MAKONDA AMUWASHIA MOTO MKURUGENZI''SIPOTEZI MUDA MIMI,UMENIUZI SANA/NIMEMKAMATA AKILA RUSHWA........
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 พ.ค. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Kamanda Makonda unafaa kuwa kiongozi mkubwa,Mungu akubariki Kwa ujasiri huo.Amina
Chuma kinazidi kuiva
Mwenyezi Mungu akulinde na kukuzidishia hekima Ndg.Paul Makonda.
Ila Makondo ana moyo wa ajabu. Yaan! Ana moyo wa huruma.
Mh. Makonda Raisi wetu wa baadae, hata kama haitakua mwaka 2030,ila lazima uwe raisi wa Tanzania, sooner or later.... Mungu akubariki ❤
Watu wanao pitia mazingira magumu ya maisha wakipata nafas huzitendea haki .mung ajalie watu kama makonda wawe wengi zaidi.amiin
Una talent ya uongozi broo ....unakula MB zangu sana mpaka zinaisha daaah
Nakutia moyo shujaa 🎉na kamanda wa Mkoa wetu.
Kiongozi kama wewe umechaguliwa na Mwenyezi Mungu.Dr.Samia hembu mfikirie saana huyu Mtendaji wetu,maana nguvu aliyonayo ni zaidi ya Mkuu wa Mkoa.Mungu ambariki saana.Amina
Comrade Paul Makonda Mungu akulinde, your such an amazing leader👏👏👏👏
Tanzania tutaendelea kwa mfumo huu, hongera sana Makonda watching you from California
Kumpenda Mungu kuna faida kubwa . Makonda anampenda sana Mungu hapendi mtu yeyote aonewe .na hii ndio inakubalika hata kwa Mungu. Ubarikiwe sana na Mungu akulinde sana
Asilimia 99 ya viongozi wa hapa tz makonda amewaacha mbali sana
Umeboreka sana bro, siku zinavyozidi kwenda unaimarika MUNGU aendelee kukupigania huenda baadaye MUNGU akipenda uwe nafasi ya juu kabisa kwenye hii inchi.
MOTO JUU YA MOTO BRAVO MAKUFULI JUNIOR NAKUOMBEA MUNGU USIMAME KATIKA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI 👏 👌 🤣 👍 💪
Heshima yamtu ni Busara kukua kwamtu nihekma zake Kiukweli hata wapumbavu nao wanazeeka maana siokila Mtumzima ana Busara Makonda Bado nikijana sana lakini anaonekana Anabusara Na Hekma Mungu akukinge na Husda yawasiopenda Maendeleo ya Taifa letu Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wabaraki Viongozi kama Makonda Ilitaifa liwe salama Nalakujisifia
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
Makonda ww ninavyoweza kusema nimsaidiz wa mungu sku nataman uwe lais
Sio laisi ni Raisi bana
Na wewe umekosea Siyo Raisi Bali ni (Rais)"@@riazshaikh8577
Acha uchawa Mungu Hana msaidizi
@@krizofrancisco5310m pumbavu wewe hujielewi
Nzuri sanah hiyo mh.makonda.unafaa kua kiogozi wetu mkumba zaidi ya hapo mungu atakuinua.christian.mwashitete.from mbeya,
Mungu aendelee kukulinda na kutupigania tumaini letu watanzania mhe makonda piga kazi
Kukusikiliza naona maisha yangu yamekua mepesi
Duh! Dr Samia mpe huyu kijana nchi kwa miezi mitatu tu akusaidie kisha tuangalie. Hapo nafikiri watu wote watakaa sawa.
Apewe kazi isiyo na mipaka
Mkurugenzi kashiba rushwa top😮!! RC Makonda chukua maua yako 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌷🌷🌷🌷🌷🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉✔️✔️✔️✔️✔️❤
Huyu ndiyo makonda hata ukimsikiliza anaongea kwa kumaanisha kweli kweli kuwa nimpenda haki.
Murch love❤❤❤❤Makonda
Hakika ❤kaka Mungu akupe ulinzi mkubwaa barikiwa baba kegan
DAMU YA YESU KRISTO UKUFUNIKE JUU DHIDI YAO WANAOKUWAZIA MABAYA,TUMIKA KWA KUTENDA HAKI YESU YUNAWE AMINA
❤
KAMA NINGEKUWA RAIS NINGEMTEUWA MAKONDA AWE MKUU WA MIKOA YOTE ILI AWAENDESHE WAKUU WA MIKOA NA KUWAWEKEA MIKAKATI NA KUWAADHIBIWA KAMA HAWAKUTEKELEZWA, MAANA ANA MAONO NA ANAMTANGULIZA MUNGU. HONGERA SANA KAKA YANGU KWA UTENDAJI MZURI KUFUFUA MIOYO ILIOPONDEKA.
Makonda piga kazi mpaka wanyooke
Unawazidi wenzio kwa mbali sana. Mungu akulinde.
Mhe Makonda hao watu watakua ni waizi wazoefu hata majuzi fulani tu miezi mitatu iliyopita kulikuwa na kikao kama hicho na huyo muhindi alipasua majipu hayo hivo hivo lkn nikashangaa hakuna kilichofanyika.
Mungu akibariki kaka yangu Makonda
Akili mingi sana bro
Congratulations Mr. Makonda. you have well said/ruled
kamanda makonda pereka lumande huyo Kwa makosa yake mabaya
Barikiwa mtu wa Mungu . Mwanza tunakutamani sana.
Mamayetu Samia akamleta wajina wangu, Arusha Paulo makonda ili atuokoe cc Wana Arusha tunonyanyasea asante mam kutulete chuma hii amen
Hongera sana kiongozi
Mh. Makonda mfumo wako wa utawala ni wa Nordic countries. Nchi hii inaendeshwa kimarekani ambapo nguvu hutumika badala Ya akili.
Ee bwana, namuona boss wangu wa zamani MR. SANJEE mmoja wa Wakurgenzi wa kampuni ya ROY SAFARIS ya jijini Arusha akiwa amekaa pembeni (kushoto) mwa WILBERT CHAMBULO.
I salute you Mr. Sanjee!
Mm makonda na Tundu lissu Hawa watu nawapenda sana
Hapa kazi tu, kazi iendelee.
Ingetakiwa mkuu wa wilaya arusha awe SABAYA alafu na makonda yupo wananchi tutakula bata mbaya sana
Paul Christian Makonda(PCM)
Wooh....(PCM)
Nilichogundua mkurugenz alijua kila kitu kimeisha ile siku. Ila amesahau Makonda sio mtu wa maneno ni mtu wa vitendooo.(ndan ya siku mia leo day 1. 100/99)
😀😀😀😀 wamekuja na ajenda yao ya kuzima moto wa millioni 24.....wamelipa m3....wamegawana m20....badala wachange hiyo m20 wairudishe ionekane wazi wazi what there intention was wao wanazidi kuwaudhi wenye akili....sasa ona aibu gani hiyo,wafanyabiashara wamegundua wadudu yao na evidence wanazo......Makondo naomba mahakama itoe mfano huko arusha......nyundo 20 jela au zaidi.....kisha Mama mwamishe Makonda mkoa mwingine au sema tu akimaliza Arusha nampeleka mkoa mwingine bila kuutaja......"utashangaa watendaji wa mikoa watakavyo anza kuuza mali zao😀😀😀
Makonda Kwa mamlaka niliyopewa na Mungu makonda apewe kuwa waziri mkuu yuko implemented yuko safi kikazi Hata kuwa Raise anaweza kabisa nitamuombea sana
Inaendelea kuthibitika kuwa Tanzania inahitaji viongozi wa aina hii (1)Jasiri asiye mwoga (2)mwenye hofu ya Mungu(3) mpinga rushwa kwa kumaanisha (4) mwenye kuwahurumia na kuwatetea wenye kuonewa (6) mkali asiye fanya mizaha katika utumishi wake
Kakaangu.makonda.vaaaa.basi.ata.zile.bufekti.za.kuzuia.risasi.unatufurahisha.sana.unatenda.haki.zote
Bila.kuangalia.uyu.ni.tajiri.au.nimaskini.tutakukumbuka.utakapoamishwa.kupelekwa.mkoa.mwingine.
Makonda ni kichwa akili,
Mungu akulinde sana mkuu,
Tukiondoa tabia za kupenda vyama huyu jamaa ni kiongozi bora sana ni vile tu wachumia tumbo wanatumia machawa kutupotosha
Daaah, wewe ni mtu na nusu🙏🙏🙏🙏🙏🙏. Mungu akulinde bwana Makonda
Mkurugenzi demina ya uso wake anaonekana siyo msafi spiritually na physically 😢
Sure
Mikowa yote ingekuwa na mkuu km wewe tanzania ingekuwa dubai igeni bc jmn mungu akulinde
Kaka kila secta inakufaa mungu akulinde utokapo na uingiapo tunakufuatiliya tuki babati manyata wanyooshe na usicheke na mtu ambae ana adabu na madaraka afilisiwe
Huyu mwamba Makonda ni mtu makini saana
Mh makonda usiwahurumie Wala rushwa wamewaumiza sana wasio na nguvu Wala nafasi.
Jamaa kaongea vizuri sana hongera hawa watendaji ndio wanaofanya kodi zisilipwe kwa sahihi huyo babu aliemlaumu atolewe akapumzike nyumbani
Ni mazoea machafu TU watu wengi wanafanya mkoa wa Arusha shamba la bibi hawashughuliki na matatizo ya watu
Makonda Mungu atakucmamia kwenye kazi zako
Mama Samia tafuta utaratibu wa kupeleka na mikoa mingine watu kama Makonda,sisi Watanzania tunataka watenda haki na wachapa kazi kama huyu jamaa. Jamani anachapa kazi eti, wewe fikiria mtu ni mkuu wa mkoa wa Arusha lakini hata sisi wa Mikoa mingine tunamtamani umlete Mikoani kwetu.
MOja kwa moja kutoka Nchini kenya.MH.Mungu akubaliki sana
Mh makonda mungu aliye hai aendelee kukulinda
Safi sana mheshimiwa Makonda Hawa sio wakukaa kwenye ofisi za umma kama huyu akanyee kwenye debe
Makonda nakufunika kwa Damu ya Yesu wasikudhuru hao wezi
Yaani makonda zaidi ya jembe, nakupa maua yako.Mungu akulinde
Huyu Mkurugenzi Hatufai Kabsa
hao wafanya kazi wa TRA
Jembeeee
Bando haliishi kama sjamsikiliza makonda
Huyu mkurugenz hana kazi,hiyo nimetabiri
Sasa huyu babu mkurugenzi hiyo hela anapekeka kwa waganga? Make hata muonekano wake mmmmh😌😌
Uje na Mbeya mwanangu Makonda tunakuhitaji sana
Mungu akuinue zaidi Kiongozi wetu. Kazi iendelee
Naomba upambane makonda ugombee urais hiii nnchi itanyooka
Ishi baba na Mungu akulinde sana
La msingi sana ni maombi kwa ajili ya ulinzi wa Mungu juu yake si wote wanafurahia hii michakato ya kusidia watu
Yaani Makonda natamani upewe mikoa 5 na ndani yake lindi ikiwemo
Makonda yupo vizury sanaaa. Ongeraa pia chambulo
Mheshimiwa Makonda ulindwe na malaika wa Mungu. Mimi sasa hivi ni chama cha kijani. Umenifanya nikipende chama kumbe kina watu wazuri kama wewe.
Makonda❤❤❤❤❤ sana
Huko kwenye serikali za mitaa, ndipo watendaji wa halmashauri wanajenga matabaka, wanakandamiza wananchi wakiidanganya serikali kuu kwa uongo na unafiki na taarifa za kutunga.
Makonda chapa kazi Mungu wa Mbinguni yupo upande wako
❤❤❤❤❤❤
Unaonga kama autaki kumbe ndio unampiga mtu spana.
Rais wetu 2030
Kwanza.wewe.makonda.kakaangu.unaongea.ukweli.kama.magufuli.ila.nakuomba.usile.vyakula.vyakuletewa.lapili.usalama.wako.uchaguwe.wewe.mwenyewe.nakupenda.sana.unaakili.sana
Makonda anastahili kua mkuu wa mikoa ,awasimamie wakuu wengine yaani awe mwenyekit wao na kuwafundisha kazi,yuko vizuri xana
Hili ni Giza lipo hapo
Watanzania tuko tayari kulipa kodi lakini watendaji wanatengeneza mazingira ambayo sio rafiki, lakini kwa style hii ya Mhe Mkuu wa Mkoa, ni wengi watakwenda kulipa kodi bila kukumbushwa. Taasisi za kusimamia kodi zinatakiwa kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, maana bila mapato yatokanayo na kodi za wazalishaji uchumi, yaani wafanyabiashara, wakulima, serikali itashindwa kufikia malengo. Hao ni wadau muhimu sana katika maendeleo ya taifa, na hili jambo watendaji wanatakiwa watambue, unamfanyiaje ubabe anayekulisha??
Lakini ninachokiona kingine katiba yetu ingerekebishwa,
Haiwezekani wakurugenzi wengi wanaboronga hivyo mwisho wa sikubutasikia amehamishwa,
Kwamba akaboronge sehemu nyingine!!!!
Yan hakuna kama kaka makonda asante sana kaka
Kwa kweli ufisadi umezidi maana ni kila kona ni bora hizo halmashauri zibinafsishwe Tu, ndio muarobaini wa kuondoa upigaji
MUNGU aendelee kukuinua mh.
Mungu akufunike konda
Wako wengi sana mkuu asikali ndo kwanza wanakula rushwa kweri kweri
Hawa watu wanapataje hizi nafasi? Watu kama hawa hawawezi kututoa hapa kutupeleka mbele
Makonda wewe ni kiongozi Mkuu ujaye.
Mama Samia mwaka 2025 kura yangu ipo
Natamani siku Moja ukiwa Rais wa nchi hii ya maziwa na asali