MAAJABU YA MAPACHA HAWA MAMA YAO MZAZI HAWAJUI/WAKIUMWA WANAUMWA WOTE/WANAWAZA PAMOJA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ค. 2021
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
MAAJABU YA MAPACHA HAWA MAMA YAO MZAZI HAWAJUI/WAKIUMWA WANAUMWA WOTE/WANAWAZA PAMOJA
#Bonatv #Exclusive #Mapacha - บันเทิง
kunawengine awo wanafanana Kama aho wanaishi tabata changombe mwenyezi mungu nijarihee namimi nipate mapacha wangu wa2kama aho Amina❣️❣️🙏
Mashaallah wanavyofanana mungu nijaliena nami nipate mapacha hongereni warembo😍😍😍😍
Hata mi ni pacha..Amabao wako pacha like zangu naomben 🙏💕👭
Hongera na Mimi nawezangu tupo watatu❤
Tupo my dear team twins community
MUNGU Fundi Mno 🙏🙏🙏GOD is so Adorable 🙏🙏
Mi napenda story hiz z mapacha😍😍😍Mungu nijaalie n mm nizae vijipacha vyngu in Sha Allah
Inshaallah
Amen
In shaa Allah
Waooo.namm.pia tuko mapacha
Pia mm naomba mungu anijalie
Ooo jaman mwenyez mungu nijalie kizaz chamapacha na mm
MASHAALLAH. mm dada yangu anao mapacha wakike pia.yani kila siku akinitumia picha lazima niulize uyu nani kulwa au doto.paka leo siwajui kama wachina yani.mashaAllah
Mnapedeza. Sana Ila tu huyo pacha mwingine aolewe tu jamani wawe wanatembeleana tu,
Mashaa Allah Mashaa Allah Mashaa Allah yaa Allah tujalie na sisi yaarabb
Nguvu kuu asili iwalinde na kuwatunza na kuwabariki mapacha, wakubwa zangu, Mimi ni nazo ya kufuata mapacha japo walirudi Asilini
Hongereni sana 😘😘😘😘😘🌹🌹🌹🌹
Hongera kwao wanafanana sana huyu ambae Hana Mume mie nipo Tayari kuoa na nitawapenda wote Doto upo tayari
Manshaallah tabarak Allah ♥❤.
Mwenyezi Mungu mtukufu Subhanah wataala awakinge na shari na husda za mahasidi Inshaalllah 🤲🏻
Juzi niliona picha ya kinaigeria ya mapacha ambayo wanahisi pamoja sikuamini kumbe kweli wapo,Mungu ni mkuu Sana..
Ee mungu na Mimi unipe mapacha wanao fanana katika uzao wangu Amina
shida ya pacha mukishikana sana kwakila kitu ila maisha tofauti kuna mmoja atafariki mapema kama mm niko na pacha wangu ila kashaniacha ashatangulia mbele ya mungu
Hi no 6
Mashallah ya rabby naomba nijalie watoto mapacha 🤲
Amin
Ameen
Utapt mamy mmi ninao
Aamin namie pia mpenzi
@@liliandominaic5629 mashallah my love congratulations my dear me inshallah Allah ani bless
Nimewapenda hatarii,hapo in finger print ndio tofauti, kwalivyofanana huyo ni MTU mmoja ,very lovely girls.
Nimesoma na mapacha jamani wanapendana hawa huwakuti wanamashoga yani wenyewe tu na hawagombani ovyo 😂😂😘
Kua na watoto mapacha ni raha sana mashaAllah yarrabi nijaalie na mm
Wamepishana. Sauti
In Shaa Allah amiin thumma amiin Yarabbil Aa'lamin YaRahman Rahim
Kulwa ana sauti nzito na inakwaruza kuliko doto..So nice indeed
Sauti ya pombe😂😂😂
Beautiful due to their twin bonded love; could they hav been patient may be the Lord may have bless them married by twin bros too.
Warembo, voices of worship and preaching...
+
Jamani napend mapecha Allah nijalie namimi nikiolewa unijalie mapecha amina
Mungu nijalie nilicho kibeba kiwe mapacha wakufanana
Napenda mimi jaman Eeer MUNGU nijaalie na mimi🙏
Had rah mashaallah
Warembo kweli mungu awape Maisha marefu 🤗
Masha allah Allah nijalie na mimi nikiolewa nipate mapacha Ameen
😂😂😂
Nitafutie 0777 814883
0716841642...Piga nikupe nina asili ya mapacha but,Nina MKE amepacha na mpenzi wa nje anao...Karibu na wewe nikupe!!!
@@shukuranikibona5893 😂😂😂😂😂 kweli au
@@manasadunia3458 Ukweli kabisa... reality mom..!
Waaa this two girls are indeed beautiful ❤️❤️👏👏👏👏👏💐🎉
Nice wame pendeza xana na kuhusu wanacho kizungumzia ni kweli kuhusu wa toto mapacha mmoja Aki umwa ni wote hata Mimi ninao pia nawangu niwakike pia
MashaAllah Tabarakallah.. Ila sauti zao hazifanani huezi kukosa kuwajua
Ndio
Sauti zao hazifanani
Mungu awachariya wote Dada 🇰🇪🙏🌹🌹🍎🍎🤍🤍
Katika pacha nnao wapenda bas ni hawa wa mfuko mmoja nice hutenganishwa na kifo tuu ila sio binadamu
Jamani mapacha wazuri mungu awalinde ,nami pia ninao wakike na wakiume ila wananitoa jasho naniwakubwa miaka 15 lakini ni hatari
You are real beautiful twins
NAPENDA tu vile wanavyopendana l do love them.
Nimewaakubar sana wadogo zangu❤️
Yaan wanaongea wao mapacha nacheka mm😂😂😂jaman napenda sana ila sipati . Namuomba Allah anijalie nipate inshallah 🙏🙏🙏🙏
Jmn wanafanana kama sisi tunavyofanana lkn kuna tofauti kidog kweny saut lkn pia kulwa n mwembamba kidog Dotto mnene kidog. Yaan story yao haina tofauti na yao kama vle mama, marafk, majran na ndg wengne kutuchanganya n kawaida sana. Na cc wakat mwingne huwa anauliza ww n kulwa ama Dotto?, Kuhusu kuumwa na yenyew n hivyo. Kiufupi the way walivyoelezea halika n kwel. Nmependa mnavyoishi Mungu awape maisha marefu. Nmefeel vzr sana kuwasikiliza natamani niwaone jmn live ❤❤🎉🎉🎉
Kweli kuna tofauti kidogo Doto ana uso mpana kidogo kuliko Kulwa
Ila wazur sana
Allah kawajaalia Mashaallah♥️
Ma sha Allah Allah awaeke in sha Allah
Mashaallah nmewapenda
Mamayangu ana mapacha namimi nikiolewa nizae mapacha insha allah❤😅😊
Ameen🤲🏽
Ameen
Mungu nijaliye na mimi wa Toto mapacha 🤲🤲
Mmefanana sana Mungu naomba unijalie mapacha
Mungu anijalie nani mapacha
Mashaallah ❤❤❤more blessing
Nawapenda mapacha sana huwa nikiwaona nafarijika mno
Nataman mungu anipe mapacha nawapenda sn
Mnanikumbusha mbali sana
Sisi ktk mtihani ilikuwa tunajisahau tunaandika jina moja sasa hapo kazi kwake mwalimu hizo alama aweke kwa sauda au saida 🤣😂
😘😍😚😗 warembo sana Mungu awalinde
Nice identical,,....❣️
Mungu anijalie pchaa
Mmoja mnene mwengin mwembamba. Mmoja sauti kavu na wengine sauti nzito
Kweli mmoja mnene mwengine mwembamba, wala hawajafanana kiiivo unaweza kuwatofautisha😅
Masha'Allah wazuri
Woooooh ni nzur but hapo kwenye Mume Sasa...😊😊🤗
Sasa mimba mlipataje
Ata Mimi mke wangu ni mapacha wanafanana Sana alafu mke wangu nlishawahi kumuita shemeji alafu nao walibeba Mumbai pamoja na wakazaa watoto wanafanana Sana mpaka nlpata tuhuma kwa baadhi ya watu kuwa huenda nilideti nao wote
😅pole
Mungu awaeke in sha Allah 🤲
Mashaalah, wamefanana mpaka sauti, warembo sana
Hpn sauti hazifanani huyu wa kushoto ana sauti ya mapozi
Wa kulia sura yake pana kidogo
Asante wajina umeandika kiswahili🤔🤔
Wow Masha Allah
MashaAllah nimewapenda sana
❤❤ Mungu awabariki nyote
Mashaallah ❤️❤️ jamani wamefanana kweli💥nimewapenda nami natamani nipate mapacha🙏🙏
Tofaut zao mmoja nwongeaji sana kuliko mwingne
Na kulwa kasura kake kembamba kidogo
indeed fearfully and wonderfully made.
Jmn Mungu🙏 nawapenda ❤❤❤❤
Jmn mpka raha ❤❤❤❤, nawapend san mapcha
Wangu hawafani lakini wakiumwa na tabia wanashare ❤❤❤❤ maanake walishare placenta moja
Kabla hujawauliza nan mkubwa nan mdogo tayar kwakuwatazama tu nikajua nan mkubwa nan mdogo usually nina mapacha Alhamdulillah pia mama zangu wadogo mapacha my family kuna mapacha fully na ninaomba mungu anipe tena mapacha inshaallah.
Lkn pia mama zangu mapacha hao waliposwa pamoja, waliolewa siku 1 na waume zao nimarafik mno wanaopendana kias kwamba mungu akawapa wake mapacha maashallah
Daah very interesting had nataman km wangkuw wa kwanguu😍😍😍
Mungu awajalie moyo wa kupendana hivo hivo milele🌹💖👏
Ya rabbi nijaalie na mm nipate mapacha wawili dua zenu naomba
Amiin sote Yarabbi
Sasa akipata mime!!!??
@@ashanassour1139 Ameni. Hitaji la moyo wako likatimie kwa uweza wa Mungu.
@@lucyhusein4043 si umesikia amesema yeye hata asipoolewa ni sawa?
Mmmh 🙏🏻🙏🙏 good!
Mimi na kulwa wangu tulitoa kali std 1 hadi form iv darasa moja na benchi moja enzi hizo hkn viti, tulikuwa tunakalia madawati,
Ila mapacha watu huwa wanawapenda mnnooo lkn walishindwa kututenganisha
Pia pacha huwa na hila mbaya hujiona wao ndio ndugu sana kuliko ndg wengine japokuwa wote wamezaliwa na baba na mama mmoja
Hadi nikatamn, eeeh Mungu niajalie namie🙏 mapacha
Amin atujaalie sote in sha Allah
Hongereni..sauti azifanani
Kitu ambacho sitaki kabisa ni mke wangu kuniletea mapacha. Ee Mungu naomba watoto tofauti ila MAPACHA sitaki
Sauti ni tofauti pia kulwa ame changamka sana wazuri ❤❤❤❤
mashaallah hongern❤❤❤
Mapacha wangu haooo nawapenda Sana Awana tabu na mtu
Half ni wazuri nimewapenda sana
They look together too much 😜😜😜
Mtangazaji na mapacha wanavithethe kama umegundua hili weka like hp
Kurwa saut yake inakwaruza na anakithethe Sana kuliko doto waskilize kwa Makin! Na kimuonekano Doto siyo muongeaje sana
Wawo mungu nijalie na mm
Hawa inapendeza Sana kuwaoa wote wawili.🤣😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🤔
God bless
Mtangazaji upo vizuri sana
Maashallah maashallah maashallah maashallah
Napenda.apacha
Mungu naomba nijaalie nami nipate mapacha
Mungu simama na mm nipate mapacha
In shaa Allah mungu nipe namie mapacha
Maashaallah
Yarabby nijaalie namimi Amiin👏👏
Amiin
Mungu nipe hitaji la moyo wangu
Waoooo Kama wadogo zangu wanaonifata,Ila wao Ni wakiume
Mashallah, inapendeza sana. Mwenyezimungu awalinde na jicho la husda
I have facings the same,to my twins daughters
Mashallah ❤❤❤❤❤
In Shaa Allaah Mungu atakupa Mume bora Mammy Dotto... Nawapenda sana mammy zangu Allaah awalinde na killa shari.
U look very beautiful 😍 ❤
sema wanacomfidance sana ma sha Allah😘wapewe movie wacheze watz tuenjoi zetu uzao wa nyumban.
Ee mungu nijalie na mimi mapacha
Acha kuwataka hao wasumbufu niulize mimi
Nimewapenda jamani mapacha wenzangu waoo
Yarrabi nijaalie na mie nipate mapacha inshallah
Amiin
Amin
Amiin
Amini
Amin
Wanafanana sio ajabu mama kuwachanganya me mwenyewe wa kwangu wana miaka 7 nikitoka safar nawauliza