SABABU ILIYOMFANYA SAIDO AWAAGE CHAMA & MIQUISSONE, KIBU DENIS TAJIRI NAMBA 2 BAADA YA MO DEWJI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 74

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 22 วันที่ผ่านมา +6

    Inatakiwa muachane na watafuta wachezaji kwanza hao ndio tatizo na mwiba mkuu

  • @martinanney6192
    @martinanney6192 7 วันที่ผ่านมา

    Ahmed aliy nae mwengeaji2

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 20 วันที่ผ่านมา +2

    Ukitaka timu ifanikiwe kwanza ni kuacha POROJO

  • @jimonmwakalebela9470
    @jimonmwakalebela9470 22 วันที่ผ่านมา +4

    Nawewe umeanza mbwembwe maneno mengi

  • @user-xs1jq9xd9r
    @user-xs1jq9xd9r 22 วันที่ผ่านมา +1

    Duuuh, saido kang'are uendakooo❤

  • @user-ty5pm2nl3y
    @user-ty5pm2nl3y 22 วันที่ผ่านมา +2

    Ili simba ile iweze kurudi, inabidi kwanza viongoz (wajuu) waliopo wasafishwe wote na waanze Moja. La sivyo tusubiri hadi 2025/2026.

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 22 วันที่ผ่านมา

    Hahahahaha Schoool bus, Mzee Ahmed Ally !!!!

  • @user-lp4xk7qw3t
    @user-lp4xk7qw3t 21 วันที่ผ่านมา +1

    ila msimuache kapombe sifaya kapombe Simba anacheza nafasi mbili kwamda umoja anacheza kama winga piaana cheza kama beki

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 4 วันที่ผ่านมา

    Una akili sana

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 19 วันที่ผ่านมา

    Mbona kubyeedaaa🤣🤣🤣umenikumbsha mbaal😄

  • @dicksonnyamsana2261
    @dicksonnyamsana2261 17 วันที่ผ่านมา

    Sasa wa kupumzika hapo ni Try again mangungu si mlimchagua ninyi?

  • @Franccoz
    @Franccoz 22 วันที่ผ่านมา +1

    Simba inachojua ni kucheza mdomoni,uwanjanii tunawaachia azam na utopolo

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 22 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂kibu dengaaa

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 22 วันที่ผ่านมา +1

    You need to get rid of those looking for players first, that is the problem and the main thorn

  • @musashija3471
    @musashija3471 22 วันที่ผ่านมา

    Si ungesema tu io school bus inamilikiwa na mzize 😊😂

  • @ibrahamessiah360
    @ibrahamessiah360 22 วันที่ผ่านมา

    Iyo ehehehehe,,,,,, inanipa raha Sana sijui aliitoa wapi ally jmn

  • @reinfridlipili5666
    @reinfridlipili5666 22 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu msemaji kadri siku zinapoenda mbele anazidi kuchanganyikiwa aiseee.....Sijui timu🤣🤣

    • @touchonesavemany
      @touchonesavemany 22 วันที่ผ่านมา +1

      Ulitaka ajibuje ili uone yuko sawa?

  • @user-sj8pe6hi9n
    @user-sj8pe6hi9n 18 วันที่ผ่านมา

    Sio maneno ya Amed kweri ?

  • @davicekombe4932
    @davicekombe4932 21 วันที่ผ่านมา

    Ety watu wanatembelea school bus 😂😂😂😂😂

  • @HamadiTehingisa
    @HamadiTehingisa 4 วันที่ผ่านมา

    Uliowataja wameishusha Mtibwa

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 21 วันที่ผ่านมา

    Apo kwa kibu wamekomeshwa sana mpaka tu release player ndy wamchukuee

  • @user-bh4my7my3n
    @user-bh4my7my3n 20 วันที่ผ่านมา

    Kwa kauli hii saidoo ayupo msimu ujao

  • @brownkihanga688
    @brownkihanga688 16 วันที่ผ่านมา

    Ukweli unauma?

  • @SaidiKingwande
    @SaidiKingwande 22 วันที่ผ่านมา

    Nawew auwezi kukjmbuka ulikotoka Wala unakoenda ila unapajua katikati kwasababu unapajua kwy tuliza mshono

  • @petrojacob6070
    @petrojacob6070 20 วันที่ผ่านมา

    Kichwa tenge

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 22 วันที่ผ่านมา +1

    MKIACHA WACHEZAJI MNASAJILI TENA AMBAO CY BORA MFANO MLIMWACHA PHILI BALEKE SASA YAKO WAPI?

  • @mwanaidimussa
    @mwanaidimussa 21 วันที่ผ่านมา

    Umebyedaaa 😂😂😢😢!!!!!!

    • @petrojacob6070
      @petrojacob6070 20 วันที่ผ่านมา

      Nimecheka mno, kumbe ni msukuma

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 20 วันที่ผ่านมา

      @@petrojacob6070hunishindiii mm nimebakii natamani nijue kabila lake maan hiyo kubyeda kaipataa wapiii neno adimu kabisa

  • @hassanmussa6129
    @hassanmussa6129 21 วันที่ผ่านมา

    Vp viongozi ma CIO kujiuzulu kwa maslahi ya simba??

  • @boeihongoa1436
    @boeihongoa1436 21 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂 "wewe mbona umebieda"😂😂 haukubali?"

    • @silveryb
      @silveryb 21 วันที่ผ่านมา +1

      Kwni jamaa ni msukuma?😅😅😅

    • @boeihongoa1436
      @boeihongoa1436 21 วันที่ผ่านมา +1

      @@silveryb hicho ni Kisukuma ee, sijui kubieda ni Nini😂, tuambie.

    • @silveryb
      @silveryb 19 วันที่ผ่านมา +2

      ⁠​⁠@@boeihongoa1436eeeh kubieda ni kam kudharau.. huyo dada amemdharau semaji baada ya kudanganywa 😅😅😅

    • @boeihongoa1436
      @boeihongoa1436 19 วันที่ผ่านมา +1

      @@silveryb 😂😂😂 dada kaona semaji anaongea vitu sio.

    • @silveryb
      @silveryb 19 วันที่ผ่านมา +2

      @@boeihongoa1436 eeeh ndio maana kabieda 😆😆😆 kakataa kudanganywa

  • @peterkapel5332
    @peterkapel5332 22 วันที่ผ่านมา

    Mamae Siku Simba ikiwa vizuri hatutakaa Tanzania 😂😂😂 Eti Ki Vitz kimoja wanapitiana

  • @shaabanramadhan2045
    @shaabanramadhan2045 22 วันที่ผ่านมา

    Tatizo pesa kaka, Simba sc tunayoifahamu cyo hiyo ya wachezaji wa mia mia kweli! Hapana tajiri aweke pesa aache longo longo.

  • @Savage_The_Wizard
    @Savage_The_Wizard 21 วันที่ผ่านมา

    Semajiiiiiii😅😅😅

  • @user-hv7pw6ih5v
    @user-hv7pw6ih5v 20 วันที่ผ่านมา

    Siyo kweli huo ni ubingwa wa mdomo siyo ubingwa wa uwanjani mbona watanzania tunapenda kucheza kwa kutumia mdomo tujaribu kuiga kutoka nchi za wenzetu, hivi unaweza kusema eti tarehe hii tutakuwa tunaongea tukiwa na ubingwa, hizo ni ndoto za kimweri

  • @elvinemmanuel610
    @elvinemmanuel610 22 วันที่ผ่านมา

    hii ndo Tanzania. Kila sehemu siasa hahaha

  • @ScolaMasanja-fg7hi
    @ScolaMasanja-fg7hi 22 วันที่ผ่านมา

    Huyu Ahmed Aly ni msukuma et amebyeda ndo nni

  • @basumaadam2686
    @basumaadam2686 21 วันที่ผ่านมา

    Waongea kifaransa wanaoanda school bus wanapitiana 😂😂😂😂😂😂

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 22 วันที่ผ่านมา +1

    Aziz key na Aucho mbona mlimshindwaa , Mudathiri pia acha kuwapa moyo wenzako muimba tarabu

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 22 วันที่ผ่านมา

      Mdathiri tulimdharau japokuwa yupo kwenye kiwango sasa hv

    • @jitabojilala6162
      @jitabojilala6162 22 วันที่ผ่านมา

      Unatafuta mme?

    • @basumaadam2686
      @basumaadam2686 21 วันที่ผ่านมา

      Sio tumewashindwa tatizo wamezowea school bus 😂😂😂😂😂

    • @selemanmcharazo
      @selemanmcharazo 21 วันที่ผ่านมา

      @@basumaadam2686 hamna hela njaa tupu

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o 22 วันที่ผ่านมา

    Duuu ndotooo mbayaaa unawezaaa ukaotaaa umejengaa anganiii mwakani anakujaaa nakombeee wakatii. Mukimuojiii eti

  • @user-hh4us7kb5q
    @user-hh4us7kb5q 21 วันที่ผ่านมา

    Simba ikiendelea kuwaamin hawa jamaa wanaopga mdomo, ttashindwa kshrk kkombe chochote cha maana, timu haina kikombe ata kimoja arafu hyu jamaa anapga maneno utafkr mna klab bingwa

  • @RamadhanNgoma
    @RamadhanNgoma 20 วันที่ผ่านมา

    Mnatuchosha sasa. Vitendo sasa. Na viongozi wakae pembeni waje wengine

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 21 วันที่ผ่านมา

    Leo ame kiri kuwa wachezaji wakiwa Simba ni kuwabania kipaji ila wakienda team nyingine wanafanya vizuri kuliko 😂

  • @hassanmussa6129
    @hassanmussa6129 21 วันที่ผ่านมา

    Ahmedi ally kauli zake zinatusaliti anaongea kama karidhika kashinda makombe yote

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 22 วันที่ผ่านมา

    NIKWELI KABISA AKUNA OFA MTAPATA KWA MCHEZAJI YOYOTE WA SIMBA WOTE WABOVU

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 22 วันที่ผ่านมา

    HUWA MNASEMA HVYHVY MNASAJILI KWA MAJINA CY VITENDO

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 22 วันที่ผ่านมา +1

    WARUDIHENIPHILI NA BALEKE

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 22 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli kabisa , Phiri aliathiriwa tu kisaikolojia, hata Miquisone ni bora sana ila alirudi wakati simba imepigwa mshale inachechemea, kelele zikawaathiri.

  • @ZakayoZakayo-xe6uq
    @ZakayoZakayo-xe6uq 20 วันที่ผ่านมา

    Sijajuwa simba anamuwacha man ila chama

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 17 วันที่ผ่านมา

    Simba sio timu mbovu Kama mnavyofikiria,mpaka sasa tuna Mataji MAWILI Ngao ya Jamii na Muungano,mbona hayo hamuyasemi nyinyi waandishi wa habari hebu semeni ukweli

  • @abdallahhamisiiddi4513
    @abdallahhamisiiddi4513 20 วันที่ผ่านมา

    Wenzio wanawekeza kwenye mijengo wewe unasema magari,kumaagazine

  • @JastinAlphonce
    @JastinAlphonce 22 วันที่ผ่านมา

    Acha wasajili afu tuone mwisho wa msimu 🤣🤣🤣

  • @lyamcyjunior2812
    @lyamcyjunior2812 22 วันที่ผ่านมา

    😂😂

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 22 วันที่ผ่านมา

    Da balaa sana acha tujitafute

  • @medardjustinemakonge9900
    @medardjustinemakonge9900 19 วันที่ผ่านมา

    Kimsingi hata ww unapashwa kupisha,,,Huna uwezo wa kuwa msemaje wa simba,,,Uogo umekuwa mwingi sana kwako,,,hunatofauti na viogozi wako:::

  • @farajanasoni2176
    @farajanasoni2176 22 วันที่ผ่านมา

    Noma sana 😂😂😂

  • @lucasmkalawa8166
    @lucasmkalawa8166 22 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu ndiyo semaji bana

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 22 วันที่ผ่านมา

    Saido mbona anagoli kuliko kb

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 22 วันที่ผ่านมา

      Saido juz Dodoma Jiji ilikula chuma saido ucpime

  • @mubaraalichiku6089
    @mubaraalichiku6089 22 วันที่ผ่านมา +1

    Anazungumza ujinga mtupu, pumbafu

    • @hamdunslimofficail4150
      @hamdunslimofficail4150 22 วันที่ผ่านมา +1

      😅😅😂😂😂😂mjinga ni wewe unaepoteza bando lako kwa ajiri yake kweli we mjinga😂😂😂

    • @SaidiKingwande
      @SaidiKingwande 22 วันที่ผ่านมา

      Sawa acha azungumze ujinga vipi wewe timu yAko inafanya vizuri?

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 18 วันที่ผ่านมา

    Saido ni mchezaji msumbufu anayechosha timu pinzani na anauwezo mkubwa msimguse