clame unatisha , apa nafata filamu sasa musimu wa kwanza ilikuwaka comédie zako , apa unatisha , endeleya ivi Congo APA tunaona kitu kutoka kwako sasa, courage mingi, ulitosha wapi uyu jama tena, alikuwa akicheza zamani sana,
Yaan mnaboa mijitu mizima kila mtu anapambna kusema nimekua wakwanza et naomba like,Sa izo like ziwasqidia nn labda kama sio upumbavu na utoto unasumbua vichwan mwenu,badala ya kujadiliana kuhusu hii movie na tumpee like clam Maan ndo muhusika Lakin nyinyi mnapambn kuomba like sjui kwakipi mlichofanya mpk mpewe like.zamwamwa nyie
"hivi unaweza kuamini Mwanafunzi anaweza kuwa bora zaidi kuliko Mwalimu wake"😂😂😂😂😂 labda jamaaa alienda chimbo lingine au alienda Kwa Mwalimu wa Mwalimu wake ngoja tuone😂😂😂😂😂😂😂 Mko good sanaaaa
Kazi nzuri, crew nzima inajitahidi. Kwa upande mwingine ungeangalia namna ya kuingiza mapato direct kupitia viewers wako kwa kufikiria kutengeneza app yako ambayo mtu atakuwa anatozwa kiasi flani hata kama sio kikubwa ili waweze kuona kazi zako. Hii itasaidia kuwa mbunifu na kutengeneza kazi nzuri zaidi. Asante
Naomba unijibu clam ..nani kaku shauri umlete mwamba chili ..daaah ..Bonge Moja movie Kali kutokea ...ahsante Kwahili ..THE EMPRESS OF KANUMBA THE GREAT......
Clam unajua sana br Kwa ushauri pia br jitaidi sana kuibua vipaji Kwa watoto kwasababu nikitazama wahusika nafasi ya watoto haupo ila nakukubali sana br
Mkenya wakwanza hapa nipeni like mbili tu.
Wario furahi Zinga kupewa na kitu kizito like apa pls
Nimefurahi ila nahis atarudi😊
Zinga anakula nyama ya vijakazi we endelea kufurahi maana me nilinuna atamuachaje mshangazi peke yake 😂😂😂
Amekufa vibay
😂😂😂
Zinga Jau Sana Ule Atarudi Tu
Yani hii movie mwakatobe ametafuna kuku Sana sihii movie ikiisha kuku nao watakua wameisha ak nawapongeza kwa Kaz nzuri from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
La communauté congolaise 🇨🇩 vous dit merci 🙏 pour le travail fourni. L’équipe clam recevez mes sincères félicitations 🎊🍾🎉🎈.
Habar zenu mupo salama vevo tunashkru kwa kutupa kazi kwa muda naombeni lake
Chukua lake tanganyika
Nimekuwa Wa kwanza from Dr congo nipe like zangu kama unamkubali vevo ❤❤
Tunangoja BIG BOSS season 2...wanaokubaliana na mm gonga like
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
Nipeee like zangu Kama unapenda snake boy Mimi wakwanza❤❤❤❤❤
Mwakatobe ww ni the best sana ukicheza movier za clam lakini zako mwenyewe zipo chini ya kiwango sana 🎉😊
Sana
Inategemea na story ilivotungwa story zingine zinakuwa za kawaida
Umesema kweli ata na wenzake ni ivo ivo
Kwasbb story ya boss wake😊
Umesema ukweli
clame unatisha , apa nafata filamu sasa musimu wa kwanza ilikuwaka comédie zako , apa unatisha , endeleya ivi Congo APA tunaona kitu kutoka kwako sasa, courage mingi, ulitosha wapi uyu jama tena, alikuwa akicheza zamani sana,
Yaan mnaboa mijitu mizima kila mtu anapambna kusema nimekua wakwanza et naomba like,Sa izo like ziwasqidia nn labda kama sio upumbavu na utoto unasumbua vichwan mwenu,badala ya kujadiliana kuhusu hii movie na tumpee like clam Maan ndo muhusika Lakin nyinyi mnapambn kuomba like sjui kwakipi mlichofanya mpk mpewe like.zamwamwa nyie
Labda kuna soko la kuuza likes😂😂😂😂
Leo nmepatana mtu anafikiria kama binadamu hongera sana kaka
mm pia wananikera mambwa sana awa😏😏😏
Me pia nakerekwa sana, mala me kutoka congo wengine kenya.
Aisee in short wanaboa mno
Ni wajinga sana hawa watu
Yan uyo kipala me simpendi 😂na umbea wake kuharibu mipango ya wenzitu mwaume mzm mbea
😂😂😂😂
N job to
Anaboa sana
Sio michongo yangu niliacha 😂😂😂
Dawa yake kumezwa na Mtanzi huyo ni msaliti kama yule bibi yake Kim ni Nzila
Hata Mimi nimewahi dakika ya Kwanza weka like yako Kama upo pamoja na Mimi kwenye snake boy season two episode ya 15🎉❤😂 clam vevo for life 😂😂
😂😂😂
Nice
Mimi wa mwisho naomba Link zangu bem vindo Moçambique 🇲🇿
Na peperusha bendara ya Congo froom Bukavu 🇨🇩🇨🇩
Wa kwanza kutoka Pennsylvania USA naomba likes zangu ma fans wa clam vevo
KILA MTU HUMU ANASEMA MM N WA MWANZO KWAN KUNA UMUHIMU NA IZO LIKE BADALA YA KUIJADILI SNAKE BOY YETU
Eti jamaaani..
Kama ugali
Yani wananikwaza sana
Nashangaaa
Nashangaaa
Huyu mwakatobe mpaka hii season iishe atakua amekula kuku wengi mno hasara kabisa😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 nakwambia
Badala mtoe maon kwenye Kaz ya mwenzenu mnakazi ya kuomba like ka kaz yenu mkue
🤗haswaaaa
Ila kweli❤
Kazi nzuri ndg dah natamn kufanya kazi na ww ila nipo Kenya kwetu tx
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
Tamaa mbaya wewe 😂😂
Mbn jmn
Kilamtu anataman
Yes
Mimi wakwanza Léo from Congo nataka Like yangu ❤
😢
Congo munajua swahili?
Mimi hata sitaki likes😢ni kupongeza tu clam na kikundi chake kwa kazi nzuri hongereni sana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
alicheza mu mwizi wa kuku na majuto ambaye ameisha tutoka, kwaiyi umejipanga kiyana, utakuwa kanumba wa kesho🙏👏👏
Wa kwanza kutoka canada kam kawaida yang nipewe like zng🎉
Mambo naomba mawasiliano yako
Kanada ndo nin xax
@@Stevjohn24 hasira za nin bwan mdog endelea kukaa mageton ulishwe na mama ako kenge ww😂😂
@@gmichano113 nmbiee
Hi
Wakwanza mm naomba like zangu
I like the creativity and the way everyone is playing his/her role
Ooohoooo kitu na box sijachelewa sanaaaaaaa like kadhaaa watu wa nguvuuu
Within 2 mins 287 comment guys sisi ndo team clav vevo leo si mnipe likes jmn,am watching from mombasa kenya
Haya mimi wa mwisho basi nipeni mabaki tu. kazi nzuri sana director kakozo pamoja na clam na wenzio kwa kutuletea mwendelezo
Kipara matako yako tabia yako yaumbea sina tabia yaumbeaumbea siyomichongo yangu nishaaachaga
Eti chief asije akaachilia vifurushi...🤣🤣😂, Zinga pia kapigwa uppercut 😂, Chilly Sosy wa moto😂🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌💥❣️❣️
Kazi nzuri sana CLAM VEVO na kundi lako pambaneni zaidi na zaidi❤❤🙏🤝
😂😂mwenderezo uwah bc
Saf
Waburundi naombeni like zenuhapa🇧🇮
Nimefunga chapter😊 like ata moja
Mwakatobe aka zinga sikwakula kuku hao mweeee kwahii umejitahidi kula nyama
Snake boy 🐍 inazidi kua moto sana 🔥🔥🔥💪
Wapi likes za kenya mimi wa kwanza leo❤😂😂😂 na love ya clam
"hivi unaweza kuamini Mwanafunzi anaweza kuwa bora zaidi kuliko Mwalimu wake"😂😂😂😂😂 labda jamaaa alienda chimbo lingine au alienda Kwa Mwalimu wa Mwalimu wake ngoja tuone😂😂😂😂😂😂😂 Mko good sanaaaa
Kipala muito franco, grande fofoqueiro 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
❤❤❤
wakwanza mamaaaaae
❤❤❤
Kiko wapi na uchawi wake wote 😂😂
Waomba like mnakeraaa🎉🎉
Wa Kwanzaa babaaaa
Vevo kutoka Burundi pls nimekua wakwaza naombeni like zangu jamanin pls ❤❤ ongeleni
Mwakarobe nomaaaa asanaaaa
Wale wa kuomba likes instead of appreciating clam vevo and his crew for putting more effort in entertaining us love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ila kipala 😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤ ananimaliza sana Yan anawapenda sana wenzie tatizo umbea tu ndo hawezi acha😂😂😂😂😂😂❤❤❤
Kipara ni umbwa namuchukia sanaaaaa
Mi mwenyewe
Ukimchukia ndio movie inakua nzuri actually ana boa
Heri wew unaesema yaliyomo kweny movie na sio kuomba omba likes
Mwenzio Kila akipeleka umbea anapata kuku
Yani sitaki umbea unaniuma sanaaa 😬 nahisi ninge kuwa kwenye muvie kama uyo kipara naku onesha chamtemakuni👊👊👊
This is love From mozambique 🇲🇿❤️🤗🎉
Nani mwingine anapenda kumsikia chili akisema “Kulukutanta man tetele” 😂😂
Sijuwi kam nime chelewa nipe ata moja 🎉
Thenoiseboy from Kisii KENYA 🇰🇪 Niko Ndani
Huyuu jamaa naamin 100% ni mganga kwelii
Hili pigo alilopigwa Mwakatobe n mwana ukome😂😂😂
😂😂😂😂qbababakeeeee
😂😂😂
Nawangalia mnawai kusema wa kwanza nasisi wa mwisho tunaomba izo like
Wakwanza mimi hapa from mozambique 🇲🇿🔥🔥🔥
Snack boy film number one.
Kazi safi ..uyu kipara angechinjwa n mbea mnoo kaah 😄
Wow 😲 watching from Kenya wapi likes zangu
Kazi nzuri sana Ila muda mdogo sana
Mwenyew muvi haombi like ila Sasa wauza madafu tunaangaikia na like sipendi Tabia nzuri😂😂
Kazi nzuri mme wangu mtarajiwa😂😂😂😂❤🎉
Wakwanza jmn naombeni like zangu ❤😂😂😂
Kazi nzuli sana clam na team yako yote much love from dubai ♥️ ❤️ 🎉🎉❤❤🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪❤❤❤ team strong pamoja like ❤
Hizi ndo comment tunataka kuona
@@perajiampipi4473pelajia wa kwaga naomba no ako bas
Yani chili umeonesha ukubwa wako umeipigaje hapo😁😁
Clm vevo uyu mwakatobe usimuache kabs yn ❤❤❤❤❤
😂😂😂😂 nilivomuona tu KIPARA kwa mara ya kwanza kwenye hii episode nikacheka sana 😅😅😅😅maana nilishajua kile kikao lazima atakiharibu😂😂😂😂😂😂
😂😂 kipara ni fala
😂😂 apo umbea ulikuwa unamuwasha alafu anakwambia sio pigo zangu nshaachaga lol mwanaume kileja ndo huyu sas 😅
@@VictorNgowi-rw9no siyo michongo yang NISHAACHAGA🤣🤣🤣😁😁😁😁
@@saumumhina2225 hiyo siyo michongo yang NISHAACHAGA 😆😆😆😆😆😁😁😁😄😄😄😂😅🤣
nimekuwa wa kwanza leo asubuhii mapema ndani ya snake 🐍 boy naombeni like zenu leo msininyime basi😢😢
J'aime beaucoup te vidéos🎥 est jsuis en RD Congo 🇨🇩🇨🇩
Very interesting ila mda mfupi sana. Huyu Zinga si afe jamani wana himaya wakae na amani. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪
Mambo vip leo wakwanza naomba lire zenu
Nilijuwa kafa kumbe ngoma bado mbichi😂😂😂😂😂 like kwa Zinga tafathali🎉🎉
Alipigwa tu na kitu kizito
Haiwezi kufa bado mapema akifa itakua inaelekeya kuisha
Alipigwa na msumali wa moto
Mwaka Tobe ndiyo anafanya iyi movie iwe Bora Na mvuto mkali love from 🇧🇮
Mm nampenda sana Mwakatobe/Zinga amemwambia Chaupele amekuwa zamwamwa
Daah story ndio yaanza hii... moto umefikia wazee wa kaya... love from Qatar
Zingaa kichwa maji kweli👍
Nakuelewa hadi pa mwishoo unawezaa sanaa kaka love you broo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤love to see it I love you so
tunaomba hiiii movie iwe inatoka mapema jamani maana ni tamu sanaaa
Mimi Niko Kenya ila nampongeza sana clam kwa kazi nzuri.big up bro
Vizuri sana clam vevo mimi apa froom congo drc 🇨🇩
Kila kukicha ikitoka epsod n tamu tu dah hii series mmejua kuiandka wallah na mungu awazdishie utunzi mzur zaidi
😂wa mwisho kutoka Kenya 🇰🇪 kama kawaida yangu 😂mnipee like zangu 😂😂
UHUUUU VITA MUBASHARA MOVIE LA NGUVU SANA BIG UP CLAM WITH DIRECTOR KAKOSO(mwasi)
Hakika cha dhuruma hakidumu nguvu za ntanzi naamini haziwezi kwenda bure💪💗💗
mashabiki hamna maoni wala ushauri kazi ni kuwa wa kwanza na kuomba like mnaboa sana
Yaani wanagombania tu wakwanza wakwanza sijui kuwa wa kwanza Kuna maana Gani.
Kazi nzuri, crew nzima inajitahidi.
Kwa upande mwingine ungeangalia namna ya kuingiza mapato direct kupitia viewers wako kwa kufikiria kutengeneza app yako ambayo mtu atakuwa anatozwa kiasi flani hata kama sio kikubwa ili waweze kuona kazi zako.
Hii itasaidia kuwa mbunifu na kutengeneza kazi nzuri zaidi. Asante
Fire 🔥 🔥 🔥 nice drama😃
Mwaka tobe pasua sana usije kuachia vifurushi
Sijui kama atatoka salama aliemkobea mke wa mzee nyoka 😂😂😂😂😂😂
Nzuri sana hongera bro Kwa kazi yako
MShangazi wangu mwakatobe jamani😂😂
Kazi nzuri timu clam mungu amiongeze inshaallah
Safi sana vevo kazi nzuri vevo kwa kweli nainjoi vevo upewe mauwa yako broo
Mapema sana
Hhhhhh😂 chief taratibu ucje kuachia vifurushi ukaaibik mbele ya watu wako😂😅mmechek sana
Clam VEVO umepoaaaaaa umepoaaaaaa umepoaaaaaa 😂😂😂😂😂😂 nitakupangusa
Nimekuwa usingizini nikifikiria 😅 snack boy Big UP sana ❤ like zenu ma best
International Bwoy Seen it ✊
Naomba unijibu clam ..nani kaku shauri umlete mwamba chili ..daaah ..Bonge Moja movie Kali kutokea ...ahsante Kwahili ..THE EMPRESS OF KANUMBA THE GREAT......
Clam unajua sana br Kwa ushauri pia br jitaidi sana kuibua vipaji Kwa watoto kwasababu nikitazama wahusika nafasi ya watoto haupo ila nakukubali sana br