Hata mimi nilikua miongoni mwa watu walowahi kufanya hii kazi mkoa wa Kahama... Kiukwelii vijana wanateseka sana mpaka kukosa chakula😢, naombeni mufatiliee kahama yupo mtu anaitwa Athuman Sufiani ndio anae ongoza hii kazi Kahama
jamani mimi nimefika mpaka kwenye hilo kampuni lakini sjaona mafanikoio zaidi ya kukonda na njaa tulikuwa tunaaidiwa uongo kwakusema mtindo wa maisha nakusaidiana lakini skuweza kupata chochote na iliniskitisha manake niliumwa sikupata msaada na nikagundua ni uongo sana kitendo cha kumwita mtu kwa uongo
Asa kama Tapeli Tanzania imeingiaje hiv hatuwez jiuliza na sisi Na Usalama wa Taifa upo Kila Kampun Serikali mwaita Tapeli Asa vijana wootee watajiajili kwenye KILIMO Kama hamtaki makampun Tanzania myafunge sio kudharirisha Vijana na Heshima zao hao watu wazima kabisa
Mwanangu alishaniambia pia na alikuwa ashaingia hawa watu wanawafatq watt chuo haswaa bahati nzuri tu mtoto wngu alijiongeza mwenyewe akanambia mama ni matapeli hawa akaachaga nilishukuru mnoo maana hili ni.pepo ukiingia utoki kirahisi Sasa hawa waeenda kukaa huko huko baadae serikali ndio inalaumiwa aisee
Mtoto wangu alishawishiwa Kuacha chuo kikuu Ili ajiunge pale morogoro akaambiwa ni shirika la wazungu wanawasomesha nje ya nchi ....sikukubaliana nikaenda kuchunguza nikakuta ni madangulo tu .tembeza ngumi kichapo kikali mpaka Leo watu niliwahacha na alama ya ngeo pumbavu zenu.mtoto wangu nikamrudisha shuleni.......Wapo morogoro wengi wanatapeli wamanyara wameish UZA NGOMBE HADI WAMEISHA SERIKALI TTUSAIDIEN WATOTO WETU WANATELEKEZWA KWENYE MAMBO YA KAMALI
Wadada wa Oman wamepigwa sana kwa upumbavu wao yaani niwe Oman hàlafu nijiunge kitu nisichokielewa aisee wale walioliwa hd leo ukiwauliza wanaficha hawataki tuwacheke😂😂😂
Kwakweli.hao.ni matapeli.kuna vijana wawili.moja ni waarusha na mwingine anatoka sindeni.majambazi kabisa na ubaya ukifika hapo nawewe unaambiwa mdanganye mwingine aende huko linguine nasikia mkisema wasasi usimuruusu mtoto wako aende akuna mtoto anaye mwambie mzazi anako enta.
Hao jamaa wapo Wengi sana Hapa Tz nilishawahi na mimi Kuitwa niliuzulia siku moja Yani wanakua kama Wamelishwa madawa adi Wana Misemo yao ya Kuitikia, kituo Kipo iringa Ismila Hotel 👈 ndo Walikua apo awo jamaa inabidi Wakamatwe Vijana Wanapotea
Ukikosa Elimu sahihi ya Network Marketing utaona kila kitu ni utapeli.
Definitely brother
Ndo walewale
Wazee wa Good morning kumamake 😂😂😂😂😂😂
Hata mimi nilikua miongoni mwa watu walowahi kufanya hii kazi mkoa wa Kahama...
Kiukwelii vijana wanateseka sana mpaka kukosa chakula😢, naombeni mufatiliee kahama yupo mtu anaitwa Athuman Sufiani ndio anae ongoza hii kazi Kahama
Hao Alayance ni matapeli bara kutwa kujivalisha suti 😅
Hao alayance global ni wahuni sana huku kahama waliwadanganya wengi.
Jamii ya DeC hii...mbaya sana hii kitu. Mnawaumiza vijana
Sawa kabisa
Hii kampuni si hii hii iliyopewa masaa 24 na mkuu wa wilaya njombe wawe wameshaondoka? Kumbe wapo kila mkoa?
Wamepiga rafik angu mlioni 4 dah hao ni shda
jamani mimi nimefika mpaka kwenye hilo kampuni lakini sjaona mafanikoio zaidi ya kukonda na njaa tulikuwa tunaaidiwa uongo kwakusema mtindo wa maisha nakusaidiana lakini skuweza kupata chochote na iliniskitisha manake niliumwa sikupata msaada na nikagundua ni uongo sana kitendo cha kumwita mtu kwa uongo
na wazazi wanadanganywa hivo na kampuni hili
Qnet awa
HATARI HAO KWA NCHI N SHIDA CHUNGUZEN NCHI NZIMA
Wako pia kahama wengi hao wako bakungile house
serikali ikurudishie nauli kwani walikutuma
njoo ni itigi na manyoni wapo wengi sanaaa, na saiv wanahamia morogoro
Hii kampuni ya alliance in motion global wapo hapa dar tz toka muda labda serikali wafanye uchunguzi maana hii kampuni Haina shida
MOROGORO wamejaa sana
Toa ripoti Polisi waka shughulikiwe. Serekali lazima iwajibike kutoa taarifa ktk redio na TV kupiga marufuku Tzd nzima upuuzi kama huo
Kabisa wamejaa wana jiita Qnet
wapo dar mbagala tafuteni vizuri
Acha waibiwe hayo mambo yashazungumzwa sana sa ka mtu bado hakomi Kuna nini
Yote hayo ukosefu WA ajira kwa vijana wetu mtt anasoma anamiliza chuo lkn kz hamna matokeo ndiyo hayo
Kz mnapeana wenyewe kwa wenyewe
Waao, piga kazimtumishi
Wazee wa hela za unicef
Kwani wasajili wa makampuni hawalijui hilo
Asa kama Tapeli Tanzania imeingiaje hiv hatuwez jiuliza na sisi
Na Usalama wa Taifa upo
Kila Kampun Serikali mwaita Tapeli
Asa vijana wootee watajiajili kwenye KILIMO
Kama hamtaki makampun Tanzania myafunge sio kudharirisha Vijana na Heshima zao hao watu wazima kabisa
Ndugu yangu alingia hapo
Mwanangu alishaniambia pia na alikuwa ashaingia hawa watu wanawafatq watt chuo haswaa bahati nzuri tu mtoto wngu alijiongeza mwenyewe akanambia mama ni matapeli hawa akaachaga nilishukuru mnoo maana hili ni.pepo ukiingia utoki kirahisi Sasa hawa waeenda kukaa huko huko baadae serikali ndio inalaumiwa aisee
Hawa wanapiga utapeli kwa biashara ukinunua dawa hii ya meno ukifungua hii lebo inazawani mhh hapo ndiyo upigaji sasa
Sidhani kama mnaweza kuzifunga sababu wanavibali pia wanao wanasheria😅😅😅😅 jitaidini muwatoe make walimtoa barabarani jamaangu😊😊
dar wapo jaman dar wapo
dar pia wapo hao
Mtoto wangu alishawishiwa Kuacha chuo kikuu Ili ajiunge pale morogoro akaambiwa ni shirika la wazungu wanawasomesha nje ya nchi ....sikukubaliana nikaenda kuchunguza nikakuta ni madangulo tu .tembeza ngumi kichapo kikali mpaka Leo watu niliwahacha na alama ya ngeo pumbavu zenu.mtoto wangu nikamrudisha shuleni.......Wapo morogoro wengi wanatapeli wamanyara wameish UZA NGOMBE HADI WAMEISHA SERIKALI TTUSAIDIEN WATOTO WETU WANATELEKEZWA KWENYE MAMBO YA KAMALI
😅😅🤣🤣🤣safi,,,nimeipenda hio,,,wee ukikuta watwange achia na maalama kabisa🤣😅....very good 💯
Kwa hli hii mjuwe vjan kz hawana
😀😀😀😀😀😀😀 kumbe mmewakamata eeh hapa tabora wako kama vumbi dah hii dunia hii khaaa
Mi nshalipaga 60000😢
Kamata hao matapeli tu
Wadada wa Oman wamepigwa sana kwa upumbavu wao yaani niwe Oman hàlafu nijiunge kitu nisichokielewa aisee wale walioliwa hd leo ukiwauliza wanaficha hawataki tuwacheke😂😂😂
Wapigaji hao, warejeshe pesa zao na wahusika wachukuliwe hatua kali
Qnet qnet qnet matapeli watupu hao!
Selikali wasiwaachiwe mpaka warudushe pesa zao uzuli mewakamata
Kumbe hawa matapeli wapo? 😂
Hiyo cyo kampuni ni matapel
Jamaa kapigwa nanjaa mpaka anasahau jumangapi 😂😂😂
Mang'ombe hayaishi jamani
Vijana warudishiwe hela walizotapeliwa siyo kupewa nauli
Sasa nyie mnashinďwa kuwatäfuta wenye makapun
No. Kwa inavyosemekan muanzilishi wa kampuni anatokea Philippines na ndipo ilipoanzia mpaka sasa kufika Tz
Ata uku mwanza wapo weng
Kila inchi hii Campan ipo wew wazungumza Mwanza 😁😁
MLIWAFINYA MIDOMO??
kwa kuangalia wengine ni kama wahitimu wa chuo kabisa, inauma wanavyofanyiwa na hawa wajanja wajanja
😅😅
🇹🇿😂😂😂😂 tz ninoma sana yn kunamda nafikiliasana akiliya mtumoja inavuta akili zawatu miambiri aiseee aponinoma sana uyojamaa niprofeshino alafu eti network maket 😂😂😂😂
Kwakweli.hao.ni matapeli.kuna vijana wawili.moja ni waarusha na mwingine anatoka sindeni.majambazi kabisa na ubaya ukifika hapo nawewe unaambiwa mdanganye mwingine aende huko linguine nasikia mkisema wasasi usimuruusu mtoto wako aende akuna mtoto anaye mwambie mzazi anako enta.
Maishamagumu 😂
Hao jamaa wapo Wengi sana Hapa Tz nilishawahi na mimi Kuitwa niliuzulia siku moja Yani wanakua kama Wamelishwa madawa adi Wana Misemo yao ya Kuitikia, kituo Kipo iringa Ismila Hotel 👈 ndo Walikua apo awo jamaa inabidi Wakamatwe Vijana Wanapotea
😂😂😂😂
Hali ngumu ww mkuu wawilaya watafutie kaz siyo kuongea tu
Huo ndiyo upumbavu wetu tunatetea hadi uhalifu..