😭😭😭😭😭😭😭😭😭254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪kila nikikumbuka upendo wake natamani kulia nani sinyamaze tena kwani alikua mkombozi mimi hanijui lkn nilivyo mpenda huyu baba mungu ndio anajua🙏🙏🙏🙏🙏
Jamani mm nimekua nakulilia sana kila siki siwez kukusau mwenyezi mungu akupuuzie adhabu kwa udhaif wa kibinadam uliokua nayo hakuna jins ila babaang magufur nameng yakukuambia jaman naumia sana babaangu
Hslafu mjiga mmoja anakuja anasema magufuli alikuwa mbaya yaani kwa huruma hiyo ndiyo vibaya mbaya ni wewe tutaendelea kukumbuka jpm leo hii tayari wameshaanza kuota mapembe
Umefanya jambo zuri Sana naomba uenderee kumukumkuka kwani ss tunamkumbuka Sana na kuazimisha simpaka mwakamumoja manake maumivu tunaishinayo sikuzote nimependa Sana uricho kifanya
JPM LALA SALAMA kamanda. Tanzania tunajuta natutajuta sana. Wewe umetuonyesha njia ila huyu mama ulituachea ni hovyo kabisa. Bora ange kufa yeye kuliko wewe.
Mwarobaini wa Africa,,,unaishi mioyoni mwa wengi,,,MUNGU,umwifadhi mjoli wako,umsamehe alipokosea kwa kuwa alikuwa ni mwanadamu,"lkn uyakumbuke MEMA yake,na kuyasikia maombi ya wengi,ili umpe wa haki,,, Hakika,machozi ya WATANZANIA hayataisha mapema MUNGU,umwangazie NURU za USO wako,,,,na utuzawadie kumwona tena,kwenye ulimwengu ujao Kwa jina la BABA na la MWANA na la roho MTAKATIFU AMEN
It was all for show, the dude was a butcher and history will judge him as such. Hatukumwona akiwatembelea na kuwasaidia wazazi wa Azory Gwanda na Ben Sanane ambao walipotezwa na Serikali yake ovu. Good riddance, and he can rot in hell forever
Safi sana Millard Ayo kwa huu ukumbusho.
Kwenye kipind chako heshima ilikuwepo Mambo ya unajua Mimi ninan tuliyasahau Sina budi kumshukur Mungu kwa kila Jambo Upumzike kwa Amani 🙏🙏🙏🙏🙏💪
THE BEST OF THE BEST PRESIDENT OF ALL TIME . JPM FOREVER IN OUR HEARTS ♥️ .
The king of Africa will remain in our hearts (magufulification).
Forever
JPM aligusa mioyo ya wengi ... aliwafariji wenye shida... inaumiza...sana...
Amin !!!!!
Jamani tumekumbuka mengi mungu amlaze mahalapema peponi amiin
Vilaza wakubwa ndio wamebakia leo dar? Nilikupenda sana mzee wetu ulale salama 🙏🙏
Itachukua miaka 50 kumpata Rais bora kama huyu!
Baba aliejaa huruma,na upendo Kwa wananchi masikini
Hamsi tu kaka miaka mia brow
Hatakaa atokee raisi kama MAGUFULI
😭😭😭😭😭😭😭😭😭254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪kila nikikumbuka upendo wake natamani kulia nani sinyamaze tena kwani alikua mkombozi mimi hanijui lkn nilivyo mpenda huyu baba mungu ndio anajua🙏🙏🙏🙏🙏
Mtoto alieguswa kichwani na hayati Magufuli,Ingekua mm nisingeoga wiki nzima🥺RIP baba 🇹🇿 tutakukumbuka daima
🤣🤣🤣 Dah hii ndio Tanzania
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Jamani🤣🤣🤣🤣
Ni mapenzi tu Mimi nasema
Hata mimi nungefanya hivyo hivyoo
No one like him Abadan forever u will be remembered ❤️nakupenda hadi naumwa
Wema awadumu pumzik jpm mungu alitupatia zawadi lkn tulishindwa kuitumia
Enyewe alikuwa Rais wa wanyonge, angalia waliopo sahi venye wanageuka taratibu zake hayati
Alikuwa Jembe sana
Rest in peace father
Jamani mm nimekua nakulilia sana kila siki siwez kukusau mwenyezi mungu akupuuzie adhabu kwa udhaif wa kibinadam uliokua nayo hakuna jins ila babaang magufur nameng yakukuambia jaman naumia sana babaangu
Mzee magufuli ulikua mtu ambae mwenyezi mungu alikutuma kwa adjili ya wanyonge,,,,😭😭😭😭😭😭
Mungu akulaze pema peponi
Hslafu mjiga mmoja anakuja anasema magufuli alikuwa mbaya yaani kwa huruma hiyo ndiyo vibaya mbaya ni wewe tutaendelea kukumbuka jpm leo hii tayari wameshaanza kuota mapembe
Hongera kwa ukumbusho wa jpm
Mungu aendelee kumlaza raisi wetu mahali pema peponi
May God have mercy on you and grant a place in heaven to continue praising him
kizur akidumu jaman tutakukumbuka sana baba pumzika kwa aman
Huyu Baba! Nakukumbuka.
Tulideka sana tuliringa sana daaa
Tunakukumbuka baba najikuta nalia tu mwenyewe kweli ulikua mtetezi wawanyonge
Dah mwamba lala salama , kazi ulimaliza
😭🙏🙏🙏PUMZIKA BABA
Tutakukumbuka baba
Huyu mama nadhan bado analia mpaka sasa sidhan kama atakuja kumsahau huyu baba. RIP Magu Mungu akusamehe pale ulipomkosea baba
Mpigania nchi mapenzi ya Mungu Ila mwanga tumeuona
Kwer kizur akidumu itachukuwa mda mwingi kama namba za cm
Lala Jembe..
Jembe pumuzika kwa Aman baba ulifanya kazi kubwa nchini
Pumzika kwa amani Chuma.
Rip baba
Rais ambaye amewai kuninguza moyo mwenye utu , huruma na mwenye kujali maslai ya wasionacho mungu airehemu roho yake
Mzalendo wa kweli. Continue Resting in peace King Magufuli
Baba
Umefanya jambo zuri Sana naomba uenderee kumukumkuka kwani ss tunamkumbuka Sana na kuazimisha simpaka mwakamumoja manake maumivu tunaishinayo sikuzote nimependa Sana uricho kifanya
JPM lala tumekumis,
😭😭😭😭
JPM LALA SALAMA kamanda. Tanzania tunajuta natutajuta sana. Wewe umetuonyesha njia ila huyu mama ulituachea ni hovyo kabisa. Bora ange kufa yeye kuliko wewe.
Kabsa bora ange kufa samia
mungu mpunguzie azabu za kabury magufuri amini
Hivi kweli mungu wetu tufufulie huyo rais wetu
Yaaaan binafsi nawaza zamani walikuwa wanafufuka saiv tumekuwaje
Mwarobaini wa Africa,,,unaishi mioyoni mwa wengi,,,MUNGU,umwifadhi mjoli wako,umsamehe alipokosea kwa kuwa alikuwa ni mwanadamu,"lkn uyakumbuke MEMA yake,na kuyasikia maombi ya wengi,ili umpe wa haki,,, Hakika,machozi ya WATANZANIA hayataisha mapema
MUNGU,umwangazie NURU za USO wako,,,,na utuzawadie kumwona tena,kwenye ulimwengu ujao
Kwa jina la BABA
na la MWANA
na la roho MTAKATIFU
AMEN
It was all for show, the dude was a butcher and history will judge him as such. Hatukumwona akiwatembelea na kuwasaidia wazazi wa Azory Gwanda na Ben Sanane ambao walipotezwa na Serikali yake ovu. Good riddance, and he can rot in hell forever
It's just your opinion
Daima utabaki katika moyo wangu kiss, uliweza pale wengine waliposhindwa.
😭😭😭😭
😭😭😭😭
Kwaheli baba