Mtu Wa Maana Kabisa The king budwaka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 พ.ค. 2024
  • #Thekingbudwaka #uvira #congo #comedy
  • ตลก

ความคิดเห็น • 348

  • @thekingbudwaka2
    @thekingbudwaka2  22 วันที่ผ่านมา +112

    Thx Kwa Sapoti

    • @SalomeSwalehe-gz6wm
      @SalomeSwalehe-gz6wm 22 วันที่ผ่านมา +1

      Sawa dj

    • @shakirambugi8142
      @shakirambugi8142 22 วันที่ผ่านมา +2

      Limeisha ilo Tajir

    • @thekingbudwaka2
      @thekingbudwaka2  22 วันที่ผ่านมา +2

      @@shakirambugi8142 Mtu Wa Maana Sana

    • @Vee_money
      @Vee_money 22 วันที่ผ่านมา +4

      Nkushauri kitu dj, watu watakupenda tuu wala uctumie nguvu, boresha kazi yako kwa kukata vpande vya matangazo, hapo utatukosha zaid

    • @thekingbudwaka2
      @thekingbudwaka2  22 วันที่ผ่านมา +1

      @@Vee_money Mtu Wa Maana Sana

  • @irankundaAlia
    @irankundaAlia 22 วันที่ผ่านมา +23

    Alaaaa kimaria kinaboa aa umalaya gani uwo sasa mxuii

  • @rilianwillium
    @rilianwillium 22 วันที่ผ่านมา +20

    Jamn Dj apewe maua yake nimeitafuta sana Leo mpaka mchozi😂😂

  • @RithaDavidson-nz9uf
    @RithaDavidson-nz9uf 22 วันที่ผ่านมา +31

    Nimejaribu kuwa like wooote mlionitangulia ila huyu mtoto wa mama maria atakipata anachokitafuta😂😂😂😂

    • @UmmyZakiah
      @UmmyZakiah 22 วันที่ผ่านมา +1

      Ila majizo apewe maua yake 😂😂maana sio poa weeeeh

    • @user-zc9qs8kk1z
      @user-zc9qs8kk1z 22 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 22 วันที่ผ่านมา +9

    Asante sana nimefurahi kuona jua kali mapema 🎉🎉

  • @user-pg7nc4kr9u
    @user-pg7nc4kr9u 22 วันที่ผ่านมา +31

    Wauoooooh namimi leo wa tatu munipe like jameni 🎉🎉🎉

  • @user-go4uc4oe4p
    @user-go4uc4oe4p 22 วันที่ผ่านมา +14

    Jamani nawakubali sana King na baba hake I love you.🎉🎉🎉🎉

  • @kitulotvkitulotv418
    @kitulotvkitulotv418 22 วันที่ผ่านมา +67

    Kama na wewe umeitafuta kama mimi gonga like

    • @zenaycechanzinho6702
      @zenaycechanzinho6702 21 วันที่ผ่านมา

      Yaan nyie ndo mnao tuponza mpka watumaji wana susa na kuamua kuuza ktk magroup ya telegram na wasp ...ambacho hamuelew ni nn mkiambiwa muache kuomba likes mara kusema mm wa kwanza cjui wa 60 km mitoto bn heb mjitambue walau kwa sekunde 3. Aaahhhhh 🤬🤬🤬

  • @abiangala-gi3hm
    @abiangala-gi3hm 22 วันที่ผ่านมา +19

    Maria anaweza Tena anaweza Kila siku anakuabora💫

    • @emanuelnjau1747
      @emanuelnjau1747 22 วันที่ผ่านมา

      Anafundisha vile wadada wanaweza kuwa manyangau😂

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 22 วันที่ผ่านมา +15

    Frank nakuonea huruma sana umechachisha mapenzi wakati mwenzio yuko kwa game 😢

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 22 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂atatudi kwenye ili tabia yake

    • @francelasway492
      @francelasway492 22 วันที่ผ่านมา

      Frenk atakumbuka maneno ya femi kuwa makini na maria

    • @nyamiziramadhani4232
      @nyamiziramadhani4232 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂

    • @nyamiziramadhani4232
      @nyamiziramadhani4232 21 วันที่ผ่านมา

      Wadada wa mjin😂

  • @Ruu-yt4pm
    @Ruu-yt4pm 22 วันที่ผ่านมา +6

    Nampenda Femi anamsimamo

  • @MariamSekwao
    @MariamSekwao 22 วันที่ผ่านมา +11

    Viviani nakupenda bure unafurahisha ofisini

  • @Tatu_Cool
    @Tatu_Cool 22 วันที่ผ่านมา +4

    Afu nampenda sanaaaa Maria I'm from Rwanda 🇷🇼

  • @theodorachaki5174
    @theodorachaki5174 22 วันที่ผ่านมา +14

    femi🎉🎉🎉🎉achanana ton Malaya wa kiume nimemisi idi na wake zake nawapenda sana maria na Anita mmeweza

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 22 วันที่ผ่านมา +1

      Femi anampenda luke ila mama yake hamtaki nahilo balaa alilolifanya ndokabisaaa

  • @Lukiapaulo-xz6sf
    @Lukiapaulo-xz6sf 22 วันที่ผ่านมา +4

    🎉🎉🎉 upate mwanaume kama tomas rahaaaa

  • @user-yf1ne4gr4v
    @user-yf1ne4gr4v 22 วันที่ผ่านมา +14

    Me nshaanza kuichukia jua kali maana kila kitu maria tu kupendwa ni maria tu yeye hajawai kupenda ata mmoja

    • @olicej7837
      @olicej7837 22 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @juliethgervas3194
      @juliethgervas3194 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @user-dr7ld2em8y
      @user-dr7ld2em8y 21 วันที่ผ่านมา +1

      Unataka upedwa wewe

    • @agnessbahamu3931
      @agnessbahamu3931 21 วันที่ผ่านมา

      Nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-lh4bb8mm8w
    @user-lh4bb8mm8w 22 วันที่ผ่านมา +10

    Haha..madam simba eti anataka akaokoke 😅😅😅madam simba we nikiboko hasa

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 22 วันที่ผ่านมา +1

      Mbona nahisi km atampata Maria😂😂😂

    • @user-lh4bb8mm8w
      @user-lh4bb8mm8w 21 วันที่ผ่านมา

      @@m.mmarckus6298 kumpata vipi yani

  • @elizabethwakesho5900
    @elizabethwakesho5900 22 วันที่ผ่านมา +5

    Me mkenya napambana huku nipate hela niende zangu nkamtafute Frank,nampenda uyo mkaka jamani,niliskia anadrive left hand nikaogopa😅😅😅Muarabu huyo🙌🥰🥰

    • @tusmokinana3836
      @tusmokinana3836 21 วันที่ผ่านมา

      Wacha umbwakini mburukenge unatuaibisha😂

  • @ismailabdalla7953
    @ismailabdalla7953 22 วันที่ผ่านมา +21

    Jua kali bila ya diba sio mzuri

    • @AyshaMussa-xs2ut
      @AyshaMussa-xs2ut 21 วันที่ผ่านมา

      Na mjomba lusajo ila diba atakuwa busy kwenye tamthilia ya Jiya

    • @VeeEhMgimwa
      @VeeEhMgimwa 21 วันที่ผ่านมา

      Kwelii tenaa

  • @user-ph7yz5kf9d
    @user-ph7yz5kf9d 22 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂Maria ana pepo la umalaya

  • @aminakipande5645
    @aminakipande5645 22 วันที่ผ่านมา +11

    Hapo kwa maria na frank walivyo kumbatiana asee daah usingo utaniua 😂😂😂😂

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 22 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂😂weeeeee

    • @olicej7837
      @olicej7837 22 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂 kwahyo umekula kwa macho 😂😂😂😂

    • @mauwabanda2746
      @mauwabanda2746 22 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @veronikasamson6438
      @veronikasamson6438 22 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 21 วันที่ผ่านมา

      @@olicej7837 acha yani duuh nimeumia kweli 😀😀

  • @user-zw7sl5qz2t
    @user-zw7sl5qz2t 22 วันที่ผ่านมา +8

    Maria ni kahaba

  • @MaryamHAMISI-ei9fq
    @MaryamHAMISI-ei9fq 22 วันที่ผ่านมา +4

    Jamaniiiii miss u semeni na sofia🎉

  • @anastaziamlungu9871
    @anastaziamlungu9871 22 วันที่ผ่านมา +8

    Nilivohangaika kuipata mmmh

  • @YusraMohammed-zj4ck
    @YusraMohammed-zj4ck 22 วันที่ผ่านมา +7

    Astaghafilulah ,mweee uyu Maria uyu uyuuuuu achiiiii 🙆

  • @ElizabethCharles-tx1lb
    @ElizabethCharles-tx1lb 21 วันที่ผ่านมา +1

    Frank ni mzuri jaman I love you

  • @user-fh4fj3fh6v
    @user-fh4fj3fh6v 22 วันที่ผ่านมา +10

    Kwn hiyo mimba vipi haitokei 😢afu umalaya wa maria duh umetisha usituulie frank wetu 😅😅😅 namis mwajay wetu bna mtuonyeshe

  • @davidanderson125
    @davidanderson125 21 วันที่ผ่านมา +2

    Kwani Hiyo Mimba Ya Maria Hajifungui Tuu😁😁😄😄

  • @FelisterGodwin
    @FelisterGodwin 22 วันที่ผ่านมา +7

    Kijumbe vivian

  • @Daniella249
    @Daniella249 21 วันที่ผ่านมา +2

    Hv wanaume wanaochanganikiwa kama madevu bado wapo au ni kwenye juakali tuu 😅😅😅

  • @Lovenesszani
    @Lovenesszani 22 วันที่ผ่านมา +2

    Maria na Toni wanafaa kuoa ju game zao mojaa😂😂😂😂

  • @SizzoSela29-sh8nz
    @SizzoSela29-sh8nz 22 วันที่ผ่านมา +4

    Nimeitafuta sana

  • @user-be8lm2bo7g
    @user-be8lm2bo7g 22 วันที่ผ่านมา +3

    Yaani wee thomas mzee unanikosha

  • @JaliaHussein-px4ws
    @JaliaHussein-px4ws 22 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤ thx

  • @sheilanaliaka
    @sheilanaliaka 22 วันที่ผ่านมา +3

    It has been long this jua kali

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 22 วันที่ผ่านมา +4

    Nice

  • @NoorynMuddy
    @NoorynMuddy 21 วันที่ผ่านมา

    Dj mtu wa maana kabisa ❤

  • @MaggieSichone-fj5kc
    @MaggieSichone-fj5kc 22 วันที่ผ่านมา +6

    Endelea na msimamo Femi safi saana

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 22 วันที่ผ่านมา +1

      Lkn Femi anaoneka bado anampenda Tony😂😂😂 sema litoni halieleweki

    • @khadijatwaha7684
      @khadijatwaha7684 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@m.mmarckus6298na tony anasema anatimiza ahadi tu ila anampenda mariaa

  • @leahjohn4734
    @leahjohn4734 21 วันที่ผ่านมา +1

    The last part of prayers got me😂😂😂

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid8106 22 วันที่ผ่านมา +2

    Nimemmiss mahi Juma😂😂

  • @cecylaurentkabutu8188
    @cecylaurentkabutu8188 22 วันที่ผ่านมา +8

    Tumpe Femi mauwa yake kaweza🎉💐💐💐💐🌹💐

  • @user-xl5ze7yr2v
    @user-xl5ze7yr2v 22 วันที่ผ่านมา +4

    Nan kagundua dogo ana hongea kama frank kwa gara B

  • @user-rl5qu4zj9b
    @user-rl5qu4zj9b 22 วันที่ผ่านมา +3

    Waoooo fem

  • @stellajoseph6212
    @stellajoseph6212 22 วันที่ผ่านมา +4

    Jmn madevu🤗

  • @EsteR-dt9iw
    @EsteR-dt9iw 22 วันที่ผ่านมา +13

    Ahaaaa mm sitaki urafiki na Viviani jamani 😅😅 nimegundua uta mwambia shemeji yako kuwa nina mimba wakati mm bado natafuta maokoto😅😅

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 22 วันที่ผ่านมา +1

      Hivi unapomkumbatia frenk hubinyi mmmh mmh ya frenk in majizo voice

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 22 วันที่ผ่านมา +2

      Tony na maria waoane sio kwa uhuni huu

  • @fathiyaahmady1913
    @fathiyaahmady1913 22 วันที่ผ่านมา +4

    Kwan hawa wanaume hawamuon anita jaman😢

    • @eligiverkingson3799
      @eligiverkingson3799 22 วันที่ผ่านมา +1

      Mwenyewe nashangaaa

    • @VeeEhMgimwa
      @VeeEhMgimwa 21 วันที่ผ่านมา

      Yani ata vivi tuu hawamuonii

  • @marypaul4085
    @marypaul4085 22 วันที่ผ่านมา +11

    🔥

  • @user-dr7ld2em8y
    @user-dr7ld2em8y 21 วันที่ผ่านมา +1

    Sikuhizi mpka hapitite ya kuangalia juakar ilishakata naangalia tyu kwasababu ni wajibu😂

  • @user-rz8mn8cn3o
    @user-rz8mn8cn3o 22 วันที่ผ่านมา +9

    🔥🔥🔥

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 21 วันที่ผ่านมา

    Character ya Maria imenoga🎉🎉🎉🎉

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 21 วันที่ผ่านมา +2

    Vivi na madevu ni wambea😂😂😂😂

  • @FestonyMwalongo
    @FestonyMwalongo 21 วันที่ผ่านมา +1

    Ety hakun matata nan kaipenda hiyo😂😂

  • @YustaNtara-po7cl
    @YustaNtara-po7cl 22 วันที่ผ่านมา +2

    Thomas na Vivian mnanipa Raha sana😂

  • @PascarSaimoni
    @PascarSaimoni 22 วันที่ผ่านมา +8

    Acheni ufala mnalilia like za nn kila mtu naomba like ukishapewa unafaidika nn sasa mnakera kunguru nyie

  • @elvinakalu6991
    @elvinakalu6991 22 วันที่ผ่านมา +5

    Nqmiss drama,Anna na wake wenza,huku kwengine nikuboeka tu

  • @AtukuzweGift0-kg1ns
    @AtukuzweGift0-kg1ns 22 วันที่ผ่านมา +3

    Hahahahah😂😂ila Mariah😂😂

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 22 วันที่ผ่านมา +5

    Maria nae umaya tu kuoga aaah

    • @kinananyuni9732
      @kinananyuni9732 22 วันที่ผ่านมา +1

      Hapa nimecheka amekuwa Nassoro umalaya lkn kuoga aaah😂😂😂😂😂

  • @susanjoseph8420
    @susanjoseph8420 22 วันที่ผ่านมา +6

    Pale kwenye ujauzito ndo wap jmn thomas khaa 😅😅😅anakamba huyu mzee

  • @sestinandelwa1385
    @sestinandelwa1385 21 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani yote Tisa, nmemiss familia ya kina diba @uncle lusajo, anganile. Weken kipande chao tufurahi jaman

  • @selinalucaschatta5216
    @selinalucaschatta5216 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kumbe watu washenzi jmn badala mtoe like kwa alieposti mnaomba ninyi muwe mnaiposti ninyi ili mpewe like fyuuu😂

  • @jessysammy4664
    @jessysammy4664 21 วันที่ผ่านมา +1

    Tunaomba utuwekee telegram

  • @gaudensiarobert5360
    @gaudensiarobert5360 22 วันที่ผ่านมา +12

    Kwani yale mgari alopewa mari yako wapi atujawahi kuyaona

    • @iamanoutstanding_creation
      @iamanoutstanding_creation 22 วันที่ผ่านมา +1

      Asanteh Uko akilini kwangu

    • @MariamSekwao
      @MariamSekwao 22 วันที่ผ่านมา

      Kabisa

    • @Khadija-ne8ul
      @Khadija-ne8ul 22 วันที่ผ่านมา +1

      magari hayaonekani na mimba haikui kila siku ana flat tummy 😂😂

    • @olicej7837
      @olicej7837 22 วันที่ผ่านมา

      Si apo ata mimi siwaelewagi afu na vibunda vya Vivian anaviperekaga wapi na bado anakaa kwa watu😂😂😂😂🎉😂

    • @shamilamgata7754
      @shamilamgata7754 21 วันที่ผ่านมา

      ​@@olicej7837ww unawaza kama mm kabisa

  • @mahijjaeidi9144
    @mahijjaeidi9144 22 วันที่ผ่านมา +8

    Mmmh lenimehi🇦🇪🇦🇪🇦🇪

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 22 วันที่ผ่านมา +8

    Frank bwabwa kweli 😂😂😂😂

    • @kinananyuni9732
      @kinananyuni9732 22 วันที่ผ่านมา +2

      Muache akatolewe kinyanyamshenzi😂😂

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 22 วันที่ผ่านมา +1

      @@kinananyuni9732 🤣🤣🤣🤣

    • @EFROSINANGONYANI
      @EFROSINANGONYANI 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @shakilafadhili3517
    @shakilafadhili3517 21 วันที่ผ่านมา +1

    Kwan mbon zinakuj nakuondoka jamn

  • @user-ki1jy7fn5t
    @user-ki1jy7fn5t 22 วันที่ผ่านมา +7

    Namfikiria majizo 😢

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 22 วันที่ผ่านมา +3

      unamfikiria majizzo nn sasa kwan unadhan hakuambiwa mpaka akamruhus kumuona hap lulu ni mmew amekubali aingie ku act 😂😂 na juz alikuwa zake insta anasapot kaz ya mkew endelea kuwaz ujing

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 22 วันที่ผ่านมา +3

      Alafu yy hana habari ww endelea kumfikiria😂😂😂😂

    • @hosea7919
      @hosea7919 21 วันที่ผ่านมา +1

      Ila watu asa majizo kafikaje huku, fikra za kimaskin hizo😂

    • @zenaycechanzinho6702
      @zenaycechanzinho6702 21 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@hosea7919😂😂😂

  • @VeeEhMgimwa
    @VeeEhMgimwa 21 วันที่ผ่านมา

    Maria bhanaa tumechoka huwakiwi tu na hilo jua khaa🙌🙌🙌🙌🙌

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 22 วันที่ผ่านมา +5

    Jua bila diba Anna akuna utamu

  • @user-ed4nr1lx6f
    @user-ed4nr1lx6f 21 วันที่ผ่านมา

    Maria🙌🏻

  • @rachelfadhil6024
    @rachelfadhil6024 22 วันที่ผ่านมา +6

    🔥😊

  • @DottoKhamis
    @DottoKhamis 22 วันที่ผ่านมา +1

    Lamata Thomas mwengezee buannaaaaa

  • @zennahhamisi5779
    @zennahhamisi5779 22 วันที่ผ่านมา +7

    🥰

  • @kemmymugele350
    @kemmymugele350 22 วันที่ผ่านมา +6

    Ukiwa na rafiki mmbea kama Vivian ni shida😂😂😂

    • @olicej7837
      @olicej7837 22 วันที่ผ่านมา

      Anakuuza wewe bila kujua 😂😂😂😂😂😂

  • @stellajoseph6212
    @stellajoseph6212 22 วันที่ผ่านมา +8

    Ila vivi na madevuuu 😂😂😂😂

    • @mariamakungwa
      @mariamakungwa 21 วันที่ผ่านมา

      Hawa ni kiboko 🤣

  • @Fatma-to6rq
    @Fatma-to6rq 21 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂Thomas na viviani duuu alafu maria kitakuramba

  • @Eunicekhayesi33
    @Eunicekhayesi33 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanzia leo hamna siku sitaona jua kali tena ,,ikifika maria kuwakiwa na jua mniite ,, haiwezi lamata kutuzingua kila wakati maria mshindi tu nkts

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 22 วันที่ผ่านมา +2

    Mke wa majizo😢

  • @SalimSalim-wp3zx
    @SalimSalim-wp3zx 21 วันที่ผ่านมา +1

    Maria kubabako kabisaaaa 😢 kama huwezi kutulia na frank wetu achana nae usimfanye mjinga

  • @user-ki1jy7fn5t
    @user-ki1jy7fn5t 22 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂😂😂vivy kiboko,,,,

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 22 วันที่ผ่านมา +2

    Thomas friji haligandishi lol😂😂😂

  • @stellajoseph6212
    @stellajoseph6212 22 วันที่ผ่านมา +5

    Ila rafiki kma vivi mm hapna akha😂😂😂

  • @aishamsofe3274
    @aishamsofe3274 22 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani ya Ijumaa sijaionaa

  • @JacklineDavid-nz3fn
    @JacklineDavid-nz3fn 22 วันที่ผ่านมา +2

    Maria khaaa😅😅

  • @susanjoseph8420
    @susanjoseph8420 22 วันที่ผ่านมา +18

    Kama like ni chakula nipen na mm nishibe leo😅😅

    • @RaiyanBaruti
      @RaiyanBaruti 21 วันที่ผ่านมา

      Shiba mpaka uvembewe😂

  • @mariamakungwa
    @mariamakungwa 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mtoto wa maiko anaona mambo ya vivian na babake 😂😂

  • @AminaSadallah-yi1dv
    @AminaSadallah-yi1dv 21 วันที่ผ่านมา +1

    Aaisee Mr DJ 🎉 yan kitu natural pasi na ile sauti yavkishenzi inayo wekagwa back ground

    • @Mrmshindo
      @Mrmshindo 21 วันที่ผ่านมา

      🎉🎉🎉dj

  • @ismailabdalla7953
    @ismailabdalla7953 22 วันที่ผ่านมา +6

    Chwamtaka anna na mpenzi wake

    • @pendolema2743
      @pendolema2743 21 วันที่ผ่านมา

      Mpenzi wa mchongo.

  • @barutilazizi1223
    @barutilazizi1223 17 วันที่ผ่านมา

    Upewe maua yako baba

  • @majabiali973
    @majabiali973 21 วันที่ผ่านมา

    Siku hizi. Siangaliagi jua kali imenichosha uyo marym feki simpend

  • @freddyblackboyonenine2492
    @freddyblackboyonenine2492 16 วันที่ผ่านมา

    Courage

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 21 วันที่ผ่านมา

    Asante dj

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 22 วันที่ผ่านมา +4

    ❤❤❤❤❤❤

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 22 วันที่ผ่านมา +3

    NAWAPENDA TOMAS NA VIVIANI MAMBO YAO

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 21 วันที่ผ่านมา

    Mariya wee huogopi😂😂

  • @MwajumaMmbaga-vm1xz
    @MwajumaMmbaga-vm1xz 22 วันที่ผ่านมา +3

    Kwa mpango huo Maria ndoa haiwez

  • @ErnestMsemakweli-nm2ok
    @ErnestMsemakweli-nm2ok 21 วันที่ผ่านมา

    Daah jmn tuma miendelezo msitutenge hivy

  • @bagenihuduma1569
    @bagenihuduma1569 21 วันที่ผ่านมา

    Maria we ni nyoo asee

  • @toshamafikiri5961
    @toshamafikiri5961 21 วันที่ผ่านมา

    Mwanamke akiwa nawanahumewote siyo mwanamuke

  • @user-hf9cc6sw7c
    @user-hf9cc6sw7c 21 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @JohariSalim-tp8xb
    @JohariSalim-tp8xb 22 วันที่ผ่านมา +2

    Imeanza kupoteza mwelekeo