La muhimu hapa jamani ni tabia ziwe nzuri waweze kudumu sio mavazi mazuri wala nini watu wanavaa vzr na siku mbili wanaachana jueni muhimu ni tabia waungana wangu ni km huyo ila nina miaka 20 sasa ya ndoa na hana kokoro hadi raha
Mie mume wangu anavaaga kama huyo hanaga mambo mengi ila anapendaga mie nipendeze ila kiheshima. Hawa wanaume wa hivi jaman wanakuwaga wapole sana nampenda sana huyu mwanaume Mungu alonipatia.
@@user-zl5mt6lk4n Sasa anahela gani....sherehe IPO hivyooio....hakuna ata Dolla Moja aliyomwaga! Acha maneno ww! Gentlemen's are smart and posses dollars!
Mungu wa Ibrahimu awabariki kwenye ndoa yao na damu ya Yesu Kristo iwalinde dhidi ya watu wabaya
Mayatima wenzangu wa mapenzi wakwap 😭😭😭 hongera dada 🎉🎉
Tupo hapa🥲
Nalia kimya kimya 😢😢😢😢😢 Mungu awabariki
@@LughanoSaidusinichekeshe mim 😂😂
Achen wivu yaani huyo ndio mwanaume mwenye kujiheshim mpaka kwenye mavazi yaani kapata mume huyu dada
Na upara wake Hadi Raha seems he has manner
Ila umejua kutuweza wallah kichwa cha habari na video ni vitu tofauti kabisa😂😂😂 umetukomesha wambea😅
Hahaaaaaaaaa Kwa kwel
Umeona eee😂umbea umeniisha 😢😢
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Siiangalii yote Asante Kwa comment yako 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Jaman hongera sana Lucy mmh hiyo mbio nimeipenda nimejifunza kitu my dear
Uyu dada Ana mapenzi jamani❤
Smile is everything halloooo mmependeza❤
😢😢😢😢😢😢Kuna hawa 😅 halafu niko yatima mimi
Bwana harusi ana makusudi jamani kaaah
Beautifull nakumbukia yangu ilivyokuwa ❤❤❤❤❤
Hapo kwenye kijana mpole, hadi shem wetu kashituka "mimi"😮😅
Mashallah adi raha mwaya❤🎉
Adi rahaaaa❤
Wow best MC ever
Amependeza sana
Najitabilia ndoaa 2024 kwajina la yesu atatenda
Ongera sana Dada mungu awalinde
Bwana halusi hataki mambo mengi kama mm 😂😂😂
Mashallah, mungu abarki ndoa yenu
Yuko simple adi rahaaaaaa
😊Hongera sana dada furaha yenu na idumu
Wamependezana mashallah
Hongera my
IPO siku na mm Mungu atajibu maombi yangu bado sijakata tamaa😢😢
Ucjal dada mungu humpa kla m2 kw wakt wke
Masha Allah ❤
Huu ujasirii nautoa wapii mim jaman uwiiiii🎉🎉🎉🎉❤❤😢
😂😂😂😂 nimecheka balaaa utaupata tuu
Ongera sana
Maskini mimi yatima wa mapenzi 😢!enewei..
Unafkiri upo peke yako basi😅😅😅
Wanaume wa aina hii wanakuwaga wanaupendo mkubwa sana
La muhimu hapa jamani ni tabia ziwe nzuri waweze kudumu sio mavazi mazuri wala nini watu wanavaa vzr na siku mbili wanaachana jueni muhimu ni tabia waungana wangu ni km huyo ila nina miaka 20 sasa ya ndoa na hana kokoro hadi raha
❤️💐💐waooo
Sema utu kaka mzuri nyiee
Ikawe heri kwenu ❤❤❤
🎉jamani si atokee mmoja anipende hiv 😢😢
❤❤❤❤❤
Likaka flani lizuri 😅😅😅😅 goja niendelee kutesek 😢
Walipendeza ila mke ako moto sanaa😅😅😅
Atapendeza cku ya ndoa
Mwanammee kavaa simpo tue hana mambo ya kinadaimond kavaa ki king kiba no matashititi 😄
Wanawake tunajua kupenda😂😂
😂😂😂hyo kazi mlio mpa bwana harusi ya kushika hyo feni ni balaa
😂😂😂😂😂😂
Hahaaaaaaaaa ila ww
Wakat wanakuja mbele nilizan mzima kumbe kalewa hahahah ila mzuriii
Mbn hajakimbia😂😂ss
Yani huyu kaka Yuko Kama wa kwangu hataki mambo mengi Ila Ana upendo sana
Msitutishie jmn
@@hawaramadhani6954😂😂😂😂😂
woow jmn!!Na iwe ya kher jmn❤
Bwana harusi kapendeza watu hawajasanuka tu kavaa kulingana na umri wake na mwili pia
Exactly
Jamani mngu awabaliki
Umenibamba😂😂😂
Mmependezana ❤
Bora kavaa kawaida ila ana behave...sio wale wenzangu na mie mwaka wa kufosiii😅😅 anakuaibisha mpaka unajuta
Kapendeza kaka wa watu na wanapendana sema hataki mambo mengi
kuma la mama akob
Ndo bahati yake awe kavaa hovyo awe kalewa ndo wake tuwaombee waishi kwa amani na upendo basi
😂😂😂😂
Mie mume wangu anavaaga kama huyo hanaga mambo mengi ila anapendaga mie nipendeze ila kiheshima. Hawa wanaume wa hivi jaman wanakuwaga wapole sana nampenda sana huyu mwanaume Mungu alonipatia.
Una mme kama wangu
@@mgesijoseph7912 hongera jaman
Mmetosha
gauni bustani😢😢😢
Watu sijui wanapataga wapi wanaume wakuwaowa
Mkop o
Acheni wivu mbona kapendeza Sana
Pacha wa zailisa ??
#MC UMETISHA SANA MPE SALAM #DJ KAPANGILIA SANA NMEMUELEEA ANAKITU ATAFIKA MBALI
Kaaah! Mume kaa mwalikwa aliestukizwa
Atalipuka siku ya harusii 😅😅😅
@@jacklinenkane821 kwakweli
But sherehe so yakee ni mwalikwa tu
Jamn mtuombee na sisi tupate wa naume
Umeanza kuwa muongo
😂😂😂dada ucjimalize Hawa watu hawana dhamana ya moyo 😂😂😂😂najikuta nacheka km mazuri
❤❤❤❤
Jamaa yupo vyombo
😂😂😂😂
Basi angevaa japo shati la mikono mirefu.
Mwenzio karidhka huona anavyomchezea😂
😂
😂😅
Dj niuwe unikunywe supu😢😂❤❤❤❤❤❤
😂😂😂Polee
Yeye kashaolewa tutabaki oo shati halijachomekwa.
😂😂😂kweli
Kabisaa 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Kikumbwa mali imeletwa kwetu😂😂
Asa mbona hatujaona mbio jamani wambea tukome
mmekula zangu ovyo kabisa
Yan kunamud nawek band ili tyu niangarie wanaofung ndoa napend
Aaan😅😅
Umejua kutukomesha wambea
Yaani😅
Yaaan wangu hajui hata kujitkisa😅😅😅
Ndo ukome 😂
Ooh mtabaki kusema kavaa vibaya ndo kashaoa hivyo
Sasa amezua gumzo gani jamaniii hapooo😀
naomben shemej yenu asicheze mm mwenyewe nitashindwa vumilia nitacheka nikae chin nguo ichafuke bure
Amevaa simpo had raha
Hata cheza yake anaonekana mwema
Hizo title zenu ban
Na mimi Mungu anijalie nipate Mume wakujiheshimu kama huyu baba jamani maana vijana wa siku hizi daah!
Ni balaa nakwambia
Amependeza yu
Kikubw uzma2 nakueshimian
Anambio
😂😂😂😂😂😂😂
Hawa wenzetu wanaume cjui wanawapataga wapi jamni khaaa mungu atusaidie tuuu jamni
😂😂 nikimwangalia mume 😅😅 limelew San na huo mshati😮😂😂
😂😂😂😂😂😂
Kuvaa ni art
Hama unapokaa utapata tu mume mwema maana mazingira ya unapoishi yanachangia kukosa mume In'shaallah utapata
Greace
Pombe ikizidi ina haribu shughuli😂
Hahaaaaaaaaa
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mc katokisha nitakupa mwaliko
Ila bi harusi umechachuka
Jmn apo kwa bwana harusi kushika feni😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Tuache kwa selective
Mbona kavaa hovyoooo? Hakumuandaaa?😮
Anamjua mwanaume wake. Anapenda kumwona hivyo
Af mbna kapendza jaman ingawa kalewa 😂
😅😅😅kapendza tu watu wananongwa nao
Weee watu walivyowengi lazima atoe aibu na pombe kdg😂😂😂
Hao bado hao mashauzi mengi sana sijui kama watafika miaka 5
Ww yako imefika mingapi jiheshimu!!
Dah nataman ila bhas tu
Bibi harus mtu wa disco nini mbona nyimbo zote kashika kichwan ila wapo vizuri sana kila la heri kwenu
Sio wa disco. Mdada flan hvi akili mingi
Wengine hawapendi mambo mengi
Wenye peasa hawanaga mambo mengi aisee duh! 😍🤭😍🥰❤️
Msichana mzuri Wallah
Basi ata angechomekea ilo shati lake jamani
Kwakweli hakupendezakabisaa
Achomekee anakiuno hiko
@@najmasalim-rg6ow😂😂
wanaume wenye pesa nto walvo hawana urembo we kaa tu subiri mume mrembo utakosa mengi
@@user-zl5mt6lk4n Sasa anahela gani....sherehe IPO hivyooio....hakuna ata Dolla Moja aliyomwaga! Acha maneno ww! Gentlemen's are smart and posses dollars!