PART 1:THE REAL WORLD/CHIEF AKITOA HISTORIA YAKE/NILIZALIWA NA MIEZI 13/NILIMNG'ATA MAMA ANGU/UCHAWI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 มิ.ย. 2024
- PART 1:THE REAL WORLD/CHIEF AKITOA HISTORIA YAKE/NILIZALIWA NA MIEZI 13/NILIMNG'ATA MAMA ANGU/UCHAWI
Chief Kwenye Mkutano Na Wafuasi Wake Wa THE REAL WORLD_Akitoa Njia Ya Kuwa TAJIRI Lakini Pia Akitoa HISTORIA Yake Ya Maisha Yake Na Kuwaambia Kuwa Alizaliwa Akiwa na MIEZI 13 Na Akiwa Meno Mawili Na KUMNG'ATA Mama Ake___HII SI YA KUKOSA @millardayoTZA @Chief_godlove @SimuliziNaSauti @globaltv_online @Wasafi_Media @
Zaasubui kaka mr money mr famous mtoto mdogo mwenye pesa nyingi hakuna kubisha ila nikuombe msada niko vibaya sana niombe sapot yako
Chief ana kundi Lake humo ambao wanafanya Michezo ya kitapeli kuhadaa watu yeye chief si Ana pesaro Iwaje achangishe
Oya awa JAMAA wamekusanya umma na kupotosha watu wazma nyie mnashida gan kufa kupo karbu fanyeni mambo ya maana taften KIPATO halal siku Zimeisha wazee
Hapo hakuna Freemason wa nini huyo anatafuta matakwa yake mwenyewe ivi anauwezo wa kumfanya mtu alie pangiwa na mungu kuwa maskini akamweka kuwa tajir? Sema binadam mungu akisha mfanikisha huwa anamwona mwingine kama mjinga
Hawa ni matapeli wanawahamasisha vijana ili wawavute. Hawana lolote wanafanya usanii. Mkono wa Mungu uwakute na mkono wa Farao ukavunjwe kwa Damu ya Yesu
Yaan ukiwa naakili chiifu utamuelew anacho kifanya kama huna akili unaloho mbaya unamakasiliko yasio kuwa namaana huezi kumuelew ila mim chiifu kanisipaya sana toka nianz kumufuatilia nimepata mafanikio makubwa mm sijali anaamin ki2 gan ila mim video zake zinaniispay sana nasana nakuombea kwamungu uzidi kuepo kwan ww ni zawad 2lio pewa namungu cha kwanz huna roho mbay m2 huna undugu nae ila unamushauli pambana umasikin sio mzul ila kuna wapumbav wengin wanakuchukia ama kweli hata uwe mwema vp huez kupendw nawote chiifu chiifu mtoto mdogo mwenye hela nyingi nakukubali kaka 🫡🫡🫡
NIPENDE KUSEMA CHIEF PAMOJA NA MAMBUMBU WENZIO MIMI NINAANZISHA GANG LANGU SISI TUTAABUDU MUNGU ALAFU TUSHINDANE KWA PESA BAADA YA MWAKA UTANIONA
Ukiwa na tamaa utavutiwa sana na haya mambo...Eeeeh Mungu wangu fungua akili ya watu wako..Pesa zipo kwenye maarifa yenu wenyewe....Wewe usiende kazini msikilize huyo chief uone kama atakupatia pesa ya kula..Sanasana ukijichanganya utatakiwa uwachangie matajiri..Daaaah 😢😂😂😂😂😂😂
Kumbe Chief God love ni mpumbavu na mjinga hivi, sikuwahi jua hili 😏😏,watapeli wajinga wenzio
Jamani mkaabudu mskitini au kanisani acheni upuuzi
Saw
😢😢😢😢Duuh Wanadamu mwanadamu ni hatari sana mmmh ata shetan anashangaa wanadamu Yesu anarudi jaman msipende vitu vya haraka na vya bule kila kitu kinagharama yake ...nitamlingana Yesu na kuishi maisha yampendezae Mungu wangu alie wakweli
Chif natala niku représente congo ninsaidiye na sapoti yako
Mithali.
Good speech
Mambo vip Mr.Chief Godlove mimi bwana nihitaji msaada kuna ndoto yangu kubwa ambayo natamani kuifikia ila nahitaji suport ya usimamizi.
😂😂😂 professional tapeli
Chief
Mnajimaliza Bora msinge post
Director khasi