Napenda umoja wawa tanzania. Mimi si mutanzania lakini napenda gisi munapendana. Makabila mulisha yatiya kando munaumoja wakindugu. Mungu alinde tanzania inchi ya amani na umoja. Je suis fier de votre union et l'union fait la force
Tuimbe wote huu wimbo kwa supot zenu Tanzania tanzaniaa nakupenda kwa moyo wtee Nchi yngu Tanzaniaa Jina lako ni tamu sanaa Mungu libarik jeshi letu waende na warud salama
tuombe mungu ndege irudi salama na wanajeshi wetu wote warudi salama kama walivyokwenda nakurudi warudi ivyo ivyo tu mungu ibariki tz ila mmh iyo kazi ya ujeshi kweli roho mkononi
mungu awatangulie anae wazhak hana hakl unaamua kujitia kwajli ya nch yko unaacha mke ,watoto,pia wazaz niuzalendo wahal ya juu mngu awape maisha marefu amina🙋🙋🙋👏👏👏😗
Allah awalinde awatie nguvu awaongoze mrudi salama salmin kila la kher mashujaa wetu mungu awasimamie much love ❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿mkirud mtuambie tuje tuwapokee kwa shangwe zote na upendo wa hali ya juu kwasababu nyinyi ni bora
Jeshi la ccm hilo kwa sababu munaajiri ccm wezenu madamu siku za uchaguzi munatupiga makwaju mimi sina haiba na nyinyi kwa sababu hivyo ndivyo mulivyotengenezwa siku za sherehe za ccm munatwambia atofanya choko choko atakiona basi na nyinyi huko munakokwenda mutakiona masanduku yanawasubiri tutakufukieni kwa matarumbeta
Mungu awe nanyi daima,awasafirishe salama,awalinde,Damu ya Yesu iwafunike adui asiwaone mnapomvamia. Awape ujasiri muweze kutumia mbinu sahihi wakati wote muwashinde daima. Walinzi wa amani Mungu atawafanikisha ktk yote na ataimarisha afya zenu wote.
Hata ulikuwa utaki kumpenda Rais magufuli utampenda tu , uthubutu wake umeufanya Leo pesa zilizokuwa zilalipwa kwa mashirik mengin ya ndeg kuwaperek makamand wet nje inarudi ndan kwa atcl , respect to jpm Niko tayr kukat shingo la mtu ambae anatak kukwamish maendeleo 😭😭 naipenda Tanzania
Mungu awalinde wanajeshi wa Nchi yetu ktk safari yao huko Darfur Sudani.Kaonyesheni upendo na amani huko Darfur. Tanzania inawaamini na Umoja wa mataifa pia wanawaamini. Uaminifu wa kazi muhimu. 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
AF utaskia vimtu ananunua mandege ka kaz gan??? Ndege za nn?? Mmeona sasa nyie WAPUMBAVU msio na vision niwaite vile .....Hapo JWT hajakod kitu cha home icho shenz sana wale current government haters
Nazani leo wamejionea umuhimu wa kuwa na ndege, then ingekuwa hakuna alafu waone shirika lingine tofauti na ya tz utasikia wakisema maneno mengi yasio na mwisho
Jamani nawapenda wanajeshi wangu wote wa tz Mwenyezi Mungu awatangulie,mjomba wangu pia mwanajeshi na hata baba yangu mdogo pia so nawaombea sana mrudi salama Amina.
May Godbless Tanzania armies,I also take this opportunity to wish all the best to them.Nawatakia kila lakheri nikiwa Lusaka_Zambia.Gonga like kama ishara ya kuwapongeza Tanzanian citizens.
MUNGU ASIWAPUNGUKIE NDUGU ZANGU, NAWAFUNIKA KWA DAMU YA YESU , MUDA WOTE MALAIKA WA MUNGU WAKAWAZINGILE MBELE NA NYUMA KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZALETH. AMEN🙏🙏
Hongera JWTZ Mkumbuke mnapeperusha bendera ya Ndg zenu 50+millions litakalo tokea ZURI ama BAYA lita reflects hiyo idadi yetu. Ni kama nawaona wale wanao ponda na kuomba kila kitu kinacho fanywa na Serikali hii kidolole ili waingie IKULU wakiomba Dua Mbaya. Mshindwe na mlegee...Nawaza tu kwa sauti
Sijuwi dislike zinatokana na nini! Hope hawa waliyodislike siyo watanzania. Mungu ibariki Africa, Mungu ibariki Tanzania na Mungu libariki Jeshi letu la Tanzania
Mungu ibariki Tanzania mungu wabariki wanajeshi wetu walinde warudi salama kuungana nas tena waongozee wewe ee mwenyezi mungu wape ulinzi warudi salama
Asante san majeshi yetu kwa kuzidi kulipa eshima kubwa san taifa letu asante san viongozi wetu wa shilika letu ra ndege kwa kuzidi kukiongoza vyema shilika letu asante san raisi wetu mpendwa na viongiz wetu wote mwenyez MUNGU yupo pamoja nanyi yote
Kila la heri mashujaa wetu wa Tanzania mara ya mwisho kaka yangu nilimsindikiza mpk uwanja wa ndege kuelekea huko sudani kwajili ya kulinda amani ila alivyo rudi Tanzania hakuishi mda Allah akamchukua kikubwa Allah awape nguvu huko muendapo
Napenda umoja wawa tanzania. Mimi si mutanzania lakini napenda gisi munapendana. Makabila mulisha yatiya kando munaumoja wakindugu. Mungu alinde tanzania inchi ya amani na umoja. Je suis fier de votre union et l'union fait la force
be blessed dear one, Mungu awape upendo, umoja na amani kama Tanzania pia
Amina.
Safi Sana
Ameen
@@barakajoseph3269 thankyou!
Mungu ibariki nchi yangu Tanzania, If I die send my body to my mom, tell her don't cry becoz I'm a soldier, I did my best
trust in God brother and do the best...best wishes
🙏
Nderemo mama nderemo
Safali njema nawatakia kazi njema
bizoo joh aiyah iya
Mungu awafikishe salama wanajeshi wetu...Roho Mtakatifu awe rubani wa ndege yetu nzuri ya dreamliner
Mungu awatangulie huko ulinzi muufanye kwa uaminifu na mkimtanguliza Mungu kwa kila jambo safari njema.
Tuimbe wote huu wimbo kwa supot zenu Tanzania tanzaniaa nakupenda kwa moyo wtee
Nchi yngu Tanzaniaa
Jina lako ni tamu sanaa
Mungu libarik jeshi letu waende na warud salama
Kama wew mtanzania tuungane hapa kuwatakia ulinzi mwema gonga like za kitanzania
Keep up our heroes,God bless u
ime pendeza sana
Twaili Njenge
@Muddy-Iddy niambie kijana
Mungu uwe pamoja nas
tuombe mungu ndege irudi salama na wanajeshi wetu wote warudi salama kama walivyokwenda nakurudi warudi ivyo ivyo tu mungu ibariki tz ila mmh iyo kazi ya ujeshi kweli roho mkononi
Andika jna la Mungu kwa heruf kubwa
Mungu awatangulie waend salama na warud salama amina
mim naipenda sana lkn cpati nafasi
Jeshi Ni mrua sana
Yaani mm mwenyew naipenda ila nafasi2 ndio tatizo sipat
MUNGU awaongoze mfike salama tunawapenda sana wanajeshi wetu
Malithel Methusela ,nahis ww uwapendi mim adi naumwa
Mungu awabariki sana na nyingi mbaki salama
Mungu awalinde na maaduwi, mwende salama murud salama, from Zanzibar
mungu awatangulie anae wazhak hana hakl unaamua kujitia kwajli ya nch yko unaacha mke ,watoto,pia wazaz niuzalendo wahal ya juu mngu awape maisha marefu amina🙋🙋🙋👏👏👏😗
Sir Joel amin m/mungu awalinde wote ,inshaallah.
Unapo tye jna la Mungu anza na herufi kubwaa au liandke kwa herufi kubwa lote
Inapendeza sana kutumia cha kwako unajiona huru zaidi kongole kwa serikali ya DKT.JPM na JWTZ
MUNGU WA MBINGUNI awatangulie kama unaamini MUNGU ndio kila kitu acha like hapa tuendelee kuwaombea wanajeshi wetu
Mungu awatangulie tpdf
Jamani, Mungu awatangulie wanajeshi wetu ili waende salama na warudi wakiwa salama, amina
Ameen
Amen
Mwenyezi Mungu awajaalie wanajeshi wetu umfike salama namreeje salama kama mlivoenda
MUNGU WETU AWATANGULIE
damu ya yesu iwafunike kwa jina la yesu
Damu ya yesu anayomwenyewe mbinguni watu wanalindwa na muumba mama
Godblees alll
Amina
Seleman Kishema Yesu ndie mlinzi wa wanadamu wote sele acha ubishi
Huyo Yesu ana litre ngapi za damu Imani potofu badala ya kuomba Mungu unaomba unaomba damu ya Yesu.
Hongera Sana jeshi letu kwa kazi nzuri mnayofanya ya ulinzi Mungu awabariki
We baba yetu wambinguni tusaidie ndugu zetu waludi salama naimani mtarudi naushindi🙏pia hongereni sanaa🙏🙏
Damu Ya Yesu iwafunike muende salama mrudi salama asiwepo wa kupotea wala kurudi ameumia,
Nikatika Jina la Yesu naomba nakushukuru Amen.
Allah awalinde awatie nguvu awaongoze mrudi salama salmin kila la kher mashujaa wetu mungu awasimamie much love ❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿mkirud mtuambie tuje tuwapokee kwa shangwe zote na upendo wa hali ya juu kwasababu nyinyi ni bora
In God we trust. Wanaome hao Tz mbele zaima Mungu bless Tz.
MUNGU Ibariki Tanzania na rais wetu mheshimiwa Dokta John Pombe Magufuri Amina.
I remember those dayz safe journey crew may God protect u all
Mungu awatangulie na damu ya yesu iwafunike katika safari yenu🙏🙏
Wauuuuu nice Tanzania mi kutoka Rwanda Nawapongeza Jeshi Ra Tanzania vuzuri kbsa Ushupavu wenu
Mungu awalinde na kuwasimamia na muitetee Tanzania yetu kama kawaida yenu
Jeshi la ccm hilo kwa sababu munaajiri ccm wezenu madamu siku za uchaguzi munatupiga makwaju mimi sina haiba na nyinyi kwa sababu hivyo ndivyo mulivyotengenezwa siku za sherehe za ccm munatwambia atofanya choko choko atakiona basi na nyinyi huko munakokwenda mutakiona masanduku yanawasubiri tutakufukieni kwa matarumbeta
Mungu ibariki Tanzania na uzalendo wa viongozi katika jambo hili..
I'm only praying they all come back home safe...
Unalikuta lijitu linasema DKT Maguli hajafanya chochote,, Unaliangalia tu kisha unalipa kibao liamke!!!!!!!
😂😂😂
😂😂😂
Hahahaaa
Yani wew nipimbi kabisa kwàni makufuli kafanya nin kwani yeye ndio anaenda kupigana vita
Amsha
Mungu ibariki Tanzania pamoja nawanajeshi wetu wakafanye kazi kwawerdi na warudi salama
safar njema ndugu zetu Mungu awe nanyi kwa kazi ya ulinzi wa aman ya inchi
Mungu awe nanyi daima,awasafirishe salama,awalinde,Damu ya Yesu iwafunike adui asiwaone mnapomvamia. Awape ujasiri muweze kutumia mbinu sahihi wakati wote muwashinde daima. Walinzi wa amani Mungu atawafanikisha ktk yote na ataimarisha afya zenu wote.
Napenda sana kazi ya jeshi ipo siku nitafanikiwa muende salama jeshi letu mrud salama
Hata ulikuwa utaki kumpenda Rais magufuli utampenda tu , uthubutu wake umeufanya Leo pesa zilizokuwa zilalipwa kwa mashirik mengin ya ndeg kuwaperek makamand wet nje inarudi ndan kwa atcl , respect to jpm Niko tayr kukat shingo la mtu ambae anatak kukwamish maendeleo 😭😭 naipenda Tanzania
Hakika
Safi Sana Tz Safi Sana Jeshi letu Safi sana Viongozi wetu wa TZ
Mungu awalinde wanajeshi wa Nchi yetu ktk safari yao huko Darfur Sudani.Kaonyesheni upendo na amani huko Darfur. Tanzania inawaamini na Umoja wa mataifa pia wanawaamini. Uaminifu wa kazi muhimu. 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
Kombat hizo kali sana, Nawatakia safari njema na majukumu mema, na namuomba Mwenyezi Mungu awarudishe salama na muweze kukutana na familia zenu tena
Wakilud salama nipewe mmoja wapo jamn nawapenda Sana wanajesh I. Love you mjeda
Much much respect say yeeeeer for Tanzania
Yeeeeeeeeeer we growup
mwenyezi mungu awaongoze na kuwapigania Makamanda wetu
Allahumaamiin
Go comrades thats loyalty n selfless duties,,go n returm om safe n sound
Kwann tunaingizwa kwenye vita vya kutengenizwa na wazungu hatujui, umasiki au vip
@@nelsonmikhail2319 A lot may be behind but our soldiers do play their duties only
AF utaskia vimtu ananunua mandege ka kaz gan??? Ndege za nn?? Mmeona sasa nyie WAPUMBAVU msio na vision niwaite vile .....Hapo JWT hajakod kitu cha home icho shenz sana wale current government haters
Evarist wape ukweli wao wanaokebehi juhudi za serikali ya awamu 5. Ni sahihi kabisa unavyowaita WAPUMBAVU.
Nazani leo wamejionea umuhimu wa kuwa na ndege, then ingekuwa hakuna alafu waone shirika lingine tofauti na ya tz utasikia wakisema maneno mengi yasio na mwisho
Hhh
🇹🇿Tz kadumisheni amani uko dfl nawaombeeni mrudi sarama
Nakupenda TANZANIA, MUNGU IBARIKI TANZANIA, WABARIKI WANAJESHI WA NCHI YANGU, KWA DAMU YA YESU MUWE SALAMA.
Mungu awalinde katika kutimiza majukumu yenu viva TPDF
Mwenyezimungu awatangulie ktk kazi yenu
Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki wanajesh wetu wa JWTZ ktk kazi hiyo maana sisi sote ni ndugu, Mungu ibariki pia daffur wapate amani huko sudan
mungu ibariki Tanzania mungu awalinde wanajeshi wetu.
kama mnavo kwenda inshaallah mtarudi pia.
Jamani nawapenda wanajeshi wangu wote wa tz Mwenyezi Mungu awatangulie,mjomba wangu pia mwanajeshi na hata baba yangu mdogo pia so nawaombea sana mrudi salama Amina.
May Godbless Tanzania armies,I also take this opportunity to wish all the best to them.Nawatakia kila lakheri nikiwa Lusaka_Zambia.Gonga like kama ishara ya kuwapongeza Tanzanian citizens.
😋🍑🍉🍊
Mungu awalinde mwende salama na mrudi salama"Amen.
MUNGU ASIWAPUNGUKIE NDUGU ZANGU, NAWAFUNIKA KWA DAMU YA YESU , MUDA WOTE MALAIKA WA MUNGU WAKAWAZINGILE MBELE NA NYUMA KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZALETH.
AMEN🙏🙏
Hongera JWTZ Mkumbuke mnapeperusha bendera ya Ndg zenu 50+millions litakalo tokea ZURI ama BAYA lita reflects hiyo idadi yetu. Ni kama nawaona wale wanao ponda na kuomba kila kitu kinacho fanywa na Serikali hii kidolole ili waingie IKULU wakiomba Dua Mbaya. Mshindwe na mlegee...Nawaza tu kwa sauti
Mwenyezi mungu awatangulie,Watumiaji wote Wa Chombo Hicho,Mfike salama Mkatimize majukumu yenu na Mungu akipenda Mrudi salama..Amen
MUNGU Awalinde Muendako na Mrudi Salama All Comrades Salute
Sijuwi dislike zinatokana na nini! Hope hawa waliyodislike siyo watanzania. Mungu ibariki Africa, Mungu ibariki Tanzania na Mungu libariki Jeshi letu la Tanzania
Damu ya Yesu iwafunike wapendwa.
Mungu awatangulie maana sehemu yenyewe ni darful Sudan ni hatari....mambo ya dream liner the wings of Kilimanjaro
Allah awaongoze inchi yangu Tanzania jeshi mwende salama murudi salama 💪🇹🇿
Allah awalinde kwa kazi zenu za kwenda kunusuru Uhai wa binadam Mungu awalinde kwa kila Shari za huko Muendako
Ishalla mungu awape kilalakheli warudi kwapamoja tens tuwaone tunawapenda Sana'a wanajeshi watu tunawaombea mungu pamoja jpm wotu
Nenden wapiganaj bora wa dunia ktoka Tz we pray for you
good good mungu awaongoze katika majukumu yenu , asante Rais wetu Kwa maendeleo
Mungu ibariki Tanzania mungu wabariki wanajeshi wetu walinde warudi salama kuungana nas tena waongozee wewe ee mwenyezi mungu wape ulinzi warudi salama
Kila la kheri Askari wetu. Mungu awatangulie na kuwapigania huko muendako. Mungu awaongoze.
Mungu wa mbingu na inchi atawalinda tunawaamini na mtaweza,mwende salama mrudi salama, EE Yesu wafunike na damu yako
Mungu wa Majeshi atawalinda askari ndugu zetu wa JWTZ
Asante san majeshi yetu kwa kuzidi kulipa eshima kubwa san taifa letu asante san viongozi wetu wa shilika letu ra ndege kwa kuzidi kukiongoza vyema shilika letu asante san raisi wetu mpendwa na viongiz wetu wote mwenyez MUNGU yupo pamoja nanyi yote
Mungu awatangulie awaepushe na mabalaa wapate kurudi salama, Ni kazi ngumu inahitaji Mkono WA Mungu
Mungu ibariki Tanzania nakupenda nchi yangu milele daima na Mungu ibariki Israel
Mungu ibariki Tanzania na watu wake
Sawa tunaomba mludi salama sisi hatuangaliii kupanda ndege sawa mludi salama mungu awatangulie sio kupanda mandege hayooooo
Mungu baliki Tanzania yetu.Mungu baliki jeshi letu la Tanzania.Mungu awabaliki awatangulie.Amina.
Iloveu Tanzania 🇹🇿💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mwenyezi Mungu awalinde mrudi salama woote, Mungu libariki jeshi la Tanzania, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa
Wale walio furahi na kuona umuhimu wa ndege zetu apa tuwa waombee waliokua wanaponda mana watakua wana mapepo
Mungu awalinde wote. Amina
Mungu awatangulie na kuwalinda
Mungu awasimamie Kamanda zetu
Mungu ibariki Tanzania,mwende salama na mrudi salama
Yesu awafunike kwa damu yake na mrudi nyumbani salama
Mungu awalinde awapiganie muende salama muludi salama ktk jina la Yesu amen
Shoutout Kwa Cameraman Aleshoot hii kazi
A Very good job
Mungu awalinde wasafiri salama na kurudi wenye afya na nguvu tele. Tunawaombea warudi wote kwa idadi yao kama walivyoondoka.Amina
Mwende salama na mrudi salama makamanda👮najivunia kuwa Mtanzania😍🇹🇿
Mungu awajalie safari njema na tunawatakia kazi njema murudi salama makamanda wetu
MUNGU BABA awajalie safari yenu iwe ya heri, Na awalinde popote pale mnapopelekwa, Nimelia mm kwa furaha sana ,MUNBU BABA awalinde
Hii nchi ilitakiwa tuwe mbali sana, Mungu mbariki rais aendelee kuibadilisha Tanzania, yaani mpaka furaha, Mungu libariki jeshi
MUNGU awatuze awalinde wote muende na muludisalama katika jina la Yesu
Jwtz love my country
Msiamini mtu yeyote huko muendako ndugu zangu maana wanadamu hawaaminiki mungu awatangulie katika kazi zenu
Kila la heri mashujaa wetu wa Tanzania mara ya mwisho kaka yangu nilimsindikiza mpk uwanja wa ndege kuelekea huko sudani kwajili ya kulinda amani ila alivyo rudi Tanzania hakuishi mda Allah akamchukua kikubwa Allah awape nguvu huko muendapo
Tanzania g'ara Africa na Dunia nzima Mungu ibariki Tanzania
Mungu awasimamie na warudi salama bila kumpoteza hata mwanajeshi mmoja. Mungu awasimamie moja kati ya kazi ninazozitamani maishani mwangu.
mungu uwatangulie wanajeshi wetu mungu ibariki tanzania.
Magu ni mchpa kazi nafikili atamushauri mwenzake Burundi 🇧🇮.
Muende salama na mludi salama tunawapenda sana wanajeshi wetu Tanzania oyeeeeeeeeee MUNGU awatangulie
Major General Alfred Kapinga. Salute 👋🏽
Hujaombea hata ndugu zetu wanaosafiri ushaanza matusi,mungu akusamehe ..........MUNGU AWATANGULIE NDUGU ZETU MRUDI SALAMA
All the best makamanda..mungu awatangulie ktk kila jambo mlifanyalo huko durfuu
natamani sana namimi nipiganie nchi yangu na waafrica wenzngu
Mwenyezi Mungu awatangulie katika majukumu yenu mrudi salama
mungu awalinde mkaipigania Africa yetu mrudi salama nyumban bado tunawahitaji sana makamanda wetu
Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Afrika. Mrudi wate salama🙏🙏🙏