Thank you pastor kwa huu ufunuo, watu wengi walikuwa pia wamepotoka kuabudu janga la corona kuliko Mungu... Namuomba Mungu anisamehe kwa muda niliopoteza kwa kumwabudu mtu ama kitu chochote.
Nimekuelewa Apostle,kweli itatuweka huru,ubarikiwe sana tena sana,Mungu akutunze kwa ajili ya utukufu wake,nimefurahi kwa ujumbe huu kuna mambo yalipita kwenye maisha yangu na leo nimepata majibu.
Kwa kweli wewe unafaa kwa wakati huu maana kuna watu wamewafanya viongozi wao kuwa mungu wao yaani kila akiongea namshukuru xxx, na wewe unaesifiwa na kupokea hzo shukrani angalia usije ukaabudiwa
This was a wakeup call for TANZANIA 🇹🇿,it has happened. God have mercy on us,let us understand when you are talking to us through your servants..God bless you APOSTLE MTALEMWA
Mtumishi wa Mungu Leo umenibariki sana.moyo wangu umefundishika.Barikiwa sana na MUNGU akuongezee nguvu uwafikie wengi.Namshukuru MUNGU aliyekuinua mpaka nikapata ujumbe wenye uhai.
BABA APOSTLE MUTALEMWA NINAOMBA MUNGU MUWEZA AKUINUE ZAIDI NA KTK YEYE AKUSHUSHIE MADINI MENGI DUNIANI YA UFALME WA MBINGUNI TUUJUE NA KUMTUKUZA YEYE NA TUACHE SANAMU SANAMU ZISIZO NA UTUKUFU WA MUNGU. AMEN MTUMISHI.
Tunarudisha Sifa na Utukufu kwake Mungu, tumeuona mkono wa Bwana na fadhili zake juu ya Tanzania. Tunakusihi Mungu uendelee kuambatana nasi Daima, Ameeen!
Asante MUNGU kwa uweza na nguvu zako kutuponya dhidi ya virusi vya corona sisi Watanzania. Ninakusifu MUNGU wangu kwa kutupa Rais mwenye kukujua wewe na nguvu na uweza wako katika kukabiliana na CVID 19.
Ujumbe mzuri nakufatilia mtumishi naomba uniombee na Mimi ni kijana natamani kuifanya kazi kwa viwango vya kumtam ulisha Kristo link 👉👉 th-cam.com/video/MvEZT6JUlXE/w-d-xo.html
Namshukuru Roho Mtakatifu kwa kunipa Kibali Cha kusikia Neno hili. Roho Mtakatifu nisaidie kudumu ndani yako na Utukufu daima ukurudie wewe kwani ndani yako ninaishi, ninakwenda na kuwa na Uhai wangu
Amen sifa na utukufu na heshima na enzi na adhama na mamlaka ni kwake yeye aketiye juu sana katika kiti cha enzi kilicho juu sana yeye aliyewaita manabii na kuwatia mafuta ili kuwaongoza watu wake wasipotee bali waifikilie Toba iletayo uzima ameen.
Yan light hili somo tungelisikilza vizuri na kumrudishia Mungu sifa na Utukufu, Hakika leo tusingepoteza viongozi wetu na watu wa karibu ambao wangeendelea kufanyika Baraka tele kwenye Maisha yetu na Taifa.
Thank you HolySpirit of God you’re my everything! Search me oh Lord and see if there’s any wicked ways in me ,any idol. I repent of all the idols in my life in Jesus name . Amen!
Nyie wamama hapo kanisani vaeni vizuri mnavaa vibaya halafu mnakaa kihasara sijui mnachukuliaje lile Neno la ninyi ni hekalu la Mungu jirekebisheni mkiendelea hivyo mnapoteza muda na pia Mungu hafurahishwi na mawig na mirangi hio na kuchoma nywele badilikeni kanisa linakosa heshima kwa ajili ya wanawake wafuasi wa yezebel
@@kuhaninuru2977 shauri yao maana ni bora kusoma Maandiko yakakuongoza maana Yesu hatachukua wanaomfuata Yezebeli maana wameshaharibu uhalisia wa kanisani hata anaetaka kumrudia Mungu anashindwa aende wapi na hakuna anaewaambia ukweli wamekaa kushangilia mafanikio tu wasijue tunaelekea majira gani wengine ukiwaambia wanasema unahukumi nyie wamama nyie na suruali zenu kanisani na miwigi na mi makeup wala hampendezi mnaonekana vituko labda km mna Mbingu yenu
Hekima kama hii hulikomboa taifa.Kwa sasa hivi wengi tunamtukuza Rais kwa nafasi ya Mungu badala ya kumshukuru Mungu kwa ajili ya Rais.Ila Baba umesaidia maana sisi watanzania baadhi yetu tunapenda kusifia kwa unafiki ili tupewe nafasi au kitu.Kwa somo hili nimepona
Namshukuru mungu kwa kweli hivi mbona like ninaruhusiwa moja tu jamani
Amen Chief Apostle kwa mafundisho yako mazuri,Ashukuluwe Mungu kwa ajili yako Mtumishi
Nashukuru Mungu sana ajili Yako Apostle, Mungu akupatie maisha marefu. Ahsante kwa neno hili, linanibariki👏👃🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Thank you pastor kwa huu ufunuo, watu wengi walikuwa pia wamepotoka kuabudu janga la corona kuliko Mungu... Namuomba Mungu anisamehe kwa muda niliopoteza kwa kumwabudu mtu ama kitu chochote.
Nimekuelewa Apostle,kweli itatuweka huru,ubarikiwe sana tena sana,Mungu akutunze kwa ajili ya utukufu wake,nimefurahi kwa ujumbe huu kuna mambo yalipita kwenye maisha yangu na leo nimepata majibu.
Powerfully Teaching. God bless you Apostle Mtalemwa.
Powerful massage man of God Iam watching from Dubai
Apostle somo zuri sana. Tuwe watu wa kushukuru tumrudishie Mungu shukrani na utukufu wake
Kwa kweli wewe unafaa kwa wakati huu maana kuna watu wamewafanya viongozi wao kuwa mungu wao yaani kila akiongea namshukuru xxx, na wewe unaesifiwa na kupokea hzo shukrani angalia usije ukaabudiwa
This was a wakeup call for TANZANIA 🇹🇿,it has happened. God have mercy on us,let us understand when you are talking to us through your servants..God bless you APOSTLE MTALEMWA
Mungu Atukuzwe Sana kwakutupa mtu wa kutufudisha maswala ya Mungu ,Mungu akubaliki dana
Asante Yesu kwa mafanuo haya, Mungu muinue zaidi mtumishi wako.
Ahimidiwe Mungu kwa kumtumia mtumishi wake kufikisha ujumbe wa Neno lake
Mungu Mwema sana Ana wivu Yehova ubarikiwe
Asante MUNGU. Kwa kutupa watumishi wako kutuelemisha kwa neno lako. 💖💙💜
How thankful I am for this great message of reconciliation of men to God Almighty..!
Congratulation Chief Apostle 10G
AMEEN AMEEN AMEEN
Thank you Apostle. Hapo niimepata kitu kikubwa Ooh MUNGU ni samehe ni jambo ngumu kwangu ni piganie kwa rehema zako. Asante. 💝🏩💝
Amen Chief Apostole nimeelewa sasa jinsi ya kuabudu sanamu,asante Mungu kwa ajili ya kutuletea mafunuo hayo.
We thank Jesus for this life changing message 🙏 God bless you man of God🙏🙏🙏
Mtumishi wa Mungu Leo umenibariki sana.moyo wangu umefundishika.Barikiwa sana na MUNGU akuongezee nguvu uwafikie wengi.Namshukuru MUNGU aliyekuinua mpaka nikapata ujumbe wenye uhai.
BABA APOSTLE MUTALEMWA NINAOMBA MUNGU MUWEZA AKUINUE ZAIDI NA KTK YEYE AKUSHUSHIE MADINI MENGI DUNIANI YA UFALME WA MBINGUNI TUUJUE NA KUMTUKUZA YEYE NA TUACHE SANAMU SANAMU ZISIZO NA UTUKUFU WA MUNGU. AMEN MTUMISHI.
Hapo Mungu ameonekana akiwa ndani ya mtu! Ee Mwenyezi Mungu tunakushukuru kwa zawadi ya Uhai wa Neno lako.
Amen.........
MUNGU NA ATUEPUSHE NA IBADA ZA SANAMU. .........
Mungu akubariki sana mtumishi nimepona
AMEEN
Mtalemwa anachohubiri na mwonekano wa waumini wake walio wengi ni tofauti. Mungu atusaidie.
Mmmmh kweli ndugu yangu, hapo aanze kutengeneza ndani kabra ya kuwaambia walio nje.
Yeye amewafundisha kweli sasa kama hawasikilizi shauri yao,,, hapo kwenye mahubiri hajamtaja bushiri hata Mara moja
Tunarudisha Sifa na Utukufu kwake Mungu, tumeuona mkono wa Bwana na fadhili zake juu ya Tanzania. Tunakusihi Mungu uendelee kuambatana nasi Daima, Ameeen!
ameen
m
Asante roho mtakatifu kwa ujumbe huu
Tunakushukuru Mungu wetu kwa kutukomboa na hili na utatushindia na mengine kwa kuwa wewe ndio kimbilio letu Baba ,,Amen
Asante MUNGU kwa uweza na nguvu zako kutuponya dhidi ya virusi vya corona sisi Watanzania. Ninakusifu MUNGU wangu kwa kutupa Rais mwenye kukujua wewe na nguvu na uweza wako katika kukabiliana na CVID 19.
Huu ni moja ya jumbe muhimu sana, inapaswa kuusikiliza mara kwa mara ili uzame katika moyo na kuwa sehemu ya maisha yako. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
Yani mimi nime I download kabisa kila saa na isikiliza
AMEN so powerful....may God bless you pastor
Ukweli Makonda Alikosea
Mungu wetu Anajibu yeye anatupeleka Disco ukweli Mimi mwenyewe niliumia
Ubarikiwe Mtumishi WA Mungu
This is my Massage
Thank you man of God
Ujumbe mzuri nakufatilia mtumishi naomba uniombee na Mimi ni kijana natamani kuifanya kazi kwa viwango vya kumtam ulisha Kristo link 👉👉
th-cam.com/video/MvEZT6JUlXE/w-d-xo.html
Asante Sana kutufungua zaidi kuhusu MUNGU aliye hai ni MUNGU mwenye wivu.
Wakumbushe watumishi hao uvaaji wasitili miili yao
Great word! Great wisdom especially on these last days when the Lord is showing us the roar of the Lion of Judah.
your teaching is on point. woow
I always thank God for u,,uwe mkuu zaidi na Zaid ,,nabarikiwa na mafundisho yako God bless u following u from Kagera Karagwe
This is powerful apostle
Mungu abaliki kaziyako njema nabalikiwa Sana namafundisho haya yannanikuza kiloho
Namshukuru Roho Mtakatifu kwa kunipa Kibali Cha kusikia Neno hili. Roho Mtakatifu nisaidie kudumu ndani yako na Utukufu daima ukurudie wewe kwani ndani yako ninaishi, ninakwenda na kuwa na Uhai wangu
AMEN
Amen sifa na utukufu na heshima na enzi na adhama na mamlaka ni kwake yeye aketiye juu sana katika kiti cha enzi kilicho juu sana yeye aliyewaita manabii na kuwatia mafuta ili kuwaongoza watu wake wasipotee bali waifikilie Toba iletayo uzima ameen.
Mungu wa Majeshi akutie nguvu.
Amen
Asante Apostle Mtalemwa kwa mafundisho mazuri!
Amen! Tunamshukuru Mungu kwa ajili yako Apostle kwa kutufungulia hili!
Amen, ni Mungu ametenda sifa na heshima zimrudie yeye peke yake
Amen
Hallelujah
Sikubali kuwa sanamu Amen
Goooooooooood goooooooooood goooooooooood goooooooooood ooooooh hallelujah_ chef Apostle
Nimebarikiwa sana na somo,asante Mungu kwaajili ya mtumishi wako, sifa, shukrani na utukufu ni wako BWANA.
This is a blessing summon. From Kenya, my eyes have been opened. Glory to God.
Asante sana. Kweli ni MUNGU kawawezesha. Neno hili limenibariki sana. Tuzidi kuomba uwezo wake 👏👏
Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana...
Mungu nisaidie nikupende kwa moyo wangu wote.
Nko Kenya ..Asante kwa Mafundisho Hayo
Mungu akubariki sana akuzindishiye maisha,unafundisha safi
Amina
Asante apostle, hizi sanamu tumeabudu sana.
Amen. Asante kwa somo zuri. Hakika namshukuru MUNGU kwa matendo Makuu.
Yan light hili somo tungelisikilza vizuri na kumrudishia Mungu sifa na Utukufu, Hakika leo tusingepoteza viongozi wetu na watu wa karibu ambao wangeendelea kufanyika Baraka tele kwenye Maisha yetu na Taifa.
Amina na asante sana, umehubiri kweli kabisa, Mungu akubariki sana, nimebarikiwa sana
Powerful message to remind us, glory to God.
Very nice
Napenda kufundishiwa nawe mchungaji nikiwa Shinyanga Hallelujah hallelujah Amen
TANZANIA TUMEBARIKIWA KWA KUPEWA WATUMISHI WAZURI
💯
💯
May the name of the Lord be blessed, God bless u apostle for the revelation,welcome in Kenya
Blessing message servant of God
Asante sana Chief Apostle, somo zuri sana sana.
Asante sana Chief kwa mafundisho mazuri haya dah!!!!! Ubarikiwe sana.
hii ndo maana mungu amemuondo hakika ww ni mungu mwenye wivu
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri.
Hongera mtumishi wa Mungu, wewe ni zaidi ya mwalimu.
Ameeeeen
Thank you HolySpirit of God you’re my everything! Search me oh Lord and see if there’s any wicked ways in me ,any idol.
I repent of all the idols in my life in Jesus name . Amen!
Amen Maneno yaliyo jaa ukweli tupuu
Mungu azidi kukutumia nikweli
Ameen amen mtumishi ubarikiwe sana kwa ujumbe.
Asante sana kwa ujumbe mzuri mtumishi wa Mungu
Nyie wamama hapo kanisani vaeni vizuri mnavaa vibaya halafu mnakaa kihasara sijui mnachukuliaje lile Neno la ninyi ni hekalu la Mungu jirekebisheni mkiendelea hivyo mnapoteza muda na pia Mungu hafurahishwi na mawig na mirangi hio na kuchoma nywele badilikeni kanisa linakosa heshima kwa ajili ya wanawake wafuasi wa yezebel
Paricy kiko hahowamama hawanashida wanajifunza kuvaa kwa mama kiongozi wahoo wauziwalaumu
@@kuhaninuru2977 shauri yao maana ni bora kusoma Maandiko yakakuongoza maana Yesu hatachukua wanaomfuata Yezebeli maana wameshaharibu uhalisia wa kanisani hata anaetaka kumrudia Mungu anashindwa aende wapi na hakuna anaewaambia ukweli wamekaa kushangilia mafanikio tu wasijue tunaelekea majira gani wengine ukiwaambia wanasema unahukumi nyie wamama nyie na suruali zenu kanisani na miwigi na mi makeup wala hampendezi mnaonekana vituko labda km mna Mbingu yenu
@@pericykiko6198 Mungu akubariki sana Madam
Powerful message for the body of Christ
Amina,Mungu akubariki sana,urukufu kwa Mungu.
Mungu akubariki sana Baba oiiii mmmhhhh umepiga sememu ya kweli katika kweli
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu umenifungua
Ameni mtumishi ubarikiwe kwa jili ya ujumbe Niko Arusha
Nimebarikiwa sana na mahubiri haya, Bwana Yesu asifiwe.
Amen very Powerful
Amen let be done in Jesus name 🙏
Hekima kama hii hulikomboa taifa.Kwa sasa hivi wengi tunamtukuza Rais kwa nafasi ya Mungu badala ya kumshukuru Mungu kwa ajili ya Rais.Ila Baba umesaidia maana sisi watanzania baadhi yetu tunapenda kusifia kwa unafiki ili tupewe nafasi au kitu.Kwa somo hili nimepona
Nasema ndiyo Bwana Yesu..njoo Dani yangu nitembee nawe
aiseee nimekuelewa mtumishi mwaminifu ubarikiwe Sana
Hallelujah asante Mungu kwa mafunuo haya.
Powerful Word
Mungu ambariki mtumishi wake kwa ufunuo mkubwa aliompatia kwa kupitia neno lake hakika amesema kweli isiyotakiwa na wengi.
Sahihi kabisaa watu wanaheshim wanaemuonaa
Iko kweli Apostle Mutalewa.
LEO NDO NI MEJUA NINI MAANA YA SANAMU ASANTE SANA MTALEMA🙏🏻 🇹🇿
Na barikiwa sana na ujumbe huu.
Kusema kweli Mimi siyo mshirika wako lakini Kwa fundisho hili nimekukubali.
To God alone be all the glory, as He Said He can never ever share his glory with any man,
Message kubwa Sana hii....Amen Amen
Ubarikiwe sana
Wa nimependa huyu mchungaji sana mungu baba niondolee sanamu zote ambazo zimenizunguka,,,,,
Blessa be your name oooh Lord
Mafundisho yako yaniinua baba,Mungu azd kukuinua