#live

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 66

  • @ismailhamis2331
    @ismailhamis2331 หลายเดือนก่อน +9

    Kaongea points zote.. kudos ticha Zuberi

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 หลายเดือนก่อน +5

    Vyema kabisa hongera Sana kwa uchambuzi bora kila la kheri kazi njema barikiwa Sana shalom

  • @user-vb6zv8ov8v
    @user-vb6zv8ov8v หลายเดือนก่อน +7

    Uko vzr,wajifunze kwa Nzize wa Yanga kuna mahali tulikuwa tunategemea goli anakosa lile ni suala la umri mature utamuona mwaka huu kisha zoea

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 หลายเดือนก่อน +5

    Uko guuuud sana bwana Zubeir...😊😊😊😊

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 หลายเดือนก่อน

    Big up Zuberi wewe ni mchambuzi na nusu. Uko very objective haupelekwi na hisia

  • @EnockKombolela
    @EnockKombolela หลายเดือนก่อน +2

    Mwl zuber big up sana

  • @NTUSOTV-xx8qe
    @NTUSOTV-xx8qe หลายเดือนก่อน +3

    Uko sahihi mkuu,,, simba nguvu mbili✊✊

  • @Rarmba
    @Rarmba หลายเดือนก่อน +1

    Best mchambuzi ever,huna mbwembwe unongea fact bro,wala hauna upande,nakufuatilia sana uchambuzi wako,uchambuzi wako ni waki football zaidi hauna siasa kabisaa.congrats

  • @omarMchoya
    @omarMchoya หลายเดือนก่อน +2

    Huyo jmaa yupo very Very point san

  • @EmmanuelBukindu
    @EmmanuelBukindu หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa Yuko vzr

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv หลายเดือนก่อน +2

    Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢

  • @JassonKagaruki
    @JassonKagaruki หลายเดือนก่อน +5

    Huyu jamaa apewe ulinzi makolo wakiiona hii tumeisha

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini หลายเดือนก่อน +3

    Madin mwanzo mwisho🎉🎉🎉

  • @RichardAmos-eo9dh
    @RichardAmos-eo9dh หลายเดือนก่อน +3

    Big up zuberi chambuzi la taifa kupitia hii exclusive nimepata madini ya kutosha na baadhi ya facts za kimpira ambazo nilikuwa napata ukakasi kuzielezea.

    • @bentvmedia
      @bentvmedia  หลายเดือนก่อน +1

      Karibu bentv

  • @kayagahamisi572
    @kayagahamisi572 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu ndo mchambuzi sio chambuzi halafu shabiki wa timu fulani

  • @anafiselemani3957
    @anafiselemani3957 หลายเดือนก่อน +1

    Big up sana bro zuberi

  • @mikidadijumanne7441
    @mikidadijumanne7441 หลายเดือนก่อน +3

    Uko sahihi

  • @mohamedikassimu7016
    @mohamedikassimu7016 หลายเดือนก่อน

    Fact broo umenena

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa ni mchambuzi kweli na anajua mpira

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu jamaa Yuko vzr sana

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 หลายเดือนก่อน

    Big upp umeongea kisoccer zaidi

  • @ezramichael7038
    @ezramichael7038 หลายเดือนก่อน +1

    Mpira anaujua vizuri

  • @allysinde6208
    @allysinde6208 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa nimemkubali sanaaa...
    Yani anaongea points za Maana Sana na sio ushabiki.....

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 หลายเดือนก่อน

    Uchambuzi mzuri

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn หลายเดือนก่อน

    sio morata tu hata pale barca kuna kiungo anaitwa thiago alcantara alicheza barca kipindi barca ina viungo wakina inniesta,xavi na busket na hawa wote walikuwa na umri mkubwa lkn barca hawakuwauza mapema hawa wazee ili wamuache thiago ,,mwishowe thiago anaondoka na kwenda timu zingine mpaka jana kastafu

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 หลายเดือนก่อน +3

    Mchambuzi wape hao mambumbu kicheko baada e kilio😅😅😅

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 หลายเดือนก่อน +1

    Hii kichwa imetulia si mchezo jamaa ni mtaatam anajua kuchambua ball. Tunataka wachambuzi kama si kama kina jemdar,oruma,salehe,na wengine km hao

  • @user-em2sd9tm1n
    @user-em2sd9tm1n หลายเดือนก่อน +2

    Kaka shikamoo

  • @salumallymngumba
    @salumallymngumba หลายเดือนก่อน +2

    Umeongea point tupu.

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 หลายเดือนก่อน

    Kocha wenyewe hawajiamini si mtoke nje mkaonyeshe maajabu

  • @user-lo9pb1po8l
    @user-lo9pb1po8l หลายเดือนก่อน

    Serikali mpeni ulinzi huyu jamaa ni tunu ya taifa😂

  • @EnockKombolela
    @EnockKombolela หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ndio chura nini ulicho kuelewa ktk ichi anacho kiongea

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 หลายเดือนก่อน

    Kocha awe na uwezo na uzoefu ns sio uwezo

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa anajua sana

  • @salagolusangija8727
    @salagolusangija8727 หลายเดือนก่อน +1

    Bonge la mchanbuzi

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 หลายเดือนก่อน

    Ukopoa bro

  • @user-yu1zo9pf4o
    @user-yu1zo9pf4o หลายเดือนก่อน

    Huyu km kaka wa "K" mziwanda

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 หลายเดือนก่อน

    Hupepes macho

  • @saidmwinyi4437
    @saidmwinyi4437 หลายเดือนก่อน

    Eeeh mkaraboko umeuwa

  • @franccoz94
    @franccoz94 หลายเดือนก่อน +3

    Wachezaji wengi wa yanga wanamsimu mmoja tuu wa kucheza baada ya hapoo n angukoo

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s หลายเดือนก่อน +1

      Eng. Hersi sio mangungu. Yanga kila mwaka wanabalance timu kwa kuacha wachezaji wanaotegemewa kushuka kiwango na sio kusubiri hadi washuke kiwango. Watafute kina Djuma, Saidoo, Moloko, Lomalisa, Shaibu, Bangala orodha ni ndefu. Yanga ni timu kubwa inasajiri kwa mahitaji na performance.

    • @Evance-op4jw
      @Evance-op4jw หลายเดือนก่อน +1

      nani kakwambia wewe? hawa ni wachezaji wenye uwezo unaoweza kudumu miaka mingi hadi wanakuwa na umri mkubwa zaidi bora wanaume bora kuliko wavulana wasio na uwezo

    • @reonardchatanda6371
      @reonardchatanda6371 หลายเดือนก่อน

      Pole sana. Inaonekana hufwatilii usajili.yanga imeongeza mikataba wachezaji wake wengi muhimu.

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 หลายเดือนก่อน

    Unajua kaka

  • @andrydengaah7389
    @andrydengaah7389 หลายเดือนก่อน +2

    😅😅😅

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw หลายเดือนก่อน +1

    umasema ukweli mtupu ingawa itawauma baaddhi humu

    • @AyubuIssa-np3vc
      @AyubuIssa-np3vc หลายเดือนก่อน

      Aowachezaji wa simba wanamuonekano gani

    • @mwanangusana
      @mwanangusana หลายเดือนก่อน +1

      ​@@AyubuIssa-np3vc😂😂😂 tulia kk

  • @anicethy6978
    @anicethy6978 หลายเดือนก่อน +2

    Mpira wa miguu unachezwa na wavulana ukishakuwa mwanaume,"jua la jioni"huwezi tena,nimemtizama,Modrich, Pepe na CR7 wamejitahidi sana kwenye Euro lakini unaona tu anhaaa

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 หลายเดือนก่อน

      Unaongea nini wewe ,hao aliowataja umeona viwango vyao as individuals!! Umemuona pepe jinsi experience yake vijana walikua hawapiti?? Kuna wachezaji of higher level hawawafikii viwango! Timu lazima iwe mchanganyiko wa vijana na wenye experience! Unajua wenye experience kama CHAMA wanaleta nini dressing room!? Ushauri, uzoefu wa mechi kubwa, confidence,nk kwa vijana bongo shida ni kutojua mpira,as a game! Kuna kitu kinaitwa SENIOR PRAYERS Kwenye timu,unajua maana yake!? Senior players wanakua na umri mkubwa ,wana uzoefu,wamekaa mda mrefu kikosini,! Hao husaidia vijana kukua! Simba hao watoto watajifunza kwa nani!? That means watachukua mda mrefu to catchup ,to gel,to learn,and to GAIN experience! Utaona Yanga wakikutana na hao watoto! Kijana mwenye umri mdogo kumkaba mtu kama pacome, Aziz nk ni shida! Akimwangalia Aziz anataka amsalimie🤣🤣🤣Thats how football WORKS!

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda หลายเดือนก่อน +2

    Kweli

  • @salummbuleti6047
    @salummbuleti6047 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mchambuzi wako ni chizi

  • @AyubuIssa-np3vc
    @AyubuIssa-np3vc หลายเดือนก่อน

    Uyo nimweu tu mpira sio umri .simba wakisajili wakubwa unasema wazee

    • @mwanangusana
      @mwanangusana หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂 mmeleta wachezaji kwaajili ya tamasha la saba Saba

  • @AyubuIssa-np3vc
    @AyubuIssa-np3vc หลายเดือนก่อน

    Uyo nichura kama chula wengine

  • @suleymanyasinmkufu1570
    @suleymanyasinmkufu1570 หลายเดือนก่อน

    Amejaa wivu ,uto.

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u หลายเดือนก่อน

    Utopolo huyo hakuna Anachoongea hapo maneno meengi lengo Lake limeeleweka

    • @mwanangusana
      @mwanangusana หลายเดือนก่อน +3

      😂😂😂😂 Nenda kasikilize mapambio kwa akina jemedariiii, oruma na Jeff

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 หลายเดือนก่อน

    Huna jipya wewe ebu tupishe

    • @mwanangusana
      @mwanangusana หลายเดือนก่อน +2

      Tupisheee wewe

  • @user-rp8ke2nb5i
    @user-rp8ke2nb5i หลายเดือนก่อน

    Bonge nysnya wachambuzi wa tz vinyonga

  • @gerowadamwandika669
    @gerowadamwandika669 หลายเดือนก่อน +2

    Mchambuzi wa mchongo wewe, umetumwa na vyura kwendaaaa hukoooo

    • @erasmuskwayu5643
      @erasmuskwayu5643 หลายเดือนก่อน +1

      Sawa tutaonana kwenye Ligi na Shirikisho Afrika tutajua huyu anajua au hajui

  • @user-cm7yl9ej7i
    @user-cm7yl9ej7i หลายเดือนก่อน

    Kuma ya mama zenu

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv หลายเดือนก่อน +2

    Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢