#EXCLUSIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 มิ.ย. 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

ความคิดเห็น • 136

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 13 วันที่ผ่านมา +11

    Nyimbo kali zipo nyingi katika album, ila nazikubali 1.nitasimama tena Ft Abiud
    2.Nishaachana nae Ft Phina
    3.Namuachia Mungu Ft Appy
    4.Naskia Harufu ft Chid Benz
    5.Nakuja Kwako ft One Six

  • @BingwaboyPepeleboy
    @BingwaboyPepeleboy 6 วันที่ผ่านมา +2

    big artistes in rap

  • @omolomaxfitnessbodylifetim8252
    @omolomaxfitnessbodylifetim8252 10 วันที่ผ่านมา +1

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤Msanii wa Rwanda aliyesemwa kufariki alikuwa anaitwa Ivan Bravan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤. Big up from Kigali. Ila kama Nasikia harufu vile😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d 11 วันที่ผ่านมา +1

    Roma ni Artist mwenye Akili kubwa mnoo! Binafsi Naamini ili kumwelewa vizur inahitaji Mtu uwe na uwezo mkubwa wa Akili na Fikra. Lakini ukiwa na Akili ya Kawaida ni ngumu sana kumuelewa.

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 8 วันที่ผ่านมา

    Unaakili sana nilikuwa sikufatilii leo nimeskiliza na nimakufaham .mungu akuzidishiye

  • @user-tt1ze2dw4x
    @user-tt1ze2dw4x 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mweu anakujaga bondo nakurudi uyu broo ngoja siku nitakupost ukiwa apa bongo😂😂😂

  • @basilvenance1368
    @basilvenance1368 5 วันที่ผ่านมา +1

    Anajitambua sana, pia anatumia akili sana kufikisha ujumbe.

  • @KelvinBushesha
    @KelvinBushesha 10 วันที่ผ่านมา +1

    Tunategemea hizi ngoma zisikose Top10

  • @silvanusmasawe
    @silvanusmasawe 8 วันที่ผ่านมา

    Love you kaka ❤❤❤❤

  • @AndreaBalintanzeko-vd8yw
    @AndreaBalintanzeko-vd8yw 12 วันที่ผ่านมา +1

    🎉🎉

  • @KenedyKazana
    @KenedyKazana 3 วันที่ผ่านมา

    Akika usipo kuwa makini uwezi kumuelewa mwamba mungu ni mpaji wavyote mungu awe nawe mpaka mwisho✝️

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 12 วันที่ผ่านมา +2

    All the time = wakati wote

  • @millardGaiga-vh9yh
    @millardGaiga-vh9yh 12 วันที่ผ่านมา +2

    Oya wanangu Roma katisha "aliyemteka Roma ndo aliyeyavamia mawingu and vice versa "

    • @user-qb1jv2dy2d
      @user-qb1jv2dy2d 11 วันที่ผ่านมา

      Yeah, that's Truthfully.

  • @dreamz_d
    @dreamz_d 5 วันที่ผ่านมา

    Bro 😎

  • @imammwasanyamba9715
    @imammwasanyamba9715 13 วันที่ผ่านมา +1

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 12 วันที่ผ่านมา +2

    Roma ni rapa mzuri isipokuwa hajui biashara ya muziki

  • @chrispinegervas1681
    @chrispinegervas1681 13 วันที่ผ่านมา +2

    Super

  • @princessplatnum4416
    @princessplatnum4416 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mkivaaa kiatu cha roma amtembei mnasaau kwambaa akuna alokamilika so ata ukiwa nawatoto so wote wataona unatenda aki lkn mzeee wetu ulitishaa

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 13 วันที่ผ่านมา +2

    11:28

  • @eliahswai1607
    @eliahswai1607 13 วันที่ผ่านมา +1

    Big up to you bro since day one hujawahi kukosea

    • @princessplatnum4416
      @princessplatnum4416 12 วันที่ผ่านมา

      Kaka nikweli lkn maumivu aliyapata yeye akuna alokamilika ata mzee akukamilika boss lkn tulimpenda mzee wetu kwa hyo ukijalibu kuvaa kiatu chaloma usingewenza kutembea

  • @HamisiWilson-kb2bj
    @HamisiWilson-kb2bj 11 วันที่ผ่านมา

    Roma salute _$

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 11 วันที่ผ่านมา +1

    Naona kama bando langu mmelimaliza tu mlichoandika hapo na Roma alichoongea vitu viwili tofauti

  • @xmathematics_
    @xmathematics_ 13 วันที่ผ่านมา +2

    dk 46

  • @joelandekile3933
    @joelandekile3933 12 วันที่ผ่านมา +1

    HI CHANNEL IMEKUWA YA KISENGE SASA

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 11 วันที่ผ่านมา +1

    Tatizo la uyo mtangazaji ana sifa hatulii anatangaza kuonekana kama anajua wakati sifa ya mtangazaji inatakiwa kufanya kaz na sio kushindana

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 13 วันที่ผ่านมา +1

    tunakukubali sana hujawahi kosea kaka. Big up roma👏👏.

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 8 วันที่ผ่านมา

    Roma mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 12 วันที่ผ่านมา +1

    Nyinyi wapuuzi tu hakuna lolote

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 11 วันที่ผ่านมา

    Ila yupo kijijini sana😂😂😂😂

  • @josephbuddoh1577
    @josephbuddoh1577 11 วันที่ผ่านมา +1

    Natamani kusikiliza hio ves walioigomea kuirusha hewan

  • @jeromejanson3003
    @jeromejanson3003 9 วันที่ผ่านมา

    Is name’s jay polly

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m 9 วันที่ผ่านมา

    Mm kilicho nishangaja uyo mtangazaj Ana nawa sanamikono bila maji

  • @brudatv3539
    @brudatv3539 9 วันที่ผ่านมา

    Walioanza kukimbilia comment

  • @LukeloKibumo-uu2oh
    @LukeloKibumo-uu2oh 12 วันที่ผ่านมา +1

    Kote umeongea vizuri ila kumgusa aliyevamia mawingu umefeli unaushahidigani

    • @juliusmix
      @juliusmix 11 วันที่ผ่านมา

      Kuna wakati usipoelewa kitu ni heri unyamaze tu ili usionyeshe udhaifu wako. Unazungumzia ushahidi kwa mhusika mwenyewe? Mhusika kasema, wewe unasema hana ushahidi...,unataka alete ushahidi hapa ni polisi?

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 9 วันที่ผ่านมา

    Ngoma kama hizi zinatakiwa kuwa nafasi za kumi bora kilamara

  • @RamadhanHaruna
    @RamadhanHaruna 13 วันที่ผ่านมา +8

    Roma mtanzania ivi kwanni kaka umehama bongo

    • @angelsblackboard8008
      @angelsblackboard8008 13 วันที่ผ่านมา

      Kwani kuna shida gani? Yani uache sehemu yenye pesa.

    • @isaacbywell7081
      @isaacbywell7081 12 วันที่ผ่านมา

      ​@@angelsblackboard8008 ww Angels mbona majib yako na jina lako haviendani. Unatukana nakujib vitu visivyo.

    • @herbethlukogela7657
      @herbethlukogela7657 12 วันที่ผ่านมา

      Kwani hivi Roma ni mtu wa kwanza kuishi nje

    • @alexlingwendu6780
      @alexlingwendu6780 12 วันที่ผ่านมา

      Kwani kuna shiido

    • @dennischarles8524
      @dennischarles8524 10 วันที่ผ่านมา

      Umesahau alitekwa kupigwa karibu auliwe?

  • @MATHAYOPETROGARYA
    @MATHAYOPETROGARYA 12 วันที่ผ่านมา +1

    Namshauri sikumoja aimbe kuhusu flusa anazoziina huko especially masuala mazima ya biashara zinazoweza kuzalisha tukauza huko america mamen aache kutia sumu miyo.ya vijana ..coz Dunia haiitaji mambo hayoo kivile we need to hear economic issues..thanks

    • @joshuanyaulingo4109
      @joshuanyaulingo4109 11 วันที่ผ่านมา

      an kwa huo ushaur wako nd umbadilishe,, akat alinusurika kupotezwa en he z still in his standing

  • @idrisandaka2198
    @idrisandaka2198 8 วันที่ผ่านมา

    Huyu ni mwamba na nusu

  • @chrismwanjalika9892
    @chrismwanjalika9892 10 วันที่ผ่านมา

    Hivi bado Nyimbo mnaita mwimbo? dah! hatutafika.

    • @brain_ujazo
      @brain_ujazo 9 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe mwenyewe pia umekosea hakuna Neno NYIMBO kwenye Kiswahili . Ni WIMBO Tu Iwe Wingi Iwe Umoja.

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 11 วันที่ผ่านมา

    Huyu dogo anachokonoa hatari

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 9 วันที่ผ่านมา

    Wanao kutukana naisi wana upungufu wa ufam kwaiyo wasame tuu

  • @ORG960
    @ORG960 9 วันที่ผ่านมา

    Roma ameamza kuzeeka sikuizi

  • @MponelaJuma
    @MponelaJuma 13 วันที่ผ่านมา +1

    we mtangazaji unapapara tulia wakati unauliza maswali

    • @nzegeatv6355
      @nzegeatv6355 11 วันที่ผ่านมา

      Wa kike au wakiume😂

  • @OscarPilla-oy2rc
    @OscarPilla-oy2rc 12 วันที่ผ่านมา +1

    Ww 🎉❤mwamba

  • @user-wy5zv2qw6t
    @user-wy5zv2qw6t 10 วันที่ผ่านมา

    Ramadhan na ww unauliza nn ss

  • @DitrickKidagayo-cj1cj
    @DitrickKidagayo-cj1cj 12 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu muongeaji Bado Hana sifa ya kuwa mtangazaji kigugumizi kama ametoka kunywa pombe

  • @VitukoKiwanga
    @VitukoKiwanga 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mwana, halakati huyoo!!

    • @ThousandPhase
      @ThousandPhase 12 วันที่ผ่านมา

      Roma anakitu so ni mkweli Mimi sjaona ubaya wake

  • @user-rk9sd4kc4d
    @user-rk9sd4kc4d 8 วันที่ผ่านมา

    Mzuri ni mchamungutu, nyie pigeni keleletu, af mnasahau Akhera

  • @robartifabiani
    @robartifabiani 12 วันที่ผ่านมา +1

    Tano nyingi mpaka sugu

  • @MohamedBakari-lb5mk
    @MohamedBakari-lb5mk 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mwana harakati mmoja

  • @Black-sound24
    @Black-sound24 13 วันที่ผ่านมา +1

    Roma 💥

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 9 วันที่ผ่านมา

    Mm binafs nakukubali ijapo umetukacha

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 13 วันที่ผ่านมา +19

    Big up east Africa, big up Sana mwanangu Roma ,npo nawewe tangu mathematics adi leo paka na panya, kwenye maua yangu,,endelea kutusema watu wako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😎😎😎😎😎😎(nimewa challenge ,nlikua natafuta coment50 Dil done)😂😂

    • @emmanuelchacha6718
      @emmanuelchacha6718 13 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @angelsblackboard8008
      @angelsblackboard8008 13 วันที่ผ่านมา +13

      Kwani serikali ikikosea inatakiwa watu wasiseme? Hivi Mikundumikundu kama wewe akili mnapelekaga wapi?

    • @NorascoKipeto
      @NorascoKipeto 13 วันที่ผ่านมา +3

      hamna bayaaa, chupa limeamka na chai,

    • @hezronjoseph405
      @hezronjoseph405 13 วันที่ผ่านมา

      @@angelsblackboard8008 mdomo uliponza kichwa😎😎😎

    • @TIMOTHEOALFREDI-zf2te
      @TIMOTHEOALFREDI-zf2te 13 วันที่ผ่านมา +1

      Ww nyiko kweli urafinywa nyuma serikali ni nani sio me na wewe acha ujinga

  • @ThousandPhase
    @ThousandPhase 12 วันที่ผ่านมา +1

    Eee bana ee Roma ni jembe na nimegundua kitu rap iliyotulia
    IPO Moro na mwanza

    • @user-to6cg8uf3f
      @user-to6cg8uf3f 12 วันที่ผ่านมา

      BT remind you Roma mwana fa wanatoka Tanga😊

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mtanzania anaeipenda nchi yake. Mzalendo ndo huyo sasa.

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c 12 วันที่ผ่านมา +2

    Tatizo uyu jamaa kuimba anajua shida mpumbavu wa kupinga ata jitihada za kuvusha inch katika umasikin

    • @MayraTiffu
      @MayraTiffu 12 วันที่ผ่านมา +1

      Acha uchawa ww kupinga jitihada gan

    • @SikabweChristophe
      @SikabweChristophe 12 วันที่ผ่านมา

      Bro are you mad

    • @FilbertHabashi-zn1qu
      @FilbertHabashi-zn1qu 12 วันที่ผ่านมา +1

      Bado bongo wasiojielewa ni wengi saaana aiseee

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf 12 วันที่ผ่านมา

      Musenge wewe

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 12 วันที่ผ่านมา

      serikali inajitihada gani zaidi ya kutuendelezea umasikini na wenyewe ndo kubakia matajiri,au na wewe ni mjukuu wao?