Viongozi wa Kijeshi Mali, Bukina Faso na Niger Waunganisha Nchi Zao, Waunda Shirikisho la Sahel
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
- Jumamosi ya Julai 6, 2024 viongozi wa kijeshi wa mataifa ya Naija, Bukina Faso na Mali wametia saini makubaliano ya kuunda Shirikisho la Nchi za Sahili yaani Alliance of Sahel States.
Makubaliano hayo yaliwekwa saini na Jenerali Abdourahmane Tchian wa Naija, Kepteni Ibrahim Traore wa Bukina Faso na Kanali Assimi Goita wa mali katika sherehe zilizofanyika jijini Niamey nchini Naija baada ya mkutano wa wakuu hao wa nchi.
Lengo la shirikisho hilo jipya wameeleza kuwa ni kujenga utengamano mpya wa uchumi, siasa na ulinzi wa nchi hizo za Afrika magahribi.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Freedom to Africa
Nchi za kiafrika ambazo Marais wao Bado wanajipendekeza kwa wazungu inabidi wananchi tuwatoe madarakani kwa nguvu
Kenya tuko hapo kutwa iyo jamaa inaitwa ruto
Inabidi nchi zote za afrika zitengeneze shirikisho la kijeshi na tutengeneze mabomu ya atomic ya shirikisho
good job❤
Congo msaidieni naye ajiondowe huko aliko
Safi sana
Ruto must go
Wametisha sana
hawa vingozi wan niazakweli kwa wananchiwoa
Kongole sana umoja ní nguvú,ibra,goita,show show,babylon out,,,,,allahu barik
Nimefurahi kupata hii habari
Walichokifanya Mungu wa Afrika awatangulie
Akili nzuri hii
Mwenyezi Mungu awatangulie
Zanzibar tunatafuta njia ya kutoka ktk muungano usio na maslah na ss
❤❤❤❤❤❤🎉
KABISA KIJANA hivi sasa ni miaka 60 hatuoni faida ya Muungano ❤
Hami j we kula urojo tu Kisha ulale
Wewe jamaa hauna hakili waafrika inatakiwa tuungane ili tuwe na nguvu ili tuweke Sheria zetu zitakazo ilinda Africa wewe unataka tugawanyike
@@OmerSuley-gl7gowanzazibar hamuoni faida ya muungano kweli mbona ninyi mnamiliki aridhi huku bara lakini wa bara hawamiliki Zanzibar kuweka na akili basi Mimi binafsi naunga mkono tuweke Sheria ya kulinda watu wa Africa
Nmeipenda hii
Respect 💪
Magharibi na sio mangaribi
eweemola wahaki wajaalie waja wako hawa wenye nia yazati ya kufuua uchumi wa nchizao wafanikiwe
Naamini raia hawateswi chini ya uongozi wa kijeshi.
Nimeipenda sana
Viva sahel
Watu weus tuache kudanganywa na waxungu ili waendelee kutunyonya
Nimewapende hao wanajeshin
Hii Safi Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Saruti wakuu
Good
Rais Rutto ndo Kwanza Kaenda kuwafuata wamagharibi na wamarekani Kuja kujenga base East Africa 😂😂😂 Africa hii sijui nani katuroga
Toa boriti jichoni mwako ndipo uone kibanzi kwa jirani.
Mim ningekuwa ndo rais wa Tanzania namim ningeenda kuungana na mrusi mali niger na burkinafasso vile vile ningeleta base ya jeshi la russia nchin mwangu kwaajili ya mafunz mapya kwa jeshi langu kudhibit magaid watakajitokeza nchin mwangu
Og sn
Nchi zingine za afrika zijifunze apa