Asante Mungu kwa ajili yako, niliitamani sana channel yako man of God, ubarikiwe sana dada, ulitukomboa na utazidi kutukomboa, nawaasi tu wenzangu tuendelee kusikiliza zaidi na zaidi ili tuzidi kujikumbusha yatupasayo zaidi na zaidi ili tuweze kumshinda yule aliyekinyume nasi, mbarikiwe wooote mnaopenda mafundisho ya Mungu. Amen
Am so happy Mwalimu Grace kujua una channel sasahivi. Kuna mahali nilivushwa na mafundisho yako 2017 yaani, uliacha alama kwangu. Mungu aendelee kukutumia kwaajili ya watoto wake.
Mungu awabariki watumishi wake kwa kukubari kuitwa na mungu naamini hata Mimi mungu ataniita nitakuwa mumoja wa watumishi wake na kupepelusha bendela ya yesu tena kimataifa I connect you're Grace pastor
Nakupenda mwalimu ,nilikutafuta TH-cam kwa majina yote,,ubarikiwe ulinifundisha kuomba kushughulikia viti vya enzi vya mitaa,,jaman niliomba ulikuwa mwaka 2017,azania Front ,,,barikiwa.Mwalimu naomba namba yako.
Yaan furaha niliopata baada ya kuona Chanel yako Mungu anajua..nakupenda sana ulinifanya kuwa mwanamke mwombaji a prayer machine mpk sasa navusha na wewe kama Mimi nilivyovuka kutoka utumwani..ubarikiwe sana
Asante Mungu kwa ajili yako, niliitamani sana channel yako man of God, ubarikiwe sana dada, ulitukomboa na utazidi kutukomboa, nawaasi tu wenzangu tuendelee kusikiliza zaidi na zaidi ili tuzidi kujikumbusha yatupasayo zaidi na zaidi ili tuweze kumshinda yule aliyekinyume nasi, mbarikiwe wooote mnaopenda mafundisho ya Mungu. Amen
Am so happy Mwalimu Grace kujua una channel sasahivi. Kuna mahali nilivushwa na mafundisho yako 2017 yaani, uliacha alama kwangu. Mungu aendelee kukutumia kwaajili ya watoto wake.
MUNGU AKUBARIKI NA AZIDI KUKUINUA. NAFARIJIKA SANA NA MASOMO UNAYOTUFUNDISHA. YANANITIA NGUVU NA KUSONGA MBELE. MUNGU ALIYE HAI AKUBARIKI SANA.
Mwl. Umenifundusha kuomba, Mungu akukumbuke akubariki ajibu pia maombi yako.
Ahsante sana mwl kamanda mwenzangu,,umenifundisha kuomba na kushinda
Mungu akubariki mwangu Kikarara tuna kumumbuka Kila leo
Ahsante Yesu kuijua chaneli hii Mara ya mwisho nilihudhuria semina yako ubungo kkkt nilivushwa Sana Mungu akubariki mtumishi
Mungu awabariki watumishi wake kwa kukubari kuitwa na mungu naamini hata Mimi mungu ataniita nitakuwa mumoja wa watumishi wake na kupepelusha bendela ya yesu tena kimataifa I connect you're Grace pastor
Mwalim nimebalikiwa sana naomba nifaham unapo fanyia huduma
Mwalimu Nmefurahi kukusikiaa tenaaaaaaa!! Muda mrefu sanaaaaaaaa!! Nmeshasusraibu tayariiiiiiii
MUNGU BABA aendelee kuachilia neno lake kwa wingi ndani yako ili watu wake walioitwa kwa jina lake WAKOMBOLEWE!
Mungu Azidi Kukutumia
Nimeanza kuelewa zaidi Neno la Mungu na kuliangazia maisha yangu . Mungu aendelee kukubariki Mwalimu Grace .
The favor of God almighty closes the wrong doors and open the right doors. Mungu aendelee kukusimamia. Asante kwa somo zuri.
Nmebarikiwa Sana na somo
Nimebarikiwa sana na mafundisho..naomba mungu anifungue mimi na familia yangu mwaka 2021 uwe ni mwaka wakufunguliwa kwetu na uwe mwaka wa raha..Amen
Naskia vizuri Mwalimu...Dubai tunakupenda sana....somo kali hii and very Timely
Mwalimu Bwana akubariki sana.umenena na maisha yangu
Hallelujah
Mwalimu ahsante mno. Mafundisho yako yamenisaidia kuomba vizuri.
Asante mtumishi kwa neno la ukombozi wa maisha yangu kupitia ardhibarikiwa
ubarikiwe Mwalimu kwa ujumbe huo
Hongera sana Mungu awe nanyi
Mungu akubariki kwa huduma yako nzuri mwl
MUNGU BABA aendelee kuachilia neno lake kwa wingi ndani yako ili kupitia ww watu wake walioitwa kwa jina lake WAKOMBOLEWE!
Mungu azidi kukubariki mwalimu Grace nabarikiwa sana na mafundisho yako.from Holland
Barikiwa mwalimu
asante mwl nakusikiliza sana Moshi
BWANA wetu kristo yesu
Akubariki sana kwauduma ihi.
Ninakupata toka kigoma kasulu
Kwenye kambini ya wakibizi
Amina
Kwa mara ya kwanza nimekuona hapa LONGUO MUNGU AKUTUNZE MAMA YANGU
Bwana yes niponye ili nitoke ktk madhabahu ya ukoo
Nakupenda mwalimu ,nilikutafuta TH-cam kwa majina yote,,ubarikiwe ulinifundisha kuomba kushughulikia viti vya enzi vya mitaa,,jaman niliomba ulikuwa mwaka 2017,azania Front ,,,barikiwa.Mwalimu naomba namba yako.
Ameeeen
Yaan furaha niliopata baada ya kuona Chanel yako Mungu anajua..nakupenda sana ulinifanya kuwa mwanamke mwombaji a prayer machine mpk sasa navusha na wewe kama Mimi nilivyovuka kutoka utumwani..ubarikiwe sana
Amen! Mungu akutumie zaidi na zaidi, barikiwa Sana.
Ubarikiwe Mwl Grace kwamafundisho yako
Barikiwa sana mwalimu!naomba mtume kila mafundisho yenu mnayofundisha!ee mungu ckia neno hili!lipate kibali machoni pako!
Mwalimu nimependa kazi yako ... Mimi nahitaji mawasiliano yako
Asante mtumishi mungu azidi kukutumia amèni.
Asante kwa kuwa baraka kwa wengi wetu Mwalimu
Barikiwa mno mwalim nilimis mafundisho yako
Upo vizuri sana ubarikiwe
Amen..Mungu akubariki Mwalimu,asante kwa somo
Mwalim Grace nilikusikia miaka kadhaa iliyopita na baada ya hapo nikapoteza mawasiliano na wewe. Nina mengi ya kukushuhudia.
#OneMinute4Jesus
Ameen
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.
Amen barikiwa
Barikiwa sana kwa somo zuri
Barikiwa mtumishi wa BWANA
Mje musoma pia mungu atoe kibari
Asante kwa mafundisho haya mazuri naomba utuwekee namba ya kutuma sadaka au labda ipo sijaiona
Mtumishi unanibariki sana
Nime barikiwa Sana mwalm
God Richly Bless Mwalimu 🙏🏽! Powerful teaching!
Mwalimu ubarikiwe nimepata lakwangu
Mungu aendele kutenda siku Hadi siku.
Iam Really blessed maam,iam Gonna pray seriously without wavering .God richly bless you woman of God.
Barikiwe mtumish
Waoooo,amen Mtumishi. Barikiwa sana
Bwana azidishe neema kwako amen
Nakusalimu kutoka RDC butembo NR kivi
Nabarikiwa Sana Sana Mungu awabariki
Asante kwa mahubiri mazuri
Ubarikiwa Mwl Grace
Barikiwa Mtumishi
Barkiewa mwalimu
Hakika umenifungua mtumishi wa Bwana.
Mtumishi natamani ufike nyumbani kwangu
2 Timothy 3:12, NIV: "In fact, everyone who wants to live a godly life in Christ Jesus will be persecuted,"
Piga injili mama.
Barikuwa Mutumishi
Amen Amen 🙏🏼
Am so blessed mum you have help me so much
Mwali niliisubiri sana hii Chanel yako
Mama naweza kukupata kanisa gani....kwa maeneo ya Dar...
Au yoyote anayejua ni wapi anapohudumu
Barikiwa mwalimu
Ameen
Amina
Amina