UTACHEKA! CHID BENZI AKIMZINGUA YOUNG LUNYA - "WEWE UNAPIGA KELELE, YOUNG KILLER ANANONG'ONA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- UTACHEKA! CHID BENZI AKIMZINGUA YOUNG LUNYA - "WEWE UNAPIGA KELELE, YOUNG KILLER ANANONG'ONA"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
😂😂😂😂chidi ni chizi sanaaa
Chid anawakomeshaaaaa presentar
Chid amempa maua yake young lunya kuwa ni mkali kuliko madogo wengine,ila kaiongea kiutu uzima kuwa atokee mwingine apige kelele kumzidi lunyamila....
Kumuelewa Chid weka pembeni maisha ya madawa na scandal zingine alizopitia hapo kitambo
Umeiweka sawa sana sintoComment tena
Unajua kumuelewa chid kama navyomuelewa mm chid kumuelewa uache kutumia akili ndogo
Imani yangu brother chid benz kila jambo na wakati wake
Chid anajuwa sana yani kawachana kweli madogo
Chid anafurahia yeye siku kama hizi za wasafi festival inakuwa siku zake za maokoto tu 😂
Siku Chidy mpaka amtakanie mtu mama ake wapigane ngumi ndio mtajua kuwa kichwa chake sio kizima mtakoma kumpa enterview
Chidi Amemtoa Lunya mchezoni
Chid midawa ijamtoka akili zake zimeruka uyoo
Nikweli wengi hawatoelewa lunya anapiga kelele
#Luny sio mwan rp ni pumbu to
Refresh
Lunya Rashid na Chid Rashid
Weweeeeeeh
Ukweli ni jambo maana sana, asant benz
Acheni uongo Mbuzi ni Polo G peke yake
Hivi haiwezekani watu kutoongelea Ulevi? Hata tusiwe na vibe..mnapatia sana
Fanya yako brother miaka 💯
Atakayeza kupiga kelele Ili mbuzi aonekane ananong'ona ni Fid Q tu
eti uyu anapiga kelele😅
Hahaha km una akili utamuelewa chid ana maana gani ndio maana aakasena kuna makelele na kunong'ona
Anapiga kelele kwelikweli uyo mtt na Chidi ni msema kweli,,
Mje na songea wadau ni wengi sna hku wasafi festival
Lunya ni mjanja mjanja sana
Kwa Mwenda-wazimu kumeingia Mlevi 😁
Nambieni Killer kapata tuzo mbona mwenzake kapata?😂😂😂
Labdaaa mzik ulikuwaaa ujaanzaa kufatiliaaa alichukuaaa tatu tuzo za kili
Killer anayo tunzo labda we si mfuatiliaji
Pia unapaswa kujua kuna wakali wengi duniani hawana tuzo kwa bongo tu hapa mfano Mr Blue hana tuzo
Killer amebeba tuzo 3
Wazee mnasema jamaa ayupo sawa wakati anatumia akili kubwa kuwazidi wengine semeni tuu hamna uwezo wa kumuelewa uyu jamaa
Young lunyamila👏👏👏👏👏
HUYU JAMAA BWANA MLEVI 😅😅😅
Madogo wanamuogopa sana chid
😆😆😆
Mmmh ila hili
Yangkunyaaa
Espekshari 😂
Interview imeingiliwa na mlevi anaejiona kila cku yeye anajuw wakat mda wake kaumalizia kwenye madawa, hana utani anamchukia young lunya, me nitasimama na lunya mpka kufa, TEAM LUNYA TUNAOMBA LIKE
Achakupaniki mzee hao ni watani punguza mihemko
Khaaaa wew unaakili wewe?wakati mwengine kabla ya kuongea jaraibu kujitafakari kbl ujaongea,hao watu nk watani ttzo lenu mnapenda san kuchukulia vitu person,unaboaaaa
Kuma la mamako ww unadhani uyu km msenge
simama na familia yako
Wewe ched noma lunya hamna kitu
Chidi kaongea kweli
Chidi niliamini utabadilika baada yakutoka soba lakini nikama vile ulishajikatia tamaa sasa hata sisi mashabiki zako unatukatisha tamaa na kutufanya tuamini kwamba ndo maisha uliyochagua kwa sas
Achana na yalopita focus na yasasa babu sonaona chuma karudi now
Tunakubali kazi zake sio ishu binafsi
@@michaelthobias9967 ungeelewa nilichongelea basi usinge replied upumbu km huo fuck bando lako la mkopo wewe
Expesaly!! 😮
Especially
Duh
😂😂😂😂uyu Raila wetu
MBUZ 1
duuuh hii atar
umeishusha 26 kuwa smart chid.
huyu chid akili zake haziko sawa bado analopokaga sana angeachana na bangi seriously lakin kwa hii style huyu bado haja settle kabisa ni walu walu anaweza ongea chochote popote
Chid❤😊
Ok
Huyu jamaa kashadata
3:00 😂