VIDEO HII INATISHA SANA KULIKO VIDEO ZOTE INAWEZEKANA UNA ABUDU MUNGU JUA ITAKUHARIBIA PASAKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- VIDEO HII INATISHA SANA KULIKO VIDEO ZOTE INAWEZEKANA UNA ABUDU MUNGU JUA ITAKUHARIBIA PASAKA
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodmedia
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
#Pasaka
#upagani
#freemason
Cha msingi mwamini Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako. Na zaidi Mungu anaabudiwa kila siku
Na Waislamu pia wapewe nafasi yao juu wote tuko pamoja katika Imani
Nikweli hawatuambii ukweli toa elimu baba,naomba like zangu
Nyie wanadam mwogopeni Mungu jaman. Msimfanye Mungu mchomba yenu na kuongezeka chochote mnachojiskia. Jifunzeni kupitia Corona maana hapo tu panatosha kujua Mungu Ni nani
Kuna star inaitwa Corona kama umeona gonga hapa like.👇
wameanza kitambo sana na haya madudu yao.... magonjwa biashara na imani za kichawi tu...ndio maana ni wachawi tu ndio wanaweza kukutupia ugonjwa kasoro Mkristo tu.
@@CaballeroTV Kweli kabisa hii dunia iko Twisted sana..Kuna siri nyingi sana zilizo wazi na zilizo fichwa
Yesu nakupenda Yesu nakutumainia!! Najivunia kuwa mkatoliki!!!!
Mungu atusamehee maana haya mambo nimakubwa sana. Tumegeuka kuwa wafuasi wa mazehebu na cyo wafuasi wa yesu
Endelea kutangaza ukweli big up sana
Wa kwanza kucoment japo inaogopesha wacha niendlee kuangalia
hahahahahaa nimewamic sana wadau wangu
Tupo pamoja kaka
vivyasia oforo
You are right only when I hear speak of Mohamed and Issa.
I love Muslims but am xtin. Hahaha..,. I love your documentary
Safi una2pa mwangaza
Marafiki🙏huyu jamaa ako na lengo tofauti please tusipigane
Please am only listening to the word of God
Mzee umeeleza vitu vingi sana....hongera japo umepindisha pindisha vitu vingi umeficha......lakin ki ukweri kuhusu elimu ya kiroho yamefichwa kama ulivyosema na baadh ya wachache waliobahatika kuipata hiyo elimu leo hii wanaifaidi dunia... Kuna elimu ya namba hizi hizi namba ambazo ni 123...... watu wanazitumia vzuri sana na wanaelimu nazo mpaka raha ukikaa nao tatzo lililopo hapa watu wengi tumepunguziwa uwezo wa kufkri kupita hizi dini zetu na hata leo mtu umwambie dini flan ni taasisi ya watu atakuona kama chizi flan lakin ndio ukweri...angalia leo vitu vingi vimefichwa fichwa kwa hakri ya kawaida huwez kuona....point ni kujitambua tu baasi vingine vitakuja automatically
Majabu kabisa
@@Neymarjr2013 Na historia ya binadamu inaanzia pale misiri Luna sehem inaitwa Kermit land....na hao wenye uwezo wote unaowaona wanajifanya wanaiendesha dunia nguvu zao zote wameziiba Misiri..........mambo ni mengi
Bila Chenga,tupe somo kaka
Kweli kabisaaaaa
@@mgenirasimi7771 tujuze bro
Hee mungu tuokoe wanao
Hivi kweli hayo hunayo yassma ni Kweli. Yesu ni Mwana wa Mungu kubali husikubali
Sioni rakutisha hapo ila ni ujinga mtupu watu nyie amna heshima ndo maana mnaturetea matatizi dunian Mungu awasamehe kwa ujinga wenu ndo maana arijificha.
Mungu yupo sema Watu wanasema mungu yupo
Yesu sio mzungu
Mmh!kweli inatisha sana!tumefumbwa mno!ni watu wachache ndo wanimiliki dunia kiroho,jamani inahuzunusha sana,lkn naamini ipo siku !
Kwanini waabudu jua kuna wengine wanaabudu sanamu kuna wengine wanaabudu moto kuna wengine wanaabudu sheitwani hebu waache ujinga kabisa wamwabudu mungu mungu ndiye anayetukumbusha vitu vingi sheitwani mshenzi kazi kusahaulisha watu akili anataka kuwapeleka motoni tungekuwa binadamu tungekuwa tumesamehewa dhambi lingeenda motoni peke yake
Juma Juma: umesahau kutaja na wanaoabudu jiwe jeusi
Kitu tunajua wakatoliki Yesu ndio jua la haki,, maana amesema , yeye ni NURU ya ulimwengu
Hawa jamaa kila siku kutukandia wa Roman catholic, ila jua mti wenye matunda ndo hupigwa mawe. Wakati Biblia iko wazi kabisa
Kweli kabisa na kumuabudu mwenyez munguu
amani ya Mungu iwe nanyi!!!hakika hili ni channel yangu ya kwanza kwa mambo ya kiroho !! nawakubari sana!! ila jose nakushauri njoo umsome yesu ( isaa) kwenye waisilamu hakika utajifunza kitu kizuri sana!! kuanzia kuzaliwa hadi kupaishwa mbinguni!! kwani sisi( waislamu) tunaamini hakusurubiwa wala hakuuawa!!! na atarudi kupambana na mpinga kristo!!! karibusana!!! najivunia kuwa mwafrika najivunia kuwa muislamu!! asante!!!
Wewe kasome vizuri Quran huijui sasa tutajifunza nini wakati uislamu ni ucatholic waliompa Mohammad utume ni wacatholic
khabari ndugu!! nifahamishe!! ukatoliki uko sehemu gani kwenye quran tukufu!!!? punguza jaziba!!! mambo ya kiimani hayataki hasira!!! ni vyema kijifunza!!! huenda mmoja kati ya mimi na wewe mmoja wetu yuko kwenye upotofu!!!
Mafundisho ya kiyaudi yamewapotosha
@@mustafayahyarunigangwakani6037 wayaudi ndio wamepotosha kuogopa kufeli kama walivyofeli. Juu ya ufufuko wa yesu na mateso yake alishasema mwenyewe! Kasome luka
Naomba kujua kwanini mpinga kristo.. na sio mpinga Mungu..? Yesu kristo yy km nani..??
Watu wachache wenye mamlaka wanatuchezea kiimaniii 100% Ndio maana Rais wetu corona ilivyoingia akakumbuka Nyumbanii kabisa nina imani alidumisha mila Mpaka sasa hakuna cha wagonjwa wala nn
😂😂😂😂 upuuzi huu
watatu kucomment piga like yako hapa kama unawakubal tricod media
Pamoja sanaaaaaa
Aixe
I beg to comment again please my dear brothers and sisters
Video za hovyo kabisa,
wewe unaesema video za hovyo utaangamia kwa kukosa maarifa badala ya kufanya utafiti juu ya haya masuala wewe umechagua kua mtumwa wa kupokea na kuamini dini yako inachokwambia bila kutumia akili.kuongozwa kiimani bila kutumia akili ni kazi bure
Kweli tuendeelee kumtafuta,na kuitafuta kweli...
Good broo kwanini usikisome kiarabu cha Quran ili ikufunue zaidi
Ataweza basi
Weye aukusoma scéance ? Towa hulofa Bwana. Hunasema husilolijua. Mwongo sna weye.
UKITAKA USITAKE QUR_ AN NDO MUONGOZO WA KILA KITU HAIJALISHI UNA MAZEHEBU GAN
Na Yesu kristo ndo kila kitu chini ya jua, weather you like or not. Bila kumkiri Yesu huwezi fika mbinguni
Na mbingun n wap
Acha uongo Que-an ni muongozo wa uchawi kwa hilo siipingi make iliufunua uchawi bila chega na ndo utakuta kuna kisomo cha uchawi kinatwa arubadili!
"Lakini pia,,,lakini pia,,,lakini pia,,,lakini pia,,," mbona kurudiarudia haya maneno?? Inaudhi mno!!!!
Nawakubr sanaa
Sio kweli bro
Jesusi is king forever devil is a woman forever
Kweli watu hawanji ninani wanamuomba.
🙄
Watu wa Pasaka wanaabudu chochote hawajali ni nini mradi Paulo kasema
God is great acha uwongo
@@dowethalabani7748 uongo wa nini na ukweli ndio huo mnatanguliza imani akili mnaziacha nyumbani sasa mtajua imani ya kweli
Sherehe ya pasaka ipo hata kwenye Biblia
Daah ila wazungu ni watu wabaya saaana!
Kweli kabisaa
Hii NI majira MoJA ya MUNGU BABA KILA KITU HADHALANI
Hapa kuhusu pasaka sorry siwe akukuamin narudizangu🏃🏃🏃🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Icho kitabu kinapatikanaje
kuabudu jua sio tatizo, kwasababu ameliumba MUNGU, tatizo ni kuliita jua MUNGU.😀
Hapo hujakosea kabisa kaka ibada ni utaratibu unaotengenezwa na mwanadamu mwenyewe na kila jamii ina njia zake.
Wewe ni muongo,jua huwa halizunguki bhana Ila sayari nyingine zote ndo znazunguka jua na ndo maana tunapata usiku na mchana
Info za mzungu izo hahaha
Jua linazunguka ndg yng , jrb kutafuta info tena kwa haohao wanasayansi au kasoma Qur'an.
Acha kumalizia watu MB zao , unatafuta pesa ww
Amna aja ya kukoment we pita ivi usirud kwa Chanel yetu hahaha
Hiko mwongo saaana. Tena musikuwe mnachukuwa ma Histoire ambazo amjui ni kosa nikama kukufuru. Sababu hunasema husichokijua sio poa kk. Husicheze n'a Mungu cheza n'a wengine wooote Ila N'a yesu ni Mwana wa Mungu.
Heeeeee wzungu wanatutsa snaa n mambo zao na technology wanatutengnezea fifo tuu yesu atuwezeshe kwa hii dunia
Hahahaaha
Mungu anakuona wewe nani
ngoja nikomae nayo
Acha uongo unataka kuchanganya watu nabii wa uongo ww
Hahaha kwan katoa unabii upi
Acha kudanganya watu chunga maneno ya kinywa chako..kila neno tutalitolea hesabu
Lini na wap
Sasa hakuna injilia Thomas ikiwa mkiswahili ? Mbona pakoya kingeleza tuuu
Si vyenye nlitarajia👎
Embu acha kuwakatilia italy waliabudia mungu jua na jupita toka kale
Zabur 84:11
Jupita n nan
Haujui kitu ww muombe mungu akufunulie maandiko
Acha uzushi hakuna aliyekufa akashinda mauti na Yesu hakuzaliwa tarehe 25 huo ni upotoshaji wa hali ya juu.
Joseph: kwani Yesu alizaliwa lini?
@@celestinshayo7295 tarehe rasmi ya kuzaliwa kwa Yesu wala mwezi haijulikani.