THE CLASSIC BAMBO EP 1 :KUNA KIJANA ANATUDHARAU/KATUKATAA JUKWAANI/TOKA MCHEZA NGOMA HADI UIGIZAJI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Bambo ni moja ya waigizaji na wachekeshaji wenye nguvu na wanaopendwa Tanzania,amedumu kwenye Game kwa zaidi ya miaka 20 na zaidi na amekua katika ubora ule ule,tumepiga nae stories za kutosa kuanzia mwanzoni mwa harakati zake hadi sasa na changamoto za muda wote ,hii ni sehemu ya kwanza ya maongezi yetu
Rest in peace my Mamma, she used to like Bambo, I truly respect you Bambo, you're a true legend 🙏.
Much love and respect 🙏
Wakwanza leo❤❤ shout out kwa jabir bambo ni msanii wa bongo fleva pia
Mze Haki Ya mbongo binti mwamadi 😂😂😂😂😂
Hicho kiapo nimekitithi hadi leo
4:21 kwere aiseee move ya happy birthday ilikua Safi sana
Good work jabir ilike it...
Mzee hii kubwa so next kigwendu & Jot
Daaaar hujafa hujaumbika mwaka 1999 kuelekea 2000 mashaka katoka ulaya kaja bongo mzee wake kamtafutia mchumba kisa mlemavu wa mguu daaaar kitambo mzee kipara
Ngoja, Kisa sina alikua Mke wa Dr Cheni.
Mashaka alikuja na mipesa, akahama kwa mzee Kipara akaenda kula bata na Zawadi
@@alexruhigiyule kisa najiulizaga hadi Leo yuko wapi aisee
Dah long time
Nakumbuka bamboo alikuwa anapiga show zake kipindi cha miss vitongoji ..moja ya njia ya kupata watu ni pamoja bambo awepo ...na hapo lazima avae timbalendi ili apogee maokoto yake
Bambo ❤❤❤❤
Huyu mzee bado kuna vingi anavyo😂😂
Bambo sio story teller mzuri @Jabir ulitakiwa umuongoze vizuri ili afunguke vizuri..mfano nilitamani kusikia why sauti hiyo katika uigizaji wake?kwa nini alichagua hiyoo na hajawahi kupigwa kwa sauti ya kingoni?
Huyo ni mngoni kabisa
nadhani wewe ndio uli[paswa ungalie interview yote hilo swali amelijibu vizuri akamtaja mpka mtu alichukua hio lafudhi.
Bambo ni anaigiza kingoni
Bambo unyama sana broo
Kuna movie walicheza bambo,beni na mhogo mchungu ilikuwa inaitwa CAKE YA BIRTHDAY..tunaipataje hyo movie?
Mwana nakukubali nakufuatilia bro kutoka Sweden tuna muhitaji k ngwendu
Aminia rasta wagwan
One love fam
Ingawa nimeona live ila na huku lazima niipitie chaka🙌🏾
😂😂 bambo ni 🔥🔥
Dah.bambo.wapi.nyamayao
Brother kazi nzuri unayofanya,huwa nakufatilia sana kutoka +254 Mombasa
Asante sana
@@KuviFacts pamoja kaka
Bambo kama Bambo😅
Kata hicho ki crip cha vere uzembering
Gk atokee day apo kwenye pnd mzuka xana
😂😂😂😂😂😂
Jabir Unaongea sanaaaaa
Ndio mana nimeajiriwa radio kaka
@@KuviFacts alitaka utumie lugha ya ishara
@@Soccer_nation-y3j😂😂😂😂umemaliza mkuu😂😂😂
@@KuviFacts😂😂
@jabirsareh