Wanajeshi wanne wakamatwa wakituhumiwa kwa jaribio la mapinduzi nchini Burkina Faso
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Mamlaka nchini Burkina Faso inasema imewakamata maofisa wanne wa jeshi siku moja baada ya serikali ya kijeshi kusema kwamba imetibua jaribio la mapinduzi.
(Imehaririwa na John Mbalamwezi)
#AzamTVUpates #BurkinaFaso
Hapo asilimia 💯 Ufaransa na Marekani wamehusika kutaka kuichukua tena Burkinafaso
Application Burkinafaso militarily chance 2024 jeshi kujiunga na jeshi Burkinafaso nitayari
Wataanza kutuma vikosi vyao janja wido , boko harm namakundi mengine ya kihalifu ili ionekane Ufaransa walikuw wanasababisha amani hivyo warudishwe tena.
Hujaeleweka msoma taalifa sisi tunataka lipo ya huyu jama iwe lisaa lizima we unawek dk1 pnd