Mzee said nataman nikuone mzee wangu siku moja pia nakuombea Kwa mungu uishii maisha marefu saana na enjoy saan kumwona huyu mzee wangu big up changamba😂
Mzee anaongea ukweli kabisa sis washabiki yanga na simba timu itakayofanya vibaya sijui kama tutawakubali wachezaj wetu, ila sasa hivi kila mtu anaongea lake,,,!😮
😂😂😂😂ila Mzee said jamn saido kaenda umerudi Kwa mavunde na mobetto ety mama ndo yanatakiwa ayo kuitangaza tz duuh nimecheka sana jmn ila chama kapendeza na jezi zetu bhn
Leo nimekuwa wa kwanza liga like kwa mzee said
Mzee side we love you so much Young African fans
Mzee Said saa hii amekuwa brand
Yeah it's true
Changamba awe anaweka namba y mzee said tuwe tuna m support anafurahisha sana
@@eliudmasha9530 haswaa
@eliudmasha9530 shida watu wanamsumbua
Mzee saidi ni mmoja tu mtandaoni 🔥🔥🤣🤣
❤❤❤❤❤you mzee said kwa kweli unanisogezea siku kwa furaha
Mzee Said unanifurahisa sana unanifanya nicheke
From congo nakupata father said like your interview
Mzee Saidi bhana,hauna mtoto wa kike nije kuoa mana natamani uwe ata mkwe wangu Kwa kwel unanipa raha sana
Yan Mzee Said Tu Ni M’moja Tu Kwa Bongo Nzima❤🎉
Mzee said mungu akubaliki kila siku unazidi kuleta furaha ndan ya bongo
Wawe wanamlipa asipoteze nguvu bure
Jamaniii jamaniii jamaniii haya nilikuwa namsubili mzee saidi jamaniii chagamba na mzee saidi chagamba anainjoi sanaaaaaa 😂😂😂😂
Umeonaeeee hatari sana, nilikuwa namsubilia
@@SadatiRajabu miee mzee saidi tuu 🤣🤣🤣🤣
Kabisa
@@Shadia544shadya
Mimi nainjoy Sana kwa mzee said nafurah Sana daah mungu akuweke Sana mzee
Mzee Saidi ni mmoja tu🎉🎉🎉🎉
Mzee said mwenyezi mungu akuweke unanifuraisha sana
Mzee saidi, arajiga, mobeto na azizi ki nacheka sana. Watu wanashaanga nacheka nini kumbe huyu mzee. Mzee Mungu akuneemeshee barka.
Mzee said nataman nikuone mzee wangu siku moja pia nakuombea Kwa mungu uishii maisha marefu saana na enjoy saan kumwona huyu mzee wangu big up changamba😂
Huyu Mzee yupo vizuri sana kwenye interview 😊
Hahaahahah ! Mzee side azizi yupooooo 🤣🤣 ! Jin lakooo 😂
Coacher wenu amerudi Rwanda mzee saidi
Kocha gani jamani
Pole mzee said maumivu bado yapo palepale
Sijui itakuwaje😂
Kila nikimwangalia Mzee saidi Yani nafuly kweri Mzee mungu akupe maisha malefu
Mungu akulinde mzee wetu
Chagamba hongera sana kwa kutuletea mzee Saidi . Kwa mzee saidi nacheka kwa vituo😂😂😂🤣🤣
Mzee said ndio anatendea haki bundle langu
Nakupenda sana Mzee wangu Mzee said hakika tuna furahi sana baba hongera Kwa kipaji hicho.
By Erick malipesa kutoka ilemba sumbawanga.
Mzee saidi kweli inshaaala tutakupelekea Azizi key. Juwe yanga taifa kubwa wamemtumia bebeto kumzugua Azizi key kuongeza Mkataba.
Mzee Saidy 😂😂😂😂,Mobeto 😂😂😂. Safi sana nikisikiliza interview za huyu mzee siku inaenda vizuri kabisa 😂😂😂.
Mzee said what is which 😂😂😂😂😂😂😂😂
Jaman Nampenda sana Mzee Saidi,Anafurahisha sana,Chagamba tunaomba utuleteee kila siku,hachoshi kumsikiliza
mzee saidi inakusemesha kweli kwel,👏👏👏👏
😂😂😂 eti UYUGU UYUGU 😂😂😂
Kutoka Oman 🇴🇲 nakukubali sana mnyamwezi mwenzangu mzee said 😂😂😂
Mzee said 😂😂 🔥🔥 changamba uwe unaweka namba ya mzee said awe anapata hela ya chai aise anatupa raha sana Yanga fans
Mzee said tunampenda 😊😊😊😊😊
😂😂😂😂nmecheka Sanaa ila Mzee said
siipendi simba mimi nampenda mzee saidiiiiiiiii❤❤❤❤
Huyu mzee anafurahisha sana 😂😂
Ety ukatuue vizuri 😂😂 ugomvi wa alajiga upo palepale chama coming yanga the better what is which mdomo mtaoza mzee saidi nimekutafta toka asubuhi 😂😂
Mzee said tengeneza lipa namba watu wawe wanakurushia hela ya maji
Mzee anaongea ukweli kabisa sis washabiki yanga na simba timu itakayofanya vibaya sijui kama tutawakubali wachezaj wetu, ila sasa hivi kila mtu anaongea lake,,,!😮
Daaah natamani nikuone mzee said😂
Mze saidi nakufata nikiwa 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 100%
😂😂😂😂😂 mzee wetu
Karakashanee maana yake ni kurupushani ya kugombania kitu. Nabahatisha Mzee side.
Havi mzee said naweza kukuona wapi live? Mana uko vzr Kwa kiengereza
Oa njooni uku mzee saidi anaongea
😂😂😂😂🙌🙌
Mzee said 😂😂😂😂😂 you make us laugh 😂😂😂❤
Mzee said ❤❤❤❤❤❤❤ wewe ni noma bwana
Mzee Said nakukubali sana Babu!
mzee saidi ❤❤❤juu nakukubali sana
😂 nilikua nasubiri uy mzee kwa hamu baada ya kubaki kwa ki Stefani
Mzee said unafurahisha sana
chagamba fanya kitu ongea hata na alikamwe Mzee said akutane na Aziz ki
Mzee said unajua mpira na wewe ni mkweli well done ✅
Mzee said usiumie bhana
Ety azizi ki ni shemeji yetu 🙌🙌😂😂😂😂 mzee Saidi. 🤔🤔
Wewe mzee said huelewek yan ndio tatizo la watanzania wengi unafiki ndio ugonjwa wao wakuzaliwa nao.
Huyu mzee Bwege kweli yaani K kasaini kisa Mobeto😂
Ndo namkaaa nakutana na mzee wetu side boy😅😅😅nacheka tu.
Chagamba mm ulikuwa ulisha niudh umetuchereweshea sana Mzee wetu
Chagamba Naomba namba ya mzee said nimtumie chochote ananfurahisha sana
YANI much love mzee
Mzee Saidi mwambie Chagamba Aache kuwahoji maguluguja!
Mzee kingereza chako nimekielewa sana, mie mwenzako nipo, kingereza hakiniusu.
Mzee said mungu akupe umli miefu unanifulahisha san
Hapo mzee Said dirishani huwa anafanya nini kila siku
Afu ndo mara waaa mzee Said anajua na English 😂 aise watafaidi wengi wallah 😂😂
Fokosssss mana yake mini?
@@vedastusmlavumba1158Maana yake ni "toka"
Big up mzeeh said yan mzeeh unajua mpak una furahisha
Mzee said ni matata sana njoo yanga upate raha
Safisana Mzee said nilikua nawaza mb zangu zinakata bila kusikia manenoyako matam😂😂😂😂❤
Aziz ki,Mavunde,Arajiga,Saidoo na mzee Said dam dam 😂
Mzee Said leo mnyoge mnoooo😂😂
Yani mimi najikutaga nacheka sana nikianza kumsikiliza mzee said😂😂😂😂
Mzee anamuogopa sana azizi ki kama corona😂😂 ila anasema ukweli Simba mjipange
Mzee Saidi hatareeh sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Ila Huyu mzee SAID ni mtu na nusu sana, nmtu wa maana kabisa SIMBA, Binafs namkubali:
“nawajua kuliko wanavyojijua wao” MANARA
Ehe twende ukatue vizuri😊😊
Mzee said😂😂😂 once you see him it's too late❤
Kwenye kupigwa goli kumi mbona mzee saidi kapoa sana. Waache wazurule tu
Mzee haki ya nani utanilipa mbavu zangu kwa kingeleza chako
Nkubali mzee said na gamba
Nakukubari mzee saidy😂😂😂
😂😂😂😂ila Mzee said jamn saido kaenda umerudi Kwa mavunde na mobetto ety mama ndo yanatakiwa ayo kuitangaza tz duuh nimecheka sana jmn ila chama kapendeza na jezi zetu bhn
😂😂😂😂
chagamba , mwambie baba angu mzee saidi anipe vocha ya 2100,, maana toka umeanza,vipindi vyako na mzee saidi sijawai kukosa
Mzee saidi unanifurahisha sanaa changamba una tupa raha
Mobeto ni Simba, kwanini asimshawisha kuamia simba kama kweli kabaki kwa ajili yake?
Bubu tenaaa😂😂😂😂😂😂😂😂 chezea marekan
Sema mzee unajua mpila
Mzee Said welcome Yanga 😂😂😂
Ila mzee said 🔥🔥🔥🔥🔥
hamna anayekuchukia mzee said na burudani zote
Mzee saidi Hadi laha 😂😂😂
Mzee ana hekima sana na anajua ushabiki na wala hana miemko
Mzee Saidi 😂😂 naona umeshawahi kuwa mchekeshaji sasa maana watu tunacheka tu huku
Mzee said noma sana leo umeniuwa mbavu zangu😂😂😂
Ulikua na umri gani kujua kama ukigusa comment mara tatu ni kuicopy?
Me you TANZANIA
Mzee said bwana
Chagamba ni mbeya huyooo et Ali kamwe huyooo kasema mtakula 10
Nimeamua kuludia tena kumsikiliza tena mzee saidi 😂😂😂 . Kalaka shinee 😂😂😂. Hakuna ngendembe 😂😂😂😂😂
Waoooooooo🎉🎉🎉🎉❤
😂😂😂😂 eti ningekuw najua kingereza nmecheka