MZEE SAID AKIRI KUMKUBALI AZIZ KI ACHEZE TIMU YETU YA TAIFA TU| MANARA CHANZO CHA CHAMA KWENDA YANGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 293

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 23 วันที่ผ่านมา +53

    Leo nimekuwa wa kwanza liga like kwa mzee said

  • @neemadaniel6233
    @neemadaniel6233 23 วันที่ผ่านมา +40

    Mzee side we love you so much Young African fans

    • @salimkadenge3231
      @salimkadenge3231 22 วันที่ผ่านมา +3

      Mzee Said saa hii amekuwa brand

    • @neemadaniel6233
      @neemadaniel6233 22 วันที่ผ่านมา +3

      Yeah it's true

    • @eliudmasha9530
      @eliudmasha9530 22 วันที่ผ่านมา +2

      Changamba awe anaweka namba y mzee said tuwe tuna m support anafurahisha sana

    • @neemadaniel6233
      @neemadaniel6233 22 วันที่ผ่านมา

      @@eliudmasha9530 haswaa

    • @trice_yanga
      @trice_yanga 22 วันที่ผ่านมา

      @eliudmasha9530 shida watu wanamsumbua

  • @kapondadr5840
    @kapondadr5840 23 วันที่ผ่านมา +38

    Mzee saidi ni mmoja tu mtandaoni 🔥🔥🤣🤣

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz 23 วันที่ผ่านมา +14

    ❤❤❤❤❤you mzee said kwa kweli unanisogezea siku kwa furaha

  • @jambia4515
    @jambia4515 23 วันที่ผ่านมา +24

    Mzee Said unanifurahisa sana unanifanya nicheke

  • @musahairikha8135
    @musahairikha8135 22 วันที่ผ่านมา +5

    From congo nakupata father said like your interview

  • @daudikisoma2284
    @daudikisoma2284 23 วันที่ผ่านมา +15

    Mzee Saidi bhana,hauna mtoto wa kike nije kuoa mana natamani uwe ata mkwe wangu Kwa kwel unanipa raha sana

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 23 วันที่ผ่านมา +10

    Yan Mzee Said Tu Ni M’moja Tu Kwa Bongo Nzima❤🎉

    • @FosterBwalya-rh9lh
      @FosterBwalya-rh9lh 23 วันที่ผ่านมา

      Mzee said mungu akubaliki kila siku unazidi kuleta furaha ndan ya bongo

    • @mesuitozil1527
      @mesuitozil1527 22 วันที่ผ่านมา +1

      Wawe wanamlipa asipoteze nguvu bure

  • @Shadia544
    @Shadia544 23 วันที่ผ่านมา +17

    Jamaniii jamaniii jamaniii haya nilikuwa namsubili mzee saidi jamaniii chagamba na mzee saidi chagamba anainjoi sanaaaaaa 😂😂😂😂

    • @SadatiRajabu
      @SadatiRajabu 23 วันที่ผ่านมา +1

      Umeonaeeee hatari sana, nilikuwa namsubilia

    • @Shadia544
      @Shadia544 23 วันที่ผ่านมา +1

      @@SadatiRajabu miee mzee saidi tuu 🤣🤣🤣🤣

    • @faustalutambi8101
      @faustalutambi8101 23 วันที่ผ่านมา +1

      Kabisa

    • @vangraphixvan8320
      @vangraphixvan8320 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@Shadia544shadya

  • @salumuomari
    @salumuomari 22 วันที่ผ่านมา +4

    Mimi nainjoy Sana kwa mzee said nafurah Sana daah mungu akuweke Sana mzee

  • @MwanahamisiMchombo
    @MwanahamisiMchombo 23 วันที่ผ่านมา +9

    Mzee Saidi ni mmoja tu🎉🎉🎉🎉

  • @OctavianJohn-og7wg
    @OctavianJohn-og7wg 22 วันที่ผ่านมา +4

    Mzee said mwenyezi mungu akuweke unanifuraisha sana

  • @kampista11
    @kampista11 23 วันที่ผ่านมา +4

    Mzee saidi, arajiga, mobeto na azizi ki nacheka sana. Watu wanashaanga nacheka nini kumbe huyu mzee. Mzee Mungu akuneemeshee barka.

  • @user-li6zg6tg7o
    @user-li6zg6tg7o 23 วันที่ผ่านมา +6

    Mzee said nataman nikuone mzee wangu siku moja pia nakuombea Kwa mungu uishii maisha marefu saana na enjoy saan kumwona huyu mzee wangu big up changamba😂

    • @abdulrazaqkatoma5648
      @abdulrazaqkatoma5648 22 วันที่ผ่านมา +1

      Huyu Mzee yupo vizuri sana kwenye interview 😊

  • @user-zx1vk9pr1w
    @user-zx1vk9pr1w 23 วันที่ผ่านมา +12

    Hahaahahah ! Mzee side azizi yupooooo 🤣🤣 ! Jin lakooo 😂

  • @DicksonNasibu-tv7vr
    @DicksonNasibu-tv7vr 23 วันที่ผ่านมา +10

    Coacher wenu amerudi Rwanda mzee saidi

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 23 วันที่ผ่านมา

      Kocha gani jamani

  • @DavidSwila
    @DavidSwila 23 วันที่ผ่านมา +9

    Pole mzee said maumivu bado yapo palepale

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 23 วันที่ผ่านมา

      Sijui itakuwaje😂

  • @user-mq4rg9lu4h
    @user-mq4rg9lu4h 23 วันที่ผ่านมา +2

    Kila nikimwangalia Mzee saidi Yani nafuly kweri Mzee mungu akupe maisha malefu

  • @user-qu1ut5ri2z
    @user-qu1ut5ri2z 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akulinde mzee wetu

  • @bonifacekankoma9663
    @bonifacekankoma9663 22 วันที่ผ่านมา +1

    Chagamba hongera sana kwa kutuletea mzee Saidi . Kwa mzee saidi nacheka kwa vituo😂😂😂🤣🤣

  • @MohammedIsmail-fw9vn
    @MohammedIsmail-fw9vn 23 วันที่ผ่านมา +6

    Mzee said ndio anatendea haki bundle langu

  • @erickmalipesa1018
    @erickmalipesa1018 21 วันที่ผ่านมา

    Nakupenda sana Mzee wangu Mzee said hakika tuna furahi sana baba hongera Kwa kipaji hicho.
    By Erick malipesa kutoka ilemba sumbawanga.

  • @issaabdi9129
    @issaabdi9129 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mzee saidi kweli inshaaala tutakupelekea Azizi key. Juwe yanga taifa kubwa wamemtumia bebeto kumzugua Azizi key kuongeza Mkataba.

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee Saidy 😂😂😂😂,Mobeto 😂😂😂. Safi sana nikisikiliza interview za huyu mzee siku inaenda vizuri kabisa 😂😂😂.

  • @MeddyRaymond
    @MeddyRaymond 23 วันที่ผ่านมา +5

    Mzee said what is which 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mwanaidimtengo8151
    @mwanaidimtengo8151 23 วันที่ผ่านมา +1

    Jaman Nampenda sana Mzee Saidi,Anafurahisha sana,Chagamba tunaomba utuleteee kila siku,hachoshi kumsikiliza

  • @phineusfredrick4921
    @phineusfredrick4921 23 วันที่ผ่านมา +1

    mzee saidi inakusemesha kweli kwel,👏👏👏👏

  • @thomasnachenga795
    @thomasnachenga795 23 วันที่ผ่านมา +4

    😂😂😂 eti UYUGU UYUGU 😂😂😂

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kutoka Oman 🇴🇲 nakukubali sana mnyamwezi mwenzangu mzee said 😂😂😂

  • @eliudmasha9530
    @eliudmasha9530 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee said 😂😂 🔥🔥 changamba uwe unaweka namba ya mzee said awe anapata hela ya chai aise anatupa raha sana Yanga fans

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 20 วันที่ผ่านมา

    Mzee said tunampenda 😊😊😊😊😊

  • @Graciousmom679
    @Graciousmom679 21 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂nmecheka Sanaa ila Mzee said

  • @AdmiringBackgammon-lp5kd
    @AdmiringBackgammon-lp5kd 21 วันที่ผ่านมา

    siipendi simba mimi nampenda mzee saidiiiiiiiii❤❤❤❤

  • @manawamarco6511
    @manawamarco6511 22 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mzee anafurahisha sana 😂😂

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert 23 วันที่ผ่านมา +3

    Ety ukatuue vizuri 😂😂 ugomvi wa alajiga upo palepale chama coming yanga the better what is which mdomo mtaoza mzee saidi nimekutafta toka asubuhi 😂😂

  • @nancynana2818
    @nancynana2818 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee said tengeneza lipa namba watu wawe wanakurushia hela ya maji

  • @SelemaniSelemani-bw4ps
    @SelemaniSelemani-bw4ps 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee anaongea ukweli kabisa sis washabiki yanga na simba timu itakayofanya vibaya sijui kama tutawakubali wachezaj wetu, ila sasa hivi kila mtu anaongea lake,,,!😮

  • @user-vj6py9tq9v
    @user-vj6py9tq9v 23 วันที่ผ่านมา +2

    Daaah natamani nikuone mzee said😂

  • @jeansindayigaya1257
    @jeansindayigaya1257 23 วันที่ผ่านมา +3

    Mze saidi nakufata nikiwa 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 100%

  • @JaphethChuwa
    @JaphethChuwa 23 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂😂😂 mzee wetu

  • @andreamlela1383
    @andreamlela1383 23 วันที่ผ่านมา +2

    Karakashanee maana yake ni kurupushani ya kugombania kitu. Nabahatisha Mzee side.

  • @waitvaletparkingtab
    @waitvaletparkingtab 21 วันที่ผ่านมา

    Havi mzee said naweza kukuona wapi live? Mana uko vzr Kwa kiengereza

  • @PaulTango-he8qo
    @PaulTango-he8qo 23 วันที่ผ่านมา +4

    Oa njooni uku mzee saidi anaongea

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee said 😂😂😂😂😂 you make us laugh 😂😂😂❤

  • @MoriceBahati
    @MoriceBahati 22 วันที่ผ่านมา

    Mzee said ❤❤❤❤❤❤❤ wewe ni noma bwana

  • @adolfmedard5758
    @adolfmedard5758 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee Said nakukubali sana Babu!

  • @mamuumamuu7743
    @mamuumamuu7743 22 วันที่ผ่านมา

    mzee saidi ❤❤❤juu nakukubali sana

  • @user-ug1nv3xl4d
    @user-ug1nv3xl4d 23 วันที่ผ่านมา +2

    😂 nilikua nasubiri uy mzee kwa hamu baada ya kubaki kwa ki Stefani

  • @Dolea-p4x
    @Dolea-p4x 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee said unafurahisha sana

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 22 วันที่ผ่านมา +1

    chagamba fanya kitu ongea hata na alikamwe Mzee said akutane na Aziz ki

  • @privatarimo4811
    @privatarimo4811 21 วันที่ผ่านมา

    Mzee said unajua mpira na wewe ni mkweli well done ✅

  • @user-kd9tc4tl5f
    @user-kd9tc4tl5f 23 วันที่ผ่านมา +3

    Mzee said usiumie bhana

  • @AlexjohnGowele
    @AlexjohnGowele 23 วันที่ผ่านมา +1

    Ety azizi ki ni shemeji yetu 🙌🙌😂😂😂😂 mzee Saidi. 🤔🤔

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 22 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe mzee said huelewek yan ndio tatizo la watanzania wengi unafiki ndio ugonjwa wao wakuzaliwa nao.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 20 วันที่ผ่านมา

    Huyu mzee Bwege kweli yaani K kasaini kisa Mobeto😂

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 22 วันที่ผ่านมา +1

    Ndo namkaaa nakutana na mzee wetu side boy😅😅😅nacheka tu.

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 23 วันที่ผ่านมา +1

    Chagamba mm ulikuwa ulisha niudh umetuchereweshea sana Mzee wetu

  • @ChenyBae
    @ChenyBae 22 วันที่ผ่านมา +1

    Chagamba Naomba namba ya mzee said nimtumie chochote ananfurahisha sana

  • @salimkadenge3231
    @salimkadenge3231 22 วันที่ผ่านมา

    YANI much love mzee

  • @user-nt4ov8uv4n
    @user-nt4ov8uv4n 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee Saidi mwambie Chagamba Aache kuwahoji maguluguja!

  • @phineusfredrick4921
    @phineusfredrick4921 23 วันที่ผ่านมา

    Mzee kingereza chako nimekielewa sana, mie mwenzako nipo, kingereza hakiniusu.

  • @user-gj1bx9ow3u
    @user-gj1bx9ow3u 22 วันที่ผ่านมา

    Mzee said mungu akupe umli miefu unanifulahisha san

  • @MohammedIsmail-fw9vn
    @MohammedIsmail-fw9vn 23 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo mzee Said dirishani huwa anafanya nini kila siku

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 22 วันที่ผ่านมา +1

    Afu ndo mara waaa mzee Said anajua na English 😂 aise watafaidi wengi wallah 😂😂

    • @vedastusmlavumba1158
      @vedastusmlavumba1158 22 วันที่ผ่านมา +1

      Fokosssss mana yake mini?

    • @JosephineItambu
      @JosephineItambu 21 วันที่ผ่านมา

      @@vedastusmlavumba1158Maana yake ni "toka"

  • @user-ff4zm3hk7b
    @user-ff4zm3hk7b 22 วันที่ผ่านมา

    Big up mzeeh said yan mzeeh unajua mpak una furahisha

  • @mzuhatngambwa3497
    @mzuhatngambwa3497 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee said ni matata sana njoo yanga upate raha

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj 23 วันที่ผ่านมา +1

    Safisana Mzee said nilikua nawaza mb zangu zinakata bila kusikia manenoyako matam😂😂😂😂❤

  • @ibrahimmagesa892
    @ibrahimmagesa892 21 วันที่ผ่านมา

    Aziz ki,Mavunde,Arajiga,Saidoo na mzee Said dam dam 😂

  • @MagrethKyaruzi
    @MagrethKyaruzi 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee Said leo mnyoge mnoooo😂😂

  • @edwardpaulo3351
    @edwardpaulo3351 22 วันที่ผ่านมา

    Yani mimi najikutaga nacheka sana nikianza kumsikiliza mzee said😂😂😂😂

  • @ManumbuManumbu-o8c
    @ManumbuManumbu-o8c 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee anamuogopa sana azizi ki kama corona😂😂 ila anasema ukweli Simba mjipange

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 23 วันที่ผ่านมา

    Mzee Saidi hatareeh sana 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @WadhifaFaidawadhifa
    @WadhifaFaidawadhifa 22 วันที่ผ่านมา +1

    Ila Huyu mzee SAID ni mtu na nusu sana, nmtu wa maana kabisa SIMBA, Binafs namkubali:

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 22 วันที่ผ่านมา

    “nawajua kuliko wanavyojijua wao” MANARA

  • @juma6253
    @juma6253 22 วันที่ผ่านมา

    Ehe twende ukatue vizuri😊😊

  • @DOLLARKID-pb8gs
    @DOLLARKID-pb8gs 22 วันที่ผ่านมา

    Mzee said😂😂😂 once you see him it's too late❤

  • @Simbeye8
    @Simbeye8 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kwenye kupigwa goli kumi mbona mzee saidi kapoa sana. Waache wazurule tu

  • @allydaud612
    @allydaud612 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee haki ya nani utanilipa mbavu zangu kwa kingeleza chako

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 21 วันที่ผ่านมา

    Nkubali mzee said na gamba

  • @user-er9mk2in1r
    @user-er9mk2in1r 22 วันที่ผ่านมา

    Nakukubari mzee saidy😂😂😂

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 22 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂ila Mzee said jamn saido kaenda umerudi Kwa mavunde na mobetto ety mama ndo yanatakiwa ayo kuitangaza tz duuh nimecheka sana jmn ila chama kapendeza na jezi zetu bhn

    • @petrowililo
      @petrowililo 22 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @stevensimbeya2212
    @stevensimbeya2212 23 วันที่ผ่านมา +1

    chagamba , mwambie baba angu mzee saidi anipe vocha ya 2100,, maana toka umeanza,vipindi vyako na mzee saidi sijawai kukosa

  • @edinamwanasenga1584
    @edinamwanasenga1584 23 วันที่ผ่านมา

    Mzee saidi unanifurahisha sanaa changamba una tupa raha

  • @mamsimsimbwa5243
    @mamsimsimbwa5243 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mobeto ni Simba, kwanini asimshawisha kuamia simba kama kweli kabaki kwa ajili yake?

  • @victorernest7702
    @victorernest7702 22 วันที่ผ่านมา +1

    Bubu tenaaa😂😂😂😂😂😂😂😂 chezea marekan

  • @IsraelMtafya-fq2lf
    @IsraelMtafya-fq2lf 22 วันที่ผ่านมา

    Sema mzee unajua mpila

  • @mahirnassor3118
    @mahirnassor3118 20 วันที่ผ่านมา

    Mzee Said welcome Yanga 😂😂😂

  • @RichardAmos-eo9dh
    @RichardAmos-eo9dh 23 วันที่ผ่านมา

    Ila mzee said 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mwanawagurti4959
    @mwanawagurti4959 22 วันที่ผ่านมา +1

    hamna anayekuchukia mzee said na burudani zote

  • @paulwalker4383
    @paulwalker4383 20 วันที่ผ่านมา

    Mzee saidi Hadi laha 😂😂😂

  • @stevenayubu1607
    @stevenayubu1607 21 วันที่ผ่านมา

    Mzee ana hekima sana na anajua ushabiki na wala hana miemko

  • @kitulageorge5123
    @kitulageorge5123 20 วันที่ผ่านมา

    Mzee Saidi 😂😂 naona umeshawahi kuwa mchekeshaji sasa maana watu tunacheka tu huku

  • @JumaSango-yo8bj
    @JumaSango-yo8bj 22 วันที่ผ่านมา

    Mzee said noma sana leo umeniuwa mbavu zangu😂😂😂

  • @ramajr3762
    @ramajr3762 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ulikua na umri gani kujua kama ukigusa comment mara tatu ni kuicopy?

  • @PacchaYassin
    @PacchaYassin 22 วันที่ผ่านมา

    Me you TANZANIA

  • @jonasmalima9143
    @jonasmalima9143 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mzee said bwana

  • @floribertebalo5009
    @floribertebalo5009 22 วันที่ผ่านมา +1

    Chagamba ni mbeya huyooo et Ali kamwe huyooo kasema mtakula 10

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq 22 วันที่ผ่านมา

    Nimeamua kuludia tena kumsikiliza tena mzee saidi 😂😂😂 . Kalaka shinee 😂😂😂. Hakuna ngendembe 😂😂😂😂😂

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 22 วันที่ผ่านมา

    Waoooooooo🎉🎉🎉🎉❤

  • @eliastony9528
    @eliastony9528 19 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂 eti ningekuw najua kingereza nmecheka