Kati ya wakuu wa mikoa wanao piga kazi Tanzania hii na hawasikiki ni huyu mama ukitaka kuniamini waulize watu wa sumbawanga walisha mkumbuka❤❤🎉 much love Sendiga daughter
Duh siyasa zinatiya woga ona huyu mkuu wa mkoa nywele zinalika kichwani juu ya siyasa kuwa kali hadi nywele zinalika nasiyasa.ongera kwakujenge,shule nzuri.
Kati ya wakuu wa mikoa wanao piga kazi Tanzania hii na hawasikiki ni huyu mama ukitaka kuniamini waulize watu wa sumbawanga walisha mkumbuka❤❤🎉 much love Sendiga daughter
Huyu mama anapiga kazi ile mbaya me namkubali sana i seeeew
Nakubaliana na ww mana amechangamka na anaongea kwa kujiamini
Huyu ndomkuu wa mkoa mwanamke no1 anaepiga kaz, anawazid mpak wanaume, mungu ibariki tz
Yuko juu mno akili nyingi kweli
Duh siyasa zinatiya woga ona huyu mkuu wa mkoa nywele zinalika kichwani juu ya siyasa kuwa kali hadi nywele zinalika nasiyasa.ongera kwakujenge,shule nzuri.