Dunia nzima Kun maasi ila nazungumzia Tanzania jmn wazazi walezi wasimamizi viongozi rais serikali kwa ujumla turudi katika mila za hekima na ustaarabu na heshima na kumuabudu Allah ila tunapokwenda ni kiama kubali kataa
what a sad, very touching ukimxklza bro anazungumza too emotional to the extent km analoose hii inaonesha ni jinc gan yupo sad pole sana kk mungu akupe nguvu
Hawa wenzetu walipatwa na hali hii sio Wahanga bali ni Waathilika kwa Mafuriko. Muhanga au Wahanga ni waliojitolea wenyewe kupatwa na lolote litakao kuwa tayali aidha kwa maslahi nk. Poleni sana ndugu zetu
Huyo jamaa aliokolewa na mtoto aliyembeba, vinginevyo angejaribu kwenda kumuokoa mkewe, wangepotea wote. Pole sana kwake na wahanga wote waliopoteza wenza, ndugu jamaa na mali zao.
Aibu uandishi wa aina Hii:::Badala ya ‘Mke wangu na jirani yangu wamesombwa na maji’…..sasa wewe unasema….kwa uandishi wako Ina maana…jirani ndio kama ombi mkewe
Kiukweli Japo Kifo Ni Amli Lakini Kinapotokea Kwa Mtu Unaempenda Kinauma Sana Sana Sasa Kama Uyu Waliokwenda Ni Familia Ya Kiuno Chake Waza Kiasi Gani Jamaa Amejawa Mawazo Moyoni Tena Sio Kusikia Wanaenda Akiwa Anawaona Inatakiwa Wapatiwe Watu Wa Saikolojia
Serikali inabidi ifanye maamuzi magumu ya kuwaondoa watu wote mabondeni. Sheria za Nchi zipo wazi kuwa HATURUHUSIWI kujenga sehemu hatarishi ikiwemo mabondeni. Tuache siasa tuokoe maisha.
Kiama kimefika sasa dunia nzima kila sehemu miji imejaa maji dubai, zaidi ya miji mitatu , kenya miji mitatu Tanzania daresalama, mwanza ,mbeya milima imeporomoka tope limesomba majumba
Huyu kaka mnamhujo tu lakini yupo confused saana jamani.Mungu amtie nguvu
Kweli hata anavyoongea inaonekana hayupo sawa kiakili.
Pole ndg yetu, Mwenyezi Mungu akutie nguvu ktk🎉 kipindi hiki kigumu.
Nmeshikwa na huruma sana. Mungu msaidie huyu ndugu yetu. Mambo yaliyomkuta yanaumiza sana
Nvua kubwa san
Dunia nzima Kun maasi ila nazungumzia Tanzania jmn wazazi walezi wasimamizi viongozi rais serikali kwa ujumla turudi katika mila za hekima na ustaarabu na heshima na kumuabudu Allah ila tunapokwenda ni kiama kubali kataa
Kweli kabsa tumehama kabsa tunasema tunaenda na kasi ya dunia tunapotea sana
@@miriamnyakunga624 kweli hususan kwa wanawake unajua nn kuhusu wanawake
Mimi nakubali Allah atusameh
@@sihabaaly287 utaniambia wanawake mnafele wapi mpk tabia zinabadilika
Tupopamoja kwahilo
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alikufuru juzi kati. Sasa hayo mafuriko yamefika!!! Mungu hadhihakiwi! Poleni sana waathirika na wahanga wa mafuriko.
Poleni sana, Mungu awafariji. Roho zao marehemu wastarehe kwa amani. Amina
Dah!! Pole sana jamaa angu Mungu atie nguvu!!
Pole baba
Pole sana kaka Yani Mungu akufariji sana.
Ila nyinyi waandishi huyo kaka maskini hayupo sawa mnaenda kumuhoji ipo siku mtakuja kuchinjwa nyie 😢😢
Pole sana kaka Milard weka namba tumchangie😢
Subuhanallah. Pole kaka Allah akupesubra. Ghafuatu jamani pole
what a sad, very touching ukimxklza bro anazungumza too emotional to the extent km analoose
hii inaonesha ni jinc gan yupo sad
pole sana kk mungu akupe nguvu
Hawa wenzetu walipatwa na hali hii sio Wahanga bali ni Waathilika kwa Mafuriko. Muhanga au Wahanga ni waliojitolea wenyewe kupatwa na lolote litakao kuwa tayali aidha kwa maslahi nk. Poleni sana ndugu zetu
jamani poleni wahanga kutoka mwanza mungu awasaidie
Huyo jamaa aliokolewa na mtoto aliyembeba, vinginevyo angejaribu kwenda kumuokoa mkewe, wangepotea wote. Pole sana kwake na wahanga wote waliopoteza wenza, ndugu jamaa na mali zao.
Pole shemeji yangu mungu akutie nguvu umepambana sana ila mungu ndie muamuzi wa yote
Innallilah wainna ilah rajion...pole kaka dah!
Maskin huyu kaka kachanganyikiwa😢😢
Jaman maswal ya siwe meng muachen unauliza vitu wakat wamepotea watu
Innalilah wainnalilah rajiuun! Pole sana Kaka!
Jaman 😢inaumiza inaumiza Sana eeh Mungu wambinguni turehem ,,mtie nguvu huyu kaka
Pole sana ndg Mungu akutie nguvu wewe pamoja na mwanao
Pole sana masta 😢
Pole ndugu.tuko nyakati samwisho kifo Kila mahali kimetukondolea macho
Chochote kkkufka mtangulze MUNGU iwe kher au shal, polen sana kwa mtihan!
😢😢😢 duuuuh huyu kaka anaongea kwa uchungu
Poleni Sana jamani
Sana jamani😢😢😢😢
Poleni sana jamani, hayo maeneo kando ya mto hayafai kwa makazi ya watu ni hatari.
Allah akutie nguvu kaka na famili kiujumla
Aisee! Inahuzunisha.Mungu mtie nguvu huyu kaka Yarabb
Yaaan pesa walizochangiwa taifa stars wapewe hawa
Aibu uandishi wa aina Hii:::Badala ya ‘Mke wangu na jirani yangu wamesombwa na maji’…..sasa wewe unasema….kwa uandishi wako Ina maana…jirani ndio kama ombi mkewe
Innalillah wainnaillah rajiun Mwenyezi Mungu awawekee mahala pema
Amiin
Dah bro mungu akupe subra amiina yaraby alamina
Yani kama nyimbo ya diamond yatapitaa😢😢😂😂 kama masihara
polen sana ndugu zangu mungu awatie nguvu
Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi kwenye hili
😢😢😢dah ukweli dar sio kwetu maskin tuende zetu pwan kweny tambalale
Mvua hii ya 2024 imeacha majanga sehemu nyingi. Jipe moyo ndugu,pole kumpoteza mpendwa wako
😂😂😂😂😂😂
Jaman pole sana kaka
Poleni sana😢😢😢😢😢
Pole sana mwanangu mungu akufariji
Pole dear
Pole ila kindendemesi ni nini?
Pole Sana 😢😢😢Ee Mungu tunaomba mvua za Aman
Amiina jaman
Mwenyezi mungu awafanyie wepesi
Pole sana kaka, ina maana mbaka sasa hawajapatikana?
Pole sana brother
MUNGU MKUBWA POLENI SANA NDUGU ZANGU KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA.
Pole sana
Pole sana ndugu yangu ase mwenyezi mungu akutie nguvu broo
InnaLilah wainna Illey Raji'un
Daah pole sana kaka Allah akutie nguvu
Poleni sana ndugu zetu😢😢😢
Lakini mbona bado yupo hapo tu hafanyi juhudi yoyote yakumtsmafuta mkewe
Pole sana ndo wakat wao umefika Mungu akupe nguvu we kaka
Poleni sana wapenda
innalillahi wainnaillahi rajioun
Daaah poleniiii ndugu zetu😢😢
Pole Sana Allah anamakusudio yake
GOD HAVE MERCY
Pole Sana mzee
Pole sana kaka
Allah nimkubwa akupe moyo wa subra
Du too pain unaona mwenzako anaondoka kabisa inauma sana.
Pole sana sana jamani😢
Pole sana ndugu 😢
Daah... Sikia tu kwa mwenzako...
Pole kaka
Subuaanallah
Pole sana kaka doh hatari wallahi 😢😢😢
Duuuh ni huzuni sana 😢 pole sana
Pole kaka angu jamab😢
Inasikitisha sana
Saaa basi muwe mnatoa hata number za kuwafikia hawa wahanga ili watu walio guswa wasaidie...kumpa mtu pole hasaidii chochote....
Nimejikuta nalia 😢
Wamechoka mikono pia walishtuka mikono ikaachia😢😢😢😢
Poleee
Huyu ambipu mungu ni mwongo mtazame vizuli Mii nacheka tu mwongo jaaa
Dah polen xna ndg zetu 😭😭😭.
Mungu wangu lini iyo mafuriko
We mtangazaji matako sana, mtu amepoteza mke wake afu unamuuliza tena kapoteza mali zipi
Mungu wa rehema awape Faraja
Kiukweli Japo Kifo Ni Amli Lakini Kinapotokea Kwa Mtu Unaempenda Kinauma Sana Sana Sasa Kama Uyu Waliokwenda Ni Familia Ya Kiuno Chake Waza Kiasi Gani Jamaa Amejawa Mawazo Moyoni Tena Sio Kusikia Wanaenda Akiwa Anawaona Inatakiwa Wapatiwe Watu Wa Saikolojia
Poleni sana
Subhanallah 😢
Mungu amsaidie jamani ah
Pole saana komaa ndio maisha shukuru mungu
mungu ukupe maisha marefu pole xna kaka
Pole sana Mungu hawaremu
Serikali inabidi ifanye maamuzi magumu ya kuwaondoa watu wote mabondeni. Sheria za Nchi zipo wazi kuwa HATURUHUSIWI kujenga sehemu hatarishi ikiwemo mabondeni. Tuache siasa tuokoe maisha.
Unauhakika haya mafuriko ni ya watu wa mabondeni
Hao sio wabondeni.
Wapo karibu na pembezoni mwa mto.
Maji ni mengi sana.
Hata town maji hujaa sana mvua zikiwa kubwa.
Inna lillah wainnailaih raajiuun.
Pole broo
Kiama kimefika sasa dunia nzima kila sehemu miji imejaa maji dubai, zaidi ya miji mitatu , kenya miji mitatu Tanzania daresalama, mwanza ,mbeya milima imeporomoka tope limesomba majumba
Pole ndugu mungu yupo nawe vumilia ndio mitihani ya mungu
Mwee poleni sana😢
Pole sana kaka😢😢😢😢
Subhannallah subhannallah jamani naogopa .mimi sehemu kama hiyo sikai bora niende nje ya mji
Pole sana kijana mwenzangu
Sasa broh unaulizia vitu tena wakati kuna watu wamepotea hapo