Umetuelekeza dawa ya vidonda vya tumbo tunaomba na maelekezo kamili asali unatumiaje na kwa mda gani au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani tusaidie tupone tuishi hapa duniani Kama watu wengine 😭🙏
Docta tumeshuhudia mana waganga wengine hawezemi ukweli wanaomba pesa tu sasa sisi kigoma mbona hizo dawa hatuzifahamu tunafanyaje tumeteseka tumetumia dawa nyingi hatuponi
Mm nko nazo alisasslkini nkiwa skukulaa kutoka jion ndo naskiaa halii siyopow uyuu don't niukweleee so juuu mm kila alivyoo ongea mm nkovivyohivyooo soo niukweliii❤❤❤❤❤❤
Mimi nakuwa nasikia kama mafua yanabana sana puani kwa ndani lakini ayatoki je ni madonda maana nilikuwa nayo nkatumia dawa nkapona sasa ndo hali inajitokeza iyo
Doctor naomba kuuliz chembea moyo nayo husababishwa n nin mim nina vidonda ila huwa nanapata maumiv makali saan chin kidogo y kifua yanayoenda mpk tumbon
Uyu mama mwenye miwani hajui utangazaji ana makelele sana
Je vidonda vya tumbo husababisha choo kigumu adi kutokwa dam sehemu ya aja kubwa
Umetuelekeza dawa ya vidonda vya tumbo tunaomba na maelekezo kamili asali unatumiaje na kwa mda gani au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani tusaidie tupone tuishi hapa duniani Kama watu wengine 😭🙏
😂nimecheka
Hakika Dr.Shaka wewe ni daktari genius. Umetupatia bure dawa za aina 3, uwatu, asali mbichi,na mafuta ya nazi. Barikiwa...
Dr plz unatumia kiac gn Cha unga wa uwatu?
NAMBA Yake Kuwasiliana
NAOMBA KUULZA JE PALACHICHI UNAWEZA KULA?
Mm nawaka moto tumboni mwenzenu
Dr naweza kuagiza doz nkatumuwa mi npi dodoma
Huyo mwanamke mdarai sana hupati faida kwa daktari
Docta tumeshuhudia mana waganga wengine hawezemi ukweli wanaomba pesa tu sasa sisi kigoma mbona hizo dawa hatuzifahamu tunafanyaje tumeteseka tumetumia dawa nyingi hatuponi
Docter mie nasumbuliwa na kizunguzungu na kila nikila haragwe ndo inatokea hivyo nasumbuka sana
Mm nko nazo alisasslkini nkiwa skukulaa kutoka jion ndo naskiaa halii siyopow uyuu don't niukweleee so juuu mm kila alivyoo ongea mm nkovivyohivyooo soo niukweliii❤❤❤❤❤❤
Tutftane jmn😢
Hapa ni kusikiliza tu na ufuatize kama unaamini lakini namba ya Dr mwaka huwezi ipata wala madeali hayajibiwi hapa vinginevyo uende kwenye clinic yake
Unatumia Kia's gan Cha uwatu?
Dokta naomba kutambua Jambo moja swali langu nikwamba vidonda vyatumbo vinaweza kuasirii mwanaume kushindwa shuhuli yake kwa mwenza wake
Mimi nakuwa nasikia kama mafua yanabana sana puani kwa ndani lakini ayatoki je ni madonda maana nilikuwa nayo nkatumia dawa nkapona sasa ndo hali inajitokeza iyo
Tunashukuru dkt kwa ushauri ila watangazaji mnaongea Sana kuliko dkt kah! Too much muwe mnampa nafasi ya kuongea mnapo alika mgeni
Sawa mkuu
Mm nko kenyaq je ukuhizii dawa ziko kwelii qma ni Tanzania pekee nachoka nahii halii mm waa hakii vimenikaaa sanaa
Ulizia huko kwenu kenya
😢😢
Sisi watu tunaoishi inchi zingine kama Burundi matibabu tutayabata vip
Docter naomba namba yako nina madonda sugu
Naomba namba ya dokta mwaka
Ivi vidonda vinapelekea kupata dege dege.
Bia ya kilimanjaro glas moja kabla yakula siku 14
Nimeelewa dockita
Mimi Nina uia nimeshakuywa dawA ila nikipima nakuta Bado nisaidie kwa anaejua dawa nyingine hata mitisha mnambie
Asali mbichi unaitumiaje
Mm ninavyo lakini natumiaga dawa hazinisaidii
Dawa zake zinagarimu kiasi gani chapesa
Mimi nikinywa pombe naumwa tumbo je nidalili au
Asali unatumiaje
Doktar mwaka tunaomba jibu au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani
Doctor naomba kuuliz chembea moyo nayo husababishwa n nin mim nina vidonda ila huwa nanapata maumiv makali saan chin kidogo y kifua yanayoenda mpk tumbon
Km mm yaan
Sisi watu wa inchi za kigeni dawa hizo tutazibata vipi dawa zenu
Je? Katika hizodawa doctor ulizotutajia nizote lazma utume Yan mchanganyo au mojawapo
Unaweza kuchanganya asali na uwatu au kuchanganya na mafuta ya nazi
Huyu jamaa kiboko kama alipishana na mashehe
Dr mm nasumbuliwa tatizo la asidi kwenye koo
Umepata dawa ndugu
Namba ya simu
dokta nina asidi nitapata tiba
Mafuta ya nazi hata ya dukani?
Dr.naomba no yako
Na je kwann kazi ya kabichi tumbon ni nn??na je maumivu ya chembe ya moyo na kichwa n nn?? Na je kuharisha kunasbabishwa na nn??
Naomba kuuliza mimi naumwa na vidonda naumia mpk nyuma ya mgongo inakuwaje
Ndio vidonda hivo
Mimi tumbo linavuta
Jamani Mimi hady ss nasumbuliwa na Hy alisa au hypoory
Mm nasumbuliwa na vidonda vya tumbo na nko Kenya naweza pata aje hizo dawa
Nimekuja kwenye Hospitali wanakupa Dawa mchanganyiko kitunguu saumu malimao tangawizi inazidisha asidi
Mimi nimetumia limao ndiyo kama tumbo limezidi
Huyu mwanamke hata anakera mtu unataka kuskiliza dawa wao n kelele tu
Yaani wanaudhi!!! asali hajatwambia inatumikaje wanamkatisha kelele tu
Mim vimeisha niasiri sana
Nisaidie dawa
Nisaidie dawa
Tuambie daw
Niambie dawa
Nisaidie dawa
Mimi napata maumivu kitkat yakifua je hivipia nividonda vya tumbo
Nenda hospital kapime
Mimi hd ganzi mkononi
Unatumia. Dawa. Gani. Nijuze. Mwenzio. Nasumbuka
@@omanoman4313aki pia mimi 😢😢