PART 2: ALIKAMWE AUCHANA USAJILI WA SIMBA "Sisi tulishatoka Huko siku nyingi"/ TAREHE YA JEZI MPYA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Asante sana Semaji Ally Kamwe Mungu azidi kukubali sana sana
Habari crown media ?, aisee huyo Ally kamwe yupo very smatt sana katika kutoa habari nampa kongole nyingi sana mungu ampe maisha marefu na baraka nyingi saana
Kwani hao Simba hawana wachezaji wenye umri mkubwa hadi sasa?Mbona wapo akina Kapombe,Hussein,Che Malone,Onana na wengi wengineo.Chama na Baleke tu ndiyo walioongezwa kutoka Simba ambao ninyi ndiyo mnawasema wazee.
Point sana
1 GSM
2 UONGOZI
3 MASHABIKI
Ali Kamwe nakukubali sana una upeo mkubwa sana bigup Yanga
Mkianza kujenga Sanam ya GSM mm wakwanza na mifuko kumi ya simeti niko tabola
Yanga wanajua Ku-BRAND WACHEZAJI wao kwa kweli..... Huyu Baleke pia Atafanya vizuri im sure
Crown ipoo juu
Ally Kamwe ana matani mengi sana ila ikifika kwenye ukweli anasema ukwel congratulation Ally
Kamwe ni professional spokesman
This lad is very smart
Uongo, uongo, uongo uongo uongo mkubwa kweli kweli.
Waambie kabisa ukweli. Hakuna mchango wowote uliotoka kwa wanachama wala viongozi wa serikali.😊😊😊😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Good
Good news
Alikamwe ni msemaji ila ahamed ni mchekeshaji
Leo nimeangalia Crown media kwa sababu ya msemaji wetu, vinginevyo siwezi kuangalia kwa sababu ya baadhi ya wachambuzi vimeo waliochukuliwa hapo,
Weye kama mie tu
Yeees hapo umenifurahisha saaaaana hapo ulisema Mkude bado tunaye na pia Musonda kipenzi chetu waoooh zile pilika pilika za Musonda pale golini nazipenda sana
Unajuw w nd mm kabisa kwny kila engo
Jamaa anajua sana kukera😂
Salute from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hapo kwa mashabiki ni sawa@ mobeto
Yanga ni Bonge la dudeeeeeee 🎉🎉🎉🎉
Semaji La Mabingwa💚🇹🇿
Imerekodiwa na sim flan kavunga tu lakini anamaanisha tecno..
naam kwa ukweli Ali pc kamwe yu sahihi
Ally Kamwe ametulia saaana kwenye usemaji.. Kule upande wa pili ni COMEDIAN...
Kwenye kila mafanikio ata mpiga debe ataonekana smart sana,,, kwenye simba yenye migogoro na cahangamoto nyingi ila ahmed ameweza kutulia na kutengeneza mifumo ya sisi mashabiki kuendelea kuifwatilia team yetu na hizo comed ndo zinawapa uhai team yetu
@@Mrdigital. no bro.. uKatuni saana anafanya.... seriousness ni ndogo
Kutazamwa let's wait
Smart kwa wenye ushabiki naye
Hamna msemaji humu
Mwamba Sana huyo alikamwe
Thank you kwani maana take ni thank you thank you ni Asante wewe una yako
Shida ya Paul Mkai anafanya kipindi ili kumaliza muda siyo kumaliza Mada, nimkatishaji mzuri sana anaboa
Tumelipa kadi ya uwanachama,wanachama tumechangia kumbakisha Aziz,give us our credits
Haka kajamaa bana😊
Siyo keeling kwamba huyu mzuri kuliko huyu kila mtu apambane na mwandishi wake
💚💚💚💚💚 good 👍
Fact yanga tunajua kutunza na kulinda wachezaji wetu
Km Mayele mmemtunza 😂😂😂
Uongooo uongoooo uongooooo😂😂
Ally kamwe umetisha kaka
Kausha dam Azizi ki
uyo juma ayo anauliza swali anazunguka weeeee mpaka anakera
😂😂😂 Prince Chotas pakamwe upo sahihi sana
Semajiiiiii lamanaaa San 😂😂😂
Prince Chrotas Ki Pakamwe
Katika wasemaji wanaojua mpila ally kamwe anaujua mpira sio mtu unaongea hovyo tu bila uhalisia
Hao waandishi wa habari kabla ya kutoa habari wazifanyie kazi ya uchunguzi kwanza
Kamweukopoa sana wahabarishe
Huyo Juma hivi kweli anajua ya kuwa wakati Yanga wanamsajili Saido Simba waliwasema Yanga wamesajili mzee na hatimaye Simba wakamsajili
Free agent huyo
Inaitwa Augsburg ndio timu yetu ya mkoa wetu ni miongoni mwa timu tatu kubwa katika jimbo la Bayern.
1)Bayern München
2)Nürnburg
3)Augsburg
Hizo ndio timu kubwa katika jimbo letu la Bayern na zote zipo Bundesliga
Hawa si ndio walisema wananchi lipeni pesa za uanachama Ili ipatikane abaki Aziz ki
Maude chama mchezaji wa Azam🎉🎉
Noma
Msemaji yupo vizuri sana sema wanamradhimisja awataje simba
😂😂😂😂😂😂huyo ndio ali mwana wa kamwe, wachane wapasuke hao makoloboi a.k.a vibatari lunyasi
Sema unachojiskia ally 😂😂
Shule ndogo
🙌🙌
Mnawataka wachezaji wasiona ugumu wa kuwapata hahahaaa wote mmechukua wengi waliomaliza mikataba
Hakika ww ni mwamba
Waambie hao
Tunaomba na Pemba isikilikane jaman isiishie unguja tu Zanzibar nivisiwa viwili sio Unguja tu mnatunyima kwanini
Juma ayo asiongoze tena kipindi
Kwa sababu waliwapatiaga kamulungula wakatufunga 5
Sema watu waumie
Wewe ndiyo unatoa pesa wangeongea kina GSM
Hatuu hatuu hatuu hatuuu hatuuuuuuu
Ubingwa wa afrikaa nkazi kuubeba
Kalamba goli nne
Kama waandishi tuwe tunauliza maswali ya msingi kuendelea kusisimua habari tunazozitoa.
Simba shirikisho tunachukua
Mhhh huyu Ali kamwe kama mwehu vile
Hilo shoga hilo
Tunajua yanga inasaidiwa naviogozi wa serikal
Simba sio watu wa ball
Wachawi nyie kila kitu kinamwisho
Kwan Baleke n mchezaj wa simba?? Baleke ni mchezaji wa mazembe
Ili lichambuzi vip unalazimisha mtu asemee klab nyingine
Naomba kutunza hii Interview
Ni Bure tunza tu😂😂😂
😂😂😂 tunza na za ubuntuuu
HVI HUYU NJITI ANAJIONA KAMA YYE NI TOP YA TZ WAKATI MBUMBU MMMOJA
Yanga.tamu.wape.saramu.kamwe
Kelele za nini tukutane kwa show brother
Muuliza maswali mwenye upala Una maswali mazuri Sana sema ally kamwe anakwepa swali anapinda hawe muaz kuwa Simba ina wachezaji wazuri na ndo maana wanachukua waliotemwa na mwana runyasi
Ali kamwe bonge la semaji
Mbona kama anapaniki msemaji?
Anataka makolo wakasirike bila d mbili uwezi elewa 😂 jokes
Wanasimba acheni chuki na comment zenu mbaya wehu nyinyi
Ww ndo mwehu..........
Mwehu mwenye we am na Ally komwe wenu
Kolo wamevurugwa..wote mwezi mchanga..mtatukoma
@@josephlorri431 vyura mbona mnatoa sna mlio🫢
Mapenzi akaamua ku sign mwaka mmoja, Haya Mapenzi au method
Usiwatukane ngoja inyeshe tuone panapovuja tuone tarehe8
Wewe unachukua wachezaji wote uliochukua yupi kavusha timu yake nusu halafu unajisifu
Timu ya 15 africa
Lakini inashinda mataji 😂
😅😅😅
Utazimiyatena
Huyu mbwa anaongea nini kwani
Unawazema azam kwani wewe Madeley huweezi kukutana naye
Tuliza komwe iloo hassan wee kakushinda mke tu utaiweza simbaa dgo fatumaa wee😘
Please usihukumu usije ukahukumiwa please mind your own Business please
@@naliakafatuma9870 punguza shobo na comment za baba zako ww sungura tope
@@naliakafatuma9870 punguza shobo na comment za baba zako wadg we sungura tope
kamezidi kupepeta mdomo@@naliakafatuma9870
Huyu sas ndo afisa habari c yule comedian
Huyo simba kabsa hana hanachojua kwny mpira(juma Ayo) hajui kuchambua kbs
Ayo ni UTOPOLO
Usajili wa kausha Dam kamwe acha uwongo
Hiyo jama ni Simba nini
Huyu ally kamwe mbona kama mchicha mwiba
Sasa wewe Ally komwe 😅😅😅😅 unapataje ujasili wa kuiongea simba haikuhus subli lig Debora hakuhus komwe wewe kweli
Acha uwongo
Mbona kapanic vp si umeulizwa kawada2 mzee sasa unapanic nini spo 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
GSM MWAMBASANA
Uyo juma Ayo hajui kuchambua mpira