Siyo kweli huo ni ubingwa wa mdomo siyo ubingwa wa uwanjani mbona watanzania tunapenda kucheza kwa kutumia mdomo tujaribu kuiga kutoka nchi za wenzetu, hivi unaweza kusema eti tarehe hii tutakuwa tunaongea tukiwa na ubingwa, hizo ni ndoto za kimweri
Kweli kabisa , Phiri aliathiriwa tu kisaikolojia, hata Miquisone ni bora sana ila alirudi wakati simba imepigwa mshale inachechemea, kelele zikawaathiri.
Simba sio timu mbovu Kama mnavyofikiria,mpaka sasa tuna Mataji MAWILI Ngao ya Jamii na Muungano,mbona hayo hamuyasemi nyinyi waandishi wa habari hebu semeni ukweli
Inatakiwa muachane na watafuta wachezaji kwanza hao ndio tatizo na mwiba mkuu
Ahmed aliy nae mwengeaji2
Ukitaka timu ifanikiwe kwanza ni kuacha POROJO
Nawewe umeanza mbwembwe maneno mengi
Duuuh, saido kang'are uendakooo❤
Ili simba ile iweze kurudi, inabidi kwanza viongoz (wajuu) waliopo wasafishwe wote na waanze Moja. La sivyo tusubiri hadi 2025/2026.
Hahahahaha Schoool bus, Mzee Ahmed Ally !!!!
ila msimuache kapombe sifaya kapombe Simba anacheza nafasi mbili kwamda umoja anacheza kama winga piaana cheza kama beki
Una akili sana
Mbona kubyeedaaa🤣🤣🤣umenikumbsha mbaal😄
Sasa wa kupumzika hapo ni Try again mangungu si mlimchagua ninyi?
Simba inachojua ni kucheza mdomoni,uwanjanii tunawaachia azam na utopolo
😂😂😂😂😂kibu dengaaa
You need to get rid of those looking for players first, that is the problem and the main thorn
Si ungesema tu io school bus inamilikiwa na mzize 😊😂
Iyo ehehehehe,,,,,, inanipa raha Sana sijui aliitoa wapi ally jmn
Huyu msemaji kadri siku zinapoenda mbele anazidi kuchanganyikiwa aiseee.....Sijui timu🤣🤣
Ulitaka ajibuje ili uone yuko sawa?
Sio maneno ya Amed kweri ?
Ety watu wanatembelea school bus 😂😂😂😂😂
Uliowataja wameishusha Mtibwa
Apo kwa kibu wamekomeshwa sana mpaka tu release player ndy wamchukuee
Kwa kauli hii saidoo ayupo msimu ujao
Ukweli unauma?
Nawew auwezi kukjmbuka ulikotoka Wala unakoenda ila unapajua katikati kwasababu unapajua kwy tuliza mshono
Kichwa tenge
MKIACHA WACHEZAJI MNASAJILI TENA AMBAO CY BORA MFANO MLIMWACHA PHILI BALEKE SASA YAKO WAPI?
Umebyedaaa 😂😂😢😢!!!!!!
Nimecheka mno, kumbe ni msukuma
@@petrojacob6070hunishindiii mm nimebakii natamani nijue kabila lake maan hiyo kubyeda kaipataa wapiii neno adimu kabisa
Vp viongozi ma CIO kujiuzulu kwa maslahi ya simba??
😂😂😂 "wewe mbona umebieda"😂😂 haukubali?"
Kwni jamaa ni msukuma?😅😅😅
@@silveryb hicho ni Kisukuma ee, sijui kubieda ni Nini😂, tuambie.
@@boeihongoa1436eeeh kubieda ni kam kudharau.. huyo dada amemdharau semaji baada ya kudanganywa 😅😅😅
@@silveryb 😂😂😂 dada kaona semaji anaongea vitu sio.
@@boeihongoa1436 eeeh ndio maana kabieda 😆😆😆 kakataa kudanganywa
Mamae Siku Simba ikiwa vizuri hatutakaa Tanzania 😂😂😂 Eti Ki Vitz kimoja wanapitiana
Tatizo pesa kaka, Simba sc tunayoifahamu cyo hiyo ya wachezaji wa mia mia kweli! Hapana tajiri aweke pesa aache longo longo.
Semajiiiiiii😅😅😅
Siyo kweli huo ni ubingwa wa mdomo siyo ubingwa wa uwanjani mbona watanzania tunapenda kucheza kwa kutumia mdomo tujaribu kuiga kutoka nchi za wenzetu, hivi unaweza kusema eti tarehe hii tutakuwa tunaongea tukiwa na ubingwa, hizo ni ndoto za kimweri
hii ndo Tanzania. Kila sehemu siasa hahaha
Huyu Ahmed Aly ni msukuma et amebyeda ndo nni
Waongea kifaransa wanaoanda school bus wanapitiana 😂😂😂😂😂😂
Aziz key na Aucho mbona mlimshindwaa , Mudathiri pia acha kuwapa moyo wenzako muimba tarabu
Mdathiri tulimdharau japokuwa yupo kwenye kiwango sasa hv
Unatafuta mme?
Sio tumewashindwa tatizo wamezowea school bus 😂😂😂😂😂
@@basumaadam2686 hamna hela njaa tupu
Duuu ndotooo mbayaaa unawezaaa ukaotaaa umejengaa anganiii mwakani anakujaaa nakombeee wakatii. Mukimuojiii eti
Simba ikiendelea kuwaamin hawa jamaa wanaopga mdomo, ttashindwa kshrk kkombe chochote cha maana, timu haina kikombe ata kimoja arafu hyu jamaa anapga maneno utafkr mna klab bingwa
Mnatuchosha sasa. Vitendo sasa. Na viongozi wakae pembeni waje wengine
Leo ame kiri kuwa wachezaji wakiwa Simba ni kuwabania kipaji ila wakienda team nyingine wanafanya vizuri kuliko 😂
Ahmedi ally kauli zake zinatusaliti anaongea kama karidhika kashinda makombe yote
NIKWELI KABISA AKUNA OFA MTAPATA KWA MCHEZAJI YOYOTE WA SIMBA WOTE WABOVU
HUWA MNASEMA HVYHVY MNASAJILI KWA MAJINA CY VITENDO
WARUDIHENIPHILI NA BALEKE
Kweli kabisa , Phiri aliathiriwa tu kisaikolojia, hata Miquisone ni bora sana ila alirudi wakati simba imepigwa mshale inachechemea, kelele zikawaathiri.
Sijajuwa simba anamuwacha man ila chama
Simba sio timu mbovu Kama mnavyofikiria,mpaka sasa tuna Mataji MAWILI Ngao ya Jamii na Muungano,mbona hayo hamuyasemi nyinyi waandishi wa habari hebu semeni ukweli
Wenzio wanawekeza kwenye mijengo wewe unasema magari,kumaagazine
Acha wasajili afu tuone mwisho wa msimu 🤣🤣🤣
😂😂
Da balaa sana acha tujitafute
Kimsingi hata ww unapashwa kupisha,,,Huna uwezo wa kuwa msemaje wa simba,,,Uogo umekuwa mwingi sana kwako,,,hunatofauti na viogozi wako:::
Noma sana 😂😂😂
Huyu ndiyo semaji bana
Saido mbona anagoli kuliko kb
Saido juz Dodoma Jiji ilikula chuma saido ucpime
Anazungumza ujinga mtupu, pumbafu
😅😅😂😂😂😂mjinga ni wewe unaepoteza bando lako kwa ajiri yake kweli we mjinga😂😂😂
Sawa acha azungumze ujinga vipi wewe timu yAko inafanya vizuri?
Saido ni mchezaji msumbufu anayechosha timu pinzani na anauwezo mkubwa msimguse