BREAKING: VITA YATANUKA URUSI NA ULAYA NA NATO HAPAKALIKI, MAWIZIRI WAAMUA UKRAINE ISHAMBULIE URUSI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 พ.ค. 2024
- If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.
Putin anasubili wanze ili asije akaonekana yeye nimbaya wakione Cha moto
WAAFRICA TUJIPANGE TUACHE KUWATEGEMEA WAZUNGU HUU NI WAKATI WETU WA KU,ALISHA CHAKULA CHA KUROAHA.
Sahihi ulaya kutachafuka soon
Ruto na samia wakikusikia mmmmmmhhh
@@ga2revocatus91😂😂😂 biggest point
Angalizo ‼️ Hatutaki wakimbizi Africa. Mkae huko huko na Ma nyuklia yenu..watu tushaanza kutoka kimaisha.nyie mna mchokonoa putin. Ngoja sasa awashe moto.🤔🤔
Umenivunja mbavu
😂😂😂
Acha Putin awashe na wao wawashe😂 tuone.
Na Urusi ishambulie ulaya
Ajidanganye😂😂😂😂😂
@@liberatusjackson5045Ulaya pamoja na Mungu wa Marekani watapigwa na Mrusi...Mimi naishi Marekani kwa hivyo huwa nafatilia habari za wanajeshi walio staafu wakisema kwa hivi sasa Mrusi ndio mbabe wa dunia...Media vikupa kama CNN,NBC,BBC, huwa hawatangazi ukweli kwa sababu wanakontroliwa na Serekali
@@liberatusjackson5045 ivi unajua ulaya nzima na NATO ata ziungane hazifikii nyuklia za urusi ulaya yote ufarasa ujerumani UK USA pamoja na nchi zote zina miliki nyuklia 5,000 Kwa jumla na urusi pekee Bila kumuingiza china au Korea anamiliki nyukli 6500 Kwao lazima wajipange pia urusi moja nikubwa kieneo kuliko inchi yoyote Dunia maana ndani ya urusi kuna see Ni usiku uku seem nyingine Ni mchana kwaiyo urusi Ni nchi kubwa sana ndugu yangu ndo maana wao Wanaumiza kichwa jinsi ya kuishambulia urusi wasije wakakurupuka Wakachakazwa urusi sio siria au Irani au Iraq urusi sio muarabu Ni Mzungu mwenzao Kwao lazima waende Kwa tahazali sio wajipeleketu 😂
Ndiyo
Pigeni tu ili mziki uwe mtamu. Sisi kazi yetu ni macho tu.
brother....NGANO na MAFUTA vilipotea,,huwez kusema YETU macho nakwambia huto ENDA hata CHOONI...mafuta, VIPULI, usafir,SIMU /network vyote hivyo huto PATA...ulikatika mkongo wataifa massaa 3 TU tulitafutana sasa wakilipua KABISA huo mkongo SINDIO WATU WATA Baki hoi.
@@daudimaniseli759 wapige tu ahhh kwani nini sanasana? Waache wapige tu
jamani hawa machoko hata waungane vipi mrusi ni shauri kubwa watauwawa sana hao nato
Marekani hapoi
Ufaransa wanamchukia mrusi kwasababu ufaransa uchumiwake upo africa kwaiyo anajua putin kalitibua
Kweli
Na urusi iruhusiwe kuipiga ulaya nukes na jarobuni muone😂
Ao Wahuni Wamaghalibi Kilasiku Putini Anawakalisha Vikao Viva Putini😂😂😂😂😂😂
Viva
NATO wanahaha,vijana wa kujitolea kutoka usa wamekimbia
Macron akili ndio maana alipigwa na mayai
tena alipigwa hadi makofi
Hawa watu nishawachoka kwanini wasianzishe vita kamili kama wanaiwaza urusi
Wana malengo yao kupekeka majeshi ucraine lakini watambue kama Urusi atawaonyesha,,,,
hapa PUTIN/RUSSIA iwachape na hao NATO
Wamefeli
Ulaya hawezi nakama watazimishwa Ulaya maneno tuu wa najuwa kuwa mrusi sio michezo Ulaya ifutwa kt map ramani
Hamna busara yoyote kati yahizo nchi ulizo taja mtangazaji hao ni vichaa tatizo hamja liweka wazi ulaya inategemea afrika kwahiyo afrika inaenda kujitambua kwamafunzo kutoka urusi hapo ndipo chuki imeanza namchochezi mkubwa ni mfaransa nahuyu ndio chungu nakino chamauwaji nababa la materorist.
Huyu ufaransa ni mke wa marekani na nimiongoni mwa wachochezi kwenye huu mzozo
Usisahau ujeremanii na wengine wengiii
Stop Fighting Help Homeless people ✌️
Mchambuzi bado saan hajawa waz kabsa
Yani urusi ikubali wakati nyie ndo mmefeli kweli akili hamna yani msipokuwa macho ukraine imeenda. Yani nyie endeleeni kujikuna. Pesa zenu zinaenda bila usaidizi wowote nyie kaeni chini NATO yenu mmeishiwa mbinu akili hamna
😂😂😂😂😂azisheni mumalizwee .nass tupate nafasi .yakupungua kuibiwa
Mazungu ovyo sn
Yameungana kwakumuogopa urusi 1 tu
Aambiwa umoja wakujihami
Woga umewajaa yanachojua ni wiz tu
Ulaya mnatpigwa nukes, acheni upuuzi!
Mikwara hiyo,kwani wameshakaa mara ngapi!.Putin piga manyang'au hao.
Sasa hatari inaanza kuzidi yarabi wape nguvu wanaotetea haki na wasiopenda batili. Mungu wetu tuepushe na kila shari inayotokana na waovu na wadhoofishe kwa nguvu kubwa wanaokusudia kufanya fujo ndani ya dunia hii.
Zina maeneo madogo na idadi kubwa ya watu 😮 ukipiga unauwa wengi
Kwa nini watume Ukraine siwa pige wenyewe
Mungu wa mbinguni atangulie kwenye hilo
abari za jioni WD je nitapaje kuwa mshirika wenu natamani sana kuongea na ujerumani
Wachawi wote waungane Russian tupo tayali kupigana na yeyote na WA Africa msiokuwa upande wa Russian ni watumwa na bado mnatawaliwa huraaaaa team Russian
ulaya wanategema afrika kukua kiuchumi. kinachofanyika hapa, ni hasira zao dhizi ya urusi pale nchi nyingi za afrika ambazo zimekuwa zikinyonywa na magharibi kugeukia urusi. hasa afrika magharibi ni makoloni ya ufaransa, na ndo yamekuwa akikuza uchumi wa ufaransa. kwasasa ufaransa ipo hatihati kufirisika. sasa wanataka kumpiga mrusi kutuma ujumbe. kitu ambacho mrusi hatokubari. uchumi wa dunia utakufa. hapa itabaki uchina kama taifa kubwa na afrika itaanza kukua kwa kasi. hapa natabiri
WAZUNGU WANAMALIZANA SOON
2:44 sio maeneo madogo Bali zitapotea kabisa, patriot ndio nini😂
Ulaya atakiona
Macron unapeleka wapi nchi Yako?
France iko naongea myaka bili sasa washa sahidia kilakitu wali tumaba wa pigana Ukraine wali ishia wapi
Ulaya ipigwe,, URAAAAAAAA to Russia
Macron ana hasira makolon yake meng urus ameyaingilia
Urusi ypo tyr kimazungumzo ulaya kiburi
Vita ikapiganwe USA sio nje ya USA tuone ujasiri wa nchi hiyo kujilinda na kuwalinda raia wake.
Kama Putini anajua mamluki wa Ufaransa wako Ukrein aishambulie Ufaransa sasa😂😂😂😂,
Kama urusi haitakubari kufanya mazungumuzo itakuaje
Ulaya isipoishambulia urus, China itaivamia Taiwan, Iran itaishambulia Israel na Korea kaskz itaishambulia Korea kusin. Hivyo ulaya ifanyea haraka kuishambulia urus ili na wengne waogope
Dah kweli hicho kitu akiwezi tokea kwa mzki wa putini awawezi kabsi wameshindwa
Wacha wamchokonoe putin . Aki switch button ON kwa ile broofcas ya nuclear control ulaya nzima watazima majivu maana ni mara 💯 ya Hiroshima na Nagasaki
ila putin ni kiboko yani nchi za ulaya na amerika zote zinashindana na mtu mmoja tu😀😂😂
URUSI pekee anawasumbua Hivi CHINA atakuwa wapi kweli nimesahau KOREA nawale jamaa waliopata msiba wanyekauli mbiu ukitupiga tunapiga hapohapo wa IRAN mmmh 😂😂😂
Uko poa laisi wa ufalasa
Russia itawakosowa hao wa magharibi kwa vile watajutiya
SASA MNAOGOPANINI ??? INGIENI MUONE KIDUDE ANACHOTEMBEA NA PUTIN. MANA HAWAJAONA KAZIAKE. MMEZOWEA KUWAUWA WAARABU NA WAAFRICA. PUMBAVUZENU INGIENI MAZIMA NATOOO😂😂😂😂
Mmetuchosha bwana
Mtatu mtoto na nyinyi wa kubwa mupo
vita ya 3 as coming
Urusi akuna kituu achane na vita
Kwani majimbo aliyochukua urusi kule Ukraine yamerudi,,,nijibu😂
Muda si mrefu putin chaliiiiii
Tumewachoka wajinga nyie, kila siku makelele tu silaha hamtoi na mrusi hamumuwezi mnakazi ya kutumalizia bando tu. God Bless Russia....
Viva putin viva afirika
Mwisho wa urusi umefka sas
Ata Mimi naona, watamchapa tu.
macron hida yake ninini
Putin ana lolote nyie mnaeshabikia urusi ngoja muone chamtemakuni
Urusi atapata kipigo kikubwa sana
Wewe una ijua NATO urusi mwenyewe anaogopa
Ndio, unacho kisema ni kweli NATO wananguvu, ila sio kwa MRUSI. Ujuwe Kama wameharibikiwa sana uko Ukraine, ivyo wana hasira sana ,na kama wangekuwa na uwezo wangekuwa wamekwisha ishambulia Urusi. Kumbuka ilivyo kuwa Iraq na sehemu zingine.
Atachapwa huyu putin
Duuh urusi anasumbua myamba vichwani mwao
Putin kashindwa
Anachapika vizuri tu.
Putin afe
Na ufaransa wapo vizuri kijeshi
Wataweza.kupambana.nambabe.putini.watakufa.ulaya.watajilaumu.kamaputini.ataoiya.ngamiza.ulaya
Hongera sana ufaransa kwa kufanya maamuzi ya kupeleka wanajeshi huko ukreini.na wengine wa nato wafanye hivyo.huyu puting anataka kuiabisha nato.hiyo haikubaliki.lazima apigwe.
Putin ameshafeli anabidi akubali kishindwa , akilazimisha ataangamia mwenyewe maana hata wa Rusi wamesamchoka pia
Duh, we jamaa vipi? umetoka usingizini au?
Ngoja afundishwe adabu
Wamangaribi ni mashetani wanapenda vita
Putin anasubiri wajichanganye tu awashe moto ulaya
Tutawapa kibarua cha kupalilia kahawa wauni tyu Hawa VIONGOZI waafrika wafanye utopolo