Rais Magufuli ampa ulinzi wa Polisi Mwanamke Mjane anaetishiwa maisha

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2017
  • Wakati Rais Magufuli akimaliza kuhutubia February 2 2017 ikiwa ni siku ya sheria ambapo maadhimisho yake yamefanyika katika viwanja vya Mahakama Ocean Road, Mama mmoja mkazi wa Tanga Sabaha Ally mjane mwenye watoto wawili alijitokeza mbele ya Rais Magufuli akiwa ameshika bango lenye maelezo na kutaka msaada kutoka kwa Rais katika matatizo aliyonayo.

ความคิดเห็น • 185

  • @AbdulghaniDMusa
    @AbdulghaniDMusa 7 ปีที่แล้ว +42

    A great man who will lead Africa, we love you Rais Magufuli, a real son of mother Africa.

    • @youngswaggatv9966
      @youngswaggatv9966 6 ปีที่แล้ว +1

      Nice

    • @mwilakingsley9795
      @mwilakingsley9795 4 ปีที่แล้ว

      This one should rule Africa ,Magufuli is larger than Tanzania he should be African president...and i vote yes.

    • @collinsblessed
      @collinsblessed 4 ปีที่แล้ว

      Sure sure

  • @alistairelias536
    @alistairelias536 7 ปีที่แล้ว +12

    Dah simulizi ya huyo mama imenigusa sana. Kwanza nimpongeze kwa kuwa alijieleza vizuri sana mbele ya Rais. And props kwa Rais kutaka kumsikiliza na kutoa uamuzi wa fasta, mwingine angeweza kumpuuza kwamba ni mtu mwenye fujo.

  • @xardaye
    @xardaye 7 ปีที่แล้ว +11

    that is what real leader does viva Tanzania president.

  • @saidasidiq1355
    @saidasidiq1355 7 ปีที่แล้ว +10

    Mungu atakulipia!!don't cry mama

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 ปีที่แล้ว +1

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty

  • @ruchusprospa7796
    @ruchusprospa7796 6 ปีที่แล้ว +2

    i realy appreciate your job Milard Ayo,
    nakufwatilia kila siku from Drc congo

  • @ambrosemokaya9420
    @ambrosemokaya9420 6 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Rais Magufuli. Natamani kuwa Mtanzainia. kazi nzuri kweli.

  • @KIMSwahili
    @KIMSwahili 7 ปีที่แล้ว +9

    ahsate Raisiwetu kwa kusikiliza kilio cha mama mungu akuzidishie uruma amiin

  • @kingkongmadiba3174
    @kingkongmadiba3174 5 ปีที่แล้ว +1

    Hero of Tanzania 🇹🇿. We chose a right president and let’s love him and give him support for better change for our country!

  • @mmary70
    @mmary70 7 ปีที่แล้ว +8

    Magufuli has never convinced in anyway he is a good leader but for this kudos man

  • @khalfantambwe9291
    @khalfantambwe9291 7 ปีที่แล้ว +13

    safi sana Mheshimiwa Rais yetu JPM...mungu akulinde

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig2431 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mama ni mkenya wakenya tutakulilia daima shujaa wetu magu😭😭😭

  • @moturithevictor2522
    @moturithevictor2522 7 ปีที่แล้ว +16

    Watanzania twawaomba Magufuli aje Kenya kwa miezi mitatu tu....tuwarudishie...asanta

    • @gjeffw3717
      @gjeffw3717 4 ปีที่แล้ว

      Victor Moturi 👍

    • @salimali3035
      @salimali3035 4 ปีที่แล้ว

      Kenya viongoz sio binadam awana imani

    • @leilathango8411
      @leilathango8411 4 ปีที่แล้ว

      Pambaneni na kenyata wenu hahaha magufuli baba wakenya wanakutamani

  • @radhiasalum833
    @radhiasalum833 7 ปีที่แล้ว +1

    mwenyezi mungu akulinde rais wetu.kina mama tunateseka na miradhi.

  • @loudbamanaaf172
    @loudbamanaaf172 7 ปีที่แล้ว +10

    Hakimu mkuuu Sir God tu
    Tutaelewa tu huko mbele ya haki

  • @haulemwasembo6583
    @haulemwasembo6583 7 ปีที่แล้ว +4

    .mungu akulinde sana were mama

  • @joycemichaellovelove2221
    @joycemichaellovelove2221 7 ปีที่แล้ว +18

    Nimeshindwa kujizuia daaaah 😢😢😢😢Mungu akulinde Rais wetu mtetezi wa wanyonge uwe na umri mrefu ili uendelee kututetea lakin pia waliopokea rushwa wasiwe na kaz iwe fundisho

    • @lilianrichard2696
      @lilianrichard2696 6 ปีที่แล้ว

      joyce michael love love

    • @babaazbabaaz7643
      @babaazbabaaz7643 6 ปีที่แล้ว

      I wish all African president's wangekua Kama mangufuli

    • @pendochimamy6514
      @pendochimamy6514 5 ปีที่แล้ว

      Magufuli naomba uishi miaka mingi nimelia machoz ya furaha asante mungu kwarais wetu asie kuelewa atakua namapungufu

  • @sirgomahojoa969
    @sirgomahojoa969 7 ปีที่แล้ว +15

    Hapana huyu mama ni wakupewa pongezi angekuwa mwingine keshazurumiwa tayali kila la kheri mama utafanikiwa katika madai yako

  • @husseinyhassany5696
    @husseinyhassany5696 5 ปีที่แล้ว +1

    Rais magufuli mm nmelia haki sana shukran lau ungekua rais wetu Kenya tungefika mbali sai Kenya bure

  • @matondolameck8313
    @matondolameck8313 7 ปีที่แล้ว +3

    " 5 Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane, Mungu katika kao lake takatifu.
    Zaburi 68 :5
    6 Mungu huwakalisha wapweke nyumbani; Huwatoa wafungwa wakae hali ya kufanikiwa; Bali wakaidi hukaa katika nchi kavu."
    Zaburi 68 :6
    Shared from Swahili Bible Offline 2.1

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 7 ปีที่แล้ว +15

    daa! mpaka nimelia jaman kwa nn tunatesana hivyo jmn cc wanadam

  • @happyjulius8423
    @happyjulius8423 6 ปีที่แล้ว +6

    jaamn vilio vya wamama mungu visikie 😭

  • @johnnjogundegwa9799
    @johnnjogundegwa9799 6 ปีที่แล้ว +1

    Thank you Mr President for helping the lady. May justice prevail

  • @dugulemuse4458
    @dugulemuse4458 4 ปีที่แล้ว

    Keep up mr President , going this way is best in our future.

  • @Chingagirl123
    @Chingagirl123 7 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Ayo tV...

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 7 ปีที่แล้ว +2

    Mungu huwapa watu wake haki zao

  • @franklinagisoodero4340
    @franklinagisoodero4340 7 ปีที่แล้ว +1

    GOD bless you mheshimiwa.mama apate justice

  • @robinsonmaleo37
    @robinsonmaleo37 7 ปีที่แล้ว +4

    big up sanna ila Mtangazajia ayyo punguza matangazo yanaharibu concentration bana. tafuta njia nyingine plz

  • @mtolelahwaya3605
    @mtolelahwaya3605 7 ปีที่แล้ว +8

    Safi sana, watanzania tubadilikeni haki ya mtu si mpaka tumuone rais, tumuogope MUNGU duniani tunapita mkae mkilijua hili.

  • @nzeyimanaayubu
    @nzeyimanaayubu 7 ปีที่แล้ว +6

    kwakweli nampongeza muheshimia raisi mama huu atia imani allah atakusaidia

  • @honeybee5720
    @honeybee5720 5 ปีที่แล้ว

    My rais you are honest and helpful... god bless you...

  • @anawa4326
    @anawa4326 7 ปีที่แล้ว +2

    Big up president mtetezi wa wanyonge 👍👍🏼

  • @user-de7nf8pp3w
    @user-de7nf8pp3w 7 ปีที่แล้ว +7

    dah imenigusa sana pole sana mungu atakusimamia upate hak yako inshaaallah

  • @alliabaraka5810
    @alliabaraka5810 7 ปีที่แล้ว +2

    this is great

  • @YamunguYb
    @YamunguYb 7 ปีที่แล้ว +1

    Mungu azidi kumpa nguvu Rais wetu

  • @emmanuellema4167
    @emmanuellema4167 7 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania kwa style hii lazima kila mtu apate haki yake, Mungu akubariki Mr. President , Mungu ibariki Tanzania.

  • @mariamtemba2372
    @mariamtemba2372 7 ปีที่แล้ว +2

    mama ameniliza jamaniii imagine kuna wamama wangapi huko vijijini hawapati nafas kama hii so wanaishia kudhulumiwa tu .

  • @emanuelkimaro8440
    @emanuelkimaro8440 7 ปีที่แล้ว +1

    Safi Mungu akulinde rais

  • @gm7045
    @gm7045 5 ปีที่แล้ว

    Mungu ni muweza ..poleni Mama

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 ปีที่แล้ว +4

    KENYA huyo nilijua tangia akiongea mara ya kwanza tu

  • @gnmmng4203
    @gnmmng4203 7 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭Tz mbona hivi kweli?utu ulienda wapi?Mungu wa wajane anaishi.

  • @radhiasalum833
    @radhiasalum833 7 ปีที่แล้ว +4

    daaa inauma sana.hao mahakimu wakamuliwe yaani wanajali pesa za hongo kuliko mali za mwana mama daaaa.

  • @abdirahmanmohamed5420
    @abdirahmanmohamed5420 5 ปีที่แล้ว

    Mimi ni msomali mkenya nime liya kwa uchungu ya mama Rais Magufuli asante sana kwa kusikiliza wananchi yako May ALLAH BLESS U MR PRESIDENT

  • @delickjulius5644
    @delickjulius5644 7 ปีที่แล้ว +4

    mwenyez mungu akulinde mamaangu cha kufanya muombe mungu usiitegemee selikali

  • @sullepeter4722
    @sullepeter4722 7 ปีที่แล้ว +1

    mheshimiwa rahisi nashukuru sana kwakuliangalia hilo swala la huyo mama, haki sawa kwa kila raia

    • @bububuytgdustobambooyttyty2439
      @bububuytgdustobambooyttyty2439 7 ปีที่แล้ว

      Haki itendeke pande zote za Muungano na Wazanzibar pia wapewe haki yao kw kua bdo haijacmamiwa kikamilifu haki icwepo upande mmoja tu,tunapenda kaz unayoifanya muheshimiwa rais na tunaikubali sana lkn tunaomba haki hio ienee Tanzania nzima maana na znz haki haipo

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 4 ปีที่แล้ว

    Asante bb mungu akusadiye

  • @roseannisiaka4004
    @roseannisiaka4004 7 ปีที่แล้ว +2

    mungu atakujaria usikate tamaa mungu atakusaidia na usichoke kumuomba mungu na usijari mungu yupo pamoja nawe

  • @raynestory600
    @raynestory600 7 ปีที่แล้ว

    kwel mungu akupe maisha rais magufuli tumepewa mtu sahihi kwa muda sahihi

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 7 ปีที่แล้ว +3

    shukran

    • @zainabrashid4858
      @zainabrashid4858 7 ปีที่แล้ว +2

      mwenyezi mungu akulipe zaid mheshimiwa mtufu Rais

  • @saudaligomba600
    @saudaligomba600 5 ปีที่แล้ว

    Nashukur mungu tumempata rais anaye tujar nakuombea kwa mungu uyu ndio rais wa wanyonge mungu atakulupa atuna cha kukulipa zaid ya maombi yetu mungu akutangulie kwa kila jambo

  • @mounbakko5871
    @mounbakko5871 6 ปีที่แล้ว +1

    when people believe you are their hope, who to take their grievances and redress above all else, then you have transcended being leader to protector and father and saviour.

  • @irenesese6968
    @irenesese6968 5 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki baba

  • @jamesmsigwa2149
    @jamesmsigwa2149 5 ปีที่แล้ว +1

    mama upo vzr kujieleza

  • @mgabejames9331
    @mgabejames9331 4 ปีที่แล้ว +2

    Uyo mama kaenda shule alafu anajiamini pia yupo makini

  • @saimondevidmanyelezi6835
    @saimondevidmanyelezi6835 5 ปีที่แล้ว

    Ndo Tanzania ilipofikia, wanaombeza Rais waone ugumu wa kazi aliyo nayo Rais wetu.

  • @andrewasagwile7162
    @andrewasagwile7162 7 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana mama kwa yalio kukuta lkn MUNGU mwema atakushindia

  • @mako331
    @mako331 7 ปีที่แล้ว

    tusaidie muheshimiwa kuna watu wengi wanatumia ofisi vibaya, hata balozi zetu nje ya nchi hazitusaidii tufanikiwe kutafuta maisha, tusaidie watu nyumbani, Mungu alikuchagua Muheshimiwa

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 7 ปีที่แล้ว

    Mungu saidia watu wako. wewe ni Mungu

  • @ashirafsalum2673
    @ashirafsalum2673 6 ปีที่แล้ว

    Mungu mpe umri mlefu rais we john pombe magufuli na umpye afya nzuri umuepushia maradhi umpe ujasili na hekima ya kutuongoza sisi watanzania kwa moyo wake wote..

  • @christopheromoro3264
    @christopheromoro3264 4 ปีที่แล้ว

    may God stand with you Mr.president long live

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 7 ปีที่แล้ว +1

    Very sad.....pole sana mama Mungu yuko nawe utafanikiwa

  • @richardmissa1155
    @richardmissa1155 5 ปีที่แล้ว

    Rais Mungu akujaliie na akusimamie kila kitu ulitusaidia tukapewa mirathi wakati ukiwa waziri wa ujenzi

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997
    @ladymashaallahilikeuaadvis997 6 ปีที่แล้ว

    Masikini ,mungu akusimamie dadangu

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy37 7 ปีที่แล้ว

    najua magufuli hataisoma hii ujumbe ila....daima Mungu akulinde sana mzee. Asante kwa kuwa msimamizi wa wanyonge na wajane....wewe ni mtu mwema sana

    • @irenemwanaa8160
      @irenemwanaa8160 5 ปีที่แล้ว

      Mungu akusaidie mheshimiwa rais wetu mtetezi wa haki za wanyonge hususani wajane

  • @sphrb1063
    @sphrb1063 7 ปีที่แล้ว

    😢😢😢😢😢😢

  • @tammysalum5475
    @tammysalum5475 7 ปีที่แล้ว +2

    Sina hamu na maaskari

  • @samsungandroid9277
    @samsungandroid9277 7 ปีที่แล้ว

    Maskin pole mama kwa kuteteshwa hadharani lakin mungu alikua pamoja nawe ukaonekana na Raisi ukapata usaidizi ni kweli Mungu hawachi mja wake..

  • @TheChidonline
    @TheChidonline 7 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante mtu wangu wa nguvu.. kwa taarifa pia ni vizuri kulinda kazi zako.. ila hii lebo ya ayotv ikiwepo hapa kati inakuwa irritating katika kuangalia hizi video ni vizuri ungeangalia sehemu nyengine ya pembeni kidogo itakuwa poa sana.. ni ushauri tu kaka #millardayo

  • @aloysrugazia
    @aloysrugazia 7 ปีที่แล้ว

    Natamani ningekua na handle hii kesi mimi. Hongera Mhe. Rais kwa Hekima za Sulemani.

    • @evelyneemakala3012
      @evelyneemakala3012 7 ปีที่แล้ว

      Hakika nimelia aisee pole sana mama hongera Mh... rais

  • @yaedlifemedia3203
    @yaedlifemedia3203 6 ปีที่แล้ว

    aisee aijui anaitwa mama nan ningeenda kumpa zawad kwakwel yan amepigania hak live bila chenga.strong woman

  • @neemahassan8786
    @neemahassan8786 7 ปีที่แล้ว +1

    God's plan

  • @nellydj8184
    @nellydj8184 5 ปีที่แล้ว

    Nomaaa

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 3 ปีที่แล้ว

    Ama kwa hakika naendelea kupata elimu ni kwa nini Mwenyezi Mungu ameweka tayari MOTO wa kushughulikia MADHALIMU.Dhulma ni kubwa na ni nyingi mno juu ya uso wa dunia.

  • @babyejames3398
    @babyejames3398 3 ปีที่แล้ว

    Eeh Mungu ameondoka huyu mama itakuaje khs ulinzi aliopewa 😭😭😭

  • @estherchacha7112
    @estherchacha7112 ปีที่แล้ว +1

    😭

  • @fabianaloyce7427
    @fabianaloyce7427 4 ปีที่แล้ว

    jamn huyu rais ni baraka kutoka kwa mungu tumuombe jamn

  • @brytonzablon4744
    @brytonzablon4744 5 ปีที่แล้ว

    Mama toa shaka Mungu huwa anatenda unapochoke yeye ndipo anapo jiinua

  • @chikumunna7377
    @chikumunna7377 4 ปีที่แล้ว

    Asante. Magufuli

  • @johnnybegood92
    @johnnybegood92 5 ปีที่แล้ว +1

    Tanzanian’s Please HELP THAT POOR WOMAN 😭

  • @charlesmtumsha5798
    @charlesmtumsha5798 7 ปีที่แล้ว +1

    Mambo Hayo Yapo Sana Nchi Hii

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 4 ปีที่แล้ว

    Duh Uyu mama aliangaika sana

  • @rukiahussein9737
    @rukiahussein9737 7 ปีที่แล้ว +1

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Jamanii.....huyo askari anaongea nini 👊

  • @danyrobertz2078
    @danyrobertz2078 7 ปีที่แล้ว +1

    pole mama

  • @tytytresor362
    @tytytresor362 5 ปีที่แล้ว

    Hakuna cakufa.. Rais Ni wewe kabisa.mungu akuzidishiye.

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 3 ปีที่แล้ว

    Dah mm nalia tu jmn alafu hao watu wanao wasukuma raia sio vzr jmn 😭 Sasa magu umeondoka ndo tutasukumwa ss had kifo 😭😭😭

  • @zackjamal9469
    @zackjamal9469 5 ปีที่แล้ว

    Great Leader 🇹🇿🇹🇿

  • @irenesese6968
    @irenesese6968 5 ปีที่แล้ว

    Ee Mungu uwajalie wajane na yatima

  • @brianshikoli7637
    @brianshikoli7637 6 ปีที่แล้ว +2

    Watanzania twaomba mtupee magufuli tuwape uhuru

  • @lamecklameckmbembati1852
    @lamecklameckmbembati1852 5 ปีที่แล้ว

    Muwe mnatoa maandishi ya. Ayo tv atuon picha vzur

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb 4 ปีที่แล้ว

    Bongo mpaka Leo sijaona wala haijawahi kutokezea duniani public courts on pared kama raisi mzee barakat magufuli its more entertainment its allots enjoyment

  • @sarafinamwaka8302
    @sarafinamwaka8302 4 ปีที่แล้ว

    Mmmh sio Siri nimelia

  • @tamimwatamim3427
    @tamimwatamim3427 4 ปีที่แล้ว

    HYO NDOO AFRICA/TZ MNYONGE NIMNYONGETU KLACKU NDOMLYAJI HATA KM NDOO MWENYE HAKI. DAAH AFRICA AFRKA!!! TZ TZ.

  • @user-vv5xd3ye4i
    @user-vv5xd3ye4i 7 ปีที่แล้ว +6

    mi ni askar nimetoa machozi gafla japo sijazoea kutoa machozi, imeniuma bac tu ...mungu amxaidiee

    • @Darupdates
      @Darupdates 7 ปีที่แล้ว +2

      kaka nimeiskiliza hadi nimeshikwa na ganzi, mimi pia ni askari hali hii inatisha sana...

    • @user-vv5xd3ye4i
      @user-vv5xd3ye4i 7 ปีที่แล้ว +3

      karbu babati Joh...wsup me +255758247202..ni ukatili huo bac tu ..roho yangu labda..

    • @duaalawati6097
      @duaalawati6097 5 ปีที่แล้ว

      Na mm pia sio askari lkn nimetokwa na machozi km mlivotokwa nyinyi nna was was namie kuja kuzulumiwa kijumba changu +968

    • @LM-dh1fq
      @LM-dh1fq 5 ปีที่แล้ว

      Hatibu Jumbe tusaidieni wanyonge jamani

    • @naimmohamed6959
      @naimmohamed6959 4 ปีที่แล้ว

      Sasa Kama ni askaari kitu nawaoomba musipende kutumiwa kuwadhulumu wanyonge

  • @florambwambombwambo1322
    @florambwambombwambo1322 6 ปีที่แล้ว

    apewe hakiyake anawanawake watano kumi ilaawaliniawali acheni zuluma

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif9384 5 ปีที่แล้ว

    duh mama jasiri sana na pole

  • @tarikhamad4634
    @tarikhamad4634 4 ปีที่แล้ว

    Mh namimi mh rais

  • @justinbiberofficialfans7403
    @justinbiberofficialfans7403 7 ปีที่แล้ว

    wazi

  • @rosilidakichanilo1410
    @rosilidakichanilo1410 2 ปีที่แล้ว

    My president umeindoka mapema sana

  • @abdwelidaud7129
    @abdwelidaud7129 3 ปีที่แล้ว

    Good president ever

  • @athumaniabdi4122
    @athumaniabdi4122 6 ปีที่แล้ว

    duuuh wabongo bn kwa kukandamizana ni hatar