislam toka enzi na enzi.mabadiliko yamekuja nyuma tu
Sante kwa ujumbe mzuri short the clear
hahahaaa kaka Emmanuel mungu akubariki sana short and.......
Wangapi wamekuja kuona nyimbo baada ya kuona mavazi tu...??
god bless you brother i can't stop listening this song short and clear from united states
Jamani kaka Masanja njoo Zanzibar jamani nimekupenda bureeeee utanifanya niokoke jamani
Haya ndo maneno masanja achana na hbr za mkoa Kwa mkoa
Stay on Bless Pastor Masanja.
Nakukubali
Short and clear
Nasikiliza zaidi yamara moja asante
Napenda sana hii nyimbo, barikiwa mtumishi.
Big up sana brother #mgayaemanueli you are so creative and you will always remain on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nyimbo ya 1878 naiskiliza today 2019 mwanawane
short and clear wow nice song masanja mungu akubariki
duuuu mungu akubariki sana wala sikutegemea (umetufundisha sana)
Wow wow wow! Short an Clear
Glory an Honour to u Jesus
Hakika masanja Mungu azidi kukuinua
Levina Muhonge nic
ka wimbo kazuri
kana vionjo vya old is gold
kamejaa ubunifu
BIG UP STREET PASTORS
Kuimba ni Ibada hongera sana Mungu azidi kukufanya uwe kioo cha jamii Masanja!
Yn kweli kila mtu ana karama yake mungu akupe atua nyingine
Masnja sio kwa kipaji hiko barikiwa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
aisee Masanya yaani unazidi kumuaibisha shetani . safi sana MUNGU ndio anakuongoka maana kazi unazofanya sio kwa uwezo wako . na mwanadamu yeyote pasipo mungu haiwezi hio kazi .