ARDHI INASIKIA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- EZEKIELI
22:24-2524.
Mwanadamu, uiambie nchi, Wewe u nchi isiyotakasika, wala kunyeshewa mvua siku
ya ghadhabu.
5.Fitina ya manabii wake imo ndani yake, kama simba angurumaye akirarua mawindo; wamekula
roho za watu; hutwaa kwa nguvuhazina na vitu vya thamani; wameongeza idadi ya wajane wake
ndani yake.
Nimeona matokeo makubwa sana kwenye maisha yangu juu ya kuisemesha aridhi nikiwa naomba kiukweli inasikia
Mafundisho yako yamekua Baraka maishani mwangu mtumishi wa mungu, barikiwa Sana.
Mungu nimwema Sana, umefundisha jambo kubwa Sana kwangu natamani ungeniruhusu nikupigie tuongee uniombee pia mtmsh wamungu,Mimi Niko Moshi Kilmanjaro naitwa Lightness Msuya,
nimekuelewa PASTOR SUNBELLA KYANDO, kwamba deal na chanzo na sio kudeal na matokeo.
Nataka kila ardhi ntakayo ikanikanizalie utajiri in name Jesus Amen
Naibarik na kuikomboa ardhi iliyobeba kazi yoyote ya Mikono yangu kwa Jina la Yesu
Kwa mafundisho haya nafikiri mm ni zaidi ya mpapai dume. Ee Mungu usiniache.
Napenda mafundisho yako kanisa lako Niko wapi Arusha niende
Mungu anisaidie, kujua namna yakuisemesha ardhi🙏
Amina Neno linapenya moyoni
Amen Amen ahsante Bwana Yesu Roho Mtakatifu ahsante neno la wakatisanaa barikiwe mno Mtumishi wa Mungu.
❤❤❤❤ Amina
Mafundisho mazuri ya kiroho zaidi.
Mungu akubariki Pr
Amen baba
Amen
We mungu naamuru kwa jina la yes naamuru uchawi I wowote uliotupwa kwanye ardhi ninayiopita ninaporudi nyumbani huo uchawi ukaharibike
Amen mtumishi barikiwa sana
Amen
amen
❤
Eee mungu kwaimani mponye Emanueli mnyogele arudi kwenye mikono yangu Ameni 🙏 mungu mfungue bitrisi huko aliko arudi nyumbani halaka ameni kwaimani mungu niponye magojwa yote mwilini mwangu ameni napokea uponyaji Mimi magreth laston leo
Ubarikiwe sana mtumishi❤️
amen
Batikiwa Mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿
Amina mtumishi wa MUNGU,kwa mafundisho yako nimebarikiwa mno
Mambo nnayopitia na Familia yangu mchungaji mungu akuguse useme na sisi is too much
Nimeelewa sanaa
Mungu atusaidie
Nahitaji kufundishwa Niko tayari kufundishwa
Napenda sana unavyo fundisha neno ubarikiwe sana mtumish
Asante Mungu Baba kwa maarifa haya nisaidie daima kuangalia kanuni na taratibu za kiroho. Amina.
Nakubari sana
Amen mutumishi wa MUNGU kweli kabisa
Amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
Amen
Amen mtumish mafundisho yako ni Zaid ya fimbo
Ubarikiwe sana man of God
Barikiwa Mtumishi kwa mafunio
Amina baba mungu akubariki
I'm blessed and learned a big lesson Amen
Bwana akuongezee baraka
Unanipa tumaini kubwa
Amen
Mmmmh mbaka nimeogopa
You blessing me pastor
Amen, Mungu ni mkuu sana.
Amen amen amen
Amna
Mungu akubariki Sana mtumishi naomba unisaidie namba yako ya simu tuwasiliane mtumishi
0657173322 tuma ujumbe
@@pastorsunbellakyando sawa natamani Sana nikupigie mtumishi wa Mungu
@@pastorsunbellakyando
Amina
Asante Baba
Ameeeeeen man of God
Amen
Amen amen 🙏🙏
Hallelujah
Amen 🙏 🙏 🙏
Amen
Napenda uvo fundisha pst naomba nipate WhatsApp number yako
Amen
Amen
Amen
Kuna kitu nami nimepokea