Mnakosea sana kumsema Juma Ayo. Yeye sio mchambuzi bali ni muongoza kipindi ndio maana humuoni akichambua bali muda wa kuuliza maswali huwa nanatoa maswali mazuri sana na mengi.
Jaman mm po nkai mkari wa dimba nampenda sana anavotangaz naomba anitumie Bamba yake privet nije nitumie zawad niufurahishe moyo Wang naitw Hussen Niko Kigoma unatangaz had nafrah
Crown ni super sport iliop nchin yang ni hayo wachambuz wote wazur na ukikuta nin wanachambua unaelewa nin maan ya michezo❤❤❤
Mnakosea sana kumsema Juma Ayo. Yeye sio mchambuzi bali ni muongoza kipindi ndio maana humuoni akichambua bali muda wa kuuliza maswali huwa nanatoa maswali mazuri sana na mengi.
Acheni kumuhalibia kaz juma ayo na atakaa sawa atafanya vzr tu bado mchanga tumtie moyo naatakuwa vzr soon
Crown 👑 👸 🤴
Mnajua sana
Mwanetu Jemedari yupo wapi?
hansRafael ni mtu wa mpira,ni moja ya vijana wanaojua kuusemea mpira..asemavyo ndivyo ilivyo
Jaman mm po nkai mkari wa dimba nampenda sana anavotangaz naomba anitumie Bamba yake privet nije nitumie zawad niufurahishe moyo Wang naitw Hussen Niko Kigoma unatangaz had nafrah
Jaman mtoeni uyo sjui juma Ayo sijui nan atajua mwenyew ila hapa mmepigwa hajui kuchambua
Hapa ni nyumbani
Hata lugha anayotumia si ya kimpira mpira
Juma ayo ni muongeaji wa udaku tu
Ata baba Levo anaongeya sport
Mpeni kipind kingine hiki cha kuchambua mtoeni hajui kuchambua michezo kbsa
Nani ujamsema😂😂😂
Juma ayo hajui kitu na hana haiba ya mpira