LIVE: RAIS WA KENYA RUTO ATOA TAMKO JESHI LA ULINZI KUINGIA MTAANI KUPAMBANA NA WAANDAMANAJI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 มิ.ย. 2024
  • ‪@millardayoTZA‬

ความคิดเห็น • 163

  • @praygodarmstrong7670
    @praygodarmstrong7670 3 วันที่ผ่านมา +21

    Okay!!! I am now starting to see something is wrong with this president 😢

    • @htx1873
      @htx1873 3 วันที่ผ่านมา

      He is a virus to all of us East Africans, he is a puppet and snitch. He can not be trusted

  • @user-si5rl7kc6c
    @user-si5rl7kc6c 3 วันที่ผ่านมา +24

    Kibaraka namba moja WA NATO na USA

    • @godfreymbevi2879
      @godfreymbevi2879 2 วันที่ผ่านมา +1

      Lakini pia ni ufala kuwa kibaraka wa UARABU na imani za Kiarabu. So baki na ufala na yeye abaki na ukibaraka

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 วันที่ผ่านมา +18

    Hii speach itazidisha hasira kwa wananchi

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 2 วันที่ผ่านมา

      SASA inasaidia nini nawakati wanauwawa watakula mauti mpaka watatulia wenyewe Niko palee 👉

    • @user-ue2nz3vc4j
      @user-ue2nz3vc4j 2 วันที่ผ่านมา

      Hasira hasara

    • @alibinali_
      @alibinali_ 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-nb6yh2bn9ymatako yako umbia ndio kazi yenu

    • @f.a6043
      @f.a6043 2 วันที่ผ่านมา

      Ruto watch your mouth 👄
      What goes around comes around

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 3 วันที่ผ่านมา +18

    Ukome kusapport MASHOGA....... MMMMMMMXXXXXXZ

  • @hamiskayombe6061
    @hamiskayombe6061 3 วันที่ผ่านมา +16

    Sikipendi hiki kibaba cheusi kama mkaa Pmbv zake

  • @amirjuma9395
    @amirjuma9395 3 วันที่ผ่านมา +13

    Hakuna Cha maana kaongea mtoeni madarakani uyo hajali maisha ya wakenya anajali pesa tu

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 3 วันที่ผ่านมา +13

    Waambie nato wakusaidie shoga yao 😂😂😂

  • @Thisislilian
    @Thisislilian 3 วันที่ผ่านมา +13

    Who's he calling criminals? Citizens fighting for their rights are now criminals? Politicians🙌

    • @novatv3970
      @novatv3970 2 วันที่ผ่านมา

      in peaceful demonstration there are some intruders injected in ..... these are criminals

    • @user-re4ve4nf3p
      @user-re4ve4nf3p 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@novatv3970if you have nothing to say shut up

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 3 วันที่ผ่านมา +18

    Mambo ya kiraia hayapaswi kushughulikiwa na wanajeshi. Ruto anazidi kuharibu!

    • @majengaomar636
      @majengaomar636 2 วันที่ผ่านมา

      Atakuja kukumbuka mda hamna

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 2 วันที่ผ่านมา +1

      Raia wanafikia kuingia Bungeni na kuharibu bado waachiwe tu kesho na kesho kutwa si watakwenda Ikulu kuvamia lazima wachapwe kidogo

    • @dennismvungi
      @dennismvungi 2 วันที่ผ่านมา

      Ni kweli ​@@rajabmsinzia1715

    • @godfreymbevi2879
      @godfreymbevi2879 2 วันที่ผ่านมา +1

      Uharifu siyo uraia, raia hawezi chukua vifaa vya ncha kali kupambana na majeshi halafu ukasema huyo ni raia, kwanza Rutto kachelewa sana kushughuruka na wahuni hao

  • @user-ws6zk5qj2r
    @user-ws6zk5qj2r 3 วันที่ผ่านมา +16

    Anapinduliwa na Majesh ya kesho, Bora angekaa kimya

    • @majengaomar636
      @majengaomar636 2 วันที่ผ่านมา

      Tatizo kamuuwa mkuu wa majeshi juzi juzi tu

    • @user-re4ve4nf3p
      @user-re4ve4nf3p 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@majengaomar636hlo sio tatizo zakayo lazima ashuke

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie 3 วันที่ผ่านมา +11

    Watu wanatetea maslai yao wanaitwa wahalifu, daaah!!! Hii hataliii😂😂😂😂😂

    • @section8ight174
      @section8ight174 3 วันที่ผ่านมา

      Kazi yao ku copy & paste!

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 3 วันที่ผ่านมา +7

    Mr. President umeamua vibaya badala ya kufanyia kazi matatizo wewe unaongeza petrol kwenye moto. Angalia sana kauli zako zitakumaliza mapema

  • @henrymjema1685
    @henrymjema1685 3 วันที่ผ่านมา +12

    Tunawaombea Amani majirani zetu.

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 3 วันที่ผ่านมา +22

    Tomorrow unapinduliwa na Jeshi .
    Umekosa utulivu ...Hekima hapo ungeshuka sasa kutumia jeshi kupambana na wananchi wako ni kukosa uzalendo na jeshi litagawanyika kesho....
    Hii comment mtaniambia kesho

    • @kigomatv3
      @kigomatv3 2 วันที่ผ่านมา

      Tumia hakili Bro haujui yaliyopo nyuma ya pazia sokaa kimya

    • @kigomatv3
      @kigomatv3 2 วันที่ผ่านมา

      Wewe

    • @annafredinandmatandiko8438
      @annafredinandmatandiko8438 2 วันที่ผ่านมา

      Can imagine huyo akili zake hazipo Sawa kabisa

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 3 วันที่ผ่านมา +9

    Huyu jamaa kichwani zipo kweli

  • @wallaceexpert4081
    @wallaceexpert4081 3 วันที่ผ่านมา +4

    Akuna combination mbaya kama ujinga na confidence, Mungu ibariki kenya

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 3 วันที่ผ่านมา +9

    Uongozi sio ubabe mheshimiwa. Magufuli alikuwa mbabe lakini alitanguliza mbele maslahi ya wananchi hasa wanyonge.

    • @allykwaya
      @allykwaya 2 วันที่ผ่านมา +1

      Umeongea kitu kikubwa sana tena sana. Hayati Raisi Dr JPM. Ni Raisi pekee Tanzania alipata kuwa Kielelezo cha uzalendo wa kweli kwa Nchi yake. Hakuwa muonga pale linapokuja Maslahi ya watanzia. Naamini maneno ya Prof LUMUMBA Kongamano la chuo kikuu UDsm alisema viongizi wa kenya ingefaa wajifunze uingozi kwa Raisi MAGUFULI. Hii inaleta tafasiri ya maono makubwa ya siasa za Afrika mashariki.

    • @allykwaya
      @allykwaya 2 วันที่ผ่านมา +1

      Nakupongeza sana kwa kuwa na kumbukumbu sahihi kwa Mwamba JPM Rest in peace.

    • @juliusdominic-uk4bu
      @juliusdominic-uk4bu 2 วันที่ผ่านมา

      alikuwa kama mm

  • @johnsabinus8582
    @johnsabinus8582 3 วันที่ผ่านมา +5

    Pole sana ruto nilikupenda kosalako nikusapoti malekani na not

  • @user-kq8dg5sd2n
    @user-kq8dg5sd2n 3 วันที่ผ่านมา +5

    Tunawasihi wakae wajadiliane hili jambo limalizwe kidiplomasia ili kulinda maisha

  • @kapanikapani5280
    @kapanikapani5280 3 วันที่ผ่านมา +2

    Dam, ya raiya wakenya ni mhim zaidi kuliko cheo, rais achia nganzi, maisha yaendelee, mungu ibaliki Kenya🙏

  • @hamadelsiboo644
    @hamadelsiboo644 3 วันที่ผ่านมา +3

    If you sign up the bill it will be a road map to go home

  • @ezekielwema3829
    @ezekielwema3829 3 วันที่ผ่านมา +4

    Wanaooganaze hao wapinzani , watu wa intelligence wawafinyeeeeeee kimya kimya, usiwape Uhuru Sana , watakusumbua hao makusudi , tumia jeshi

    • @bonniefxweru5289
      @bonniefxweru5289 2 วันที่ผ่านมา

      bana.. unadhani huku ni Tz kwenye mnachukuliwa na TIS kiholela 😂😂Bana , We have a working Constitution . Nyinyi endeleeni kuongozwa na Mtu lazima aketi ili akojoe .. Waoga nyinyi😂😂

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 วันที่ผ่านมา +2

    Walikupigia kura unawaita Kikundi cha waharifu?? 😂😂

  • @Alfredmusa24
    @Alfredmusa24 2 วันที่ผ่านมา +2

    Damu ya Yesu inene mema kwenye nchi yangu Kenya

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 2 วันที่ผ่านมา +3

    kumbuka ruto jeshi linakaaga umpande wawanchi ndio mana linaitwa jeshi la wananchi kama askari wako aameshindwa kuku saidia jeshi hawanaga mambo yakijingaa tuko hapa unaondoka madarakani mzeee

    • @LogolyLigoly
      @LogolyLigoly 2 วันที่ผ่านมา

      Huyu aondoke kesho

  • @user-tq4go3sn5b
    @user-tq4go3sn5b 2 วันที่ผ่านมา +1

    Leo hata kiswahili haongei anaongea kingereza ili mabwana zake wa magharibi wamuelewe vizuri 😂😂

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 2 วันที่ผ่านมา +1

    Nearly all people are in street fighting for what sounds their rights, you're there still calling civilians criminals! My kenyan brothers and sisters, it's time to turn your eyes to GOD, pray as much as you can the situation not become much worse. We Tanzanians love you so much and we pray for you're always.

  • @EmanuelNicholaus-of1qg
    @EmanuelNicholaus-of1qg 2 วันที่ผ่านมา +1

    People who voted 🗳 u call them criminals

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 3 วันที่ผ่านมา +4

    Badala ya kukaa na wananchi wake yuko ulaya , mzee wananchi hao watakusumbua

  • @MasaiNgombe
    @MasaiNgombe 3 วันที่ผ่านมา +4

    Wacha asira bana shuka

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 3 วันที่ผ่านมา +4

    Ruto nimemwona sasa ni kibaraka

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 2 วันที่ผ่านมา

    ila Kenya msimtukane kiongozi wenu kiivi. Najua inauma lakini muombeeni ili Mungu ageuze moyo wake afanye yale Munngu Anataka kwa nchi yetu ya jirani. Mungu ailinde Kenya jirani yetu, Mungu Amkumbuke Rais wao Ruto. Mungu Bariki E.Africa. Tunawapenda sana Kenya yetu jmni tuko pamoja nanyi..love from Tanzania

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 3 วันที่ผ่านมา +2

    Freedom has limits

  • @OresteDomingos
    @OresteDomingos 3 วันที่ผ่านมา +3

    Ruto ni raia wa kenya?

  • @ZubeirkhamisAbdallah-sp8sg
    @ZubeirkhamisAbdallah-sp8sg 3 วันที่ผ่านมา +2

    We jamaa utapinduliwa heshim raiya

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 3 วันที่ผ่านมา +2

    Calling your citizens criminals

  • @emmanuel_cs
    @emmanuel_cs 3 วันที่ผ่านมา +9

    Mbona napata hasira hivi wakati mimi siyo Mkenya 😢

    • @venusmapesa5829
      @venusmapesa5829 3 วันที่ผ่านมา

      Lakini Sisi wote ni Bindamu

    • @SadickHamis-vm1qi
      @SadickHamis-vm1qi 3 วันที่ผ่านมา

      Mi ndo nimekuzidi 😢😢😢

    • @ibramayno8447
      @ibramayno8447 3 วันที่ผ่านมา +1

      Ni kwa sababu ktk nnchi yako pia kuna hayo yanayotokea kenya

    • @allykwaya
      @allykwaya 2 วันที่ผ่านมา

      Ni kwasasbabu sote ni ndugu. Tena udugu wa damu.

    • @allykwaya
      @allykwaya 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@ibramayno8447Nikweli Bungeni mambo tunayaona yanavyopekwa. Afadhali wakenya wameonyesha kupigania maslahi yao

  • @LloydsTech
    @LloydsTech 2 วันที่ผ่านมา

    may GOD be with you neighbours

  • @MadilishaSimon-sb9kk
    @MadilishaSimon-sb9kk 2 วันที่ผ่านมา

    Naipenda kenya❤natokea Tanzania

  • @mdedsm5522
    @mdedsm5522 3 วันที่ผ่านมา +2

    Analeta vita😂😂 wanachi wakigomea jeshi maana yake ni uhasi

  • @cynthiawanza3977
    @cynthiawanza3977 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mr president your approach is bad, kenya is bigger than this bill?....We shall not relent!✊🇰🇪🇰🇪

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 3 วันที่ผ่านมา +2

    Ndio shida ya kuwa Kubaraka

  • @ibrahmpinga380
    @ibrahmpinga380 2 วันที่ผ่านมา

    viva Citizen wote wa Kenya,Mungu awapiganie

  • @Sawen-fp7so
    @Sawen-fp7so 2 วันที่ผ่านมา +1

    Shit😢😢kenyans we got no president

  • @twalibmbarak4347
    @twalibmbarak4347 2 วันที่ผ่านมา +1

    Tamko la mauaji.... Kesho idadi ya vifo itaongezeka kwa asilimia kubwa

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 3 วันที่ผ่านมา +1

    Kibalaka wa marekani nyani wawazungu uyo ana bweka ujinga apo

  • @biishemzee6833
    @biishemzee6833 3 วันที่ผ่านมา +2

    Shukaaaaa bwanaaa hawakutakiiiiiiiii

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 3 วันที่ผ่านมา

    Protecting while are dying

  • @jonasjonas8111
    @jonasjonas8111 3 วันที่ผ่านมา +1

    Kudos mr.president

  • @wardawarda6535
    @wardawarda6535 2 วันที่ผ่านมา +1

    Ruto bora ujiudhuru tu,huna busara ungekaa kimya ..

  • @christianmusicnotes2003
    @christianmusicnotes2003 2 วันที่ผ่านมา +1

    Hakuna Rais Humu.... tatizo hili

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg 3 วันที่ผ่านมา +2

    Hapo marekani kimya maana anapata ulaji kwa ruto,ila ingekua ruto ni kiongoz anaejielewa kama jpm ungeskia haki za binadam na marekani wangeingiza hadi nato kuwasaidia waandamanaji,ila kwa kua ni kibaraka wao wamekausha

  • @allyabdallah4641
    @allyabdallah4641 2 วันที่ผ่านมา +1

    Wakenya poleni wote ila najua memkumbua uhurukinyata sasa

  • @juliusmix
    @juliusmix 2 วันที่ผ่านมา

    Kenya kutakuwa na mapinduzi na mtashangaa kama atatumia jeshi kupiga Raia... Ruto aombe Mungu maana anaweza kuwa na mwisho mbaya

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u 3 วันที่ผ่านมา +1

    Hawakutaka Awe raisi huyu jamaa maana wanashindwa kumpa saport ni kama mangungu tu dah

  • @MasaiNgombe
    @MasaiNgombe 3 วันที่ผ่านมา +1

    Tulikupendesana lakini ulipenda tumbo kutuliko

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g 2 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe utake usitake utatoka tu 😂😂😂

    • @user-re4ve4nf3p
      @user-re4ve4nf3p 2 วันที่ผ่านมา

      Tena atatoka Kwa herufi kubwa lazima zakayo ashuke

  • @rokadigitalgroup0033
    @rokadigitalgroup0033 2 วันที่ผ่านมา

    What a time to be a live in Kenya

  • @user-hr7nc5tw4i
    @user-hr7nc5tw4i 2 วันที่ผ่านมา

    Kenya just go go again to the 🛣️ mpk kieleweke

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k 2 วันที่ผ่านมา

    Alshabab wanataka kutumia kinachoendelea kenya ya maandamano kufanya yao plz kenya mkuwe makini mtadhan ni maandamano kumbe Alshabab

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 3 วันที่ผ่านมา +2

    Duuu nilimkubali mwamba mwanzoni,,sijui kapotea wapi?

  • @yudatadeimdoe9215
    @yudatadeimdoe9215 2 วันที่ผ่านมา

    Unasolve tatizo au unataka kuliongeza??? Kwan iyo sheria si muibadilishe tuu.

  • @GalaxyDamian-gx9ov
    @GalaxyDamian-gx9ov 3 วันที่ผ่านมา +1

    Millard ayo nitafsilie bana

    • @section8ight174
      @section8ight174 3 วันที่ผ่านมา

      LOL kweli hapo sie sio wazungu weusi bana 🤣

  • @hedarufines7763
    @hedarufines7763 3 วันที่ผ่านมา +1

    Who is this guy 😢😢

  • @eunicejacobo1139
    @eunicejacobo1139 วันที่ผ่านมา

    Watanzani wenzangu mmeona mfano
    Bora kutoka Kenya 🇰🇪 ❤, sasa imebakia
    Kazi kwa Watanzani muandamane huu sio
    Muda wa kuongea na Samia imetosha sasa
    Nimuda wa Vitendo, Afrika kusema..... Hapana kwa Viongozi wasio fanya kazi kwa manufaa ya watu walio wachagua
    Tuseme Hapana

  • @planetanimals9547
    @planetanimals9547 3 วันที่ผ่านมา

    Si ungeweka link tu yavideo hii uanaandika taarifa lkn hutoi ufafanuzi

  • @AudaxLwekamwa-kt6eg
    @AudaxLwekamwa-kt6eg 2 วันที่ผ่านมา

    Kazi ya kuongoza nchi ni kazi ngumu kuliko kazi nyingine nyingi sana,,,
    Maamuzi aliyoyachukua Mr President ni sahihi sana kwaajili ya usalama wa nchi na kwa upande wangu naona kachepewa sanaa, hakuna raia anaejielewa wa nchi yoyote anaeweza protest kwa kuharibu ofisi kubwa katika nchi kama Mahakama au Bunge na zingine kama izo

  • @gracemwailima1780
    @gracemwailima1780 2 วันที่ผ่านมา

    sio vizur kwenye kisasa ila jaman ndugu zetu tuache masihara nyie waandamanaj mmewaza negative side za maandamano, wewe baba , ewe mama kama una familia tulia umewah kuwaza ukikutana na bahati mbaya ukapoteza maisha vip kuhusu wanao umejipangaje kuwaacha msinipopote ni mawazo yangu madogo all in all mwenyez Mungu awatangulie ipatikane amani

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 2 วันที่ผ่านมา

    Jamani nakumbuka si wakenya ilikuwa huna chakuwaambia kwa raisi wao Ruto tena imekuaje?
    Poleni sana wakenya tunaomba amani itawale na mgogoro uishe haraka

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255 2 วันที่ผ่านมา

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 วันที่ผ่านมา

    This is kenya sending the army to Haiti ila Ruto kwa sifa 😂😂

  • @yapukahassan
    @yapukahassan 2 วันที่ผ่านมา

    Wakenya mtaisoma namba

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 2 วันที่ผ่านมา

    Ruto that's good 👍
    refuse a few people to destroy the infrastructure of the Nation for any reason.It is true that they have the right to demand what they want, but it should be in the right order, not to destroy people's property, keep laughing at them

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 2 วันที่ผ่านมา

    Ila ninaloliona mimi huu ni uchochezi ambao Tanganyika na Zanzibar wanatakiwa waige ili Amani ipotee maana Tanganyika na Zanzibar ni nchi pekee Africa mashariki yenye Amani na utulivu ,sio wote wanafurahia hali hiyo sasa hapo ni kazi kwako Tanganyika na Zanzibar wakiiga tu wamepotea mazima

  • @hedarufines7763
    @hedarufines7763 3 วันที่ผ่านมา +1

    Who is this guy!?😢😢

    • @wardawarda6535
      @wardawarda6535 2 วันที่ผ่านมา

      William Ruto Zuwena Zakayo

  • @LogolyLigoly
    @LogolyLigoly 2 วันที่ผ่านมา

    Wanataka sasa utoke kwa kiti

  • @jamesmsalilwa8733
    @jamesmsalilwa8733 2 วันที่ผ่านมา

    Kwa nini haongei Kiswahili?

  • @kapanikapani5280
    @kapanikapani5280 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa Sasa anaitoa nchi kwajeshi lakenya kutawala nchi baada ya siku 4,maana jeshi haliwezi kupiga laiya ndomaboss wajeshi, nchi imemshinda ajihuzulu tu, kuilinda amani ya jilani zetu wakenya, shida watawala hawaongozwi na hofu yamungu, juu ya madalaka Yao, mungu inusulu Kenya🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @HassanHussein-fv8pn
    @HassanHussein-fv8pn 2 วันที่ผ่านมา

    Ww sio raisi mkundu sana ww sijui mwasubiria nn auwawe huyu

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 2 วันที่ผ่านมา

    Mbona hajavaa kaunda suti leo?

  • @hemedchuma9-cq4nh
    @hemedchuma9-cq4nh 2 วันที่ผ่านมา

    Mh Ruto wananch hawana siraha jeshi lina siraha vipi apo haki za kibinaadam umezingatia? Hivi kwel muuane kisa mswaada

  • @ezekielwema3829
    @ezekielwema3829 3 วันที่ผ่านมา

    Wahuni wote sukuma ndani wote

  • @godfreymbevi2879
    @godfreymbevi2879 2 วันที่ผ่านมา

    Hili suara la kuwapokonya askari polisi nguvu ya matumizi ya siraha kwa waharifu hilo ndiyo lilikuwa kosa la kwanza kwa Serikali ya RUTTO. Hapo inabidi IGP wa Kenya ajiuzuru, huwezi ruhusu wahuni kuvamia bunge na uwaache tu, hiyo haiwezekani, ni lazima hatua kali zikiwepo kuwasaka na kuwapoteza na adhabu kali za fundisho zichukuliwe iliwatakao taka kufanya uhuni kama huo ambao wameufanya kwa sasa.

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 2 วันที่ผ่านมา

    Waharifu tena? 😢😢

  • @allyabdallah4641
    @allyabdallah4641 2 วันที่ผ่านมา

    Tanzani nakupenda kwamoyo wote ww utamaliza laiya wako ila naww ujue iposiku utatokatu boya ww

  • @ezekielwema3829
    @ezekielwema3829 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mr president freedom of expression imezidi Kenya, tumia jeshi kuwafinya wao wanaomobilize

  • @user-tw3ri9fw3y
    @user-tw3ri9fw3y 2 วันที่ผ่านมา

    Atutakufa Kwa jaa zakayo

  • @HassanHussein-fv8pn
    @HassanHussein-fv8pn 2 วันที่ผ่านมา

    Alitombwa n wazungu nn huyu

  • @user-lc3xd4vt2u
    @user-lc3xd4vt2u 2 วันที่ผ่านมา

    Ukimya pia ni busara ila kwa haya yanongeza chachu ya vurugu

  • @allyabdallah4641
    @allyabdallah4641 2 วันที่ผ่านมา

    Unakoelekea utapindulia kijeshi ww usizani atajeshilako linakupenda

  • @benjaminkilepo8489
    @benjaminkilepo8489 2 วันที่ผ่านมา

    Mbn napata mori, wanajeshi kwa wananchi tu wakawaida, no criminals but he is criminal who is going against common mwananchi 😢.

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga4382 2 วันที่ผ่านมา

    Wakenya kumbe kwisha habari yao

  • @MdOmane-yg9gi
    @MdOmane-yg9gi 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu babu kiherehere ndo kitamponza

  • @ezekielwema3829
    @ezekielwema3829 3 วันที่ผ่านมา

    Hivi watu wanafikaje mpaka kwenye kiti za spika ??? Ulinzi uko wap? Wamjui namna ya kufanya kweli !!! Acheni utani bana , jeshi haina bunduki au

    • @veronicajohn7645
      @veronicajohn7645 3 วันที่ผ่านมา

      Ukiona mlinzi snaangali tu mwizi mlindwa umeisha

  • @jeffmap4038
    @jeffmap4038 3 วันที่ผ่านมา

    ukitunia nguvu umengoka. tumia busara. kenya si kama tazamania. wakenya wamepinda.

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 2 วันที่ผ่านมา

    Watu wanaingia kibaruani

  • @geofreynjanga6794
    @geofreynjanga6794 2 วันที่ผ่านมา +1

    God bless ruto's government

  • @stateofart1089
    @stateofart1089 3 วันที่ผ่านมา +4

    Punguani huyu wamarekani wamemshika anasaidia Haiti, nchi yake imemshinda inawaka moto!!

    • @mastertraveler-14
      @mastertraveler-14 3 วันที่ผ่านมา

      you don't talk nonsense about our president talk about your prostitute samia that useless mama of yours

  • @davidobonyo7558
    @davidobonyo7558 3 วันที่ผ่านมา

    Ruto is no longer useful

  • @qelseykenya3933
    @qelseykenya3933 2 วันที่ผ่านมา

    Mbona amekataa kusign bill.. pretending to be tough but deep down ameterema..so selfish ametuma polisi Haiti he doesn't care if they die there..MADARAKA ya kuiba hauwezi handle cz God didn't choose you.