Rais Magufuli ampa ulinzi wa Polisi Mwanamke Mjane anaetishiwa maisha
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2017
- Wakati Rais Magufuli akimaliza kuhutubia February 2 2017 ikiwa ni siku ya sheria ambapo maadhimisho yake yamefanyika katika viwanja vya Mahakama Ocean Road, Mama mmoja mkazi wa Tanga Sabaha Ally mjane mwenye watoto wawili alijitokeza mbele ya Rais Magufuli akiwa ameshika bango lenye maelezo na kutaka msaada kutoka kwa Rais katika matatizo aliyonayo.
A great man who will lead Africa, we love you Rais Magufuli, a real son of mother Africa.
Nice
This one should rule Africa ,Magufuli is larger than Tanzania he should be African president...and i vote yes.
Sure sure
Dah simulizi ya huyo mama imenigusa sana. Kwanza nimpongeze kwa kuwa alijieleza vizuri sana mbele ya Rais. And props kwa Rais kutaka kumsikiliza na kutoa uamuzi wa fasta, mwingine angeweza kumpuuza kwamba ni mtu mwenye fujo.
Kweli kabisaa
Wallahy tena, mjasiri... Haki haizami jamani
that is what real leader does viva Tanzania president.
Mungu atakulipia!!don't cry mama
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
i realy appreciate your job Milard Ayo,
nakufwatilia kila siku from Drc congo
Hongera Rais Magufuli. Natamani kuwa Mtanzainia. kazi nzuri kweli.
ahsate Raisiwetu kwa kusikiliza kilio cha mama mungu akuzidishie uruma amiin
Hero of Tanzania 🇹🇿. We chose a right president and let’s love him and give him support for better change for our country!
Magufuli has never convinced in anyway he is a good leader but for this kudos man
safi sana Mheshimiwa Rais yetu JPM...mungu akulinde
Khalfan Tambwe kingwendu
natamani ungekuwa kwetu wewe jeembe nakupenda baba
Huyu mama ni mkenya wakenya tutakulilia daima shujaa wetu magu😭😭😭
Watanzania twawaomba Magufuli aje Kenya kwa miezi mitatu tu....tuwarudishie...asanta
Victor Moturi 👍
Kenya viongoz sio binadam awana imani
Pambaneni na kenyata wenu hahaha magufuli baba wakenya wanakutamani
mwenyezi mungu akulinde rais wetu.kina mama tunateseka na miradhi.
Hakimu mkuuu Sir God tu
Tutaelewa tu huko mbele ya haki
.mungu akulinde sana were mama
Nimeshindwa kujizuia daaaah 😢😢😢😢Mungu akulinde Rais wetu mtetezi wa wanyonge uwe na umri mrefu ili uendelee kututetea lakin pia waliopokea rushwa wasiwe na kaz iwe fundisho
joyce michael love love
I wish all African president's wangekua Kama mangufuli
Magufuli naomba uishi miaka mingi nimelia machoz ya furaha asante mungu kwarais wetu asie kuelewa atakua namapungufu
Hapana huyu mama ni wakupewa pongezi angekuwa mwingine keshazurumiwa tayali kila la kheri mama utafanikiwa katika madai yako
Rais magufuli mm nmelia haki sana shukran lau ungekua rais wetu Kenya tungefika mbali sai Kenya bure
" 5 Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane, Mungu katika kao lake takatifu.
Zaburi 68 :5
6 Mungu huwakalisha wapweke nyumbani; Huwatoa wafungwa wakae hali ya kufanikiwa; Bali wakaidi hukaa katika nchi kavu."
Zaburi 68 :6
Shared from Swahili Bible Offline 2.1
daa! mpaka nimelia jaman kwa nn tunatesana hivyo jmn cc wanadam
ikrissa idrissa n
jaamn vilio vya wamama mungu visikie 😭
Thank you Mr President for helping the lady. May justice prevail
Keep up mr President , going this way is best in our future.
Asante sana Ayo tV...
Mungu huwapa watu wake haki zao
GOD bless you mheshimiwa.mama apate justice
big up sanna ila Mtangazajia ayyo punguza matangazo yanaharibu concentration bana. tafuta njia nyingine plz
Safi sana, watanzania tubadilikeni haki ya mtu si mpaka tumuone rais, tumuogope MUNGU duniani tunapita mkae mkilijua hili.
kwakweli nampongeza muheshimia raisi mama huu atia imani allah atakusaidia
My rais you are honest and helpful... god bless you...
Big up president mtetezi wa wanyonge 👍👍🏼
dah imenigusa sana pole sana mungu atakusimamia upate hak yako inshaaallah
this is great
Mungu azidi kumpa nguvu Rais wetu
Tanzania kwa style hii lazima kila mtu apate haki yake, Mungu akubariki Mr. President , Mungu ibariki Tanzania.
mama ameniliza jamaniii imagine kuna wamama wangapi huko vijijini hawapati nafas kama hii so wanaishia kudhulumiwa tu .
Safi Mungu akulinde rais
Mungu ni muweza ..poleni Mama
KENYA huyo nilijua tangia akiongea mara ya kwanza tu
😭😭😭😭😭Tz mbona hivi kweli?utu ulienda wapi?Mungu wa wajane anaishi.
daaa inauma sana.hao mahakimu wakamuliwe yaani wanajali pesa za hongo kuliko mali za mwana mama daaaa.
Mimi ni msomali mkenya nime liya kwa uchungu ya mama Rais Magufuli asante sana kwa kusikiliza wananchi yako May ALLAH BLESS U MR PRESIDENT
mwenyez mungu akulinde mamaangu cha kufanya muombe mungu usiitegemee selikali
mheshimiwa rahisi nashukuru sana kwakuliangalia hilo swala la huyo mama, haki sawa kwa kila raia
Haki itendeke pande zote za Muungano na Wazanzibar pia wapewe haki yao kw kua bdo haijacmamiwa kikamilifu haki icwepo upande mmoja tu,tunapenda kaz unayoifanya muheshimiwa rais na tunaikubali sana lkn tunaomba haki hio ienee Tanzania nzima maana na znz haki haipo
Asante bb mungu akusadiye
mungu atakujaria usikate tamaa mungu atakusaidia na usichoke kumuomba mungu na usijari mungu yupo pamoja nawe
kwel mungu akupe maisha rais magufuli tumepewa mtu sahihi kwa muda sahihi
shukran
mwenyezi mungu akulipe zaid mheshimiwa mtufu Rais
Nashukur mungu tumempata rais anaye tujar nakuombea kwa mungu uyu ndio rais wa wanyonge mungu atakulupa atuna cha kukulipa zaid ya maombi yetu mungu akutangulie kwa kila jambo
when people believe you are their hope, who to take their grievances and redress above all else, then you have transcended being leader to protector and father and saviour.
Mungu akubariki baba
mama upo vzr kujieleza
Uyo mama kaenda shule alafu anajiamini pia yupo makini
Ndo Tanzania ilipofikia, wanaombeza Rais waone ugumu wa kazi aliyo nayo Rais wetu.
Pole sana mama kwa yalio kukuta lkn MUNGU mwema atakushindia
tusaidie muheshimiwa kuna watu wengi wanatumia ofisi vibaya, hata balozi zetu nje ya nchi hazitusaidii tufanikiwe kutafuta maisha, tusaidie watu nyumbani, Mungu alikuchagua Muheshimiwa
Mungu saidia watu wako. wewe ni Mungu
Mungu mpe umri mlefu rais we john pombe magufuli na umpye afya nzuri umuepushia maradhi umpe ujasili na hekima ya kutuongoza sisi watanzania kwa moyo wake wote..
may God stand with you Mr.president long live
Very sad.....pole sana mama Mungu yuko nawe utafanikiwa
Julius URONU .
Rais Mungu akujaliie na akusimamie kila kitu ulitusaidia tukapewa mirathi wakati ukiwa waziri wa ujenzi
Masikini ,mungu akusimamie dadangu
najua magufuli hataisoma hii ujumbe ila....daima Mungu akulinde sana mzee. Asante kwa kuwa msimamizi wa wanyonge na wajane....wewe ni mtu mwema sana
Mungu akusaidie mheshimiwa rais wetu mtetezi wa haki za wanyonge hususani wajane
😢😢😢😢😢😢
Sina hamu na maaskari
Maskin pole mama kwa kuteteshwa hadharani lakin mungu alikua pamoja nawe ukaonekana na Raisi ukapata usaidizi ni kweli Mungu hawachi mja wake..
Ahsante mtu wangu wa nguvu.. kwa taarifa pia ni vizuri kulinda kazi zako.. ila hii lebo ya ayotv ikiwepo hapa kati inakuwa irritating katika kuangalia hizi video ni vizuri ungeangalia sehemu nyengine ya pembeni kidogo itakuwa poa sana.. ni ushauri tu kaka #millardayo
Natamani ningekua na handle hii kesi mimi. Hongera Mhe. Rais kwa Hekima za Sulemani.
Hakika nimelia aisee pole sana mama hongera Mh... rais
aisee aijui anaitwa mama nan ningeenda kumpa zawad kwakwel yan amepigania hak live bila chenga.strong woman
God's plan
Nomaaa
Ama kwa hakika naendelea kupata elimu ni kwa nini Mwenyezi Mungu ameweka tayari MOTO wa kushughulikia MADHALIMU.Dhulma ni kubwa na ni nyingi mno juu ya uso wa dunia.
Eeh Mungu ameondoka huyu mama itakuaje khs ulinzi aliopewa 😭😭😭
😭
jamn huyu rais ni baraka kutoka kwa mungu tumuombe jamn
Mama toa shaka Mungu huwa anatenda unapochoke yeye ndipo anapo jiinua
Asante. Magufuli
Tanzanian’s Please HELP THAT POOR WOMAN 😭
Mambo Hayo Yapo Sana Nchi Hii
Duh Uyu mama aliangaika sana
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Jamanii.....huyo askari anaongea nini 👊
pole mama
Vidio
Hakuna cakufa.. Rais Ni wewe kabisa.mungu akuzidishiye.
Dah mm nalia tu jmn alafu hao watu wanao wasukuma raia sio vzr jmn 😭 Sasa magu umeondoka ndo tutasukumwa ss had kifo 😭😭😭
Great Leader 🇹🇿🇹🇿
Ee Mungu uwajalie wajane na yatima
Watanzania twaomba mtupee magufuli tuwape uhuru
Muwe mnatoa maandishi ya. Ayo tv atuon picha vzur
Bongo mpaka Leo sijaona wala haijawahi kutokezea duniani public courts on pared kama raisi mzee barakat magufuli its more entertainment its allots enjoyment
Mmmh sio Siri nimelia
HYO NDOO AFRICA/TZ MNYONGE NIMNYONGETU KLACKU NDOMLYAJI HATA KM NDOO MWENYE HAKI. DAAH AFRICA AFRKA!!! TZ TZ.
mi ni askar nimetoa machozi gafla japo sijazoea kutoa machozi, imeniuma bac tu ...mungu amxaidiee
kaka nimeiskiliza hadi nimeshikwa na ganzi, mimi pia ni askari hali hii inatisha sana...
karbu babati Joh...wsup me +255758247202..ni ukatili huo bac tu ..roho yangu labda..
Na mm pia sio askari lkn nimetokwa na machozi km mlivotokwa nyinyi nna was was namie kuja kuzulumiwa kijumba changu +968
Hatibu Jumbe tusaidieni wanyonge jamani
Sasa Kama ni askaari kitu nawaoomba musipende kutumiwa kuwadhulumu wanyonge
apewe hakiyake anawanawake watano kumi ilaawaliniawali acheni zuluma
duh mama jasiri sana na pole
Mh namimi mh rais
wazi
My president umeindoka mapema sana
Good president ever
duuuh wabongo bn kwa kukandamizana ni hatar