KAKA AMUUA kwa KUMCHOMA KISU cha MOYO MDOGO WAKE -KISA WIVU wa MALI ARUSHA-WAZAZI WALAUMIWA KUPUUZIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 พ.ค. 2024
  • KAKA AMUUA kwa KUMCHOMA KISU cha MOYO MDOGO WAKE - KISA WIVU wa MALI ARUSHA - WAZAZI WALAUMIWA KUPUUZIA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 56

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  26 วันที่ผ่านมา

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 26 วันที่ผ่านมา +8

    Ukiona kwenu kuna chuki sana, hama nenda kaishi maisha yako kwingine. Familia za kuzaliwa hatuchagui, ila familia za kuishi nazo ni uwamuzi wetu. Pole sana Matayo

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 26 วันที่ผ่านมา +6

    Roho za Cain na abel

  • @justice607
    @justice607 25 วันที่ผ่านมา +1

    Alieona roho ya Kaini na Abel kwenye hii familia 😢

  • @mwajabuhamisi7095
    @mwajabuhamisi7095 26 วันที่ผ่านมา +4

    Ila maisha Aya amefariki baba angu akiwa mdogo sana kwa uwasama wa kaka ake kwajili ya maendeleo tena alimtamkia kabisa mwaka 2011 auta umaliza lazima nikuonyeshe atimae kweli mwezi wa tano tu amefariki tena Kwa kuugua miezi minne ugonjwa usio julikana ndugu wengine wabaya sana akisha anza kukuandama ww bora ukae nae mbali usichukulie mzaa nime jifunza mengi

    • @user-nd8gg4ig7m
      @user-nd8gg4ig7m 26 วันที่ผ่านมา

      Pole sana

    • @eunicegerminus193
      @eunicegerminus193 26 วันที่ผ่านมา

      Nimejifunza hii naishi nayo

    • @NasraMassawe
      @NasraMassawe 22 วันที่ผ่านมา

      Naye isaya ahukumiwe kunyongwa maana akirudi mtaan sisi ambaye siyo ndugu atatumaliza

  • @NuruBomba
    @NuruBomba 26 วันที่ผ่านมา +1

    Innalilah wa innalilah rajiun

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 25 วันที่ผ่านมา

    So sad

  • @user-hu3bg5qm6o
    @user-hu3bg5qm6o 20 วันที่ผ่านมา

    Jamani kama inawezekana mtumiwa asitoke magereza maisha yake

  • @NgelezaUmmu
    @NgelezaUmmu 25 วันที่ผ่านมา +2

    Hili la wazazi ni tatizo hata mm ili ninalo Tena nimeamua kukimbia adi nchi kiumwwli hii imeniliza maan ata mm maisha yngu yapo mashakani ila wazazi ndio chanzo

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 26 วันที่ผ่านมา +3

    Ata mim mama yangu hanipendi ata umfanyie mazur yapi hayaoni ata mtoto wangu hampendi,Mungu ndo anajua,

    • @Mina.15
      @Mina.15 25 วันที่ผ่านมา +1

      That’s sad 😢 sorry

    • @sharonyasin7521
      @sharonyasin7521 25 วันที่ผ่านมา

      @@Mina.15 thanks my dear

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 25 วันที่ผ่านมา

      Chunguza sbb gani?

    • @sharonyasin7521
      @sharonyasin7521 25 วันที่ผ่านมา

      @@shifaaal-baity4503 ndugu tulizaliwa 2,mmoja alifriki ndo alikuwa kipenz chake,na uyo mtoto wa Dada yangu ndo rafiki yake,mimi na mwanangu hatupendi,akiugua ntaenda akipona kidogo visa vinaanza so huwa naondoka mapema,mama yangu ana nyumbani mwanza kamgawia mtu anakaa bure,mi napanga,na nimeshiriki ujenzi,nyie hiii dunia ina vioja sana,

    • @Mbarukuhawa
      @Mbarukuhawa 24 วันที่ผ่านมา

      Msamehe na u muombee wakati mwingine maisha yanatuchanganya.

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 26 วันที่ผ่านมา

    Inasikitisha sana 😭😭mama na mtoto wote wagingwe. R.I.P matayo 💔

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 26 วันที่ผ่านมา +2

    Baasi familia ya hao vijana wanamakosa

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft 23 วันที่ผ่านมา

    Maendeleo yapi mbona hamjayataja ??

  • @laurian27
    @laurian27 24 วันที่ผ่านมา

    Alafu wamepewa majina mazuri mno! ISAYA NA MATAYO SIJUI ISAYA KWANN AMEPOTOKA KIASI HICHO MPK KUJA KUMUUA NDUGU YAKE😢😢

  • @ISSA-up3zq
    @ISSA-up3zq 26 วันที่ผ่านมา +1

    Viongozi jifunzeni kitu Kuna mambo hata kama wanafamilia wanamtaka kumaliza kindugu na mmaona kimaadil c nzul chukueni mamuzi acheni kuogopa wanandugu sio mahakama puzieni2 mamuz Yao na mnusulu loho wa watu

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 24 วันที่ผ่านมา

    Isaya kwanini umemuuwa mathayo jamani

  • @haskao77
    @haskao77 25 วันที่ผ่านมา

    Ifike wakati watanzania waacje mambo ya kumaliza matatizo kifamilia,

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 26 วันที่ผ่านมา +1

    Huo Mkoa no changamoto

  • @user-uh7to2kw2z
    @user-uh7to2kw2z 26 วันที่ผ่านมา +1

    Arusha arusha arusha kunani kila siku nyie 2 huko kuna laana makonda kz anayo

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 25 วันที่ผ่านมา

    Choyo kibaya na ndugu sasa ivi hatupendani na Ss Wazazi tusiwabague watoto wetu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 26 วันที่ผ่านมา +1

    KAMA NI WIVU , BASI HUYO KIJANA ANAWIVU MBAYA SANA . NA HIYO SIYO BANGI TUUU, BALI NDO ROHO YAKE YA MNYAMA.

  • @FaithHumphrey-vl2cn
    @FaithHumphrey-vl2cn 25 วันที่ผ่านมา

    Yaani huyo mama anajua kila kitu nayeye sijui kwanini police wamemuacha jamani R.I.P. kamanda wangu yaani uliongea na mimi jioni asubuhi hapo mathayo 😭😭😭😭😭😭😭 mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 26 วันที่ผ่านมา +2

    Arusha kuua wanaona jambo la kawaida tu bado kuua na kula tu

    • @judithhermann233
      @judithhermann233 26 วันที่ผ่านมา

      Kama south africa 🇿🇦 tu

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 25 วันที่ผ่านมา

      Yaani hatari me hata sielewi Arusha Kwa nini wanakua kama wanyama wanakosa ofu ya Mungu

  • @briankarua2131
    @briankarua2131 25 วันที่ผ่านมา

    Asee mathayo R.I.P. lengajani

  • @HassaniUwessu
    @HassaniUwessu 11 วันที่ผ่านมา

    Uyojamaha inabidi akafiejera

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 26 วันที่ผ่านมา +1

    HUKO ARUSHA KUNA LAANA. KILA SIKU MAUWAJI. YAANI HIZO MALI WANAARUSHA NDO WANAZIJUWA SANAA?.

  • @EnessiSosten-gd7yy
    @EnessiSosten-gd7yy 25 วันที่ผ่านมา

    Izi mambo za kuoneana wivu kikaendelea mpk ndoa yangu omevunjika kwa sababu ya mambo haya jamani

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 26 วันที่ผ่านมา

    Mngeshamkamata yote yasingetokea sema majuto huja baada ya jambo kuharibika oowh maskin matayo pumzika kwa amani 😢

  • @Bettylaizery
    @Bettylaizery 25 วันที่ผ่านมา

    Yarabi tu aomba Toba kwako hata ss viongizi hatukusimama imara kumtetea Matayo kwa sababu visa vyote alivyofanyiwa na Matayo hayakustahili ofisi za serikali ila polisi hatimaye mahakama. Shida tunalindana maana site kabila moja. Je tunaenda wapi jamani Matayo kijana mpendwa watu heshima tele. Akukute barabarani huna nauli atakubebe tu.

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c 26 วันที่ผ่านมา

    Hw mashabiki wa yanga kz ipo

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 26 วันที่ผ่านมา

    Sasa uyo mama na mwanawe wakafungwe na uyo mama asilie kabisa wazazi wengine ni shida

  • @user-bw8lt8wy1i
    @user-bw8lt8wy1i 26 วันที่ผ่านมา

    Nipo Zanzibar na sema wameru ni wakorofi Sana Nina mmeru kapanga Hana hata mwezi anakuja kalewa akiingia ndani husema nitaua humu ndani Mara akija na demu wake usiku mkubwa Ana kwambia nitakuchinga nimekwenda polis na amekimbia Bora shame kabisa hawanaga heri baadae

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 25 วันที่ผ่านมา

    Ebwa mungu weka mkono wako

  • @joetemu8127
    @joetemu8127 26 วันที่ผ่านมา

    Mngekuwa mnavuta bangi hayamambo yasinge tokea . Mnachukulia bangi kama ndiyo tatizo Lakini very wrong

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 26 วันที่ผ่านมา

    Balozi alievaa njano ni shabiki wa yanga ... namwambia yanga bingwa

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 26 วันที่ผ่านมา

    Kila siku tuwasikilizeje nyie tu uko kwenu tumesha wachoka malizaneni tu na vilevi vyenu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 26 วันที่ผ่านมา

    TOO LATE. HATA KAMA ATAFU GWA, LAKINI AMESHAFANYA HASARA.

  • @lubambeheneli133
    @lubambeheneli133 26 วันที่ผ่านมา

    Yakobo na hesau

    • @judithhermann233
      @judithhermann233 26 วันที่ผ่านมา

      Caini na Abel. Caini alimua mdogo wake Abel kwa ajili ya maendeleo

  • @user-bw8lt8wy1i
    @user-bw8lt8wy1i 26 วันที่ผ่านมา +3

    Arusha Ina laana Sana na watu wake niwakorofi Sana

    • @lameckdaniel6724
      @lameckdaniel6724 26 วันที่ผ่านมา

      Kuna roho ya mauti inatembea inahitaji ukombozi wa kwelii kupitia jina la YESU KRISTO

    • @justice607
      @justice607 25 วันที่ผ่านมา

      We ndio mwenye laana

  • @MrCosmas15
    @MrCosmas15 26 วันที่ผ่านมา

    ISAYA amemchoma kisu MATHAYO