SNAKE BOY | ep 18 | SEASON TWO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 พ.ค. 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    people/CLAM-...
    #Clamvevo #Vevowood
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 2.1K

  • @ibrahjokes5055
    @ibrahjokes5055 18 วันที่ผ่านมา +478

    Hizo nguvu haziwez kufanya kaz Kwa huyo mshamba mpk zirudishwe Kwa clam anayekubaliana na mm gonga like hapa😅😅

    • @user-bv4hs7ye7s
      @user-bv4hs7ye7s 18 วันที่ผ่านมา +3

      😂😂😅😅kitambo umeshapea like

    • @user-vn2wv7le1t
      @user-vn2wv7le1t 18 วันที่ผ่านมา +1

      Like umeipata

    • @fatmaathumani7569
      @fatmaathumani7569 18 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂😂😂😂mpaka.atote mavi kwa kujikamua 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @mwanaisha1998
      @mwanaisha1998 18 วันที่ผ่านมา +1

      Ety mshamba😂😂😂😂😂😂

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 18 วันที่ผ่านมา +2

      Hahaaaaaaa,mbwela rudisha nguvu kwa vevo😂😂😂

  • @hamzaibrahimu
    @hamzaibrahimu 18 วันที่ผ่านมา +350

    Leo nimewai 4minutes ago🎉🎉🎉🎉🎉🎉Sihiitaji like zenu ila naujumbe mdogo tu .Binaadamu tumeumbwa kwa ajili ya kumuabudu Mungu alie tuumba yatupasa tusijisahau hapa duniani tunapita tu tujitafakari wapi tulipo kosea tujilekebishe milango ya Toba bado ipo wazi ,Mungu atusamehe na atupe mwisho mwema wa maisha yetu 🤲

  • @josephkimario9638
    @josephkimario9638 18 วันที่ผ่านมา +150

    Kazi nzur, na pia mmeongeza dakika toka 15,16 had 25, Kama unaikubali hii movie gonga like hapa Twende sawa

    • @bwanaaliitv
      @bwanaaliitv 16 วันที่ผ่านมา

      SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO th-cam.com/video/O5pdG-m2UTI/w-d-xo.html

  • @REHOBOTHLOVEANDCAREMINISTRY
    @REHOBOTHLOVEANDCAREMINISTRY 18 วันที่ผ่านมา +31

    Kutoka KENYA 254 wapi likes zangu jamani ❤

  • @Akbar_Rich10
    @Akbar_Rich10 18 วันที่ผ่านมา +1180

    Huwa mnakawiyaga sana kuachiya kitu hadi tunachoka kusubiri 😢 gonga like apa kama unakubaliana na mimi 🙌🏾

    • @barakamachard1944
      @barakamachard1944 18 วันที่ผ่านมา +33

      Mpaka tunasahau tuliishia wapi

    • @highlightboy255
      @highlightboy255 18 วันที่ผ่านมา +16

      Sawaaa

    • @Justin_Nano
      @Justin_Nano 18 วันที่ผ่านมา +14

      Leo na Mimi nimewayi 💯🏃

    • @frenkmelele-qn7mt
      @frenkmelele-qn7mt 18 วันที่ผ่านมา +17

      hata like moja veh

    • @dominicomari7040
      @dominicomari7040 18 วันที่ผ่านมา +13

      I hope calm anasoma hii message yko

  • @HaisamDecoration
    @HaisamDecoration 18 วันที่ผ่านมา +84

    mmi ningependa kuwashaur msiwe mnachelewesha mzgo mwingine mpka tunaboleka anayebkubalian na mmi weka like yko hpo

    • @bwanaaliitv
      @bwanaaliitv 16 วันที่ผ่านมา

      SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO th-cam.com/video/O5pdG-m2UTI/w-d-xo.html

    • @user-vy9ps5ft9d
      @user-vy9ps5ft9d 14 วันที่ผ่านมา

      Nkubaliana na wewe

  • @johnkaparayjkr3544
    @johnkaparayjkr3544 18 วันที่ผ่านมา +26

    Kama kweli wewe ni chabiki wa my best Clam vevo naombeni munipe like😂😂😂 kwa sababu nika sema mimi ndiyo wa kwanza muta sema na kosea 😅 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 DRC my nationality

  • @user-uo2vr3mk4j
    @user-uo2vr3mk4j 18 วันที่ผ่านมา +37

    Aisee mwanangu kweli jamaa wanachelewa kutoa kitu mpaka wadau wao tunaanza kuwaza lakina wanasanaa wetu wako vizur mpaka sasa nimekua mlevi wa filam zao hawa
    I solute them

  • @user-dw3dz2zt4i
    @user-dw3dz2zt4i 18 วันที่ผ่านมา +277

    Leteni like zenu na Mimi since nianze kuangalia movie za huyu mwamba sijapata like ata moja

    • @dionisisarwat9478
      @dionisisarwat9478 18 วันที่ผ่านมา

      Unazifanyia nini hizo like?

    • @user-dw3dz2zt4i
      @user-dw3dz2zt4i 18 วันที่ผ่านมา

      @@dionisisarwat9478 tunazitumia luminatt

    • @bwanaaliitv
      @bwanaaliitv 16 วันที่ผ่านมา

      SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO th-cam.com/video/O5pdG-m2UTI/w-d-xo.html

  • @AbdulkasimuDossa
    @AbdulkasimuDossa 18 วันที่ผ่านมา +92

    Enyi watu!
    Rudini kwa mola wenu kwa ibada na tauba kabla kifo hakijawakuta na mjuto..

    • @user-lk6ms2py7k
      @user-lk6ms2py7k 18 วันที่ผ่านมา

      Hta mungu mwenyewe anajua ni act tu

    • @user-co2ed6dj6p
      @user-co2ed6dj6p 18 วันที่ผ่านมา

      Izo ni act abduu😂😂😂

    • @rosehappy2395
      @rosehappy2395 18 วันที่ผ่านมา

      Kuna jambo umemaanisha 😅 nakup ata

    • @elizabeth9522
      @elizabeth9522 18 วันที่ผ่านมา

      Clam unajua sana

    • @mariamomary7758
      @mariamomary7758 18 วันที่ผ่านมา

      Maswala ya nyoka kitandan ndo ninapoogopaga kulala mm jmn😢

  • @ekyociesengana1657
    @ekyociesengana1657 17 วันที่ผ่านมา +10

    jamani Mimi ni team CLAM CRIS @ VEVO ,yaani Mb zangu azihishiagi kwa mtu mwengine kama sio VEVO tu, asantee kwakutuongezea madakika ,apo ni fresh ,VEVO 💪💪💪💪💪💪🚀🚀🚀🚀🚀🚀. Like zenu jamani Team CLAM juuu

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 17 วันที่ผ่านมา +12

    Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @jembelakijiji
    @jembelakijiji 18 วันที่ผ่านมา +83

    Filamu nzuri ila mnakawia hongereni sana team clam vevo kuna mazuzu wapo hapa ndani badala ya kuitikia muitikio na kutoa sapoti ni like wanaomba upuzi Tu clam kazi zafi sana

    • @elizabethadabu4670
      @elizabethadabu4670 18 วันที่ผ่านมา

      Yaaan

    • @user-ql2yr4fj8h
      @user-ql2yr4fj8h 18 วันที่ผ่านมา

      Kwani izo like wanazokuwa wanaomba Huwa wanafaidika nazo nn?

    • @SpinacahSpinacah
      @SpinacahSpinacah 17 วันที่ผ่านมา

      Kweli wapuzi sana badara ya kumusapot kwa kazi nzuri anayoifanya

    • @IshmimarRajpa
      @IshmimarRajpa 17 วันที่ผ่านมา

      Kabisa yan mm nashangaa cjui like zinawasaidia nn

    • @salmasalum9946
      @salmasalum9946 17 วันที่ผ่านมา

      Kwan ukipewa like unapewa na zawad ama?

  • @judithjarome
    @judithjarome 18 วันที่ผ่านมา +38

    Ivi mmeona dakika zieongezwa kwa wingi sana, kama umefurah like apa

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 17 วันที่ผ่านมา +12

    Afadhali mmejiongeza kuongeza dakika hongera sana

  • @condeboy257tv9
    @condeboy257tv9 18 วันที่ผ่านมา +12

    Na huku Rwanda 🇷🇼turikua tuna isubili hii Movie, Hongeleni Sana.

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial 18 วันที่ผ่านมา +96

    Wa kwanza mimi Leo guys team clam vevo Leo tujuane kwa like pamoja na comments ❤❤❤😮😅😅😅

  • @briterkezybriterkezy6367
    @briterkezybriterkezy6367 18 วันที่ผ่านมา +89

    From mombasa kenya....fast one...mnipee likes leo aki...clam naomba

  • @maryjoseph1996
    @maryjoseph1996 16 วันที่ผ่านมา +4

    Jaman mpo vzur sanayaah ❤sem muwe mnawai kuachia vi2 bc

  • @user-uw6sf2kp6o
    @user-uw6sf2kp6o 18 วันที่ผ่านมา +7

    Much love from kenya❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ team gulf team kunyonga kila siku 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 gonga like tukisonga

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 18 วันที่ผ่านมา +44

    Niliona nikaipotezea daa Ila watu wangu eeee Hebu nipeni na mm japo 2 from Oman 🇴🇲 ❤

  • @Kotelvo8273
    @Kotelvo8273 18 วันที่ผ่านมา +98

    From usa 🇺🇸🇺🇸Wakwanza apa nipeni like zangu ❤

  • @user-dj9iz7lh1k
    @user-dj9iz7lh1k 16 วันที่ผ่านมา +4

    mbn clam simwon kuigiza muvi na wenzake saii yaan kweny muv za wenzake ayupo kabsaa ninapendekeza kweny hizi muv za wenzak kama kim mbwela ,sengo nk itapendeza zaid 🎉🎉😅😅ila mnajua sana 🎉🎉🎉kazi zenu nazifatilia sana ❤❤

  • @DavidNthiwa
    @DavidNthiwa 17 วันที่ผ่านมา +5

    Mutua salimika sana, mkamba mwezangu

  • @kelvinpeter7460
    @kelvinpeter7460 18 วันที่ผ่านมา +46

    Mzigo unapepea... Mtandao unasumbua lakin goma ndio linasonga ivo🎉🎉. Like na ww kam mtandao ni xhd kwako

    • @bwanaaliitv
      @bwanaaliitv 16 วันที่ผ่านมา

      SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO th-cam.com/video/O5pdG-m2UTI/w-d-xo.html

  • @joanbwahama-rx3tc
    @joanbwahama-rx3tc 18 วันที่ผ่านมา +27

    Huyu mshangazi analiwa na kila mwanaume anaetaka madaraka 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

    • @RosemaryWilbard
      @RosemaryWilbard 18 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂anadabangurwa tu

    • @joanbwahama-rx3tc
      @joanbwahama-rx3tc 18 วันที่ผ่านมา

      @@RosemaryWilbard ahahaaaa😀😀😀😀

    • @nadzuamrema5837
      @nadzuamrema5837 18 วันที่ผ่านมา

      Umenichekesha hapa jamani 🤣🤣🤣🤣

    • @michaelmathias7192
      @michaelmathias7192 18 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 17 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @josephattwipa470
    @josephattwipa470 18 วันที่ผ่านมา +6

    Hizi likes tunazo peana hapa kwenye comment section, tuzipe pia kwenye Chanel hii kwani kufanya hivyo, kutasaidia hii Chanel kuwa kubwa zaidi ya hapa. Na sisi tutanufaika kwa kuona vitu vingi vizuri!!! Kiukweli crew nzima wako vizuri BIG UP

  • @Sideog69
    @Sideog69 17 วันที่ผ่านมา +6

    Huyu mshamba asaau kupata nguvu hata atoe ulimi anae kubaliana na mimi gonga like tuwe pamoja🎉

  • @EnfridaManyama-xs5ub
    @EnfridaManyama-xs5ub 18 วันที่ผ่านมา +55

    Dah nimewah Leo jmn like ziwe nyingi 🎉

  • @xavieramandiocristovao8286
    @xavieramandiocristovao8286 18 วันที่ผ่านมา +109

    Leo soja chelewa,nipe like zangu banaa🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @user-sb8mg9pz6n
      @user-sb8mg9pz6n 18 วันที่ผ่านมา +2

      Jifunze kuandika kwanza

    • @xavieramandiocristovao8286
      @xavieramandiocristovao8286 18 วันที่ผ่านมา

      @@user-sb8mg9pz6n asante

    • @user-hg6yi1rm7y
      @user-hg6yi1rm7y 18 วันที่ผ่านมา

      Uko bitter why😂😂😂😂😂😂​@@user-sb8mg9pz6n

    • @chelahkenyah3596
      @chelahkenyah3596 18 วันที่ผ่านมา +1

      Misichelewe kutoa epsode ingne

    • @bintyramadhani7585
      @bintyramadhani7585 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-sb8mg9pz6n😅😅😅😅sijui nacheka nn ....aaah😅😅

  • @abrahamfelix95
    @abrahamfelix95 18 วันที่ผ่านมา +10

    kupewa K siku moja,, chifu kamchukua dem mbaka kwenye mazoezi😂😂 kishimo mlenda noma

    • @Missah
      @Missah 17 วันที่ผ่านมา

      😆😆😆

    • @hamidahHammy254
      @hamidahHammy254 14 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @MussaHaule-tn3xw
    @MussaHaule-tn3xw 18 วันที่ผ่านมา +6

    Hammmmmmhh hammmmmmhh aiyaaaa huuuuuuu! Aiyaaaaa iyelele mama jaman wanao ikubali hiii beat tujuwane clam vevo nakuomba kila unapotoa episode usiiache jaman🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 18 วันที่ผ่านมา +54

    Oyoooo kaz kaz km unamkubali snake boy weke like ❤❤

  • @DelphinKatembo-ni5fw
    @DelphinKatembo-ni5fw 18 วันที่ผ่านมา +34

    Wa kwanza leo, na omba ata like tano, nawa fata kutoka congo

  • @nzizajovinpaul4955
    @nzizajovinpaul4955 17 วันที่ผ่านมา +4

    Wachaaaa Tanzi mtamjua ninani Nguvu zake zikipatikana.😂😂😂

  • @marthajaphet4454
    @marthajaphet4454 17 วันที่ผ่านมา +4

    Yaaan tunasubiri adi inachosha, kazi nzur ila muda wanauvuta sana kuachia kitu ,waweke muda maaluu ieleweke kama ni baada ya siku 3 iwe 3 kweli kama ni 4 bc hivyo hivyo,,,,
    Anayeunga mkono gonga like apaaa

  • @gastonmulondani8900
    @gastonmulondani8900 18 วันที่ผ่านมา +37

    Kazi nzuri sn ongereni kbs alafu nimefurayi sana kwa kuongeza dakika

  • @TobiasjullioSimao
    @TobiasjullioSimao 18 วันที่ผ่านมา +14

    Naombeni like Jaman from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @nickluca1512
    @nickluca1512 18 วันที่ผ่านมา +6

    Mwakatobe 😂😂😂😂 muvi inakuwaa tamuu kwa vionjo vya mwakatobe humo tu humoo tu 😂😂😂

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 17 วันที่ผ่านมา +4

    Jamani hii movie tamu hatari lazima ipate tunzo kama hamkutupa tunzo tunaongozana tunawapenda from uk 🇬🇧

  • @YUSUPHMWAINUNU
    @YUSUPHMWAINUNU 18 วันที่ผ่านมา +108

    Ata kama wa tatu ila nimewahii naomba like zangu tafadhal

    • @bwanaaliitv
      @bwanaaliitv 16 วันที่ผ่านมา

      SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO th-cam.com/video/O5pdG-m2UTI/w-d-xo.html

  • @SengaboyUmbrella-el5hi
    @SengaboyUmbrella-el5hi 18 วันที่ผ่านมา +23

    Chef sija vaaa yule ambaye amesikiya hiyo neno tupa like zangu hapa😂😂😂😂😂

    • @user-ql2yr4fj8h
      @user-ql2yr4fj8h 18 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 jmn ila ww lkn s umeelewa?

  • @mayeleoscarmayele874
    @mayeleoscarmayele874 18 วันที่ผ่านมา +3

    Nipo Kampala uganda nawafatilia sana bigg up clam Vevo and your group

  • @user-dz8uy1ow3x
    @user-dz8uy1ow3x 17 วันที่ผ่านมา +4

    Kutoka rwanda nafatilia nawapenda sana ❤🎉kwa clam

  • @lennoxrama4330
    @lennoxrama4330 18 วันที่ผ่านมา +210

    Wakwanza jaman leo naomba like ata kumi

    • @abasikazenga
      @abasikazenga 18 วันที่ผ่านมา +2

      Ila una tukosea sana jamaa yetu muv ainaa siku nyingi then dk cahche

    • @mg_panther
      @mg_panther 18 วันที่ผ่านมา

      Wewe utakuwa chizj sio bule mana unae muambia huyo hausiki kbs

    • @janethfelix9411
      @janethfelix9411 18 วันที่ผ่านมา

      Za nini

    • @Mokogoti181
      @Mokogoti181 18 วันที่ผ่านมา

      Ufanyie nini 😅😅😅

  • @user-cq9xt5yd6o
    @user-cq9xt5yd6o 18 วันที่ผ่านมา +202

    Please now mnipe like zangu mwamba from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿

    • @itNeza
      @itNeza 18 วันที่ผ่านมา +1

      Warundi akili zenu ni kuomba like kama Ma Zezeta. Ikijuju Gusa. 🤔😎

    • @johkm2408
      @johkm2408 18 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@itNezawamuhimbiriwe zezeta niwewe kuma ramamayako

    • @user-cq9xt5yd6o
      @user-cq9xt5yd6o 18 วันที่ผ่านมา +1

      @@itNeza hivi wewe msenge Nini kwani wew inakuhusu Nini chukizanin fitima tu kama mbuluzi wambwawe

    • @user-ux5iq6uo2w
      @user-ux5iq6uo2w 17 วันที่ผ่านมา

      ​@@johkm2408sasa nawe nawe iyo kuma ya mama yake waijua emu punguzeni ukali wa maneno angalieni movie kwa bashasha acheni tabia mbaya

    • @chacha_magonka
      @chacha_magonka 17 วันที่ผ่านมา +1

      Mwambie saido akupe😂

  • @gracekatentula975
    @gracekatentula975 18 วันที่ผ่านมา +8

    Je suis congolais de Lubumbashi sasa kwa Nini clam ajapona utahila paka sasa naomba like zangu !

    • @dastanjonas2253
      @dastanjonas2253 18 วันที่ผ่านมา

      Bienvenu monsieur, Clam hajapona ili kunogesha zaidi stori. Sinon nous les tanzaniens sommes heureux de vous congolais à cause de votre soutenance

  • @EsterDeus-li3nf
    @EsterDeus-li3nf 17 วันที่ผ่านมา +2

    Waigizaji wote mpo vizuri sanaaaa sana ni move nzuri tamu isiyo kinai asanteni sana tunawapenda sanaaaaa mpo vizuri kila idara🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @eviepretty2646
    @eviepretty2646 18 วันที่ผ่านมา +19

    Humu tu humu tu atulalii😎❣️❣️🍹🤣 sijapenda

  • @Yangadamu
    @Yangadamu 18 วันที่ผ่านมา +25

    Hongera sana Leo mmeongeza dk

  • @mpeletadashine2652
    @mpeletadashine2652 17 วันที่ผ่านมา +4

    Ni kweli mnachelewaa ilaa mnatuletea kitu kilicho Bora zaidi, asanteni sana kwa kuongeza muda.

  • @johannesnyabara2527
    @johannesnyabara2527 18 วันที่ผ่านมา +4

    I like this kibwagizo wacha😂😂😂 kazi nzuri

  • @JordanAndrew-rr8fq
    @JordanAndrew-rr8fq 18 วันที่ผ่านมา +38

    Kumbe wa kwanza Mimi Leo nipeni like zangu sasaa wananzengo

  • @Danmusee
    @Danmusee 18 วันที่ผ่านมา +32

    From Nairobi Kenya 🇰🇪 likes ❤❤

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 18 วันที่ผ่านมา +6

    Sikuzote thulma aina mafanikio mfaume acha kujipa madaraka ambayo aikuusu ntanzi uwo niuridhi😢

  • @HawaIsmek
    @HawaIsmek 17 วันที่ผ่านมา +5

    Hhhh jmn wang wamepend clam alivyo sema sijapeta jmn agone like

  • @user-mc9it9sz4v
    @user-mc9it9sz4v 18 วันที่ผ่านมา +31

    Mapema tu

  • @MosesIsazi
    @MosesIsazi 18 วันที่ผ่านมา +28

    LEO WAKWANZA NAOMBENI LIKE JAMAN😂

  • @MuhammadJaffary-uu6zl
    @MuhammadJaffary-uu6zl 18 วันที่ผ่านมา +9

    kazi swafi saana pongezi❤❤🎉 tuna wapenda mfahamu hilo tuna kusikiliza ombi letu la kufuisha muda wa kusubiri

  • @EuniceSaimon-cx7iy
    @EuniceSaimon-cx7iy 18 วันที่ผ่านมา +16

    Leo kidogo mmenifurahisha mmerusha ndefu.....ila clam shemeji yangu una kazi nzuri ntakupa hamisa wote wako umchukue bila mahali😂😂😂😂😂

  • @user-gm9hk6ni5s
    @user-gm9hk6ni5s 18 วันที่ผ่านมา +21

    Wakwanza kutoka Kenya wapi like zangu

  • @Queen_of_love_2020
    @Queen_of_love_2020 18 วันที่ผ่านมา +40

    ❤❤from Usa Apa

    • @khamishaji2356
      @khamishaji2356 18 วันที่ผ่านมา +1

      Tukupe ngapi

    • @N.S.GGROUP1
      @N.S.GGROUP1 18 วันที่ผ่านมา +1

      Umeulizwa unapotokea haca ushamba

    • @Queen_of_love_2020
      @Queen_of_love_2020 18 วันที่ผ่านมา

      @@N.S.GGROUP1 au Shobo 🖕🫵

  • @dennistheacrobat8701
    @dennistheacrobat8701 18 วันที่ผ่านมา +5

    From the beginning Mpaka mwisho Mkenya 🇰🇪 anaeishi España 🇪🇦❤

  • @user-md1sp5js8h
    @user-md1sp5js8h 17 วันที่ผ่านมา +4

    💋💖😍💃 hongera sana kutu ongeza madakika

  • @EnfridaManyama-xs5ub
    @EnfridaManyama-xs5ub 18 วันที่ผ่านมา +27

    Yan Leo umeweza dakika25 big up sana clam

  • @FattyDapetty-tj9vr
    @FattyDapetty-tj9vr 18 วันที่ผ่านมา +13

    Asbuhi subuhi kit chamotooooo wap team clam wewe tupo p1 sana ulipo tupo maua yenu hayo wote tunaowakubali🎉🎉🎉

  • @MartinEmmanuel-eh7fu
    @MartinEmmanuel-eh7fu 18 วันที่ผ่านมา +4

    Sinema yenu nzuri tatizo mwanga🎉🎉❤❤

  • @user-kr7ok7be6c
    @user-kr7ok7be6c 17 วันที่ผ่านมา +6

    ❤❤❤❤kazi nzuri clam sasa tunakupa support 🎉na wewe pia tupe mapema episode zilizobakia kama wakubaliana na mm nipe like ❤❤❤❤❤❤

  • @user-qd7ey5cp5s
    @user-qd7ey5cp5s 18 วันที่ผ่านมา +28

    Mbona mnaboo sana nakuomba likes😏😏😏pewa basi mkapike mkule😢😢😢badala mpongeze clam kwa kazi nzuri mko hapa mnang'ang'ania likes kama watoto🤨🤨

  • @badboyjephanie-uh3mz
    @badboyjephanie-uh3mz 18 วันที่ผ่านมา +25

    Wa pili leo jmn kutoka Congo 🇨🇩..mnipe mauwa yangu

    • @ShamsaAley
      @ShamsaAley 18 วันที่ผ่านมา

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @privatusprudence
    @privatusprudence 18 วันที่ผ่านมา +3

    Mnatoa move nzuri sana lakini mnachelewa kutoa move yenu then kuweni na siku maalumu kama vile jua Kali jumatano hadi jumapili siku nyingne Wana shoot itasaidia kulinda watazamaji wenu vzr kabsaa.

  • @user-yr3cz4td1y
    @user-yr3cz4td1y 18 วันที่ผ่านมา +3

    Unajua sana kuigiza sema shida inakuja kwenye kuchelewa kutoa

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 18 วันที่ผ่านมา +19

    😂😂😂😂Chief atakuja kunya akifanya zoez la sauti 😂😂😂😂😂

  • @Harmontwo255
    @Harmontwo255 18 วันที่ผ่านมา +13

    wa kumi mimi apa naombeni like zangu najuwa amto like ila big up clam. nawasalimu ma fans wa snack boy ❤❤❤❤🤷‍♂🤷‍♂

  • @aloycekaumbu
    @aloycekaumbu 18 วันที่ผ่านมา +4

    Mnazinngua bana tuna choka Masha bicki kisubili movie aloycy apa

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hongeza zako nyingi sana mbwela ni mwajuma hapa bado nakufatilia

  • @clewis520
    @clewis520 18 วันที่ผ่านมา +25

    I love the snake Queen…..Sarah wangu.

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu9728 18 วันที่ผ่านมา +58

    Hatimaye leo nimewahi japo sio sana naomben like zangu jamani

  • @sajentfurecomedymzarendo1270
    @sajentfurecomedymzarendo1270 18 วันที่ผ่านมา +3

    Namimi nipo ila mnacherewa sana
    like hapa walio subulia kama mimi from zimbabwe😀😊

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 17 วันที่ผ่านมา +1

    Ama kweli ni nguvu za giza😂😂,clam anazitafuta gizani😅 🙌...kisha ame upgrade chapati na malage kaongeza vitumbua na sambusa🤣🤣#mnaweza clam gang kazi inaendelea vizuri Mashallah cha msingi tusisahau ibada 🙏

  • @babadirito9965
    @babadirito9965 18 วันที่ผ่านมา +23

    Nipeni likes zangu mm ndo wakwanza Leo

  • @user-rr4sq6mu8g
    @user-rr4sq6mu8g 18 วันที่ผ่านมา +65

    Wakwanza jmn naombeni like zangu ❤❤❤

  • @msauzbusiness558
    @msauzbusiness558 18 วันที่ผ่านมา +7

    Anaekubari kua hili picha ni Kari kuliko yote gonga like tusepe na Kijiji💪

  • @user-cc2ll7bw7u
    @user-cc2ll7bw7u 18 วันที่ผ่านมา +3

    Hivi bado kuna wanaume kama kipara huku mtani, nimewaza kwa nguvu tu, sio michongo yangu😂😂😂😂

  • @fundiseif1096
    @fundiseif1096 18 วันที่ผ่านมา +27

    Daah snake boy 🐍 inazidi kua noma sana clam vevo umetisha kaka 🔥🔥🔥💪

  • @RangsoniWicroni
    @RangsoniWicroni 18 วันที่ผ่านมา +33

    Mimi ndo wa kwanza nchi nzima naombeni like kwa ajili ya clam ❤❤❤❤

  • @BushashaSwitch
    @BushashaSwitch 17 วันที่ผ่านมา +2

    Kuva 🇧🇮🇧🇮💥 turikumwe kndi turagufana Clam VEVO ndagukunda sana 🎉💥🇧🇮 salamu Kwa wadawu wote na wapenzi wa channel pendwa nya Clam VEVO 🙏🏾🙏🏾

  • @Ivan-pr9ry
    @Ivan-pr9ry 7 วันที่ผ่านมา +1

    Kazi nzuri clam endelea hivo hivo yatakuwa poa Siku ijayo😊🎉🎉

  • @emmanuelmaloda6707
    @emmanuelmaloda6707 18 วันที่ผ่านมา +15

    Iko POA Sana, sema uliichelewesha broh🙌

  • @djumalawi1626
    @djumalawi1626 18 วันที่ผ่านมา +15

    Mimi wakwanza south africa ❤

  • @Obertan_coolkid-04_
    @Obertan_coolkid-04_ 18 วันที่ผ่านมา +2

    Kazi kazi siwapingi wote wanaoishiriki kuigiza mpk kutengeneza.......high level

  • @annamauwa9799
    @annamauwa9799 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mie wa mwisho ila msinisahau ❤❤❤🎉🎉asante kikundi kizima

  • @KhalfanShaban-ne5vg
    @KhalfanShaban-ne5vg 18 วันที่ผ่านมา +17

    Nan wakwanza kama mieeeee leooo😊

  • @LesianJuma
    @LesianJuma 18 วันที่ผ่านมา +14

    Kiukweli nawapenda sana kama unawakubali wahusika wa hii movie gonga like hapa chini❤❤

  • @saidymzee6521
    @saidymzee6521 18 วันที่ผ่านมา +2

    Snake boy imekuwa kma jua kali mzikii mwingiiii ila bora ili isimalize mapema

  • @omarymtegwa2299
    @omarymtegwa2299 18 วันที่ผ่านมา +8

    Mnakawia sana kutuletea ep nyingine.....
    Kama unakubaliana nami gonga like

  • @SmilingHermitCrab-ve4qz
    @SmilingHermitCrab-ve4qz 18 วันที่ผ่านมา +14

    Jaman. Naomben lik maan. Clam cy poa twende nalo .mpaka EP ya buk

  • @mtakatifubony5525
    @mtakatifubony5525 18 วันที่ผ่านมา +17

    Anayewadanganya mkichelewa sana mtafanikiwa anawapoteza

    • @user-ux5iq6uo2w
      @user-ux5iq6uo2w 17 วันที่ผ่านมา

      Wenae Mwaandaliwa vitu vzuri lakini subra hamna

    • @athumanimcharo4861
      @athumanimcharo4861 16 วันที่ผ่านมา

      hii kazi inahitaji muda kuiandaa tumpe muda tusiwe na haraka

  • @user-mr7hf5dy2v
    @user-mr7hf5dy2v 17 วันที่ผ่านมา +1

    Tabia ya kuomba like simuache..au mmekua kama kipara..mi sipendi badala mchangie mawazo filam iendelee kuwa bora mmekazana like ...nyau nyie

  • @KimwanamvuaDula
    @KimwanamvuaDula 15 วันที่ผ่านมา +2

    Clam apewe taji 🎉🎉🎉🎉kma unaungna n mmi dondosha like yko n comment znu