VIJANA wafumwa WAKIFUNDISHWA KUFANYA BIASHARA YA UTAPELI TABORA, DC ATINGA NA DIFENDA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 64

  • @denismbulule1777
    @denismbulule1777 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ukikosa Elimu sahihi ya Network Marketing utaona kila kitu ni utapeli.

  • @Barakaclassic
    @Barakaclassic 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wazee wa Good morning kumamake 😂😂😂😂😂😂

  • @KhamisOmar-x8f
    @KhamisOmar-x8f 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hata mimi nilikua miongoni mwa watu walowahi kufanya hii kazi mkoa wa Kahama...
    Kiukwelii vijana wanateseka sana mpaka kukosa chakula😢, naombeni mufatiliee kahama yupo mtu anaitwa Athuman Sufiani ndio anae ongoza hii kazi Kahama

  • @annamussa185
    @annamussa185 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hao Alayance ni matapeli bara kutwa kujivalisha suti 😅

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hao alayance global ni wahuni sana huku kahama waliwadanganya wengi.

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha4268 3 หลายเดือนก่อน +2

    Jamii ya DeC hii...mbaya sana hii kitu. Mnawaumiza vijana

  • @YonaApollo-m1v
    @YonaApollo-m1v 3 หลายเดือนก่อน

    Sawa kabisa

  • @HarunaKitiku-sv1fe
    @HarunaKitiku-sv1fe 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hii kampuni si hii hii iliyopewa masaa 24 na mkuu wa wilaya njombe wawe wameshaondoka? Kumbe wapo kila mkoa?

  • @ChipugeLaulian-fz1mv
    @ChipugeLaulian-fz1mv 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wamepiga rafik angu mlioni 4 dah hao ni shda

  • @anipelutego989
    @anipelutego989 3 หลายเดือนก่อน

    jamani mimi nimefika mpaka kwenye hilo kampuni lakini sjaona mafanikoio zaidi ya kukonda na njaa tulikuwa tunaaidiwa uongo kwakusema mtindo wa maisha nakusaidiana lakini skuweza kupata chochote na iliniskitisha manake niliumwa sikupata msaada na nikagundua ni uongo sana kitendo cha kumwita mtu kwa uongo

    • @anipelutego989
      @anipelutego989 3 หลายเดือนก่อน

      na wazazi wanadanganywa hivo na kampuni hili

  • @yacinterchuwa2148
    @yacinterchuwa2148 3 หลายเดือนก่อน +1

    Qnet awa

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo 3 หลายเดือนก่อน +2

    HATARI HAO KWA NCHI N SHIDA CHUNGUZEN NCHI NZIMA

  • @yohanaraphael1922
    @yohanaraphael1922 2 หลายเดือนก่อน

    Wako pia kahama wengi hao wako bakungile house

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 หลายเดือนก่อน +2

    serikali ikurudishie nauli kwani walikutuma

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 2 หลายเดือนก่อน

    njoo ni itigi na manyoni wapo wengi sanaaa, na saiv wanahamia morogoro

  • @YohanaRichard-e6p
    @YohanaRichard-e6p 3 หลายเดือนก่อน

    Hii kampuni ya alliance in motion global wapo hapa dar tz toka muda labda serikali wafanye uchunguzi maana hii kampuni Haina shida

  • @sayuni123-kl6xk
    @sayuni123-kl6xk 3 หลายเดือนก่อน +1

    MOROGORO wamejaa sana

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 3 หลายเดือนก่อน

      Toa ripoti Polisi waka shughulikiwe. Serekali lazima iwajibike kutoa taarifa ktk redio na TV kupiga marufuku Tzd nzima upuuzi kama huo

    • @emmanuelmponji4553
      @emmanuelmponji4553 3 หลายเดือนก่อน

      Kabisa wamejaa wana jiita Qnet

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe 3 หลายเดือนก่อน

    wapo dar mbagala tafuteni vizuri

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน

      Acha waibiwe hayo mambo yashazungumzwa sana sa ka mtu bado hakomi Kuna nini

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 2 หลายเดือนก่อน

    Yote hayo ukosefu WA ajira kwa vijana wetu mtt anasoma anamiliza chuo lkn kz hamna matokeo ndiyo hayo
    Kz mnapeana wenyewe kwa wenyewe

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 3 หลายเดือนก่อน

    Waao, piga kazimtumishi

  • @DM_15
    @DM_15 3 หลายเดือนก่อน

    Wazee wa hela za unicef

  • @StevenLyimo-u4y
    @StevenLyimo-u4y 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani wasajili wa makampuni hawalijui hilo

  • @GilbertObed
    @GilbertObed 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asa kama Tapeli Tanzania imeingiaje hiv hatuwez jiuliza na sisi
    Na Usalama wa Taifa upo
    Kila Kampun Serikali mwaita Tapeli
    Asa vijana wootee watajiajili kwenye KILIMO
    Kama hamtaki makampun Tanzania myafunge sio kudharirisha Vijana na Heshima zao hao watu wazima kabisa

  • @FrolaMchomvu
    @FrolaMchomvu 3 หลายเดือนก่อน

    Ndugu yangu alingia hapo

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 3 หลายเดือนก่อน

    Mwanangu alishaniambia pia na alikuwa ashaingia hawa watu wanawafatq watt chuo haswaa bahati nzuri tu mtoto wngu alijiongeza mwenyewe akanambia mama ni matapeli hawa akaachaga nilishukuru mnoo maana hili ni.pepo ukiingia utoki kirahisi Sasa hawa waeenda kukaa huko huko baadae serikali ndio inalaumiwa aisee

  • @wisemaliva5376
    @wisemaliva5376 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa wanapiga utapeli kwa biashara ukinunua dawa hii ya meno ukifungua hii lebo inazawani mhh hapo ndiyo upigaji sasa

  • @PascalMwita-bv8kr
    @PascalMwita-bv8kr 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sidhani kama mnaweza kuzifunga sababu wanavibali pia wanao wanasheria😅😅😅😅 jitaidini muwatoe make walimtoa barabarani jamaangu😊😊

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe 3 หลายเดือนก่อน

    dar wapo jaman dar wapo

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe 3 หลายเดือนก่อน

    dar pia wapo hao

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 3 หลายเดือนก่อน

    Mtoto wangu alishawishiwa Kuacha chuo kikuu Ili ajiunge pale morogoro akaambiwa ni shirika la wazungu wanawasomesha nje ya nchi ....sikukubaliana nikaenda kuchunguza nikakuta ni madangulo tu .tembeza ngumi kichapo kikali mpaka Leo watu niliwahacha na alama ya ngeo pumbavu zenu.mtoto wangu nikamrudisha shuleni.......Wapo morogoro wengi wanatapeli wamanyara wameish UZA NGOMBE HADI WAMEISHA SERIKALI TTUSAIDIEN WATOTO WETU WANATELEKEZWA KWENYE MAMBO YA KAMALI

    • @FreyNetwork
      @FreyNetwork 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅🤣🤣🤣safi,,,nimeipenda hio,,,wee ukikuta watwange achia na maalama kabisa🤣😅....very good 💯

  • @Edger-bn2mt
    @Edger-bn2mt 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa hli hii mjuwe vjan kz hawana

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 3 หลายเดือนก่อน

    😀😀😀😀😀😀😀 kumbe mmewakamata eeh hapa tabora wako kama vumbi dah hii dunia hii khaaa

  • @NassTaima
    @NassTaima 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mi nshalipaga 60000😢

  • @stanleypius3365
    @stanleypius3365 3 หลายเดือนก่อน

    Kamata hao matapeli tu

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 3 หลายเดือนก่อน

    Wadada wa Oman wamepigwa sana kwa upumbavu wao yaani niwe Oman hàlafu nijiunge kitu nisichokielewa aisee wale walioliwa hd leo ukiwauliza wanaficha hawataki tuwacheke😂😂😂

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 3 หลายเดือนก่อน

    Wapigaji hao, warejeshe pesa zao na wahusika wachukuliwe hatua kali

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 3 หลายเดือนก่อน

    Qnet qnet qnet matapeli watupu hao!

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 3 หลายเดือนก่อน

    Selikali wasiwaachiwe mpaka warudushe pesa zao uzuli mewakamata

  • @abednego3876
    @abednego3876 3 หลายเดือนก่อน

    Kumbe hawa matapeli wapo? 😂

  • @johnmshuta5133
    @johnmshuta5133 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyo cyo kampuni ni matapel

  • @Jurbeg
    @Jurbeg 3 หลายเดือนก่อน

    Jamaa kapigwa nanjaa mpaka anasahau jumangapi 😂😂😂

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 3 หลายเดือนก่อน

    Mang'ombe hayaishi jamani

  • @johnshauri3130
    @johnshauri3130 3 หลายเดือนก่อน

    Vijana warudishiwe hela walizotapeliwa siyo kupewa nauli

  • @JovinPeter
    @JovinPeter 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa nyie mnashinďwa kuwatäfuta wenye makapun

    • @KhamisOmar-x8f
      @KhamisOmar-x8f 2 หลายเดือนก่อน

      No. Kwa inavyosemekan muanzilishi wa kampuni anatokea Philippines na ndipo ilipoanzia mpaka sasa kufika Tz

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 3 หลายเดือนก่อน

    Ata uku mwanza wapo weng

    • @GilbertObed
      @GilbertObed 3 หลายเดือนก่อน

      Kila inchi hii Campan ipo wew wazungumza Mwanza 😁😁

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 หลายเดือนก่อน

    MLIWAFINYA MIDOMO??

  • @renatusmakolo9023
    @renatusmakolo9023 3 หลายเดือนก่อน

    kwa kuangalia wengine ni kama wahitimu wa chuo kabisa, inauma wanavyofanyiwa na hawa wajanja wajanja

  • @jackloxley2865
    @jackloxley2865 3 หลายเดือนก่อน

    😅😅

  • @MaliusMaliuskagumisa
    @MaliusMaliuskagumisa 3 หลายเดือนก่อน

    🇹🇿😂😂😂😂 tz ninoma sana yn kunamda nafikiliasana akiliya mtumoja inavuta akili zawatu miambiri aiseee aponinoma sana uyojamaa niprofeshino alafu eti network maket 😂😂😂😂

  • @jacksonkoisi6189
    @jacksonkoisi6189 3 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli.hao.ni matapeli.kuna vijana wawili.moja ni waarusha na mwingine anatoka sindeni.majambazi kabisa na ubaya ukifika hapo nawewe unaambiwa mdanganye mwingine aende huko linguine nasikia mkisema wasasi usimuruusu mtoto wako aende akuna mtoto anaye mwambie mzazi anako enta.

  • @Starbrunodg
    @Starbrunodg 3 หลายเดือนก่อน

    Maishamagumu 😂

  • @funnytv9361
    @funnytv9361 3 หลายเดือนก่อน

    Hao jamaa wapo Wengi sana Hapa Tz nilishawahi na mimi Kuitwa niliuzulia siku moja Yani wanakua kama Wamelishwa madawa adi Wana Misemo yao ya Kuitikia, kituo Kipo iringa Ismila Hotel 👈 ndo Walikua apo awo jamaa inabidi Wakamatwe Vijana Wanapotea

  • @FrankGasper-eq2ui
    @FrankGasper-eq2ui 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @DaheerK
    @DaheerK 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hali ngumu ww mkuu wawilaya watafutie kaz siyo kuongea tu

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 หลายเดือนก่อน

      Huo ndiyo upumbavu wetu tunatetea hadi uhalifu..