ASKARI JWTZ WAPAA NA DREAMLINER KULINDA AMANI SUDAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
  • Kundi la kwanza la askari Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ),217 limeondoka leo kuelekea Sudan kulinda amani likitumia usafiri wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kwa mara kwanza tangu kuanza kwa operesheni hizo miaka 12 iliyopita.

ความคิดเห็น • 9

  • @devidpanja115
    @devidpanja115 5 ปีที่แล้ว

    Mungu awalinde awaongoze na awatangulie mkarudi salama tunawapenda sana mashujaa wetu

  • @allymkamba1115
    @allymkamba1115 5 ปีที่แล้ว

    Mungu hibariki Tanzania kwa Hani ribarki jeshii retu

  • @fadhilisheckimweri6624
    @fadhilisheckimweri6624 5 ปีที่แล้ว

    All the best comrades

  • @genimaige6023
    @genimaige6023 5 ปีที่แล้ว

    Mungu ibariki Tanzania, Mungu libariki jeshi letu

    • @puchmambaa6139
      @puchmambaa6139 5 ปีที่แล้ว

      Mungu awatangulie katika kaz za mikono yenu

    • @paullucas2115
      @paullucas2115 5 ปีที่แล้ว

      Kila raheli mungu awatangulie mfike salama

  • @ababuumwana5102
    @ababuumwana5102 5 ปีที่แล้ว +1

    Kweli Sasa Tanzania ni nchi inayotambulika Ulimwenguni Mungu ibakiri Africa na Watu wake

    • @divasonmoke8009
      @divasonmoke8009 5 ปีที่แล้ว

      mdogo wangu nenda kapambane wakizingua wape za kichwa hakuna kuwalea ila nakuombea urudi salama ,mama na baba wanakutakia kila la heri

  • @obyandrew7520
    @obyandrew7520 5 ปีที่แล้ว

    N mwendo wa chenja makamanda kawatulizen wasudan ili wasizuliane