DIWANI AINGIA KWENYE 18 ZA RC TABORA, "NANI MWINGINE ANAWASUMBUA HAPA?"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- #CgOnlinetv
Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha ameagiza Polisi kukamatwa kwa Diwani wa kata ya Ufuruma Wilayani Uyui kwa tuhuma za kutafuna pesa za wakulima wa Tumbaku katani humo
Rc Chacha amechua hatua hiyo ya kumkamata Diwani huyo jana 29 Aprili alipokuwa akizungumza na kusikiliza kero za Wananchi wa Kata ya Ufuruma kijiji cha Chesa.
TABORA MPYA MKUU WA MKOA HONGERA SANA MUNGU AKUBARIK SANA HAWA WATU HAWANA UCHUNGU NA WENZAO .PIGA NYUNDO WOTE WAJANJA WAJANJA. Name. abdulisike from zanzibar .TABORA kwetu.
Naomba nisaidie nambayako ya cm mueshimiwa ?
Kaka inyooshe Tbr unafki umezidi na majungu.
Mheshimiwa nakuomba mimi unisaidie ninachangamoto yakuhusu tumbaku
Wanyooshe hao kama agilei mwanly
Njoo Sikonge Kuna madudu
Nimeona jina la magono nimekumbuka miaka ya 2007 hao ndio walikuwa ndio wakulima wakubwa sana kwenye ulimaji wa zao la tumbaku mkoani tabora 👏🏻👏🏻👏🏻😄😄😄🔥🔥
jamani mbona kama katebha
Diwani kala mkubeto
Mbona mtendaji wa kata makazi kaachwa?