TAZAMA IMAMU MKUU WA MADINA ALIVYOUMBUKA MBELE YA WANANCHI BAADA YA MADRA ALIYOUZA KUREJESHWA.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Usia muhimu tena ufike sehemu husika dah jumba zuri kaona aliuze kuliko kumuwekea baba yake chuo akapata dua allah atupe watoto wema wenye kheri na madili mema amiin
Tamaa zitawauwa mbwa nyie. Alafu mmekuja na makanzu yenu kuwatia aibu waislam safi wasiofanya dhulma.
Wamejitia aibu wenyewe...maana hâta Abuu Jahal alikuwa anavaa kanzu Lakini amejitia aibu mwenyewe.
دووو عار ثم عار إذا عشت في الظلم
Jamani tamaa mbaya ,baba amesema maisha yote mpaka mwisho wa dunia madrasa iwepo kwenye hii nyumba leo mtoto wa marehemu anauza nyumba eti madrasa ihamie temeke, aibu hiyo ebu tuwapende wazazi
Waislam hawaitaki madrasa wanataka wapige kidi hii ni kitu kipya mwisho tukitafuta mali tukuzigawa kwa mungu tutowe na nyaraka ili wahuni wasingie
Usiseme waislam ww akosee mtu mmoja utujumishe waislam sot so sawa
İmam dhulmati
Tatizo hat wengi Tanzania hat hawana zina zingua sana hati kupewa
Silaa
Maustadh achen janjajanja ndevu nzr mnakua matapel
Na wakomeeeeeee
Tena eti n imam wa mskiti
😂😂😂😂
Madina gani
Duh jamaa wamekula za uso
ila swala la hati tz sio la mwaka mmoja, mm nimejenga nyumba lkn naambiwa il nipate hati inatakiwa million 4 swala la kumiliki hati ya Ardhi kwa tz kiukweli linashida sana nataman sana kujua kusaidiwa kwa hilo
Pesa wacha tu
media kubwaa Mnakosa kichwa cha habari chenye maudhui mazuri mpak mumchafue hamjui chanzo mnahukumu watu wapuuzi..Kumharibia mtu jina au sifaa yake Hamuwez kufanikiwa Mpka Mnakufa Labda Allah akitaka kwa kumpa mja wake mtihan😮
Hakika ya mali zenu na watoto wenu ni fitnaa
Wewe ni imamu na makanzu ma hina kwa kidevu chezeni na mali waqf mta juta sana
Basi mwenzio nilikuwa sijui, kumbe videvu vyapakwa hina?
😅😅😅😅😅@@judyngowi391
Ma sheikh njaa hao 😂😂
😂😂😂
@@HanifaOman-oo4pl ukiwaangalia tu unaona wananuka shida hao