ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
PART 1: JIONEE ALIKAMWE ALIVYOWAZUNGUMZIA PACOME, CHAMA, AZIZ KI NA DUBE/ WASILETE TIMU ZAO UWANJANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Wa kwanza naombeni like zenu
Yanga inatumalizia mbz acha ituue tumeipenda wenyewe 😂😂
😂😂 msemaji wetu jamani 💚💛💛💛💚
Mashaallah semaji la kimataifa Allah muondoshee Khusda Inshaallah
Ali ni kichwa mnoo alivyopangua ishu ya Dube
Saaaanaaaa huyu jamaa ana kipaji kikubwa
Kamwe big up katika kujibu maswali ya mitego kiufasaa. Nimeipenda hiyo.
Huu ni wakati wa club ya yanga kuleta kombe la club bingwa Africa hapa Tanzania maana kikosi kinasadifu. Kikubwa tuwaombee jamani ktk mpambano wa msimu ujao.
Mwenyekitii ❤
Welcome home Duke Abuya
Prince clatous key pakamwe😂😂😂❤🎉
Prince clatous Kii Pakamwe😂😂😂😂Raha sana🎉
Kamwe bana daaah😂
Gonga like kwa semaji
Icons za football kwa wachezaji ni kweli ziko Jangwani hususan msimu huu, kazi iliyoko mbele yetu ni kublend na kuleta matokeo chanya.
Mwenyezi Mungu alikuwa na makusudio ya kutuumba ili #Tumuabutu#Tumlilie#Tumsifie.
Bina damu tuna haiba subira na maarifa. Langu kwa timu ya yanga ni subira ili timu yao isitoboe makundi ktk Club Bingham Afrika. Inshaallah, Mwenyezi Mungu nizidishie afya na upendo wako.
18 on trending hongereni sana Crown 👑 media
Daaah naona kama ligi inachelewa
Crown 👑 media mpo vizuri sana .
Yanga ni Bonge la dudeeeeeee 🎉🎉🎉
Ali max pia ungeunganisha kwenye jina lako
Msemaji tunae
💚💛💪
Mpaka watuombe radhi hao makolo maana tabu IPO pale pale
Majcyo mpira Kaka chunga kauli zako
@@user-vq4pl2ov6z nashukuru kama umelitambua hilo mana anayesajil vizur ndio anakuwa Bora siku zote huwez ukawa Bora kama hujasajili vizur fatilia hilo nenda Madrid au man city utagundua hicho kitu
Ukweli mchungu😂😂😂
@@FirdausyAbubakary-bl2wo umeona hawataki ukwel
Jina lake naniii😂
Akili kubwa sana hongera kaka
Thanks Kenyan
Duke🙏🙏🙏🙏🙏🙏
HUYU NDIO MWENYEKITI WA WASEMAJI WOTE WA CLUB ZOTE BARANI AFRIKA!! HUYU NDIO MSEMAJI NI BURUDANI HATA UKIWA UNAMSIKILIZA.HONGERA SEMAJI LA WASEMAJI WOTE BARANI AFRIKA!!
napenda sana
semaji la klab bingwa 💚💚💛💛💚💚💚💛💛💛💚💚
DAPC itakuja kuua mtu (Dube Azizki Pacome Chama)
Hiyo imekaa DAPC
Prince key cloutus pa kamwe 😂😂😂nimeipenda hiyoooo,,,,
Usikivu mzuri Sana kwenu studio.
💯📌
Nice
Asante Sana
Mashallah
Safi sana semaji umejibu vema sana issue ya Dube
Semaji La Mabingwa Wakihistoriya💚🇹🇿
GSM!!!GSM!!!GSM!!!!GSM!!!!💪💪💪✅💛💚💚💚
Alikamwe alitaka kusema cross nyoko😂😂😂😂 dakika ya 19
Crown naomba mzingatie backsound iwe ya kiasi tu,ikiwa kubwa kama hyo inaharibu
Ali 😂😂
Kwakweli wala hatumiii kusikiliza issue za Yanga acha tufurahieee❤
Yanga inaenda kuitikisa africa nzima msimuu unaoanza anaebisha asemeee,,,,,
Ulisema simba watapoteza mechi nne na kweli ikawa vile
Backsound punguzeni
Kabla hamjaanza intervew yanga africa yangapi mbona bando limeisha
😂😂😂😂😂😂😂😂 saw Semajiiiiii letu
Aii🙏🙏🙏🙏🧡💛💚💚💛
👍
Msemaji ni msomi ayo maswali wasemaji wengne wangaingia chaka
Leo yanga wanatabulisha national?
Haahahahaaa🎉🎉🎉🎉 Pakamweee🎉🎉🎉Semaji la FIFA🎉🎉🎉
🔋🔋💚
Mbona Geof Lea kanuna?
❤❤❤❤
Allah akbar
TRENDING
Kuna watu wamenuna umo
🎉🎉apewe mauwa yake alikiba tunakubal
Mwiko nyuma
Yanga
Semaji la mabingwa
Naichukia simba miee?😡😡
Ilo juma ayo ( )
Hilo liloinama ni aibu au
Prince pacome kii pakamwe
Yanga no klabu kubwa mchezaji mwenyewe anavutika kuchezea Yanga.Mayele anajutia kuhama Yanga lkn ameyamwaga.Azizi hajali pesa nyingi anaumia na Yanga
Kila la kheri prince cleotus ki pacamwe
Inatisha yanga
Pokes Maua yako Ali Kamwe una uelewa was kutosha ktk fani yako were no msemaji kweli.umejibu vizuri kuh.suala LA Dube. Hivi ndivyo anavyodekea fani yako.
😅😅😅😅😅hapo kwa boka Cross dongo dube atakoma
Semaji letu linatisha
Mifumo au shape bado nitatizo
Kamwee. Umewapata. Kweli wambea. Midia. Umewajinu. Short. Cut. Hasaa
Huyu c yule anaeropoka kwa jiran bl fact comedian tu yule hamn kitu
tabu iko palepale
Waandishi. Wakinongo. Sikuzote. Mnabezi. Saana. Kwa. Makolo. Mmesema. Sanna. Uwongo. Mwingi. Ila.ujuwe. Mwisho. Wa. Ubaya. Ni. Fefheha. Tuuu. Leo. Nyie. Simnajuwa. Kila. Kitu. Munamuuliza. Nini. Msemaji. Wetu. Mstaarabi
Ety pazul San mbna mnamlazmshaa hapasifie kizul kna jiuza WCB 4life
Wa-Tanzania wanapenda sana kudanganywa ndio maana hata hawa viongozi nao ni waongo mno. Ukimsikiliza huyu asilimia kubwa ya maongezi yake ni uongo mtupu
kaongea uongo wapi? tuainishie huo uongo
Huna akili. Na wew ni mmoja wa wanaopenda kudanganywa
Kumamako
Kumamako
@@user-zd8lf5xj3n hata mama ako anayo hiyo. Mjinga mmoja. Unashindwa kua na stara na kinywa safi unaropoka mitusi tu akili utapata saa ngapi. Kafie mbele huko na stress zako
Muda gani kipindi
Alikiba hama uko njoo upate rahaa uku kwetu yanga bingwa adi 230