Ameishi Msituni Kwa Miaka 5,Amekimbia Majirani Na Familia Yake,Chanzo Kazi|HADITHI YA KUSTAAJABISHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- Hii ni Historia Ya Mzee Anayeishi Msituni
Kumbuka :Asili ya Video Hii Iliundwa Kwa KISWAHILI&KIFARANSA Chini Ya Afrimax Ltd,Ikimaanisha Tunamiliki Haki Yake kwa 100%,Hili Ni Toleo La Kiswahili,
#afrimaxswahili #truly #historiaisiyoyakawaida #trending #tanzania #rwanda
Usisahau Kubonyeza Alama Nyekundu (Subscribe)kisha Alama Ya Kengele ili Uwe Wa Kwanza Kupata Video Zetu AFRIMAX SWAHILI
Nipe like hapa kama umeona huyu baba anafanana na Mwijaku👇
Moyo wake umejaa uchungu sana watumishi wamsaidie kiroho MUNGU atamsaidie
Msamaha ni uponyaji,huwa tunakosewa sana sana lakini tunazidi kusamehe na kuvumilia watu wengine.
Duuuuuuuh 😮😢😢😢
Inaonekana ameumizwa sn ndani, watu wakiroho wamsaidie atapona
Afrimax i really like your stories❤
Habari ya Muchongo
maamuzi sahihi kabisa baharia wa nchi kavu huyu
Msaidien watu wakiroho anashida yamaumivu yandani
Maumivu yandani nitatizo kubwa sn
Ndio ilivo dunia yetu hakuna jema na kumejaa kiini macho tu apendwi mtu kinapendwa kitu chake tu
Amejitibu kwani baadh ya familia hua inakero
Mmmh jmn
Why is afromax swahili turning of comments, in other videos
DUNIA WEWE DAHAAQQ
Ishu ni herufi ya mwanzo wa jina lake ni watu wenye akili,wenye huruma na wanaopenda haki but husalitiwa herufi za majina zina nguvu hapo asaidike kiroho na kimila
Sasa ihi ndio maisha mazuri 😁
Ko upwiru hana duh ad raha
Nyinyi ni waongo tu mtu gani ataiacha familia yake na kwenda kuishi porini kama wanyama
Anamapepo huyu
Sasasa huyu mtafsiri anatafsir nn wakat mwenyewe anaongea kingereza
EEE MUNGU WANGU