Kurunzi ya Leo: Jinsi ya kutibu maumivu ya uti wa mgongo Watch KTN Live www.ktnnews.com/live Watch KTN News www.ktnnews.com Follow us on / ktnnews Like us on / ktnnews
Habar zenu,,,,,mm huwa naskia maumivu ya kichwa upande wa kushoto anpata maumivu kwenye uti wa mgongo mpk koo yauma,,,je hii husababisha na uti wa mgongo
Hongereni saana kwa maelezo mazuri Mbarikiwe
Kenya wako juu ktk Huduma za Kihospitali kuliko sisi Watanzania wanatibu vitu vingi vigumu,hongera kwao
Shukran mama mungu akusaidie katika kazizako
Waaww.. bless you
Nambar yako iko wapi lpeas mam niko kaz nilanguka nikaumia kiuno des mpaka leo bado
Samahani Nina shida na pingili za mgongo pingili zimetoka nje mnaweza kunisaidia aje?
KTN fanyeni kuweka Contacts za huyu Mama
Mimi niko Tanzania Dar es Salaam nawezaje kupata huduma au msaada wa matibabu kutoka kwako
Ukiwa unasikia uchungu wa shoulders na creaking sound inatoka apo shida itakuwa ni nini plz
hogera sana mama umetu amsha
Nimesumbuliwa na mgongo kwa muda mrefu, nipo Tanzania nahitaji huduma
Tafadhali nina swali ,mimi huwa nahisi maumivu ya mgongo wakati wa usiku ,hasa kupinduka ni uchungu sana .shida ni nini?
ulikuja kupona nakam ulipona ulitumia daw gani
Tafadhali ningeomba namba za dactari na anapatikana wapi
wekeni contacts
mm nipo Zanzibar nitapata vipi matibabu yalo
mimi ninamatatizo ya mgongo nilikua nahitaji namba ya huyo Dr
soryy nesi unatumia nini ili kumkanda mgongo?
Naomba msaada wa namba za cm za doctor or email ili iwe rahisi kumpata endapo nitafika nairobi coz natokea tanzania am really need of this.....
@Tinner healthcare ahsante sana nakutafuta whtp sasa ivi
@@estersiame2876 Habari je uliwasiliana na hiyo namba je amekusaidia?
@@leokamil6284 niliwasiliana nao niwakarim sana mpaka leo nawasiliana nao na wana tawi dar.
@@leokamil6284 yaani wakotofauti sana wanacare nzuri mno yaan mpaka sasa uwezi amini wananijulia hali kwa njia ya whatp.
@@estersiame2876 Samahani wanatibu kwa njia gani?
Msaada zaidi je?
Habar zenu,,,,,mm huwa naskia maumivu ya kichwa upande wa kushoto anpata maumivu kwenye uti wa mgongo mpk koo yauma,,,je hii husababisha na uti wa mgongo
Ebhana nami nasikia hii hali pia..
@Dr_Tinner healthcare h
vipi ali manzu siniitueke no zahuyo mama plz
Jamani Mimi Niko hoi sana nitakupataje
Mko wapi mnishaindie Mimi naumwa na,... kichwa, vidonda vya tumbo, na mgongo na nyonga pia chini ya miguu hata kulala ni shida naomba ya inbox please
Nairobis mnapatikana wapi naomba namba yahiyo Clinic
Nisaidie namba dactari
Mma kuna mtu kavunjika
Where can I get u?
Mama tusaidiaje namba zako
Docta tutakupataje??
Happyness Elisha kama hujapata msaada na suluhisho wasiliana nami kwa whatsapp namba +255743358024
Dactari,aki naomba Niko na shida Uti wa mgongo,aki naomba unisaidie
Mimi naumwa Sana na shingo na kichwa Chau ma Sana
Mimi naumwa chin ya Ziwa kidogo km kwenye mbavu na mgongoni nini
Upendo pole hiyo ni gess itakuwa
Jamn mm nimeambiwa pingili zimepishana naomba msaada please nateseka 0716197240 namba yangu