Mika Ndaba unatangaza vizuri sana asante. Ila tu elewa kuwa neno " aghalabu" unavyolitumia si sahihi. Maana yake sanifu ni "mara nyingi"(often) lakini wewe unalitumia kama vile kina maana "ni nadra sana" (seldom ) . Tumieni kamusi watu wetu.
Ukiona wana ichi wana sifu jeshilapolisi ujuwe kuna kamanda kwelikweli sasa katabazi aondoke manyara katabazi ni kiongozo mchapa kazi manyara ijawai kutokea hongea katabazi
Katabazi nikiongozi wapeke sana mwema sana kwanini haondole wafanya bishara sasa atuta lala uvunjaji utaludi tena tumekwisha selekali tuna omba sana abaki kwausalama wetu mbona katabazi anajituma sana
Maafande kamahawa ndowana hitajika tanzania ninampongeza sana RPC kwakuishi vizuri na wananchi kama laia wakawaida. Hukukwetu maafande wanaogopeka sana
Nampa hingera sana kwa Afande wangu Katabazi.Nyita njema huonekana asubuhi Hata mimi nilipolazwa Muhimbili kwa wakati wake akiwa DSM alinisaidia sana sana Mungu ambariki ampe kuishi kwema huko aendako.
Mnatuvunja sana moyo kwakutuondolea katanazi kwani kuwamzalendo nakujituma kwake nikosa kisaidia watu nakupenda maendeleo nivibaya tunaomba sana selekali tuachieni katanazi wetu katuokowa madawa uvunjaji ubakaji rushwa nikiongozi bora sana manyara kafanya tukapenda jeshi lapolisi mama samia rais wetu tuna kuomba tuna kuomba sana tuachie rpc wetu
KATABAZi katusaidia megi sana manyara kwamda mfupisana tuachieni KATABAZi kiongozi bora sana Tena madawa yataludi kwani haondoke kasapoti michezo kwa vijana kajega dalaja tuhambieni Kuna RPC kamauyu Rais tuna kuombasana IGP fanyeni kitu kwa KATABAZi habaki manyara
Wamuache mbn mtu akishatengeneza alama kwa wananchi anakuwa kikwazo anaondoshwa na jina kupotea lkn kwa huyu kamanda popote atakapoenda basi ataacha alama
Amekua mzurii kama Afande mwabulambo mponjori Akupenda uonevu uko uliko mponjori Amani ya bwana iwe juu Yako na uzao wako lakini Awadhi Lana iwe juu yake na uzao wake Atakua kama MTU asiye na makazi Dunia na mabalaa yote yamkute Maradhi makubwa
Vijana wengi walialibika madawa naulifu vituoni zamana ilikuja nigumu mtu kupewa mitaa ilinuka ulifu gogo ubakaji rushwa rpc katabazi kufika kwake manyara tulipona majaga mengi katika mitaa yetu tunaomba selekali watu hachie katabazi wetu tuna mpenda sisi kwetu ni baba nakiongozi bora
uyu kamanda ni WA tofauti sana na nimfano waku igwa katika jamii na askli pia manyara kumpoteza kamanda kama huyu nipigo kubwa tuna omba IGP mtu bakizie kamanda katabazi manyara
Yaani...🙏🙏 Sijawahi kusikia sifa kama hizi zikienda kwa binadamu aliye hai....naona huyu afande K....ni wa.tofauti.....Hongera mdogo wangu...Mungu akutunze , akulinde na kuendelea kukuongoza ktk njia zako
Mimi sijawai kupenda polisi hatasi sikumoja ila kupitia katamba nikingozi wake. alienivutia sana. Halivyo fika manyara alihaza kutowa elim kwajamii nakushilikia na jamii kwene kwene mambo mbalimbali kasapoti vijana michezo katowa bima kwa watu wene maitaji mahalum kapambana na ukatili wakijisìa madawa ya kurevya naulifu kwene mitaa yetu ijawa ikutokea watu wakapenda polisi ila katabazi kafanya tumependa jeshila polisi kwamala yakwaza ni wamfano sana katika mkoa wetu
Wauza madawa wanashelehe sasa vijana wataludi kulekule kuvuta madawa ujambazi selekale tunaomba sana mwacheni katabazi mtu wakazi afanye kazi manyara ili tuendele kubakisalama kwa sababu viongozi walio pita walishindwa kuzibi yeye kaweza
Sijawahi kuona wananchi wakitamani kuishi na police kama hivi kweli kabisa ni mtu mzuri ma RPC igeni mfano huo siyo mkunje sura tu masaa yote angalieni mwenzenu katabazi watu wanamlilia wengine mkihamishwa watu wafurahi na kuwalani igeni mfano wa KATABAZI
Kuna watu wananiya njema nataifa letu kabisa na viongozi wazalendo wachapa kazi waminifu wapenda watu wauza madawa kometizao nikupiga nakuoma polisi wabaya katabazi ni wetu tuna mpenda sana uyu nimtu mwema sana
Rpc katabazi nimzalendo sana kafanya mengi chuki na wivutu kujituma kwake watu hawapendi sasa wauzaji wamadawa ya kurevya wanafulai nawavinjaji waturudi tunaomba tuachie rpc wetu
ijawaikutokea wanaichi kupenda polisi Ila katabazi kafanya Wana Wana manyara kupenda polisi nakushilikiana kubaini warifu kwene mitaa Kata Paka wilaya .Nakufanikisha RPC ni jembe
Muheshimiwa katabazi sisi hatuko manyara lakin kwa sasa dunia ni kitongoji sifa zako zimefka mbali sanaa hongera mnoo tunaposema polis wengi ni wabaya haina maana ni wote ww umekuwa mfano wakuigwa hongera sana kamanda wetu nataman siku moja mungu akuinue uwe I G P
Huyu nimempenda kwa kweli na ukimkagua lazima utakuta amesoma. Sio hao police wengine vibaya wa lasaba B kumbaf zao.Huyu alifaa awe IGP maana ataambukiza hayo anayoyaishi chini yake.
Kundi la vijana wengi wata teketea Kwa madawa yakurevya maana alivyo kuepo hali ilikua shwali sasa chombo kita kwenda mlama mji Mkoa ulikua ume tulia kabisa Amani muda wowote unatembea bila wasiwasi
Katabazi ni kiongozi bora sisi ndotunajua nyinyi mnaopiga munayenu na chuki zenu hapendagi viongozi wachapa kazi wakataha rushwa wapiga mabaya kusapoti jamii nyinyi hamjui kulivo kua
Siku zote utu wema ustawi kama mtende hongera kamanda katabazi wananchi tunashukuru kwa uchapakazi wako Mungu akutunze na kukuongezea hekima na busara zaidi na zaidi
wauza madawa na walifu wana fulaisana kwa sababu katabazi hajawapa chasi kabisa ariwabana sana. wakijalibu wamekamatwa ukute hata ninjama zao haondoke ili wafanye yao
Namfaham huyu kamanda, japo siishi Manyara ila naamini yanayosemwa ni kweli. Huyu mtu ana hofu ya Mungu ndani yake ndiyo maana anafanya kazi Kwa kujali watu wake kwanza. Ombi langu Kwa viongozi wetu wote, wawe na hofu ya Mungu ndani yao, mtu mwenye hofu ya Mungu hawezi kuwapuuza au kuwaonea watu walio chini yake.
Hongera afande katabaz ❤ni adimu sana kuona askari kama huyu, ni wachache mnooo. Mungu akubariki sana.
Mungu akubariki sana RPC....tunaiomba serikali itusikilize wananchi.
Mkuu asante sana kwaniaba ya manyara nzima mungu akulinde uendako ila ikimpendeza rais uko mbele ya safari akupe nafasi ya ukuu wa mkoa unaweza sana
Kamanda katabaziiiiiii ni mtu na nusu inseeee❤❤❤❤❤❤
Kwer kabisa katabaz kaz zake mzr xinaonekana alaf mpole sana baba wawatu mungu ampe umri mrefu
Hongera Sana Mh Katabazi
Mika Ndaba unatangaza vizuri sana asante. Ila tu elewa kuwa neno " aghalabu" unavyolitumia si sahihi. Maana yake sanifu ni "mara nyingi"(often) lakini wewe unalitumia kama vile kina maana "ni nadra sana" (seldom ) . Tumieni kamusi watu wetu.
100
Ukiona wana ichi wana sifu jeshilapolisi ujuwe kuna kamanda kwelikweli sasa katabazi aondoke manyara katabazi ni kiongozo mchapa kazi manyara ijawai kutokea hongea katabazi
Katabazi ni mfano mwema,,,,mungu akupe maisha mema
Hongeraaa sana kwake
Mashaalah.mungu ambariki.jiukweli
Huyo anarohonzuri ndivyoalivyo. Roho yamtu aiigwi. Mwenyerohombaya anarohombayatu kunadilika ni shida. Mungu amlinde naampe Afya njema
Katabazi kiongozi mzuri katusaidia sana watu kupata elim kwaza ilitusi vunjeshelia pia kunishirikisha naviyendo vyakialifu ukatili wakijisia
Katabazi nikiongozi wapeke sana mwema sana kwanini haondole wafanya bishara sasa atuta lala uvunjaji utaludi tena tumekwisha selekali tuna omba sana abaki kwausalama wetu mbona katabazi anajituma sana
Tanzania yetu tuna ipenda sana sijui tatizo nn viongozi wazuri awa Takiwi mwacheni huyu kamanda aende leze kazi
Kila akija kiongozi mzuri ana ondolewa imanyara lini viongozi wachapa kazi wata dum
Hivi ndio namna kiongozi anatakiwa aache alama, sio masifa
Mpeni congole huyu jamaa ana passion na kazi yake.
Hongera saaaana kamanda perfect 💪🏽👊🙏🏼
Tunahutaji makamanda wa hivyo👍
Atakuja mwingine, atafuata nyayo zake hapo. Muache akatumikie sehemu nyingine, Tanzania ni kubwa hii!
Mungu akupe Maisha marefuu rpc katabazi
Katabazi nikiongozi mwema.sana.kafanya megi sana.yakupendeza kama manyara kuna bahazi.ya mitaa ilikua gumzo.kwamadawa.naukatili wakijisia.kubakwa watu naulifu mkubwa ila.yeye.kaweza.kumaliza.kama.mtamtowa manyara.wimbi laulifu.na.madawa yakurevya yanarudi tena.kwa.sababu viongozi.wegi.walishindwa.kumaliza.katabazi. ni wapeke.sana..IGP tuna.omba sana.tuachie.katabazi.wetu
Manyara tumekwesha Kama katabazi hakiondoka madawa yakulevya yataludi katika mitaa yetu rushwa uonevu uvunjaji katabazi kiongozi wetu mwema Sana
Hongera sana kamanda
S aamua nakuomba imwachie kijana wetu G. Katabazi
Rais mwache Katabazi abaki Bahati Manyara. Wananchi wa Manyara bado tunahitaji.
Maafande kamahawa ndowana hitajika tanzania ninampongeza sana RPC kwakuishi vizuri na wananchi kama laia wakawaida.
Hukukwetu maafande wanaogopeka sana
Pole sana wanamamyala huyo kijana kweli anaroho ya mungu ndani yake tumemuona sijaona km katabasi abarikiwe sana
Usimfananishe Mungu na chochote nafasi yake ibaki kuw ya kipekee na jina yeye pekee ndiye anayestahiki sifa njema zote so plz usirudie.tena
Rpc Manyara kafanya kazi sana kumebadilika sana vibaka madawa rushwa uonevu kashiliki katika shuuli zakijamii sana na penda sana kuwapa watu Elim
HIII IIGWE NA MA RPC WOTE TANZANIA.... MFANO BOOORA KABISA ....
Mmeshaharibu Yani watamtoa hapo hamtaamini tena mchana kweupe Sina Imani na serekali yangu🙌😂😂
Yaan vilw wananchi wanavyo vitaka ndio wanafanya kinyume
😂😂😂
@@cheiknamouna2058 🤙😂
Nampa hingera sana kwa Afande wangu Katabazi.Nyita njema huonekana asubuhi Hata mimi nilipolazwa Muhimbili kwa wakati wake akiwa DSM alinisaidia sana sana Mungu ambariki ampe kuishi kwema huko aendako.
😂😂
Duuh RPC huu ana pendwa na wanaichi aisee
Mnatuvunja sana moyo kwakutuondolea katanazi kwani kuwamzalendo nakujituma kwake nikosa kisaidia watu nakupenda maendeleo nivibaya tunaomba sana selekali tuachieni katanazi wetu katuokowa madawa uvunjaji ubakaji rushwa nikiongozi bora sana manyara kafanya tukapenda jeshi lapolisi mama samia rais wetu tuna kuomba tuna kuomba sana tuachie rpc wetu
KATABAZi katusaidia megi sana manyara kwamda mfupisana tuachieni KATABAZi kiongozi bora sana Tena madawa yataludi kwani haondoke kasapoti michezo kwa vijana kajega dalaja tuhambieni Kuna RPC kamauyu Rais tuna kuombasana IGP fanyeni kitu kwa KATABAZi habaki manyara
Wamuache mbn mtu akishatengeneza alama kwa wananchi anakuwa kikwazo anaondoshwa na jina kupotea lkn kwa huyu kamanda popote atakapoenda basi ataacha alama
Bada mashaanza anza kumsifia hivi hafiki mbali japo siombi ila waswahili wanasema ngoma inayo vuma sana ikokalibu kipasuka
Kama kuna kamanda alifika manyara harifanya kama katabazi ndomana mwana ichi wana piga kuondoka kwake katabazi huyu nikiongozi bora sana
Amekua mzurii kama Afande mwabulambo mponjori Akupenda uonevu uko uliko mponjori Amani ya bwana iwe juu Yako na uzao wako lakini Awadhi Lana iwe juu yake na uzao wake Atakua kama MTU asiye na makazi Dunia na mabalaa yote yamkute Maradhi makubwa
Hizo ndo tabia mbaya hawataki maendeleo, na utulivu na amani wakiona mtu anafanya vizuri wanamuondosha, hawapendi uhalifu uishe
Vijana wengi walialibika madawa naulifu vituoni zamana ilikuja nigumu mtu kupewa mitaa ilinuka ulifu gogo ubakaji rushwa rpc katabazi kufika kwake manyara tulipona majaga mengi katika mitaa yetu tunaomba selekali watu hachie katabazi wetu tuna mpenda sisi kwetu ni baba nakiongozi bora
Hivi Tanzania homeland yangu wapo watu hawa kweli,, maajabu kweli polisi🙄
uyu kamanda ni WA tofauti sana na nimfano waku igwa katika jamii na askli pia manyara kumpoteza kamanda kama huyu nipigo kubwa tuna omba IGP mtu bakizie kamanda katabazi manyara
Yaani...🙏🙏 Sijawahi kusikia sifa kama hizi zikienda kwa binadamu aliye hai....naona huyu afande K....ni wa.tofauti.....Hongera mdogo wangu...Mungu akutunze , akulinde na kuendelea kukuongoza ktk njia zako
Katabaza kafanya megi mazuru
Katabazi wambakishe wanampeleka wapi manyara imekuwa vizuri mno
Kaz yaupolis kwakeniwito ilakunawameingia jeshilapolis kwakufelimipangomingine haonikerokwananch
Mimi sijawai kupenda polisi hatasi sikumoja ila kupitia katamba nikingozi wake. alienivutia sana. Halivyo fika manyara alihaza kutowa elim kwajamii nakushilikia na jamii kwene kwene mambo mbalimbali kasapoti vijana michezo katowa bima kwa watu wene maitaji mahalum kapambana na ukatili wakijisìa madawa ya kurevya naulifu kwene mitaa yetu ijawa ikutokea watu wakapenda polisi ila katabazi kafanya tumependa jeshila polisi kwamala yakwaza ni wamfano sana katika mkoa wetu
Askari jifunzen Kwa afande katabaz na sio kujijengea chukiekwa raia,,one leo katabaz analiliwa na raia abaki 🎉🎉
Katabazi mchapa kazi Sana
Apewe ukuu wa polisi wa jeshi la polisi Tanzania asafishe jeshi la polisi waache ukatili a
Wauza madawa wanashelehe sasa vijana wataludi kulekule kuvuta madawa ujambazi selekale tunaomba sana mwacheni katabazi mtu wakazi afanye kazi manyara ili tuendele kubakisalama kwa sababu viongozi walio pita walishindwa kuzibi yeye kaweza
Sijawahi kuona wananchi wakitamani kuishi na police kama hivi kweli kabisa ni mtu mzuri ma RPC igeni mfano huo siyo mkunje sura tu masaa yote angalieni mwenzenu katabazi watu wanamlilia wengine mkihamishwa watu wafurahi na kuwalani igeni mfano wa KATABAZI
Sasa wazee mkuu wa police safi kabisa sasa mbona nyie wananchi tena mnabaka nakuchinjana tena au awo wakorofi watokea mikoamingine
Kuna watu wananiya njema nataifa letu kabisa na viongozi wazalendo wachapa kazi waminifu wapenda watu wauza madawa kometizao nikupiga nakuoma polisi wabaya katabazi ni wetu tuna mpenda sana uyu nimtu mwema sana
Rpc katabazi nimzalendo sana kafanya mengi chuki na wivutu kujituma kwake watu hawapendi sasa wauzaji wamadawa ya kurevya wanafulai nawavinjaji waturudi tunaomba tuachie rpc wetu
ijawaikutokea wanaichi kupenda polisi Ila katabazi kafanya Wana Wana manyara kupenda polisi nakushilikiana kubaini warifu kwene mitaa Kata Paka wilaya .Nakufanikisha RPC ni jembe
Muheshimiwa katabazi sisi hatuko manyara lakin kwa sasa dunia ni kitongoji sifa zako zimefka mbali sanaa hongera mnoo tunaposema polis wengi ni wabaya haina maana ni wote ww umekuwa mfano wakuigwa hongera sana kamanda wetu nataman siku moja mungu akuinue uwe I G P
Huyu nimempenda kwa kweli na ukimkagua lazima utakuta amesoma. Sio hao police wengine vibaya wa lasaba B kumbaf zao.Huyu alifaa awe IGP maana ataambukiza hayo anayoyaishi chini yake.
Kundi la vijana wengi wata teketea Kwa madawa yakurevya maana alivyo kuepo hali ilikua shwali sasa chombo kita kwenda mlama mji Mkoa ulikua ume tulia kabisa Amani muda wowote unatembea bila wasiwasi
George katabazi, ni kiongozi Bora, anastahili
Rpc manyara nikiongozi wafano IGp tuomba fikiria Tena manyara itarudi kurekure kwa madawa ujambazi rushwa ubakaji nakupolwa watu katabazi tuachieni Hawa nyooshe walifu sasa.wauza madawa shagwe manyara
katabazi kafanya mengi sana mazuri manyara ija waikutokea
Hana tabia Kama ya nyerere
Nyerere yupi??
Katabazi nikipezi chawatu
Kwa nini Katabazi aliondolewa? Mmejiuliza au mnaropoka tu?
Serikali ina uono wa mbali sana kuliko akili zenu.
Mhe. Katabaz Mungu akubariki sana kamanda wetu.
Rpc kafanya mema sana manyara kama kupambana na madawa naukatili wakijisia
Raisi hapa huna budi kumrejesha kiongozi ambae wananchi wanamuhitaji kwa kua hayo ndio miongoni mwa mambo unayotaka .
Ni IGP
@@njechele646 Ahaaa
Katabazi ni kiongozi bora sisi ndotunajua nyinyi mnaopiga munayenu na chuki zenu hapendagi viongozi wachapa kazi wakataha rushwa wapiga mabaya kusapoti jamii nyinyi hamjui kulivo kua
Siku zote utu wema ustawi kama mtende hongera kamanda katabazi wananchi tunashukuru kwa uchapakazi wako Mungu akutunze na kukuongezea hekima na busara zaidi na zaidi
Saf sana Afande mungu akubaliki sana
wananchi wanafiki si ndo hawa aliwabeba mabegani wamefunga barabara kisa mtoto kuchinjwa
Mnatu vunja moyo wana manyara
Hongera Sana kiongozi
Kujitoa kwake kumetafsikiwa Kama mbio za kisiasa ktk teuzi
Kuna watu muna madili yenu ndomana una furai ndomana mnakometi vibaya urimpate na fasi yaku uza madawa magendo yenu sasa muna furaha sana
Huyu nimtu sanaa
Hongera sana
❤Q❤❤
Uyu nikamanda
wauza madawa na walifu wana fulaisana kwa sababu katabazi hajawapa chasi kabisa ariwabana sana. wakijalibu wamekamatwa ukute hata ninjama zao haondoke ili wafanye yao
Kila akiletwa mtu mzuri na mchapa kazi Wana muondoa Sasa tuna taka viongo wa aina Gani manyara mnatu katisha tamaa Wana manyara
Afande Rpc katabazi hongera kamanda kwa utendaji mzuriiii na unaopendeza kwa Mungu na kwa wananchi uliotutumikia hakika manyara tunashukuru
Askarikamahuyu ajengewe sanamu
Apewe u IGP❤❤
Hengera Sana katabazi wewe Ni wamfano
Sasa twende Mbeya. Anahamishwa kwa sababu hajafanya kama Mbeya.
Namfaham huyu kamanda, japo siishi Manyara ila naamini yanayosemwa ni kweli. Huyu mtu ana hofu ya Mungu ndani yake ndiyo maana anafanya kazi Kwa kujali watu wake kwanza. Ombi langu Kwa viongozi wetu wote, wawe na hofu ya Mungu ndani yao, mtu mwenye hofu ya Mungu hawezi kuwapuuza au kuwaonea watu walio chini yake.
Ukioa hivyo ujue wanamtoa ili walete wezi wenzao, 😂😂😂
😂😂😂
Apewe Mkoa tu huyu jamaa
Awapi police ni police tu acheni kubwabwaja kwasababu ya unga
Waharifu najua me fulahi sana maana mmepata mpenyo
Katabazi nikiongozi Bora Sana kwetu manyara madawa walifu wali pata shida Sana
Katabazi ni baba nakiongozi bora sana manyara hatuta msahau
Warifu wenechuki wauza madawa navibaka ilijambo wamependa sana wene kupenda kazizuru najuudi zakamanda katabazi tujaenda kabisa wagetuachia baba yetu
Hiv mbunge wao anajiskiaje rpc anakuja anachapa kazi kuliko mbunge wai😂
Poleni lakini ndio hali halisi ya kanuni za kazi.
Hamna kitu hapa yatawakuta
hatimaye magufuli wapo wengi..pongez kamanda kwa UPENDO wako kwa wananchi
Mungu azidikumbariki huyu katabazi nani mfano mzuri kwa wengine
Tuna penda kuskia sifa zanamna hii kwawananchi hususani Kwa watumishi wajeshi la polisi
Ukitenda mema unakumbukwa na kuombea dua njema .