KWA MARA YA KWANZA WANANCHI WAELEZA JUU YA KAMANDA KATABAZI, TULIONA NI BABA YETU, SERIKALI ITUSIKIE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 137

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 2 หลายเดือนก่อน +20

    Hongera afande katabaz ❤ni adimu sana kuona askari kama huyu, ni wachache mnooo. Mungu akubariki sana.

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 2 หลายเดือนก่อน +17

    Mungu akubariki sana RPC....tunaiomba serikali itusikilize wananchi.

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 2 หลายเดือนก่อน +26

    Mkuu asante sana kwaniaba ya manyara nzima mungu akulinde uendako ila ikimpendeza rais uko mbele ya safari akupe nafasi ya ukuu wa mkoa unaweza sana

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 2 หลายเดือนก่อน +7

    Kamanda katabaziiiiiii ni mtu na nusu inseeee❤❤❤❤❤❤

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 2 หลายเดือนก่อน +17

    Kwer kabisa katabaz kaz zake mzr xinaonekana alaf mpole sana baba wawatu mungu ampe umri mrefu

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri3076 2 หลายเดือนก่อน +12

    Hongera Sana Mh Katabazi

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 2 หลายเดือนก่อน +23

    Mika Ndaba unatangaza vizuri sana asante. Ila tu elewa kuwa neno " aghalabu" unavyolitumia si sahihi. Maana yake sanifu ni "mara nyingi"(often) lakini wewe unalitumia kama vile kina maana "ni nadra sana" (seldom ) . Tumieni kamusi watu wetu.

  • @HamisDaud-i8r
    @HamisDaud-i8r 2 หลายเดือนก่อน +17

    Ukiona wana ichi wana sifu jeshilapolisi ujuwe kuna kamanda kwelikweli sasa katabazi aondoke manyara katabazi ni kiongozo mchapa kazi manyara ijawai kutokea hongea katabazi

  • @kasimramadhani1502
    @kasimramadhani1502 2 หลายเดือนก่อน +13

    Katabazi ni mfano mwema,,,,mungu akupe maisha mema

  • @MARIAMUBAJUTA
    @MARIAMUBAJUTA 2 หลายเดือนก่อน +14

    Hongeraaa sana kwake

  • @KhadijakassimMwaipaya
    @KhadijakassimMwaipaya 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaalah.mungu ambariki.jiukweli

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 หลายเดือนก่อน +13

    Huyo anarohonzuri ndivyoalivyo. Roho yamtu aiigwi. Mwenyerohombaya anarohombayatu kunadilika ni shida. Mungu amlinde naampe Afya njema

  • @YonikeSawe
    @YonikeSawe 2 หลายเดือนก่อน +8

    Katabazi kiongozi mzuri katusaidia sana watu kupata elim kwaza ilitusi vunjeshelia pia kunishirikisha naviyendo vyakialifu ukatili wakijisia

  • @richardmushi-lj6tb
    @richardmushi-lj6tb 2 หลายเดือนก่อน +14

    Katabazi nikiongozi wapeke sana mwema sana kwanini haondole wafanya bishara sasa atuta lala uvunjaji utaludi tena tumekwisha selekali tuna omba sana abaki kwausalama wetu mbona katabazi anajituma sana

  • @JesseSix-fq5xe
    @JesseSix-fq5xe 2 หลายเดือนก่อน +13

    Tanzania yetu tuna ipenda sana sijui tatizo nn viongozi wazuri awa Takiwi mwacheni huyu kamanda aende leze kazi

  • @RobinMalya
    @RobinMalya 2 หลายเดือนก่อน +8

    Kila akija kiongozi mzuri ana ondolewa imanyara lini viongozi wachapa kazi wata dum

  • @jasonwatz7457
    @jasonwatz7457 2 หลายเดือนก่อน +13

    Hivi ndio namna kiongozi anatakiwa aache alama, sio masifa

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 2 หลายเดือนก่อน +13

    Mpeni congole huyu jamaa ana passion na kazi yake.

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 2 หลายเดือนก่อน +22

    Hongera saaaana kamanda perfect 💪🏽👊🙏🏼
    Tunahutaji makamanda wa hivyo👍

  • @williamssempoli2294
    @williamssempoli2294 2 หลายเดือนก่อน +12

    Atakuja mwingine, atafuata nyayo zake hapo. Muache akatumikie sehemu nyingine, Tanzania ni kubwa hii!

  • @SimbaJumanne
    @SimbaJumanne 2 หลายเดือนก่อน +17

    Mungu akupe Maisha marefuu rpc katabazi

  • @SadySadiki-d8k
    @SadySadiki-d8k 2 หลายเดือนก่อน +12

    Katabazi nikiongozi mwema.sana.kafanya megi sana.yakupendeza kama manyara kuna bahazi.ya mitaa ilikua gumzo.kwamadawa.naukatili wakijisia.kubakwa watu naulifu mkubwa ila.yeye.kaweza.kumaliza.kama.mtamtowa manyara.wimbi laulifu.na.madawa yakurevya yanarudi tena.kwa.sababu viongozi.wegi.walishindwa.kumaliza.katabazi. ni wapeke.sana..IGP tuna.omba sana.tuachie.katabazi.wetu

  • @PongezZablon
    @PongezZablon 2 หลายเดือนก่อน +11

    Manyara tumekwesha Kama katabazi hakiondoka madawa yakulevya yataludi katika mitaa yetu rushwa uonevu uvunjaji katabazi kiongozi wetu mwema Sana

  • @Sengakarera
    @Sengakarera 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana kamanda

  • @sophiaamnaay9726
    @sophiaamnaay9726 2 หลายเดือนก่อน +16

    S aamua nakuomba imwachie kijana wetu G. Katabazi
    Rais mwache Katabazi abaki Bahati Manyara. Wananchi wa Manyara bado tunahitaji.

  • @AlphoncePotel
    @AlphoncePotel 2 หลายเดือนก่อน +21

    Maafande kamahawa ndowana hitajika tanzania ninampongeza sana RPC kwakuishi vizuri na wananchi kama laia wakawaida.
    Hukukwetu maafande wanaogopeka sana

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka 2 หลายเดือนก่อน +12

    Pole sana wanamamyala huyo kijana kweli anaroho ya mungu ndani yake tumemuona sijaona km katabasi abarikiwe sana

    • @YOUSUFHUGUGU
      @YOUSUFHUGUGU 2 หลายเดือนก่อน

      Usimfananishe Mungu na chochote nafasi yake ibaki kuw ya kipekee na jina yeye pekee ndiye anayestahiki sifa njema zote so plz usirudie.tena

  • @Lascobizz-dv1xu
    @Lascobizz-dv1xu 2 หลายเดือนก่อน +8

    Rpc Manyara kafanya kazi sana kumebadilika sana vibaka madawa rushwa uonevu kashiliki katika shuuli zakijamii sana na penda sana kuwapa watu Elim

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 2 หลายเดือนก่อน +18

    HIII IIGWE NA MA RPC WOTE TANZANIA.... MFANO BOOORA KABISA ....

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 หลายเดือนก่อน +24

    Mmeshaharibu Yani watamtoa hapo hamtaamini tena mchana kweupe Sina Imani na serekali yangu🙌😂😂

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 2 หลายเดือนก่อน

      Yaan vilw wananchi wanavyo vitaka ndio wanafanya kinyume

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @Boniphaceshayo5
      @Boniphaceshayo5 2 หลายเดือนก่อน

      @@cheiknamouna2058 🤙😂

    • @merygodfrey3709
      @merygodfrey3709 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nampa hingera sana kwa Afande wangu Katabazi.Nyita njema huonekana asubuhi Hata mimi nilipolazwa Muhimbili kwa wakati wake akiwa DSM alinisaidia sana sana Mungu ambariki ampe kuishi kwema huko aendako.

    • @evalinemalole6709
      @evalinemalole6709 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 2 หลายเดือนก่อน +13

    Duuh RPC huu ana pendwa na wanaichi aisee

  • @PeterSadala-k4p
    @PeterSadala-k4p 2 หลายเดือนก่อน +11

    Mnatuvunja sana moyo kwakutuondolea katanazi kwani kuwamzalendo nakujituma kwake nikosa kisaidia watu nakupenda maendeleo nivibaya tunaomba sana selekali tuachieni katanazi wetu katuokowa madawa uvunjaji ubakaji rushwa nikiongozi bora sana manyara kafanya tukapenda jeshi lapolisi mama samia rais wetu tuna kuomba tuna kuomba sana tuachie rpc wetu

  • @BashiruSaid-o4s
    @BashiruSaid-o4s 2 หลายเดือนก่อน +7

    KATABAZi katusaidia megi sana manyara kwamda mfupisana tuachieni KATABAZi kiongozi bora sana Tena madawa yataludi kwani haondoke kasapoti michezo kwa vijana kajega dalaja tuhambieni Kuna RPC kamauyu Rais tuna kuombasana IGP fanyeni kitu kwa KATABAZi habaki manyara

  • @Bongovillagex
    @Bongovillagex 2 หลายเดือนก่อน +5

    Wamuache mbn mtu akishatengeneza alama kwa wananchi anakuwa kikwazo anaondoshwa na jina kupotea lkn kwa huyu kamanda popote atakapoenda basi ataacha alama

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 2 หลายเดือนก่อน +10

    Bada mashaanza anza kumsifia hivi hafiki mbali japo siombi ila waswahili wanasema ngoma inayo vuma sana ikokalibu kipasuka

  • @MrRaphaelNextLevel
    @MrRaphaelNextLevel 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kama kuna kamanda alifika manyara harifanya kama katabazi ndomana mwana ichi wana piga kuondoka kwake katabazi huyu nikiongozi bora sana

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 2 หลายเดือนก่อน +8

    Amekua mzurii kama Afande mwabulambo mponjori Akupenda uonevu uko uliko mponjori Amani ya bwana iwe juu Yako na uzao wako lakini Awadhi Lana iwe juu yake na uzao wake Atakua kama MTU asiye na makazi Dunia na mabalaa yote yamkute Maradhi makubwa

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hizo ndo tabia mbaya hawataki maendeleo, na utulivu na amani wakiona mtu anafanya vizuri wanamuondosha, hawapendi uhalifu uishe

  • @AlexJr-s7d
    @AlexJr-s7d 2 หลายเดือนก่อน +7

    Vijana wengi walialibika madawa naulifu vituoni zamana ilikuja nigumu mtu kupewa mitaa ilinuka ulifu gogo ubakaji rushwa rpc katabazi kufika kwake manyara tulipona majaga mengi katika mitaa yetu tunaomba selekali watu hachie katabazi wetu tuna mpenda sisi kwetu ni baba nakiongozi bora

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 2 หลายเดือนก่อน +11

    Hivi Tanzania homeland yangu wapo watu hawa kweli,, maajabu kweli polisi🙄

  • @judahshauri126
    @judahshauri126 2 หลายเดือนก่อน +5

    uyu kamanda ni WA tofauti sana na nimfano waku igwa katika jamii na askli pia manyara kumpoteza kamanda kama huyu nipigo kubwa tuna omba IGP mtu bakizie kamanda katabazi manyara

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 2 หลายเดือนก่อน

    Yaani...🙏🙏 Sijawahi kusikia sifa kama hizi zikienda kwa binadamu aliye hai....naona huyu afande K....ni wa.tofauti.....Hongera mdogo wangu...Mungu akutunze , akulinde na kuendelea kukuongoza ktk njia zako

  • @KhalidKhalid-uw6rz
    @KhalidKhalid-uw6rz 2 หลายเดือนก่อน +7

    Katabaza kafanya megi mazuru

  • @gracewilliam4102
    @gracewilliam4102 2 หลายเดือนก่อน +8

    Katabazi wambakishe wanampeleka wapi manyara imekuwa vizuri mno

  • @MbwanaMbaga
    @MbwanaMbaga 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kaz yaupolis kwakeniwito ilakunawameingia jeshilapolis kwakufelimipangomingine haonikerokwananch

  • @dailantz4073
    @dailantz4073 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi sijawai kupenda polisi hatasi sikumoja ila kupitia katamba nikingozi wake. alienivutia sana. Halivyo fika manyara alihaza kutowa elim kwajamii nakushilikia na jamii kwene kwene mambo mbalimbali kasapoti vijana michezo katowa bima kwa watu wene maitaji mahalum kapambana na ukatili wakijisìa madawa ya kurevya naulifu kwene mitaa yetu ijawa ikutokea watu wakapenda polisi ila katabazi kafanya tumependa jeshila polisi kwamala yakwaza ni wamfano sana katika mkoa wetu

  • @victorernest7702
    @victorernest7702 2 หลายเดือนก่อน +11

    Askari jifunzen Kwa afande katabaz na sio kujijengea chukiekwa raia,,one leo katabaz analiliwa na raia abaki 🎉🎉

  • @barakamagai0005
    @barakamagai0005 2 หลายเดือนก่อน +3

    Katabazi mchapa kazi Sana

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 2 หลายเดือนก่อน +9

    Apewe ukuu wa polisi wa jeshi la polisi Tanzania asafishe jeshi la polisi waache ukatili a

  • @KhalifaHassan-v5r
    @KhalifaHassan-v5r 2 หลายเดือนก่อน +4

    Wauza madawa wanashelehe sasa vijana wataludi kulekule kuvuta madawa ujambazi selekale tunaomba sana mwacheni katabazi mtu wakazi afanye kazi manyara ili tuendele kubakisalama kwa sababu viongozi walio pita walishindwa kuzibi yeye kaweza

  • @FahmiNassor
    @FahmiNassor 2 หลายเดือนก่อน +4

    Sijawahi kuona wananchi wakitamani kuishi na police kama hivi kweli kabisa ni mtu mzuri ma RPC igeni mfano huo siyo mkunje sura tu masaa yote angalieni mwenzenu katabazi watu wanamlilia wengine mkihamishwa watu wafurahi na kuwalani igeni mfano wa KATABAZI

  • @autorashautoelectrician2205
    @autorashautoelectrician2205 2 หลายเดือนก่อน +3

    Sasa wazee mkuu wa police safi kabisa sasa mbona nyie wananchi tena mnabaka nakuchinjana tena au awo wakorofi watokea mikoamingine

  • @HazidatiHamisi
    @HazidatiHamisi 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kuna watu wananiya njema nataifa letu kabisa na viongozi wazalendo wachapa kazi waminifu wapenda watu wauza madawa kometizao nikupiga nakuoma polisi wabaya katabazi ni wetu tuna mpenda sana uyu nimtu mwema sana

  • @Omar-g3x6o
    @Omar-g3x6o 2 หลายเดือนก่อน +4

    Rpc katabazi nimzalendo sana kafanya mengi chuki na wivutu kujituma kwake watu hawapendi sasa wauzaji wamadawa ya kurevya wanafulai nawavinjaji waturudi tunaomba tuachie rpc wetu

  • @youngyuzzo
    @youngyuzzo 2 หลายเดือนก่อน +3

    ijawaikutokea wanaichi kupenda polisi Ila katabazi kafanya Wana Wana manyara kupenda polisi nakushilikiana kubaini warifu kwene mitaa Kata Paka wilaya .Nakufanikisha RPC ni jembe

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 2 หลายเดือนก่อน +9

    Muheshimiwa katabazi sisi hatuko manyara lakin kwa sasa dunia ni kitongoji sifa zako zimefka mbali sanaa hongera mnoo tunaposema polis wengi ni wabaya haina maana ni wote ww umekuwa mfano wakuigwa hongera sana kamanda wetu nataman siku moja mungu akuinue uwe I G P

  • @Chrishenryson-beats
    @Chrishenryson-beats 2 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu nimempenda kwa kweli na ukimkagua lazima utakuta amesoma. Sio hao police wengine vibaya wa lasaba B kumbaf zao.Huyu alifaa awe IGP maana ataambukiza hayo anayoyaishi chini yake.

  • @officialclamaxwaytz2827
    @officialclamaxwaytz2827 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kundi la vijana wengi wata teketea Kwa madawa yakurevya maana alivyo kuepo hali ilikua shwali sasa chombo kita kwenda mlama mji Mkoa ulikua ume tulia kabisa Amani muda wowote unatembea bila wasiwasi

  • @ramadhanibahati2829
    @ramadhanibahati2829 หลายเดือนก่อน +1

    George katabazi, ni kiongozi Bora, anastahili

  • @EliassMjema-px5gl
    @EliassMjema-px5gl 2 หลายเดือนก่อน +3

    Rpc manyara nikiongozi wafano IGp tuomba fikiria Tena manyara itarudi kurekure kwa madawa ujambazi rushwa ubakaji nakupolwa watu katabazi tuachieni Hawa nyooshe walifu sasa.wauza madawa shagwe manyara

  • @Paulogapcho
    @Paulogapcho 2 หลายเดือนก่อน +1

    katabazi kafanya mengi sana mazuri manyara ija waikutokea

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hana tabia Kama ya nyerere

  • @SarahsimonKarani
    @SarahsimonKarani 2 หลายเดือนก่อน +1

    Katabazi nikipezi chawatu

  • @MilloWamilonga-ft8ir
    @MilloWamilonga-ft8ir 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa nini Katabazi aliondolewa? Mmejiuliza au mnaropoka tu?
    Serikali ina uono wa mbali sana kuliko akili zenu.

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 2 หลายเดือนก่อน

    Mhe. Katabaz Mungu akubariki sana kamanda wetu.

  • @fordmasnyenga_kiuyangulyri7409
    @fordmasnyenga_kiuyangulyri7409 2 หลายเดือนก่อน +1

    Rpc kafanya mema sana manyara kama kupambana na madawa naukatili wakijisia

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 2 หลายเดือนก่อน +2

    Raisi hapa huna budi kumrejesha kiongozi ambae wananchi wanamuhitaji kwa kua hayo ndio miongoni mwa mambo unayotaka .

  • @TatuJuma-c8u
    @TatuJuma-c8u 2 หลายเดือนก่อน +2

    Katabazi ni kiongozi bora sisi ndotunajua nyinyi mnaopiga munayenu na chuki zenu hapendagi viongozi wachapa kazi wakataha rushwa wapiga mabaya kusapoti jamii nyinyi hamjui kulivo kua

  • @SamwelLaiza-j3o
    @SamwelLaiza-j3o หลายเดือนก่อน

    Siku zote utu wema ustawi kama mtende hongera kamanda katabazi wananchi tunashukuru kwa uchapakazi wako Mungu akutunze na kukuongezea hekima na busara zaidi na zaidi

  • @JackKanyigo
    @JackKanyigo 2 หลายเดือนก่อน

    Saf sana Afande mungu akubaliki sana

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 2 หลายเดือนก่อน +3

    wananchi wanafiki si ndo hawa aliwabeba mabegani wamefunga barabara kisa mtoto kuchinjwa

  • @Goodluckjackob-pm5dz
    @Goodluckjackob-pm5dz 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mnatu vunja moyo wana manyara

  • @zephanialuangwaeliatosha9723
    @zephanialuangwaeliatosha9723 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana kiongozi

  • @johnkuzwa3950
    @johnkuzwa3950 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kujitoa kwake kumetafsikiwa Kama mbio za kisiasa ktk teuzi

  • @TatuJuma-c8u
    @TatuJuma-c8u 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna watu muna madili yenu ndomana una furai ndomana mnakometi vibaya urimpate na fasi yaku uza madawa magendo yenu sasa muna furaha sana

  • @Seleman-f9i
    @Seleman-f9i 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu nimtu sanaa

  • @RenatusMatungwa-o7c
    @RenatusMatungwa-o7c หลายเดือนก่อน

    Hongera sana

  • @Omar-g3x6o
    @Omar-g3x6o 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤Q❤❤

  • @MwinyihojaMwinyikombo
    @MwinyihojaMwinyikombo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu nikamanda

  • @EckeyJonas
    @EckeyJonas 2 หลายเดือนก่อน +1

    wauza madawa na walifu wana fulaisana kwa sababu katabazi hajawapa chasi kabisa ariwabana sana. wakijalibu wamekamatwa ukute hata ninjama zao haondoke ili wafanye yao

  • @InnocentMakund
    @InnocentMakund 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kila akiletwa mtu mzuri na mchapa kazi Wana muondoa Sasa tuna taka viongo wa aina Gani manyara mnatu katisha tamaa Wana manyara

  • @SamwelLaiza-j3o
    @SamwelLaiza-j3o หลายเดือนก่อน

    Afande Rpc katabazi hongera kamanda kwa utendaji mzuriiii na unaopendeza kwa Mungu na kwa wananchi uliotutumikia hakika manyara tunashukuru

  • @MbwanaMbaga
    @MbwanaMbaga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Askarikamahuyu ajengewe sanamu

  • @godwinmbwambo3316
    @godwinmbwambo3316 2 หลายเดือนก่อน

    Apewe u IGP❤❤

  • @SilvestaSechu
    @SilvestaSechu 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hengera Sana katabazi wewe Ni wamfano

  • @solomonmsomba1677
    @solomonmsomba1677 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa twende Mbeya. Anahamishwa kwa sababu hajafanya kama Mbeya.

  • @alanmwijarubi
    @alanmwijarubi 2 หลายเดือนก่อน

    Namfaham huyu kamanda, japo siishi Manyara ila naamini yanayosemwa ni kweli. Huyu mtu ana hofu ya Mungu ndani yake ndiyo maana anafanya kazi Kwa kujali watu wake kwanza. Ombi langu Kwa viongozi wetu wote, wawe na hofu ya Mungu ndani yao, mtu mwenye hofu ya Mungu hawezi kuwapuuza au kuwaonea watu walio chini yake.

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 2 หลายเดือนก่อน +5

    Ukioa hivyo ujue wanamtoa ili walete wezi wenzao, 😂😂😂

  • @CHEMBATV_
    @CHEMBATV_ 2 หลายเดือนก่อน +3

    Apewe Mkoa tu huyu jamaa

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 2 หลายเดือนก่อน +1

    Awapi police ni police tu acheni kubwabwaja kwasababu ya unga

  • @AbasiAdam-y9g
    @AbasiAdam-y9g 2 หลายเดือนก่อน

    Katabazi nikiongozi Bora Sana kwetu manyara madawa walifu wali pata shida Sana

  • @AbbasKarim-i9r
    @AbbasKarim-i9r 2 หลายเดือนก่อน

    Katabazi ni baba nakiongozi bora sana manyara hatuta msahau

  • @machibyandaji
    @machibyandaji 2 หลายเดือนก่อน

    Warifu wenechuki wauza madawa navibaka ilijambo wamependa sana wene kupenda kazizuru najuudi zakamanda katabazi tujaenda kabisa wagetuachia baba yetu

  • @abbyjma7355
    @abbyjma7355 2 หลายเดือนก่อน

    Hiv mbunge wao anajiskiaje rpc anakuja anachapa kazi kuliko mbunge wai😂

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 2 หลายเดือนก่อน

    Poleni lakini ndio hali halisi ya kanuni za kazi.

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna kitu hapa yatawakuta

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 2 หลายเดือนก่อน

    hatimaye magufuli wapo wengi..pongez kamanda kwa UPENDO wako kwa wananchi

  • @flaviankiria8251
    @flaviankiria8251 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidikumbariki huyu katabazi nani mfano mzuri kwa wengine

  • @zephanialuangwaeliatosha9723
    @zephanialuangwaeliatosha9723 2 หลายเดือนก่อน

    Tuna penda kuskia sifa zanamna hii kwawananchi hususani Kwa watumishi wajeshi la polisi

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 2 หลายเดือนก่อน

    Ukitenda mema unakumbukwa na kuombea dua njema .