Angel Benard - Asante ( Official Music Video )
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Nimeandika huu wimbo kama ishara ya shukurani kwa Mungu. Nimemuona Mungu akinitetea sana katika safari ya maisha ambayo amenipa.
Mwaka 2006 nilifanya album iliyoitwa Yote Yalikwissha, 2010 nilifanya album inayoitwa Nakuabudu Milele, na Mwaka 2015 nilifanya album ya New Day na 2016 nikafanya Amplified Version ya album hiyo ya New Day.
Utagundua kumekuwa na album mpya kila baada ya Miaka 5.
Kila season imekuwa na madarasa mengi ambayo maneno hayatoshi kuelezea mambo ambayo Mungu amekuwa akifanya.
Katika maandalizi ya Album hii ya Tano inayoitwa Turning around. Nilisikia msukumo wa kusema ASANTE kwa MUNGU.
Ninaamini kila m moja ana kila sababu ya Kumshukuru Mungu. Hasa baada ya pito lililotishia dunia (covid).
TUMEUONA MKONO WA MUNGU.
Binafsi NIMEMUONA MUNGU akiniponya na magonjwa, na vita na mipango mingi ya kuzimu. Neema yake PEKEE IMETUWEKA HAPA TULIPO.
Kama sio Bwana na tuseme Leo.
Sijui kwa nini imempendeza Mungu kututunzia uhai huu aliotupa. Lakini jambo moja ninalojua ni kwamba, MAKUSUDI YAKE MAKAMILIFU NI LAZIMA YATIMIE. HATUPO HAPA KWA BAHATI MBAYA. TUPO KATIKA MIKONO SALAMA.
Zaburi 100:4
Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru;
Nyuani mwake kwa kusifu ; Mshukuruni,
lihimidi jina lake.
Kwa kuwa Bwana ndiye mwema; Rehema zake ni za milele;
Na uaminifu wake vizazi na vizazi.
Ndugu yangu.
AKILI ZETU ZINA KIKOMO, LAKINI SIO MUNGU.
ILIMRADI BADO YUPO ENZINI, BADO KUNA TUMAINI.
Mungu akubariki sana.
SHUKURANI;
Audio: Shabach Records USA
Video: Shabach Visual.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
Siwezi kuelezea kiasi gani ninawashukuru kwa kuwa baraka siku zote. Nanyenyekea mbele za Mungu, na namshukuru kwa ajili ya kila mmoja anaetazama, anaeshare, na kutamka mema. Mungu wa mbinguni akumbuke sadaka ya mema haya.
Nawapenda.
Amen
Mega love dear Sissy.... ❤ 🙇🙇🙇
Tunakupenda pia umefanyika baraka maishani mwetu
Amen mtumishi aisee hata sijui nisemeje but nimebarikiwa sana sana sana.. Huyu MUNGU unaemtumikia ni maombi yangu asikuache hata dakika moja .. Akuinue sana akustawilishe mng'ao wa uso wake uwe juu yako da angel atakae kutazama amuone MUNGU halisi. .. Dada nanyenyekea.
God bless you Pastor Angel, huwa unanirudisha kwenye mstari nakutiwa nguvu kila nikusikiapo, libarikiwe na tambo lililokubeba miezi tisa
Halleluya ... sauti ya kupendwa na shukrani, thank you sister for always being a voice of service and ministry... love everything about this SONG , na mungu uliyotenda hayoooo ndio utatenda .... uuuuuiiii
GOD BLESS YOU dada Mercy for the support
Bless u mercy it seems ni pacha wako huyu coz there is a internal connection nai sense between you guys
You are also blessed dear I bless the Lord for your ministry too
@@raphaelntambi6404 nikweli kabisa wanakaanga mapacha
Mercy Masika is another lover of me mna vipaji hakika
If you know u have listened to this song more than 10times pass those likes and stay blessed 🙌
Me here,and still listening..this woman is soooo blessed
13times she is a blessing oo if she only knew the number times I listen to her songs and some I cry wow 💯 I am blessed 💕
Kikiki...I keep playing it.
Kama Mungu ameondoa COVID19 Tanzania gonga likes twende sawa
Wangapi usikiza mafundisho yake...she has a powerful teaching as well as singing...Such an amazing song👏
Yeah amebarikiwa kwa mengi kwa kweli
I prefer songs her voice oh my God
Is she a preacher also
@@melowmel1442 yeah
Wimbo una mafuta matakatifu.Ee Mungu naomba uendelee kututunzia Angel wetu mpaka ukamilifu wa nyakati ili aendelee kulitumikia kusudi aliloitiwa hapa duniani. Kumtumikia Mungu si kitu sana ila KUDUMU ktk utumishi hadi umalize mwendo na watu waige IMANI yako hapo ndio mtihani.Lakini tunayaweza mambo yote ktk Yeye (Kristo) atutiaye Nguvu.Mungu akutunze Dada Angel.
Ameeen ndugu yangu. Umesema kweli kabisa. Mungu utusaidie
So creative sister Angel,,,God bless you more
"hao wanataja magari,wengine Mali...sisi tunakutaja wewe Mungu usiyeshindwa"..
If you like this verse plzz ..where are you??!
Mnoooo
I am here
Here
K
But but
Watanzania msiniangushe bana. Gonga likes kwa hiii neema aliyoiachia juu ya huyu Dada angel. I felt the anointing nilipousikiliza huu wimbo
Huu wimbo ni kama doze kwangu nausikiliz asubuh, mchana,jioni na usiku kabla ya kulala💜❤️✨Wooow woooow May God protect U for Us yaan huu wimbo umekuja kwetu kwenye wakat na majira sahihi eeeh Mungu hatuna cha kukupa wewe zaidi ya kusema Asantee🙏🙏 Wewe dada ubarikiwe jamani sijui kama unaelewa ni kwanamna gani wimbo huu umegusa maisha yangu na ya wengine😰😰😰Ninapousikiliza huu wimbo nabubujikwa na machozi ....Ubarikiwe dada Angel🙌🙌
Dear angle I'm so proud of you mumy nice song,please pray for me I'm a worshiper I need go far,I'm Alice Kabogo from Tanzania.
'Hawa wanataja magari, wale wanazisifu mali, sisi twakutaja Wewe, Mungu usiyeshindwa' Gonga Like hapa kama ulikipenda hicho kipande😊
Angela umejaaliwa na Mungu sijawahi choka kusikiliza nyimbo zako,beautiful voice, beautiful smile,Ilove you sanaaa.
MUNGU AMEWEKA KITU KIKUBWA SANA KWAKO.
NABARIKIWA KUKUONA TENA HEWAN KWA WIMBO WENYE UJUMBE ULIO MBEBA YESU MZIMA KUWA TIA MOYO WATU .
Kabisa umesema kamanda la Yesu Annoint Amani.
First to watch from Tanzania 🇹🇿 likes za angel benard plz
Enyi wote mliodislike wimbo huu damu ya Yesu iwaponye. Huo wivu na roho zenu mbaya zikutane na huyu Mungu asiyeshindwa!
Wow Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Hao wanataja magari wale wanazisifu Mali sisi tunakutaja wewe MFALME usiyeshindwa
#Popote niskiapo sauti yako nabaki kukuombea kipawa chako kieneelee kuongezeka maradufu coz kipawa ulicholewa na mungu huwa kinaponya wengi Kama unakubali ANGEL BERNAD gonga like na comment
MUNGU AKUBARIKI
Deusdedith ft Walter chilambo
🔥🔥🔥👇👇👇
th-cam.com/video/v6LNPXwi9DQ/w-d-xo.html
MUNGU AKUBARIKI KWA KUITENDEA HAKI NAFASI YAKO NABARIKIWA SAANA NA HUDUMA ZAKO.
Dada Angel Naomba nisaidie Namba ya kutuma Sadaka kwa ile huduma ya Maombi
Hekima Yako inashinda hekima ya Dunia na ujuzi wa wanadamu! Asante, wewe ni Mungu usiyeshindwa
Powerfully song
Hofu iliinuka ikakutana na Wewe tukainuka tena🙆♂️🙆♂️
Mungu akutunze Mtumishi wimbo mzuri ujumbe umetuliaa
Powerful message.. your songs are full of annointing , and you are a blessing to many. God bless you more and more mtumishi 🙌🙌
Asate yesu. Angel Benard Mungu akubariki
Oh my God,. Angela Benard Nakupenda jamaniii....
Wimbo mzuri sana
Owerful messsage
Sauti tamu
Beat sasa uwii... God bless you dada.
Indeed ni Mungu Usiyeshindwa🙌🙌🙌🙌🙌🏾
Wow ❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿 nakupenda angel Bernard 🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤💖💖🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😘😘😘😘😘😘😘
God bless you sister I play this song more time sisikie kuishoka Mungu akuinue zaidi na zaidi love from Congo democratique ❤️
Love from Nigeria. God bless your ministry. I love this song so much.
Who is like Angel Benard?She is a talented,beautiful and blessed woman.May God stay with her.🥰🥰🥰❤️💚💛👍👍
I like her very much
Hizo taabu za dunia zikikutana na bwana zinafunga kinywa tunainuka.....magonjwa yakikutana nawe yanafunga kinywa tunapona tunainuka SUCH A POWERFUL SONG God bless you Angel....such a beautiful voice
Nasikia kubarikiwaaa......basii nyenyeken chin ya mkon uliohodar nae bwana atakujaz kwa wakat wakeee hallelujah MUNG aendlee kukuinua kwa viwango vya kipekee na mafut ya roho yafurike kwakoo amen
God bless you my sister for allowing God to use you to sing this song. I just found it yesterday from a Kenyan TV station-QTV at night. I've been re-playing this song since yesterday night till now. It is true that we need to thank God for everything always. I thank God for you. You are a chosen vessel in the body of Christ. God bless you and you family. Shalom.
Yaani wewe dada Nakupenda Sana......!! Sijui niseme ninkiasi gani nabarikiwa na Huduma yako. Yani Nakupenda mpk Basi. Miaka ile nakumbuka Albam yako nilinunua CD yako nikawa mda wote naitazama siku moja mchumba wangu wa enzi izo akawa anahoji kwanini kila MDA Ni uyu dada? Nukamuambia nampenda Sana.... NDANI ukaibuka mzozo.😂😂😂 Lkn Mungu Ni MWEMA still nafurahia baraka zake kila iitwapo leo. Mungu akupe kila la kheri uachie Album nyingine. Sisi tunaisubiri.
Indeed he is a God who never fails...
Deusdedith ft Walter chilambo
🔥🔥🔥👇👇👇
th-cam.com/video/v6LNPXwi9DQ/w-d-xo.html
Asante sana balikiwa sana tena sana Angel
Hahaha I have had to repay why I wasn't online for the passed days.
I have watched this beautiful song 4 times lol
hahahah touching
I tell you Eliya
Hofu ya maisha ikikutana na Bwana inafungwa kinywa tunanyanyuka. Asante, wewe ni Mungu usieshindwa.
Verse 2 kills everything....
God bless u ccty
Hofu ya maisha ikikutana na bwana inafika mwisho...Asante Mungu wetu usiyeshindwa! God keep bless you
"Mungu uliyeyatenda hayo, ndio utatenda yale-Tupo salama nawe♪♫
Asanteeee🙏 Am Blessed
GOD HAS ALREADY DONE IT I BELIEVE SO HE HAS ALREADY MADE A WAY AMEN.🙏🏽
Hao wanataja Magar ,Wale wanazisifu mali Sisi twakutaja ww Mungu Usieshindwa YESU ❤❤....Such a blessing
Mungu mwenyewe aliyeiweka talanta hiyo ndani yako akujalie afya njema ya roho na mwili uzidi kumtukuza, kumsifu na kumuabudu siku zote na kuwasaidia wengine kumjua mungu kupitia utume wako wa uimbaji. nabarikwa sana na nyimbo zako kama
Nikumbushe,.
Siteketei
Salama
Bwana Yesu azidi kukutunza
This is elevation of Glory! Angel you're a blessing, uplifting and divined worshiper of this century
Hatuwezi kutaja yale Mungu ametenda, asante Baba mkono wako mimi nimeuona ukitenda
This song is a powerful and great prayer. Grateful for your ministry, baraka tele
Deusdedith ft Walter chilambo
🔥🔥🔥👇👇👇
th-cam.com/video/v6LNPXwi9DQ/w-d-xo.html
Nasikia huu wimbo wakati wangu wa kwanza na kabisa Dada umebarikiwa na sauti kweli kweli. Ni kufanya mazoezi na mafunzo ama ni kuzaliwa nayo. Pongezi na neema ikujaze kabisa.
Praise to the most high King. Deep song Angel Bernard. "Hofu iliinuka ikakutana na wewe ikafungwa kinywa, TUMEINUKA! ..." More Blessings.
Ngome imara
wenye haki hukukimbilia
Nakuipata salama
Ndiwe Mungu mwenye nguvu ya kutoa
Na nguvu ya kutwaa
Wewe pekee ndiwe Mungu
Hekima yako imezidi hekima ya dunia
Na ujuzi wa wanadamu
Hoofu iliinuka ikakutana na weewe
Ikafunga kinywa tumeinuka
Tabu za dunia zinapokutana na weewe
Tunashiinda yote tunainuuka ooh
Chorus
Asante wewe ni Mungu usiye shindwa
Asante wewe ni Mungu usiye shindwa
Macho yangu yameona, mkono wa Bwana
Unaotenda mema
Dunia yanyamaza
Hekima zimekoma
Utaalamu umenyaza
Ujuzi umeshindwa damu inanena meeema
Na Mungu uliye tenda hayo
Ndiwe utatenda yale
Tuko salama nawe eeh
Tabu za dunia zikikutana na mfalme
Zinafishwa nguvu tunainuka
Hiyo hofu ya maisha ikikutana na Bwana
Inafungwa kinywa tunainuka
Chorus
Asante wewe ni Mungu usiye shindwa
Asante wewe ni Mungu usiye shindwa
Hao wanataja magari
Wale wanazisifu Mali
Sisi twakutaja wewe
Mungu usiye shindwa
Chorus
Asante wewe ni Mungu usiye shindwa
Asante Wewe ni Mungu usiye shindwa
Asante wewe ni Mungu usiye shindwa
Asante wewe nu Mungu usiye shindwa
peace wow!!_God bless you a lot!
Waaaooohhhh love this
.MUNGU AKUBARIKI
Deusdedith ft Walter chilambo
🔥🔥🔥👇👇👇
th-cam.com/video/v6LNPXwi9DQ/w-d-xo.html
All glory belongs to God, he never fails we give thanks to him. Thank you for this song we bless the Lord.
Wa tatu💏💏💏
Damu inanena mema...asante Yesu wewe ulieyatenda Yale ndio utatenda hayo
Hofu ya maisha ikikutana na bwana inafungwa kinywa tunainuka asanteeee wewe ni Mungu usieshindwa
Hao wanataja magari wale wanazisifu Mali sisi twakutaja wewe Mungu usieshindwa🙈🙏🙏🙏🙏
This is kind of music we want to watch on TV. There are many gospel artists who aren't being given airplay.
Amen wimbo wa shukrani kwa BWANA
Ni Mungu asiyeshindwa💪🏽
Angel Bernard has always been a blessing ❣❣
Namkumbuka sana mama yangu nmeshidwa kumsahau namuombea daima apumzike kwa amani
Hao wanaoweka dislike hawana kipaji chochote tangu wamezaliwa wao niwashika pembe....
Ccta umefanya Fanya vizuri
I feel the annointing in this 🎵
Ubarikiwe.
Damu inanena meeeeeeema🙌
Hofu ikikutana na Yesu🤗
Mungu ni mwema
I remember telling my friend that I love Angel alot and sh told me it has been long since she released her last song..and just when we were talking u released this and I was like here she has done it again.. bless you Angel..much lov
Hakika wewe ni Mungu usiyeshindwa ni mkuu mnooo una nguvu kuliko waganga na wachawi💪💪🙏🙏🙏
Glory....such an angelic voice!
God bless you for this encouraging song.
Najikuta narudiarudia kutazama Hawa wanataja magari wale wanazisifu Mali sisi tunakutaja wewe MUNGU usieshindwa AMEN
Such a great song,,,the song rings in my mind when am distressed
Yes wimbo mtamu sana
Nice song Mamie,,be blessed
Waooh ubarikiwe sana wimbo mzuri sana hakika nimebarikiwa .
Hongera Angel ...this is one of your best song to me, a lot of singing, nice dress code, fantastic video, powerful message, a song you can dance without sweating....be blessed abundantly
Ooh Asante Bwana Yesu. Wewe ni Mungu USIYESHINDWAA
May God continue to use you, You are anointed for such time as this!! Wengine wanataja Magari na Mali, Sisi tunalitaja JINA LA BWANA WETU LIPITALO MAJINA YOTE!!
Endelea kuwa chombo chema cha sifa kwa Mungu wetu shemeji yangu.
💥♥️🔥 I'm trying to say this song is powerful 😭
Kama mungu alituponya na changa ili la corona mungu ni mwema kwetu na bado anazi kutupingania na vita zidi ya falme zagiza sifa na shukrani zikurudilie wewe ulie juu zaidi 1🙏🙏🙏🙏🙏
👼 Bernard may God raise you up, I can't explain how much I love you 😍 I appreciate your work
Deusdedith ft Walter chilambo
🔥🔥🔥👇👇👇
th-cam.com/video/v6LNPXwi9DQ/w-d-xo.html
Barikiwa na zidi kuinuliwa utukufu hadi utukufu dada Angel. Wimbo umenibariki sana na kunihuisha tena.
Thank you so much angel for this release!! Reminding us all that we should be thankful to the most high who never fails!!
Deusdedith ft Walter chilambo
🔥🔥🔥👇👇👇
th-cam.com/video/v6LNPXwi9DQ/w-d-xo.html
Ubarikiwe wimbo mzuri haleluya 🔥🙏🙏🙏🙏
Despite all is going in the world at the moment God is still loving and saving His children through worship songs as such. God bless you sis.
Kwa Kwel unaubariki moyo wangu Kwa utunzi wako. Mungu akutumie zaidi
Huu mwimbo unamtukuza Mungu hakika.
Mashairi yake mazuri na tone ya Ndugu ktk wimbo huu nimeipenda sana.
We can't find this awesome song on Boomplay yet,please ask your team waiweke kule. Love from Kenya! 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
MUNGU AKUBARIKI
Deusdedith ft Walter chilambo
🔥🔥🔥👇👇👇
th-cam.com/video/v6LNPXwi9DQ/w-d-xo.html
Wimbo mzuri Dada ubarikiwe
Powerful song, I just love how you bring out your messages.. Getting goosebumps while listening to this.. Indeed ni Mungu asiyeshindwa... Hekima zimekoma, utaalamu umenyamaza, Damu inanena mema👌🙏
Mungu uliyetenda hayooo utatenda na yaleee💞💞💞🙏🙏barikiwa mnoooo mara dufu
Deusdedith ft Walter chilambo
🔥🔥🔥👇👇👇
th-cam.com/video/v6LNPXwi9DQ/w-d-xo.html
Very poweful song 🥰 asante wewe ni Mungu usiyeshindwa
huu wimbo kwakweli ni ufunuo wakipekee inaothihirisha ya kwamba mungu bado anayo nafasi kubwa maishani mwetu kuliko mali sauti nzuri baraka
Ahxante dada
Asante Wimbo Mzuri Sana Dada Angel
asante dada nyimbo zako hunibariki tu sana, mungu akuinue zaidi na zaidi katika uduma hii ya uimbaji. nakuombea kwamba hakuna mishale iliyotumwa kinyume na maisha yako itakayo faulu kwa jina la yesu
Mungu Akutunze Angle tunabarikiwa kupitia nyimbo zako
Asante Mungu Usiyeshindwa .."Kama Kwako Mungu ni Mshindi gonga like hapa
Mungu aendelee kukutunza na kukuinua mtumishi WA Yehova,,
Glorrryyyyy🙌
Ngome imara, mwenye haki
Hukukimbilia na kuipata salama
Ndiwe Mungu, mwenye nguvu ya kutoa
Na nguvu ya kutwaa
Wewe pekee ndiwe Mungu
Hekima yako inazidi hekima ya dunia
Na ujuzi wa wanadamu
Hofu iliinuka ikakutana na wewe
Ikafungwa kinywa tumeinuka
Taabu za dunia zinapokutana na wewe
Tunashinda yote tunainuka
Asante, wewe ni Mungu usiyeshindwa
Asante, wewe ni Mungu usiyeshindwa
Macho yangu yameona
Mkono wa Bwana unaotenda mema
Dunia yanyamaza, hekima zimekoma
Utaalamu umenyamaza, ujuzi umeshindwa
Damu inanena mema
Na Mungu uliyeyatenda hayo
Ndiwe utatenda yale
Tuko salama nawe
Jamaa taabu za dunia
Zikikutana na mfalme
Zinafichwa nguvu tunainuka
Hio hofu ya maisha
Ikikutana na Bwana
Inafungwa kinywa tunainuka
Asante, wewe ni Mungu usiyeshindwa
Asante, wewe ni Mungu usiyeshindwa
Hao wanataja magari
Wale wanazisifu mali
Sisi twakutaja wewe
Mungu usiyeshindwa
Hao wanataja magari
Wale wanazisifu mali
Sisi twakutaja wewe
Mungu usiyeshindwa
Hao wanataja magari
Wale wanazisifu mali
Sisi twakutaja wewe
Mungu usiyeshindwa
Hao wanataja magari
Wale wanazisifu mali
Sisi twakutaja wewe
Mungu usiyeshindwa
Asante, wewe ni Mungu usiyeshindwa
Asante, wewe ni Mungu usiyeshindwa
Asante, wewe ni Mungu usiyeshindwa
Asante, wewe ni Mungu usiyeshindwa
Mama mchungaji wangu HAUJAWAHI KUKOSEA Hakika MUNGU ANAJUA KUKUTUMIA
Asente dada ubaliwe
Amina sana Mungu azidi kukuinua Mtumishi wa Mungu. Huwa napokea Uwepo kupitia nyimbo zako
Wimbo mzuri barikiwa. Ila wimbo ungekuwa mzuri zaidi ungeimba wote wewe mwenyewe hao wengine wameuharibu.
Hapana Bwana we nae
Wimbo mzur naupenda huwag nausikiliza muda wowote wakat wa huzuni unatia moyo ubarikiwe Angel nakupenda san
Barikiwa sana
Nilitaka ni kuansabscribe lakini basi nainjoy😀😀