Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hongera sana sana saaaana, Mwenyezimungu akuepushe na husda na hasada Kila la heri katika ndoa yako. Inshaalah Mungu akulinde na akusimamie ili yote yapite na kuisha Salama.
mwaya Allah akubarikie ndoa yako .....usiendelee kujielezea kwa kutaka kuwaridhisha binaadamu ni jambo haliwezekani hata ck moja.....muhimu Allah hajakataza kuolewa na mtu mzima bari wewe zidisha ibada na dua sana maana Hassad ni nyied na hv ulivoweka wazi wengi wetu tunaumia .....hatutakiani kheri ndoa ni baraka haijalishi umeolewa wapi muhimu ni dini tu .....kama utasima hii comment yangu nataman sana ukae kimya usijbu wala kuongea chochote tena kuhusu ndoa yako.....wasiliana tu na mumeo na familia yake bas neema yako wewe kaa nayo kimya Inshaa Allah utarud kwa mumeo lkn hv ukiendlea kusema hata hao maadui nawpa na sya uendlea kukukomoa kwa kukufanyia uzito kwenye mambo ya Hcho kibali cha ndoa....KUNA USHINDI KATIKA KUKAA KIMYA habibty
ASSALAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH NAKUSIKIZA DADA ZANINI ALLAH ÀKUFANYIE WEPESI KWA KILA JAMBO LAKO NINA HISTORY YANGU PIA NIKIJA NITAKUPA FULL HISTORY KIPENZI
Kwel aunt me nakubaliana na wew kutokana na maisha tunayoishi Oman tunadhalilika na istoshe hatupewi mshahara ambao unahitajika kiukwel me inaniuma sn pia pole kwa changamoto ulizopitia 😢ambaye hajapitia haya hawezi kujuwa chcht Hadi upitie haya tunayopitia pole sn dada angu mung akufanyie wepes inshallah😢
Jmn sio wote mi nipo muda tu alhmdulillah napokea mia 30 nilipo naishi vzur tu nyumba sio kubwa na familia yao pia sio kubwa alhmdulillah siwezi kkubishia lkn sio wote
Nasoma koment zote nimeona watu wanawivu kama umalaya kafanya yeye kaolewa yeye babu wake yeye haya munatesekanini afazali yeye kaolewa ameshakua mtumzima hao warabu waswahili wameolewa na vizee wakiwa wadogo na mpakawanajiona wao ndio waoman kupitia wazeehaohao
Haaaaa wastafu piga kelele haaa kumbe umeolewa kwa masirahi ya watoto Ila Sio kupenda Babu yangu WA miaka 66 Aya pambana bongo kwanza maana saivi watu WA embassy wataka Sana mikataba Sio izo njia za Panya
Wanawake wa Ki-Tanzania hawawezi kufanya kazi za ndani uarabu kazi wanazo weza kufanya hizo ni wanawake wa ki-Filiphino sio Wanawake wa Ki-Tanzania hawawezi hizo kazi .
Ujatikiaha ubatozi bali imefunga ndoa kinyume na shelia kwani ata ubarozi wako aujui je upo kwenye ndoa ukija kupata tatizo utakimbilia wapi acha kujigamba ujanga
Ungepata taabu ungekuwa hivyo tumbo limekutoka toa siri yako mwenyewe ulivyo fanya usitukane wa omani na ubalozi wako ubalozini walishindw kukusaidia na kesi zako naona huyo akirudi oman hawo watoto wa huyo mume mungu awasaidie biro kaa huko utafute mzee mwezio uisho huko kweny amani usijikere na Oman haikuhusu
Alaf unapokaa kusema watu wa oman si watu wazuri unakosea Kwasababu kosa la mtu mmoja unawatia kasoro waomani woote Kwani Muhindi mmoja akiwa mlevi wahindi wote ni walevi? Haya matatizo hata nyumbani yapo
Mmmmhhhh natamaa yakuolewa umangani tuache Mimi walinibembeleza niolewe na mzee wakimanga nikawakatalia kabisa bora nifanye kazi siku ukigeukwa utakuta mungu akujaalie ndoa yako idumu bi dada
Kwahiyo hujui kiarabu babu akitaka kukutomba mnaongea lugha gani hahahaha mbavu zangu mie jinga kwel hili kila kitu nje nje eboooo huna sir ama hujapata kungwi😂😂😂😂😂😏😏😏
@@RitbayRitbay Mmmmh ndoa yake ajiombee mwenyewe na kutengeneza na kuzidisha ibada chaajabu kabila hilo hilo aliloolewa nalo anawananga km mbilimbi. Apunguze maneno ulimi unaumba
@@AlHamra-k4u wallah hyu binaadam wa ajabu ndio maana nikasema tumuombee maaneno yke ni ya uwongo mtupu unabaki kusikiliza kumuombea tu maana kma zimepingua akili zke.
Matatizo ni mengi kuliko raha bana kadama fanya mchezo nn😂😂 hakuna kuishi kama home kazi tu ni tatizo yani kabla ya kusemeshwa maneno ila kazi ni tatizo ww ku enjoy sasa madam ajiwezi hata kufanya kitu yani hawa warabu wa ovyo sana mm kuna mda na fanya massage baba eti mama yupo tu kajikalia yani bwana eeeh tupamnane tu pesa haiji kirahisi pesa ngumu ukuina mtu ana kula pesa take tulia ujui kaipaje team strong 2025 tujuane wallh nimechoka mwakani nijiludie zangu miaka miwili inatosha mtaji nikiendelea nitakufa nitatumia pesa yote hospital 😂😂😂😂😂 sometimes na lala naota nafanya kazi yan ivi hakuna huko connection za kazi za nje jaman tusaidianeni
Shoga angu Kaz zipo ila uwe na Viza yako ndio utapiga pesa sana ,pole kwa majukumu ya kazi tupambane TU Mimi nilikuwa ndani na tulikuwa wawili ila nikamaliza nikatoka nje kwa viza yangu madukan ,so Kaz ziko ila uwe na Viza yako ili usije pata matatizo kama wakimbiz,au wazurulaji
globaltv basi tena jaman ina tosha maana uko tunapo endea atatupiwa majini adi kwenye saaaleko 🤣🤣 maana roho zinavo wauma kila wanavo comment wanaona aitoshi,
Wee zann mwogope mungu ww kama hukufanikiwa ni wewe usitufanye wote tuonekane tumekuja kudanga omani et uwezi toboa kwa pesa ya halali ww ndo ulikuwa na pigo hizo sema yanayo kuhusu usituvunjie heshima sie tuna ishi na upwilu afu unasema kutembea na maboss unakosea Sana ebu weka maneno mengine akiba mana utaaribu
Zanini ndg pambana km utapata hiyo hiqama ya ndoa sawa usipopata sawa ongea na mumeo awe anakuja tz na kurud oman fanya biashara endeleza wanao kusoma wanaosema ni muongo / mdangaji / tapeli umefata pesa kwa babu wapambane na wao wafike ulipofika ww km rahis 😂😂wajue kabisa nyota yako iko juu wapambane na wao wafike ulipofikia ili waache kaz ya kusugua hammam😂😂
Ubalozini mbona wana ongea kiarabu kina haro joha kina mzee suleiman kina mzee ally jaman au mm sijaelewa na ubaloz na passport kuzuia ina usisna nini mmmh au ulikuwa tayar una kesi za kazi na mashitaka yakawa ubalizini maana na wazo kitabu chako walikioataje na kitabu anakuwa nacho boss au mm ndo sielewi vizur maana hadi ubaloz kupata kitabu haya ngoja
@@hawamafuru6791 kutoboa na pesa ya ukadama nilizima uandae nusu ya pesa kujitibia 😂😂 ila nilivyo muelewa watu wengi huisintynao Toka njee ni lazima kutoboa bila kujuwa katika utafutaji Kuna kufel pia Oman niliingia ila nilifel nililudi nyumbani kama nime ludishwa na kimbunga hidaya Yani ngija ngija Sina hata mia na ubalozin nikikaa miez mitatu nauli yakunutoa airport nilikuwa na kielf kumi changu nilisafiri nacho na mzee ally wa ubalozini nae akania elf 20 ikawa 30 ndo pesa nilivyo ludi nayo ila siwez ongea vibaya coz nimoja ya utafutaji Kuna ku fel na kufanikiwa hata kidogo now nipo iraq mm siwez wazungumzia warabu vibaya sana japo mmh maana najuwa umasikini wangu ndo unanitesa
Kwa nn mume yy mwenyewe asisimamie ilo swala la haki zako coz izo ni haki za mke na yy ndo mwenyeji au why kila kitu ww coz ubalizi hauwezi kuzuia haki zako kama mwenye mali kaamua kushika pindo
@@Naw89 sikumsikiliza Hadi mwisho coz vipande vilikatwa ila now nime muelewa ubalozini nimekaa miez mitatu kwa halo joha pale na kwa mzee Suleiman mziki wa pale siyo wa kitoto Yani pia wale watu malanyingi wao na warabu sawa TU
UKIOLEWA YULE SHEHE ALIEWAFUNGISHA NDOWA ANAWAPA BARUWA YAKE KAMA KAWAFUNGISHA NDOWA NA LAZIMA WAWE NA VITAMBULISHO VYAO AWAJUWE MAJINA YENU NA URAIA WENU ILE BARUWA YAKE MNAIPELEKA WIZARA NDIO MNAPEWA SHAHADA ZA NDOWA HATA KAMA NYOTE NI WA OMANI LAZIMA MUWE NA VYETI VYA NDOWA.
Le o natuma comment nyingi ila ubaloz jau aisee nilisaidiwa ila nyie 😂😂 ubalozini shikamoo kutoboa wapi hskuna kutoa kwa mshahara wa laki tano sota saba hakuna kitoboa labda ufanye na vingine niko zangu iraq napigana vita ila oman nime pita jaman
E muongo hakuna mtu anagorofa tatu na hata kama gorofa tatu kutakua na wafanyakazi wengi nyinyi watanzania waongo sisi tunawafanya kazi wahindi na hawana maneno acha kuwavunjia wenzio riziki mimi ni muoman nimefundiswa na mfanya kazi anaroho nzuri ukiwa mjeuri utasumbuka
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hongera sana sana saaaana, Mwenyezimungu akuepushe na husda na hasada
Kila la heri katika ndoa yako.
Inshaalah Mungu akulinde na akusimamie ili yote yapite na kuisha Salama.
Allah akusimamie kwenye kila hatua ya maisha yako tunakuombea uludi omani
Harusi oyeee hongera Allah akubarik
Oyeeee amin
Hongera mwaya niliona vidio zake za ndoa umeupiga mwingi❤❤❤
DAAH💔💔💔UMEONGEA POINT SANAAAA HUKOO MWISHONI MPAKA NINESIKIA UCHUNGU,MUNGU AKUBARIKI SANA❤❤❤🙏
Umenichekesha mume Ninae mume natamba naye ❤❤❤
Shem tunaye na tunatamba naye ❤❤❤
Hongera 🎉mwaya mungu amekupa hitaji la moyo
Aweeeeeh shoga yangu sema sema 😄🙌🤣 mume mwenyewe wa kishashi jamaniiii 🥰😍
Na mjuwa zanini huwataki ujinga simtu mbaya msema kweli mara nyingi anaonekana mjuaji maana watu wanapenda kufumbia macho
Asante kwakutufikishia ujumbe ktk nchi yetu
Dada ufanyekazi kujifungulia na jujijengea maisha yenu.lkiwa ana yatima ufunguo ni KAZI
Bahati zipo tupo wengi tulopata ndoa kutokea oman😂😂❤❤
Na mm nipe connection basi nipate kazee kangu😂😂
@@QUEENBEEOGUkipata nambie mpenz wng namie nipo ila nasikia kuna maagent sipesho wa kunganisha vibabu😂😂😂
Kuuuumbe baas itakua wanalipwa pesa nyingi kweli@@dorcaskidoti249
Mnawapata wap
@@dorcaskidoti249 sasa vipi tuungane tutafute hao ma agent 😂😂 pesa ya usumbufu tuta lipa au nene dayday
Allah akujalie ufanikiwe utud tena kujatunza ndoa yako kipen
Namshukuru mungu nina miaka saba nipo na maboss vizuri kabisaaa
Parfect
Kama mnamuona mungo nenda na wewe ukajaribu
Hongera zako dada zanini mungu akufanyie wepesi inshallah na ndoa yako Allah aitie nuuru ndoa yako muenzi shemeji yetu kiroho safi ujilie vyako wee wanosema na was waseme muhimu yako yakuendee
mwaya Allah akubarikie ndoa yako .....usiendelee kujielezea kwa kutaka kuwaridhisha binaadamu ni jambo haliwezekani hata ck moja.....muhimu Allah hajakataza kuolewa na mtu mzima bari wewe zidisha ibada na dua sana maana Hassad ni nyied na hv ulivoweka wazi wengi wetu tunaumia .....hatutakiani kheri ndoa ni baraka haijalishi umeolewa wapi muhimu ni dini tu .....kama utasima hii comment yangu nataman sana ukae kimya usijbu wala kuongea chochote tena kuhusu ndoa yako.....wasiliana tu na mumeo na familia yake bas neema yako wewe kaa nayo kimya Inshaa Allah utarud kwa mumeo lkn hv ukiendlea kusema hata hao maadui nawpa na sya uendlea kukukomoa kwa kukufanyia uzito kwenye mambo ya Hcho kibali cha ndoa....KUNA USHINDI KATIKA KUKAA KIMYA habibty
Ewaaaaa
Wallah umemushauli vizuli San ndugu yangu ❤
Mungu akufanyie wepesi
ASSALAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH NAKUSIKIZA DADA ZANINI ALLAH ÀKUFANYIE WEPESI KWA KILA JAMBO LAKO NINA HISTORY YANGU PIA NIKIJA NITAKUPA FULL HISTORY KIPENZI
Kwel aunt me nakubaliana na wew kutokana na maisha tunayoishi Oman tunadhalilika na istoshe hatupewi mshahara ambao unahitajika kiukwel me inaniuma sn pia pole kwa changamoto ulizopitia 😢ambaye hajapitia haya hawezi kujuwa chcht Hadi upitie haya tunayopitia pole sn dada angu mung akufanyie wepes inshallah😢
Bora urudi tu dadaangu ukafanye kazı za ndani Tz
Kama sojakosea huyu ni mzaramo😂😂maana dah km charahani yakudarizi
Mshenzi sana hamtaki kuambiwa ukweli
@@MariamMarco-z7r mshenzi mwenyewe
@@MariamMarco-z7r tena ww mshenzi ulie kubuhu na umeota nabu mbwa kamili na nguruwe mchanganyiko
Yani mdomo hasa
Kaza buti ....pambana mwanangu...gia ni hi0 hio .usiitoe no 1 ...panda mlima utafika omani ....saluti 😅@@FathiyaAlshidhani
Mashaallah Dada angu Allah akuongoze
Changamoto zipo nyingi sana nahatuna misaada kutoka ubalozi
Semagaa wewe
pale wanasaidia kwakujuana hasa utoe utelezi😅😅nilisota pale na kaz nikajitafutia mwenyew ila pesa ya boss walikuula
Ubalozi hausadii nishidatu pale
Huyu dada limbukeni kweli wangap wanaolewa ugaibuni na hawajitangazi mitandaoni ushamba kazi kweli kwelo
Ww ndio mshamba mambo ya ughaibuni huyajui
Jmn sio wote mi nipo muda tu alhmdulillah napokea mia 30 nilipo naishi vzur tu nyumba sio kubwa na familia yao pia sio kubwa alhmdulillah siwezi kkubishia lkn sio wote
Dada napenda maneno yako kikubwa duwa tu mungu akufa Nye wepes kw sababu syo kawaida yasimba kuwa jibu mbwa
Maashaallah
Nasoma koment zote nimeona watu wanawivu kama umalaya kafanya yeye kaolewa yeye babu wake yeye haya munatesekanini afazali yeye kaolewa ameshakua mtumzima hao warabu waswahili wameolewa na vizee wakiwa wadogo na mpakawanajiona wao ndio waoman kupitia wazeehaohao
Waeleze maana wana wivu balaa na chuki 😂😂
Khaaaa hiyo nzuli nzuli mwenzangu kweli wewe jitu la mbangala kukaa kote oman ht Kiswahili bado kinakushinda badala ya nzuri unasema nzuli😢
Hongera sana dada😊
Asante kwaniaba 🙏
Shoga angu mie chanja mbuga niko nyuma yako, sema yote nikija namalizia❤❤❤
Haaaaa wastafu piga kelele haaa kumbe umeolewa kwa masirahi ya watoto Ila Sio kupenda Babu yangu WA miaka 66 Aya pambana bongo kwanza maana saivi watu WA embassy wataka Sana mikataba Sio izo njia za Panya
Wanawake wa Ki-Tanzania hawawezi kufanya kazi za ndani uarabu kazi wanazo weza kufanya hizo ni wanawake wa ki-Filiphino sio Wanawake wa Ki-Tanzania hawawezi hizo kazi .
Ujatikiaha ubatozi bali imefunga ndoa kinyume na shelia kwani ata ubarozi wako aujui je upo kwenye ndoa ukija kupata tatizo utakimbilia wapi acha kujigamba ujanga
Asntee da zanen kpnz Allah akusimamieee tuteteee mpenz
Ungepata taabu ungekuwa hivyo tumbo limekutoka toa siri yako mwenyewe ulivyo fanya usitukane wa omani na ubalozi wako ubalozini walishindw kukusaidia na kesi zako naona huyo akirudi oman hawo watoto wa huyo mume mungu awasaidie biro kaa huko utafute mzee mwezio uisho huko kweny amani usijikere na Oman haikuhusu
Kma shangingi lik hap hap ulip nyew shanging mnatama san tamaa za mali za waarab 😂😂😂😂😂😂😂
Tatizo wanaingia nchi za watu halafu huendi kwenye balozi yako wakakutambua uwepo wako, sasa unakaa ukipata shida balozi inakukataa...
Umenichekesha neno kuzichapa 😂😂😂😂 jmn
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mix kuchimba nyumba bila jembe
Alaf unapokaa kusema watu wa oman si watu wazuri unakosea
Kwasababu kosa la mtu mmoja unawatia kasoro waomani woote
Kwani Muhindi mmoja akiwa mlevi wahindi wote ni walevi?
Haya matatizo hata nyumbani yapo
Mmmmhhhh natamaa yakuolewa umangani tuache Mimi walinibembeleza niolewe na mzee wakimanga nikawakatalia kabisa bora nifanye kazi siku ukigeukwa utakuta mungu akujaalie ndoa yako idumu bi dada
Hongera sana mama na watoto wake
Halafu si yaya si mke hakuna atakae muweza
Gume gume limeshindana na mitume
Kwa kweli huku 2mechoka kusugua hammam😂😂😂😂😂😂
Watanzania acheni umalaya huku omani
Koma so wote
🤣 🤣 🤣 Mke wa mzee mushashi hongera sana 😅😅😅😅
Na wewe tuonyeshe huyo kijana wako
@@mishigwan6598 😃amekufa 🤭😆👏
@@mishigwan6598 ana mtaka uyo mzee ndo ndo ndo na hampati 😂
Kwahiyo hujui kiarabu babu akitaka kukutomba mnaongea lugha gani hahahaha mbavu zangu mie jinga kwel hili kila kitu nje nje eboooo huna sir ama hujapata kungwi😂😂😂😂😂😏😏😏
Nasemajeeee nasemajeeee Mume anae Na anatamba nae tukaneni ad mchoke Hakuna tusi jipya Kama umebahatika kupata maboss wazur mshukuru mungu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉
Unawaonya wasitake pesa zawatu mbona ww umetaka pesa za kibabu😂😂
😂😂😂amenichosha huyu dada aisee
Kwa hiyo ulitaka aolewe bure ?😮
Uko sahihi dada tunapitia mengi sana
Oman sehemu gan mimi niko Muscat
Oman Ndiyo Nchi Muscat ni Wilaya kama Unavyoona Tanzania kuna kinondoni Magomeni
Kwahiyo Wewe upo ndani ya Oman kitongoji cha Muscat
@@mishigwan6598😂😂😂
No pain no gain
Tena san hana khaya mam mjinga huyu
Kweli mjinja
Mjinga kabisa
Mnatuharbiaa sisi jamanii tuliopoo oman
😅😅😅😅😅😅😅Ww uliolewa kwa maslai ya watoto wako. Umetapeli Ndiyomaana ukaswekwa ndani 😅😅😅😅 njoo bibi Oman uje ulee kazee ka watu
😂😂😂😂 jaman wabongo
Sijui kama paspot yake awezatena India Oman mpaka kusindikizwa na polis
Hta kam kizee ni wake jaman Alhamdulillah kaolewa hta kma ana vituko vyake tumuombee kheri tu.
@@RitbayRitbay Mmmmh ndoa yake ajiombee mwenyewe na kutengeneza na kuzidisha ibada chaajabu kabila hilo hilo aliloolewa nalo anawananga km mbilimbi. Apunguze maneno ulimi unaumba
@@AlHamra-k4u wallah hyu binaadam wa ajabu ndio maana nikasema tumuombee maaneno yke ni ya uwongo mtupu unabaki kusikiliza kumuombea tu maana kma zimepingua akili zke.
Tatizo lako stori ya mwanzo haiendani na unayoongea ss😂😂
KWELI KABISA NENO MUME HALIKUWEPO WALA NDOWA YY KATAJA MABOSI NA MAAJENTI 2 HAELEWEKI HUYU DADA VP MKE WA MTU APIGWE BLOC NA MTU MWINGINE????
@@salimmalaka256 Ubalozini wako sawa kumkatalia yeye anajisifu bure hajui waarbu huyo
Hio ni Kutongozwaa !! 😮
Matatizo ni mengi kuliko raha bana kadama fanya mchezo nn😂😂 hakuna kuishi kama home kazi tu ni tatizo yani kabla ya kusemeshwa maneno ila kazi ni tatizo ww ku enjoy sasa madam ajiwezi hata kufanya kitu yani hawa warabu wa ovyo sana mm kuna mda na fanya massage baba eti mama yupo tu kajikalia yani bwana eeeh tupamnane tu pesa haiji kirahisi pesa ngumu ukuina mtu ana kula pesa take tulia ujui kaipaje team strong 2025 tujuane wallh nimechoka mwakani nijiludie zangu miaka miwili inatosha mtaji nikiendelea nitakufa nitatumia pesa yote hospital 😂😂😂😂😂 sometimes na lala naota nafanya kazi yan ivi hakuna huko connection za kazi za nje jaman tusaidianeni
😂😂😂😂😂😂
Shoga angu Kaz zipo ila uwe na Viza yako ndio utapiga pesa sana ,pole kwa majukumu ya kazi tupambane TU Mimi nilikuwa ndani na tulikuwa wawili ila nikamaliza nikatoka nje kwa viza yangu madukan ,so Kaz ziko ila uwe na Viza yako ili usije pata matatizo kama wakimbiz,au wazurulaji
@@mariamkibindo1741 uko nchi Gani bby nikutafute mm namaliza mkataba mda simrefu siwez endelea nitakufa 😂😂😂
@@QUEENBEEOG Oman
@@mariamkibindo1741 connection sasa unayo ya kazi za nje visa siyo tabu na visa bei Gani
Yaani dada angu umenifurahisha kueleza ukweli yaani endelea kuedili na ubalozi wanatukandamiza km hawatujui nini tunapitia majumbani
globaltv basi tena jaman ina tosha maana uko tunapo endea atatupiwa majini adi kwenye saaaleko 🤣🤣 maana roho zinavo wauma kila wanavo comment wanaona aitoshi,
😂
😅😅😅😅
mtangazaji nae hujapoaaaa
Wee zann mwogope mungu ww kama hukufanikiwa ni wewe usitufanye wote tuonekane tumekuja kudanga omani et uwezi toboa kwa pesa ya halali ww ndo ulikuwa na pigo hizo sema yanayo kuhusu usituvunjie heshima sie tuna ishi na upwilu afu unasema kutembea na maboss unakosea Sana ebu weka maneno mengine akiba mana utaaribu
Mshenzi tu huyu bibi na Minyama yake ya shingo Isha legea mdangaji mkubwa huyu na domo lake refuuu kama mamba😂😂😂😏😏
Jamaa saut ka captain ingekua poa angekua pale jahazi
Zipo changamoto cn tu
Ninacho jua kazi zipo nyingina tunachoka, ila mwarabu umuanze ubaya lakini kwa ufupi siwa baya kivile
Mbona akitaka kuogey Unamkataaa kauli kwakumuulizaaa swali jengin
Mh jaman
siyokweli hakuna kuzichapa
Kwakweli wakutangulixwa ni mungu Tu tupo tunapeleka siku mbele 😂
Mtumzima ovyo tu. kujionesha kama nayy kaolewa na mwarabu Hana lolote wanaosema unatamaa pia hawajakosea
Wivuu tuuu
Tunaisubiri kwa hamu
Pumzika tena Dada
Alikuwa akitamba sana huyo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Katambee naww huna nyota hata yakuolewa na bangele kwa rial 50 tu wivu wivu ni sumu utakumalizaaa
@@dorcaskidoti249😂😂😂😂mbona Bangali 😂
Katambe na ww km rahisi 😮
Kwanza nikupe hongera dada. Na pole kwa ulioyapitia. Anaongea ukweli kuhusu ubalozi tunakandamizwa sana kifupi hawana msaada
Halo Omani sipaerewagi
Tena.. Nyeee.. Mnoolewa. Na.. Vizee.. Warabu.. Mnatutia.. Aibu. Sie. Tunotafuta. Maisha.. Ya.. Halali. Huku.. Nyeee.. Mkome. Kujadanga.. Shez..
Uzuri hausemwi.watu wanatakakazi.ataishi sawa na Mwenyenyumba..Hizi ni husuda zenu..nyumba kubwa utafanya kazi yote kila siku? Umekuwa ROBOTI?
Wewe ni muongo ndiomana ukawa mwizi kazi imekushinda mwizi mkubwa wewe umemuibia mume wako ukasafirishwa wewe kwenda huko huingii tena huko
😂😂😂😂 kumbe mwizi ameiba Tena 😂😂😂😂😂
Mhhj! Acha uongoo
Zanini ndg pambana km utapata hiyo hiqama ya ndoa sawa usipopata sawa ongea na mumeo awe anakuja tz na kurud oman fanya biashara endeleza wanao kusoma wanaosema ni muongo / mdangaji / tapeli umefata pesa kwa babu wapambane na wao wafike ulipofika ww km rahis 😂😂wajue kabisa nyota yako iko juu wapambane na wao wafike ulipofikia ili waache kaz ya kusugua hammam😂😂
Jaman mupo mwakosa huku
Dd kweli km ww muomani ziko nyumba gorofa tatu mfanyakazi mmoja au wawili
Umemulizaaaa kuhus ubalozi anaogey na kuhadisiy km unaikat unarusha
Ubalozini mbona wana ongea kiarabu kina haro joha kina mzee suleiman kina mzee ally jaman au mm sijaelewa na ubaloz na passport kuzuia ina usisna nini mmmh au ulikuwa tayar una kesi za kazi na mashitaka yakawa ubalizini maana na wazo kitabu chako walikioataje na kitabu anakuwa nacho boss au mm ndo sielewi vizur maana hadi ubaloz kupata kitabu haya ngoja
Huyu ajent wake bi joha na ndiobalokuwa na pasport yake ndio maana
Mbona bi joha anamsaidia sana watu labda huyu alikuwa tayar Kuna makosa fulan labda ndio maana passport yake ikawa huko balozin na hakupata msadaa
Kiukweli huyu dada ana boa et huwez toboa kwa pesa ya Alali Ina Mana wote tuonekane huku tunadanga kama yy ?😢
@@hawamafuru6791 kutoboa na pesa ya ukadama nilizima uandae nusu ya pesa kujitibia 😂😂 ila nilivyo muelewa watu wengi huisintynao Toka njee ni lazima kutoboa bila kujuwa katika utafutaji Kuna kufel pia Oman niliingia ila nilifel nililudi nyumbani kama nime ludishwa na kimbunga hidaya Yani ngija ngija Sina hata mia na ubalozin nikikaa miez mitatu nauli yakunutoa airport nilikuwa na kielf kumi changu nilisafiri nacho na mzee ally wa ubalozini nae akania elf 20 ikawa 30 ndo pesa nilivyo ludi nayo ila siwez ongea vibaya coz nimoja ya utafutaji Kuna ku fel na kufanikiwa hata kidogo now nipo iraq mm siwez wazungumzia warabu vibaya sana japo mmh maana najuwa umasikini wangu ndo unanitesa
@@mariamkibindo1741 wale nao hawatabitiki bana Yani watu wa ubalozini bana kwa majungu sasa Yani tabu tupu
Kaongo haka kamekaa mjengoni mpaka kakanogewa leo anajifanya ubalozi nyokooo nyokooo
Dada zanin sas ivi msharaha ni 120kwa wazohefu wagen 100
WAGENI 80 dada Mimi nalipwa 80
@@MariamMarco-z7rpole sana mimi nilianza nahiyo ila badae waliniongeza
Nakupenda tu Zanini ila wewe ni zahabu usiogope kuchomwa moto naanini zahabu ikichomwa moto huzidi kung"aa
Kwa nn mume yy mwenyewe asisimamie ilo swala la haki zako coz izo ni haki za mke na yy ndo mwenyeji au why kila kitu ww coz ubalizi hauwezi kuzuia haki zako kama mwenye mali kaamua kushika pindo
Wewe hujui ubalozi kuna majanga mengi sana pale kwa ambae hajawahi fikwa na majanga hawezi fahamu hili
@@Naw89 sikumsikiliza Hadi mwisho coz vipande vilikatwa ila now nime muelewa ubalozini nimekaa miez mitatu kwa halo joha pale na kwa mzee Suleiman mziki wa pale siyo wa kitoto Yani pia wale watu malanyingi wao na warabu sawa TU
💃💃💃💃
Mumeo nakulindia mimi huku
Kabla ya iqama lazima upate vyeti vya ndoa ww sio muoman vyeti vinakuwa viwili
Vinapatikana wapi
@@SalimSalim-wp3zxItoke Tanzania alafu inakuja huku inapigwa muhuri kwamba tyr hpo mwanaume anakuja kukuchukua tyr.
UKIOLEWA YULE SHEHE ALIEWAFUNGISHA NDOWA ANAWAPA BARUWA YAKE KAMA KAWAFUNGISHA NDOWA NA LAZIMA WAWE NA VITAMBULISHO VYAO AWAJUWE MAJINA YENU NA URAIA WENU ILE BARUWA YAKE MNAIPELEKA WIZARA NDIO MNAPEWA SHAHADA ZA NDOWA HATA KAMA NYOTE NI WA OMANI LAZIMA MUWE NA VYETI VYA NDOWA.
walifuga ndoa yamkeka au
Uso umempala kama tako la mzee wewe ukufata kazi ulikua malaya
tuta kuchukulia atua na ayo matusi yako
😂😂😂😂
Hongera dada wanao kutukana Ni wivu tu
Wivu dadyaaaaaa matusi ya nini sasa😅😅😅
Le o natuma comment nyingi ila ubaloz jau aisee nilisaidiwa ila nyie 😂😂 ubalozini shikamoo kutoboa wapi hskuna kutoa kwa mshahara wa laki tano sota saba hakuna kitoboa labda ufanye na vingine niko zangu iraq napigana vita ila oman nime pita jaman
Iraq mshahara ni ngap nilipata visa uko ila daaah Agent alizingua nikaghaili
@@dorcaskidoti249 dollar 250 mia tatu Hadi mia nne kutokana na nyumba ila kianzio kwa mgeni haishuki hapo labda ipande ni dollar 250
Sasa yamemkuta
E muongo hakuna mtu anagorofa tatu na hata kama gorofa tatu kutakua na wafanyakazi wengi nyinyi watanzania waongo sisi tunawafanya kazi wahindi na hawana maneno acha kuwavunjia wenzio riziki mimi ni muoman nimefundiswa na mfanya kazi anaroho nzuri ukiwa mjeuri utasumbuka
mjinga sanaa huyu dada
Hakuna ghorofa 3? Usiongeee vitu hujui nimekaa Fanja nyumba ghorofa 3 baba mama wtt 7 unakataaa nn sasa ebu uko
MIMI NAKAA NYUMBA GOROFA 3 NAMFANYAKAZI NIPO PEKEYANGU
@@JanethJaneth-b5f afadhali kua peke yako❤️
Ww dadaaaaaaaaaa uliona Mali za watu zikakuchanganyaaaaaaaa ndio ukakubali kuolewa na babu kizeeeeeee
Tunao soma coment like hapa tujuane mashaghala oyeeeeh😂😂😂
Huna jipya zanini unahikashifu kama una upendo mbona hukufanyiwa bataka ya mke acha tamaa utakufa pabaya washashi hawana shida n wewe
Kwaani kakulia chako eee😊😊😊