MAKONDA AMUWASHIA MOTO MKURUGENZI''SIPOTEZI MUDA MIMI,UMENIUZI SANA/NIMEMKAMATA AKILA RUSHWA........

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 พ.ค. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 191

  • @user-tb7qw5oh1h
    @user-tb7qw5oh1h 13 วันที่ผ่านมา +21

    Kamanda Makonda unafaa kuwa kiongozi mkubwa,Mungu akubariki Kwa ujasiri huo.Amina

  • @daniel.shao.9028
    @daniel.shao.9028 13 วันที่ผ่านมา +10

    Chuma kinazidi kuiva
    Mwenyezi Mungu akulinde na kukuzidishia hekima Ndg.Paul Makonda.

  • @melkizedck
    @melkizedck 14 วันที่ผ่านมา +24

    Ila Makondo ana moyo wa ajabu. Yaan! Ana moyo wa huruma.

  • @toney..
    @toney.. 13 วันที่ผ่านมา +12

    Mh. Makonda Raisi wetu wa baadae, hata kama haitakua mwaka 2030,ila lazima uwe raisi wa Tanzania, sooner or later.... Mungu akubariki ❤

  • @AbdalaHamadi-fv4qh
    @AbdalaHamadi-fv4qh 12 วันที่ผ่านมา +4

    Watu wanao pitia mazingira magumu ya maisha wakipata nafas huzitendea haki .mung ajalie watu kama makonda wawe wengi zaidi.amiin

  • @tungarazalaurent2602
    @tungarazalaurent2602 12 วันที่ผ่านมา +4

    Una talent ya uongozi broo ....unakula MB zangu sana mpaka zinaisha daaah

  • @ndetiyomafie4624
    @ndetiyomafie4624 14 วันที่ผ่านมา +31

    Nakutia moyo shujaa 🎉na kamanda wa Mkoa wetu.

  • @user-tb7qw5oh1h
    @user-tb7qw5oh1h 13 วันที่ผ่านมา +9

    Kiongozi kama wewe umechaguliwa na Mwenyezi Mungu.Dr.Samia hembu mfikirie saana huyu Mtendaji wetu,maana nguvu aliyonayo ni zaidi ya Mkuu wa Mkoa.Mungu ambariki saana.Amina

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 10 วันที่ผ่านมา +2

    Comrade Paul Makonda Mungu akulinde, your such an amazing leader👏👏👏👏

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 13 วันที่ผ่านมา +7

    Tanzania tutaendelea kwa mfumo huu, hongera sana Makonda watching you from California

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r 13 วันที่ผ่านมา +6

    Kumpenda Mungu kuna faida kubwa . Makonda anampenda sana Mungu hapendi mtu yeyote aonewe .na hii ndio inakubalika hata kwa Mungu. Ubarikiwe sana na Mungu akulinde sana

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 14 วันที่ผ่านมา +25

    Asilimia 99 ya viongozi wa hapa tz makonda amewaacha mbali sana

  • @geophreyhizza6315
    @geophreyhizza6315 13 วันที่ผ่านมา +5

    Umeboreka sana bro, siku zinavyozidi kwenda unaimarika MUNGU aendelee kukupigania huenda baadaye MUNGU akipenda uwe nafasi ya juu kabisa kwenye hii inchi.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 14 วันที่ผ่านมา +14

    MOTO JUU YA MOTO BRAVO MAKUFULI JUNIOR NAKUOMBEA MUNGU USIMAME KATIKA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI 👏 👌 🤣 👍 💪

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 11 วันที่ผ่านมา +2

    Heshima yamtu ni Busara kukua kwamtu nihekma zake Kiukweli hata wapumbavu nao wanazeeka maana siokila Mtumzima ana Busara Makonda Bado nikijana sana lakini anaonekana Anabusara Na Hekma Mungu akukinge na Husda yawasiopenda Maendeleo ya Taifa letu Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wabaraki Viongozi kama Makonda Ilitaifa liwe salama Nalakujisifia

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante

  • @user-py8ih8jr4b
    @user-py8ih8jr4b 14 วันที่ผ่านมา +19

    Makonda ww ninavyoweza kusema nimsaidiz wa mungu sku nataman uwe lais

    • @riazshaikh8577
      @riazshaikh8577 13 วันที่ผ่านมา

      Sio laisi ni Raisi bana

    • @JacksonFrances
      @JacksonFrances 13 วันที่ผ่านมา

      Na wewe umekosea Siyo Raisi Bali ni (Rais)"​@@riazshaikh8577

    • @krizofrancisco5310
      @krizofrancisco5310 12 วันที่ผ่านมา

      Acha uchawa Mungu Hana msaidizi

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@krizofrancisco5310m pumbavu wewe hujielewi

  • @ChristianMwashitete
    @ChristianMwashitete 8 วันที่ผ่านมา

    Nzuri sanah hiyo mh.makonda.unafaa kua kiogozi wetu mkumba zaidi ya hapo mungu atakuinua.christian.mwashitete.from mbeya,

  • @user-rw7ww2yd7i
    @user-rw7ww2yd7i 12 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu aendelee kukulinda na kutupigania tumaini letu watanzania mhe makonda piga kazi

  • @frankchaula8674
    @frankchaula8674 14 วันที่ผ่านมา +15

    Kukusikiliza naona maisha yangu yamekua mepesi

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j 14 วันที่ผ่านมา +7

    Duh! Dr Samia mpe huyu kijana nchi kwa miezi mitatu tu akusaidie kisha tuangalie. Hapo nafikiri watu wote watakaa sawa.

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 14 วันที่ผ่านมา +10

    Mkurugenzi kashiba rushwa top😮!! RC Makonda chukua maua yako 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌷🌷🌷🌷🌷🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉✔️✔️✔️✔️✔️❤

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 14 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu ndiyo makonda hata ukimsikiliza anaongea kwa kumaanisha kweli kweli kuwa nimpenda haki.

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 11 วันที่ผ่านมา +1

    Murch love❤❤❤❤Makonda

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 12 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika ❤kaka Mungu akupe ulinzi mkubwaa barikiwa baba kegan

  • @HappyAnacondaSnake-zl4vj
    @HappyAnacondaSnake-zl4vj 13 วันที่ผ่านมา +3

    DAMU YA YESU KRISTO UKUFUNIKE JUU DHIDI YAO WANAOKUWAZIA MABAYA,TUMIKA KWA KUTENDA HAKI YESU YUNAWE AMINA

  • @alphoncenerlimbweni6233
    @alphoncenerlimbweni6233 13 วันที่ผ่านมา +2

    KAMA NINGEKUWA RAIS NINGEMTEUWA MAKONDA AWE MKUU WA MIKOA YOTE ILI AWAENDESHE WAKUU WA MIKOA NA KUWAWEKEA MIKAKATI NA KUWAADHIBIWA KAMA HAWAKUTEKELEZWA, MAANA ANA MAONO NA ANAMTANGULIZA MUNGU. HONGERA SANA KAKA YANGU KWA UTENDAJI MZURI KUFUFUA MIOYO ILIOPONDEKA.

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong8123 14 วันที่ผ่านมา +5

    Makonda piga kazi mpaka wanyooke

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 14 วันที่ผ่านมา +13

    Unawazidi wenzio kwa mbali sana. Mungu akulinde.

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 14 วันที่ผ่านมา +5

    Mhe Makonda hao watu watakua ni waizi wazoefu hata majuzi fulani tu miezi mitatu iliyopita kulikuwa na kikao kama hicho na huyo muhindi alipasua majipu hayo hivo hivo lkn nikashangaa hakuna kilichofanyika.

  • @user-qg7fw7si5i
    @user-qg7fw7si5i 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akibariki kaka yangu Makonda

  • @michaelmatonange630
    @michaelmatonange630 14 วันที่ผ่านมา +13

    Akili mingi sana bro

  • @simonmasunga7398
    @simonmasunga7398 14 วันที่ผ่านมา +11

    Congratulations Mr. Makonda. you have well said/ruled

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 14 วันที่ผ่านมา +4

    kamanda makonda pereka lumande huyo Kwa makosa yake mabaya

  • @dionizemmanuel-ml2vf
    @dionizemmanuel-ml2vf 9 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa mtu wa Mungu . Mwanza tunakutamani sana.

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 12 วันที่ผ่านมา

    Mamayetu Samia akamleta wajina wangu, Arusha Paulo makonda ili atuokoe cc Wana Arusha tunonyanyasea asante mam kutulete chuma hii amen

  • @allyjumakukulo4972
    @allyjumakukulo4972 13 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana kiongozi

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mh. Makonda mfumo wako wa utawala ni wa Nordic countries. Nchi hii inaendeshwa kimarekani ambapo nguvu hutumika badala Ya akili.

  • @stanleybupambambogo3334
    @stanleybupambambogo3334 11 วันที่ผ่านมา

    Ee bwana, namuona boss wangu wa zamani MR. SANJEE mmoja wa Wakurgenzi wa kampuni ya ROY SAFARIS ya jijini Arusha akiwa amekaa pembeni (kushoto) mwa WILBERT CHAMBULO.
    I salute you Mr. Sanjee!

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mm makonda na Tundu lissu Hawa watu nawapenda sana

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 12 วันที่ผ่านมา +1

    Hapa kazi tu, kazi iendelee.

  • @nappekiliakiliasalimu346
    @nappekiliakiliasalimu346 14 วันที่ผ่านมา +2

    Ingetakiwa mkuu wa wilaya arusha awe SABAYA alafu na makonda yupo wananchi tutakula bata mbaya sana

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 14 วันที่ผ่านมา +5

    Paul Christian Makonda(PCM)

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai6759 14 วันที่ผ่านมา +2

    Nilichogundua mkurugenz alijua kila kitu kimeisha ile siku. Ila amesahau Makonda sio mtu wa maneno ni mtu wa vitendooo.(ndan ya siku mia leo day 1. 100/99)

  • @georgemwakalindile687
    @georgemwakalindile687 12 วันที่ผ่านมา +1

    😀😀😀😀 wamekuja na ajenda yao ya kuzima moto wa millioni 24.....wamelipa m3....wamegawana m20....badala wachange hiyo m20 wairudishe ionekane wazi wazi what there intention was wao wanazidi kuwaudhi wenye akili....sasa ona aibu gani hiyo,wafanyabiashara wamegundua wadudu yao na evidence wanazo......Makondo naomba mahakama itoe mfano huko arusha......nyundo 20 jela au zaidi.....kisha Mama mwamishe Makonda mkoa mwingine au sema tu akimaliza Arusha nampeleka mkoa mwingine bila kuutaja......"utashangaa watendaji wa mikoa watakavyo anza kuuza mali zao😀😀😀

  • @kalashapastor
    @kalashapastor 10 วันที่ผ่านมา

    Makonda Kwa mamlaka niliyopewa na Mungu makonda apewe kuwa waziri mkuu yuko implemented yuko safi kikazi Hata kuwa Raise anaweza kabisa nitamuombea sana

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 11 วันที่ผ่านมา

    Inaendelea kuthibitika kuwa Tanzania inahitaji viongozi wa aina hii (1)Jasiri asiye mwoga (2)mwenye hofu ya Mungu(3) mpinga rushwa kwa kumaanisha (4) mwenye kuwahurumia na kuwatetea wenye kuonewa (6) mkali asiye fanya mizaha katika utumishi wake

  • @user-oq1zv2nv8n
    @user-oq1zv2nv8n 12 วันที่ผ่านมา +1

    Kakaangu.makonda.vaaaa.basi.ata.zile.bufekti.za.kuzuia.risasi.unatufurahisha.sana.unatenda.haki.zote
    Bila.kuangalia.uyu.ni.tajiri.au.nimaskini.tutakukumbuka.utakapoamishwa.kupelekwa.mkoa.mwingine.

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 13 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda ni kichwa akili,

  • @agnesmogere413
    @agnesmogere413 14 วันที่ผ่านมา +8

    Mungu akulinde sana mkuu,

  • @wilbroddaffi66
    @wilbroddaffi66 12 วันที่ผ่านมา +1

    Tukiondoa tabia za kupenda vyama huyu jamaa ni kiongozi bora sana ni vile tu wachumia tumbo wanatumia machawa kutupotosha

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 14 วันที่ผ่านมา +3

    Daaah, wewe ni mtu na nusu🙏🙏🙏🙏🙏🙏. Mungu akulinde bwana Makonda

  • @mapinduzisylvester1903
    @mapinduzisylvester1903 14 วันที่ผ่านมา +2

    Mkurugenzi demina ya uso wake anaonekana siyo msafi spiritually na physically 😢

  • @yasminmohamed604
    @yasminmohamed604 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mikowa yote ingekuwa na mkuu km wewe tanzania ingekuwa dubai igeni bc jmn mungu akulinde

  • @apolinarymboya3231
    @apolinarymboya3231 13 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka kila secta inakufaa mungu akulinde utokapo na uingiapo tunakufuatiliya tuki babati manyata wanyooshe na usicheke na mtu ambae ana adabu na madaraka afilisiwe

  • @BedaKunguluche
    @BedaKunguluche 13 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mwamba Makonda ni mtu makini saana

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 14 วันที่ผ่านมา +12

    Mh makonda usiwahurumie Wala rushwa wamewaumiza sana wasio na nguvu Wala nafasi.

  • @bongo39
    @bongo39 14 วันที่ผ่านมา +3

    Jamaa kaongea vizuri sana hongera hawa watendaji ndio wanaofanya kodi zisilipwe kwa sahihi huyo babu aliemlaumu atolewe akapumzike nyumbani

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 14 วันที่ผ่านมา +3

    Ni mazoea machafu TU watu wengi wanafanya mkoa wa Arusha shamba la bibi hawashughuliki na matatizo ya watu

  • @PaulinaLwena
    @PaulinaLwena 13 วันที่ผ่านมา

    Makonda Mungu atakucmamia kwenye kazi zako

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga 11 วันที่ผ่านมา

    Mama Samia tafuta utaratibu wa kupeleka na mikoa mingine watu kama Makonda,sisi Watanzania tunataka watenda haki na wachapa kazi kama huyu jamaa. Jamani anachapa kazi eti, wewe fikiria mtu ni mkuu wa mkoa wa Arusha lakini hata sisi wa Mikoa mingine tunamtamani umlete Mikoani kwetu.

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 13 วันที่ผ่านมา

    MOja kwa moja kutoka Nchini kenya.MH.Mungu akubaliki sana

  • @materidaniel2365
    @materidaniel2365 14 วันที่ผ่านมา +4

    Mh makonda mungu aliye hai aendelee kukulinda

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 14 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sana mheshimiwa Makonda Hawa sio wakukaa kwenye ofisi za umma kama huyu akanyee kwenye debe

  • @witnessriwa6576
    @witnessriwa6576 14 วันที่ผ่านมา +4

    Makonda nakufunika kwa Damu ya Yesu wasikudhuru hao wezi

  • @MaryLee-sh4nd
    @MaryLee-sh4nd 12 วันที่ผ่านมา

    Yaani makonda zaidi ya jembe, nakupa maua yako.Mungu akulinde

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 14 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu Mkurugenzi Hatufai Kabsa

  • @user-kg9uz2hh1y
    @user-kg9uz2hh1y 14 วันที่ผ่านมา +2

    hao wafanya kazi wa TRA

  • @reaganmtesha3007
    @reaganmtesha3007 9 วันที่ผ่านมา

    Jembeeee

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 14 วันที่ผ่านมา +6

    Bando haliishi kama sjamsikiliza makonda

  • @musaguga
    @musaguga 14 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu mkurugenz hana kazi,hiyo nimetabiri

  • @makondorshimora5017
    @makondorshimora5017 9 วันที่ผ่านมา

    Sasa huyu babu mkurugenzi hiyo hela anapekeka kwa waganga? Make hata muonekano wake mmmmh😌😌

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 14 วันที่ผ่านมา +3

    Uje na Mbeya mwanangu Makonda tunakuhitaji sana

  • @theodosiahaule5545
    @theodosiahaule5545 13 วันที่ผ่านมา

    Mungu akuinue zaidi Kiongozi wetu. Kazi iendelee

  • @EsterAlex-dn1dx
    @EsterAlex-dn1dx 7 วันที่ผ่านมา

    Naomba upambane makonda ugombee urais hiii nnchi itanyooka

  • @user-ny1tf2gg8g
    @user-ny1tf2gg8g 12 วันที่ผ่านมา

    Ishi baba na Mungu akulinde sana

  • @veronicamokiwa4315
    @veronicamokiwa4315 13 วันที่ผ่านมา

    La msingi sana ni maombi kwa ajili ya ulinzi wa Mungu juu yake si wote wanafurahia hii michakato ya kusidia watu

  • @user-nd9cm6yo9r
    @user-nd9cm6yo9r 11 วันที่ผ่านมา

    Yaani Makonda natamani upewe mikoa 5 na ndani yake lindi ikiwemo

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai6759 14 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda yupo vizury sanaaa. Ongeraa pia chambulo

  • @user-eb2el9kw6m
    @user-eb2el9kw6m 13 วันที่ผ่านมา

    Mheshimiwa Makonda ulindwe na malaika wa Mungu. Mimi sasa hivi ni chama cha kijani. Umenifanya nikipende chama kumbe kina watu wazuri kama wewe.

  • @magiramagesa37
    @magiramagesa37 13 วันที่ผ่านมา

    Makonda❤❤❤❤❤ sana

  • @neemanyerere-drago5570
    @neemanyerere-drago5570 13 วันที่ผ่านมา

    Huko kwenye serikali za mitaa, ndipo watendaji wa halmashauri wanajenga matabaka, wanakandamiza wananchi wakiidanganya serikali kuu kwa uongo na unafiki na taarifa za kutunga.

  • @RASHIDKHEIRBAGHDELLAH
    @RASHIDKHEIRBAGHDELLAH 12 วันที่ผ่านมา

    Makonda chapa kazi Mungu wa Mbinguni yupo upande wako

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 12 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 8 วันที่ผ่านมา

    Unaonga kama autaki kumbe ndio unampiga mtu spana.

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 13 วันที่ผ่านมา

    Rais wetu 2030

  • @user-oq1zv2nv8n
    @user-oq1zv2nv8n 12 วันที่ผ่านมา

    Kwanza.wewe.makonda.kakaangu.unaongea.ukweli.kama.magufuli.ila.nakuomba.usile.vyakula.vyakuletewa.lapili.usalama.wako.uchaguwe.wewe.mwenyewe.nakupenda.sana.unaakili.sana

  • @user-kt7ic9tg5p
    @user-kt7ic9tg5p 14 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda anastahili kua mkuu wa mikoa ,awasimamie wakuu wengine yaani awe mwenyekit wao na kuwafundisha kazi,yuko vizuri xana

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 14 วันที่ผ่านมา +1

    Hili ni Giza lipo hapo

  • @neemanyerere-drago5570
    @neemanyerere-drago5570 13 วันที่ผ่านมา

    Watanzania tuko tayari kulipa kodi lakini watendaji wanatengeneza mazingira ambayo sio rafiki, lakini kwa style hii ya Mhe Mkuu wa Mkoa, ni wengi watakwenda kulipa kodi bila kukumbushwa. Taasisi za kusimamia kodi zinatakiwa kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, maana bila mapato yatokanayo na kodi za wazalishaji uchumi, yaani wafanyabiashara, wakulima, serikali itashindwa kufikia malengo. Hao ni wadau muhimu sana katika maendeleo ya taifa, na hili jambo watendaji wanatakiwa watambue, unamfanyiaje ubabe anayekulisha??

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 13 วันที่ผ่านมา

    Lakini ninachokiona kingine katiba yetu ingerekebishwa,
    Haiwezekani wakurugenzi wengi wanaboronga hivyo mwisho wa sikubutasikia amehamishwa,
    Kwamba akaboronge sehemu nyingine!!!!

  • @user-hg4yy1qs7g
    @user-hg4yy1qs7g 13 วันที่ผ่านมา

    Yan hakuna kama kaka makonda asante sana kaka

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 13 วันที่ผ่านมา

    Kwa kweli ufisadi umezidi maana ni kila kona ni bora hizo halmashauri zibinafsishwe Tu, ndio muarobaini wa kuondoa upigaji

  • @neemaayubu8012
    @neemaayubu8012 11 วันที่ผ่านมา

    MUNGU aendelee kukuinua mh.

  • @StellaMwasha
    @StellaMwasha 12 วันที่ผ่านมา

    Mungu akufunike konda

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 13 วันที่ผ่านมา

    Wako wengi sana mkuu asikali ndo kwanza wanakula rushwa kweri kweri

  • @user-eb2el9kw6m
    @user-eb2el9kw6m 13 วันที่ผ่านมา

    Hawa watu wanapataje hizi nafasi? Watu kama hawa hawawezi kututoa hapa kutupeleka mbele

  • @wemakyagunya1895
    @wemakyagunya1895 13 วันที่ผ่านมา

    Makonda wewe ni kiongozi Mkuu ujaye.

  • @SanareLaizer-en5it
    @SanareLaizer-en5it 13 วันที่ผ่านมา

    Mama Samia mwaka 2025 kura yangu ipo

  • @tumahai157
    @tumahai157 14 วันที่ผ่านมา

    Natamani siku Moja ukiwa Rais wa nchi hii ya maziwa na asali