MATUMIZI YA SILAHA ZA MUNGU // Sunday 26,2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- Somo: Matumizi ya silaha za Mungu
Andiko: Waefeso 6:11-18
Pastor: Innocent Leonard Mashauri
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Mtumishi naomba Amani Kwa Kazi yangu na familia ya yangu watoto wangu wasumbuliwa na pumzi nisaidie wapate uzima Kwa Jina la yesu amen
Nisaidie Yesu, usiruhusu shetani aone machozi yangu, adui asiseme yuko wapi Yesu wako. Baba ktk jina la Yesu Damu yako inifunike na nyumba yangu
Asante yesu nashukuru mungu kwanza
Mungu akubariki mtumishi wamungu kwakutufunulia mengi yakiroho Neema yabwana izdikukuongoza🙏🙏
Mungu nipo hapa Na familia yangu Mungu tulinde Na mabaya YA maadui Mungu tusaidie
Ninakupenda Yesu wangu, naomba usinipite
Wee mungu niomba unisaindie katika maisha yangu niangukapo naomba unienue kiimani nisishidwe Amen❤
Usinipite Bwana ingilia kati jambo hili🙌🙌🙌🙌🙇♂️🙇♂️🙇♂️
Asante mtumiahi wa Mungu ubarikiwe sana Sana🙏🙌
Kwa miezi nimelia nikimuomba mungu anipe ushindi didi ya wakora ambao walinyakua channel yangu na kutoa nyimbozote za ibada. Naye mungu ni nani? Sasa hivi natangaza ushindi wake kwa sababu channel imerudi, na ametupa nguvu zaidi kuendelea na kazi yake. Asifiwe mungu wetu milele.
Amen
Amen
Amen
Glory be to the good sabbath God
Bwana naomba kwaajili ya kesho ya watoto wangu wafanyike kua vichwa na sio mkia
Amina mtumishi wa mungu, neema ya mungu ikufunike.
Thank you Jesus for paying My depts
HALLELUJAH BWANA niko hapa unapopita usiniache tenda kwa mfungo huu nipe ushuuda,fungua anga yangu nipokee baraka zangu kwa JINA LA YESU KRISTO 🤲🤲🤲🤲🙇♀️🙇♀️🙇♀️🙇♀️🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Mungu nahomba nijengue nhumba yangu , nihongueseque mshara kazini
Eeee Bwana naomba utende kwa watoto wangu na mzee wangu katika jina la yesu usinipite mokosi
Mungu wa mbinguni utuonekane ktk maisha haya mungu usinipite
Baba naomba utende ju ya watoto wangu katika jina la yesu khristo
Amen
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu .! Majina yangu ni Rita Joseph. Nabarikiwan na kwa sana na maombi yako. Naomba kujiunga na Madhebau Yako . Niko na nusu mwaka kwa Sasa na Kila wakati Mungu anasema na Mimi kuwa nijiunge na Madhebau Yako. Tena anasema na Mimi kabisa kwamba ,,,Amekuita juu ya kuwavusha watu wake Ng,ambo ya pili. Kiimani na Kiroho.
Nahomba mungu nipate wateja mungu
Mungu unayajua yote ninayoyapitia
Mungu anisaidiye katika changa moto ninazo pitia kazini namungu anikutanishe nawatu walio sahihi
Eeeh MUNGU NAOMBA mukono wako kwa maisha yangu
Ubalikiwe sana pastar wewe unahubili injili ya kweli
Naomba mungu ufugue mume na mm nipate sehemu yabishala
Yesu nakuhitaji kwenye maisha yangu
Asante Mungu kwa kuwa hutanipita wala hutaniacha niendelee kuteseka na mapito haya ya ndoa nikumbuke Yesu wangu maana vita ni kali sana peeke yangu siwezi
Yesu niponye miguu yangu inapooza
Amani ya mungu baba amen
Muniombee sana npate ushidi dhidi ya madui zangu
Amen Amen ubarikiwe sana mtumishi 😢😢😢😢😢
Ninaielejesha kiu ndani yangu tena ya kufunga na kuomba roho mtakatifu lejea ndani yangu
Amém Amém Amém Amém 🇲🇿
Amen Amen
Ameeeen and Ameeeen mungu niongezee imani ,Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Amen
Asante YESU
Hallelujah Hallelujah 👏🏿 👏🏿
Asante BWANA YESU NAAMINI MUNGU ATATENDA MAKUU JUU YA NYUMBA YANGU
Nahomba mungu nipate mtagi wa pesa
Amém Jesus Cristo amém glory
Asante mungu kwa siku ya leo🙏
Asante bwana yesu
Biashara yangu na familia mungu atukubuke
Amina mtumishi wa mungu
Nashkur Mungu wang kwa ulinzi wako ,asantee kwaknpigania katika vita dhid ya adui zangu, hautaniacha niaibishwe kamwee, umekua mwema sana kwangu Bwana, nitakutumain wewe siku zote za maisha yangu,
Naitaji kuishi Maisha matakatifu ya kumpendeza mungu
Nahomba mungu nikumbuke 🇲🇿🇲🇿👏
Bwana yesu usinipite
Assnte Yesu
Amen
Bwana naomba ukarejeshe ndoa yangu mume wangu alichukuliwa na mwanamuke mwingine
Amen 🙏
Past nakuhomba unisadie mambo yangu ayahendi kibissa ,🇲🇿🇲🇿🇲🇿👏👏👏
Amina ni kweli kabisa wsnakuja hadi dukani nashika biashata yangu wanatumana
Amém Amém Amém . Félix mozambique 🇲🇿👏
Amém Amém mungu
Ahsante yesu
Mungu.mponye.asila.namqonjwa.aliyo.nayo
Sina la kuandika zaidi ya kusema ahsante yesu kwa wema wako kwangu
Amen and Amen 🙏🙏
Nimalize madeni kulipa na kujengue nhumba yangu nihongueseque mshara kazini
Nimechoka kulia natangaza ushindi kwa jina la yesu
Amen amen 🙏
Nakuhomba mungu nimalize madeni kulipa
Ameen
Asante
Eee baba nakuja mbere zako haja yangu kwako naomba baba yangu niludishie mausiano yangu niludishie mume wangu jesse Paulo mwakwisy
Naomba uporimoshe milima yote iliyopo mbele yangu, niinue kila ninapo anguka, nitie nguvu kila ninapo kata tamaa, niongoze katika njia inayokpendeza wewe Bwana🙏🙏, ninaomba uniinue kiuchumi nisaidie nipate mtaji nifanye biashara,
Amém Amém babá
Asante Kwa siku ya pili
Nipate wateja mungu
Aaaaaameeen
Yesu niponye ogonjwa wa Bawasiri 😢😢
Nahitaji Roho wako Bwana anisamehe dhambi zangu zote nisamehe nahitaji rehema na neema niponye ponya familia yangu na watoto to wangu niokoe na roho ya umauti ikashindwe kunifuatilia na kuwafuatilia ndugu zangu
Bwana usinipite niko hapa mbele zako
Sharom sharom
Mungu nataka nikujue 🙏takasa fahamu zangu, aki na mawazo nisitawaliwe na nguvu za kuzimu, chochote ambacho kinaniondoa katika nafasi yako kiondoe😭😭😭🙏
Ameni
Yesu asifiwe maombi haya yalikuwa yng kabisa YESU kutana na maisha yangu unapowazulu wengine nami usinipite mwokozi wangu.
Jesus, take charge in every situation over my life. Amen and Amen
Barikiwa
Usinipite wazazi wangu na kaka na dada zangu..
Tundai Amani kwa familia Baba unajua wanazopitia kwakukosa kuelewana Mungu ingilia kati usiku huu wa leo usinyamaze😢😢
Bwana mungu usiku huu naomba alama zako kwenye mwili wangu
Amen naomba Mungu anifungue Kwa magonjwa ya kipepo🙏🙏vitu kutembea Kwa mwili 🙏🙏
Yesu naomba unisaidie katika mfungo huu nione mwanga ktk maisha yangu
I surrender my life to Jesus
Sifa na utukufu kwako Ee Yesu
Bwana amenisaidia na kunipa tumaini Jipya nilikuwa katika changamoto nyingi ila nilijiwekeza kwake, nilikubari majaribu yangu, sijahangaika kwenda kwa waganga tumaini niliweka kwake, tubaki tukimuamini kama mtumishi asemavyo hapo majaribu yanaweza kuchukua miaka ila usikate tamaa endelea kumtumainia MUNGU, Sasa namshukuru MUNGU
Eeh BWANA YESU Naomba Ukanifanikishe katika njia zangu zote
Kupitia maombi haya
Usinipite Yesu unapodhuru wengine, wewe ndiyo mtetezi wangu
Mungu wa mbinguni niponye katika usiku huu baba
Eeh baba naomba unikumbuke kwa huu mfungo kwa hizi siku saba
Najiungamanisha ktk madhabahu hii Yesu wangu niponye
Amen MUNGU nakusihi uniponye ndoto na koo langu🙏🙏🙏🙏
Asante yesu kwa wema na fadhili zako bwana
Mungu asate kwa familiar yangu naomba tusaidie tupare pesa ya kujenga nyumba ya mama Eeee mungu tusaidie
Eee Mungu naomba unisaidie katika biashara yangu Mungu nipate wateja kwa jina la yesu
Bwana usinipite pokea hitaji langu
Moyo wangu nataka kutembea nawe Yesu wangu