Samia anatia mikataba mikubwa ya mikopo kutoka kwa wazungu Koo ili madeni ya wazungu yalipwe lazima tu raia tuumie maana Samia anapenda sifa Sana na Cha ajabu anakopa akiamini wananchi watambanwa walipe Kodi na wakilipa Kodi zinapingwa nawalaji sasa unafili Nini kifanyike ? Maana wakipunguza Kodi madeni ya wazungu watalipa na Nini Wapigaji nao wataishije na wamezoea kupinga? Rais mwenyewe mpigaji
Chezilando unaakili sana ndiyo maana ni mfanya biashara,hawa viongozi wetu sijui huwa wanadhani wametoka mbinguni na hawazijui shida za watu wao badala yake wanasoma maandishi tu hawaendi kukukusanya mawazo ya watu walioko kwenye mazingira halisi da! One day yes
Chezilando unaakili sana ndiyo maana ni mfanya biashara,hawa viongozi wetu sijui huwa wanadhani wametoka mbinguni na hawazijui shida za watu wao badala yake wanasoma maandishi tu hawaendi kukukusanya mawazo ya watu walioko kwenye mazingira halisi da! One day yes
Samia anatia mikataba mikubwa ya mikopo kutoka kwa wazungu Koo ili madeni ya wazungu yalipwe lazima tu raia tuumie maana Samia anapenda sifa Sana na Cha ajabu anakopa akiamini wananchi watambanwa walipe Kodi na wakilipa Kodi zinapingwa nawalaji sasa unafili Nini kifanyike ?
Maana wakipunguza Kodi madeni ya wazungu watalipa na Nini
Wapigaji nao wataishije na wamezoea kupinga?
Rais mwenyewe mpigaji
Tatzo sio samia acha ujinga hao tra wala rushwa
Kaka anaongea point Sana Serikali haingalii mbali ,walaji niwengi Sana ndiyomaana Magufuli alikuwa hataki ujinga km huu
Tumekosa ajira tumejiajiri bado ni shida...
Mheshimiwa Rais kweli hicho kiti ni kikuu lakini unabaraza lako hapo hebu fanya jambo kazi kweli iendelee❤❤
Kaongea vzr sana
Bado wenye nyumba za wageni kodi ya kitanda😃😄😂😃😄😂🤣😁😄
MAMBO YA STOO NI MIPAMGO YA MFANYA BIASHARA MWENYEWE. JE KAMA UTAAMUWA KUWEKA MIZIGO YAKO NYUMBANI JE NAYO INAKUWAJEE?
Wewe hiyoooo rohoooo mbaya hayoooo ni maandeleo ya Tanzânia yetu wachina ni watu wa bei poaaaa
Safi Sana mmetutetea na sis WA Hali ya chini km litafanyiwa kazi umeongea point sana
Chezilando unaakili sana ndiyo maana ni mfanya biashara,hawa viongozi wetu sijui huwa wanadhani wametoka mbinguni na hawazijui shida za watu wao badala yake wanasoma maandishi tu hawaendi kukukusanya mawazo ya watu walioko kwenye mazingira halisi da! One day yes
Chezilando unaakili sana ndiyo maana ni mfanya biashara,hawa viongozi wetu sijui huwa wanadhani wametoka mbinguni na hawazijui shida za watu wao badala yake wanasoma maandishi tu hawaendi kukukusanya mawazo ya watu walioko kwenye mazingira halisi da! One day yes
Jamaa kajieleza vizuri mno
Jaman tunateseka kweli wafanya biashara, Mimi walinikamata na kunizungusha kwenye gari Yao siku nzima Tena nilikuwa mjamzito ila awa watu wamezidi
Pole mamy
Wekaka no 1 nimekuelewa sana
HARUTAKI WACHINA WOTE WAONDOKE NCHINI KWETU HATUWATAKI KABISAAAAA
0:24
Good job tunaipenda nchi yetu. Kweli💪💪💪💪💪💪💪.
WACHINA HATUWATAKI ,WACHINA WAMEZIDI WAONDOLEWE HAPA , BORA KUFANYA KAZI NA WAZUNGU LAKIN SIYO WACHINA ,WAONDOLEWE HAPA TZ HATUWATAKI
Ukisikia wamesaini mikataba yenye masharti nafuu unafikiri hizo lugha ni zakawaida? Acha waje mpaka tukome
Sheria zinatungwa Bungeni.
ndio maana tanzania masikini haishi kwa sababu ya kuzulum watu
Daaaaaaaaaaa tunauhuru kweli kuzungumza tumeaminiwa na tukawaamini viongozi top. Level. Na low level jaman 💪💪💪..
Akili nyingi saana brooo
Daah huyu jamaa anaona mbali sana
0:24