Jamaa anaongea ukweli ambao haupendwi na mashabiki wengi wa simba! Ninachokiona mimi pale simba bado wanaishi kimazoea na kufanya mambo ya kizamani wakati muda umeshatuacha na mambo yamebadilika sana, simba ikitaka kuhama huko iliko inatakiwa mabadiliko ya uongozi na uwekezaji, mfadhili mwingine pia mwenye kiu ya mafanikio na sio ujanja ujanja unaondelea pale simba! Scouting ya simba ni mbovu haijawahi kutokea, pale simba kwa Sasa labda ashuke Malaika Kuja kufanya miujiza lakini kwa Sasa simba ni kama mtibwa tu hakuna tofauti
Kolo wote kama mngekuwa kama huyu mwenzenu mngekua tayali mko mbali sana huu ndo ukweli mchungu kolo fungukeni mnadanganywa na viongozi wenu wabovu duniani koye hakuna mhindi anaendesha club yampira zaidi ya rugby
Hamna kitu, alikuwa anasifia usaji wao😂😂sasa HIVI wameanza kuona hamna usajili wa bilioni 7😂😂! MO NA UONGOZI,na msemaji wao, wanawadanganya! Na namwambia kolo msimu huu, watapigwa sana !
Kweli wanakata pumzi wanakata Moto, kama kapombe hadi miguu inakufa ganzi na kugandana wanacheza kwa mihemko kuwafurahisha washabiki kutegemea sifa kutoka kwa mashabiki
Daa feruzi toka nimekufahamu leo umeongea ukweli na kama viongozi wako watakusikiliza ukweli unaongea wataufanyia kazi ila kama bado wanachumia tumbo mtateseka sana
Unaongea kwa mbwembe mashabiki wa Yanga wanakufurahia tu...miaka mitano ya Nyuma ulikuwa unaongea Nini..Yanga walisafa miaka 3 ya nyuma na walichukua wachezaji kutoka Congo ... brother ni suala la Muda tu...huo ndio Mpira lkn kama unaongea kwa kutafuta Viewers na hiyo on line media yako big up
Lina roho mbaya uso mbaya Tabia mbaya akili mbovo nguruwe Poli usituvuruge sisi Simba sio watu was matusi unalazimisha tukutukane wew kama n kipofu ss tunaona Simba imebadilika sana
Simba tuwe making San na hawa watu,, kushindwa mara tatu ni sehemu ya mchezo mbona ht wao walisubir miaka mnee? Ndio tumefer lkn hatupasw kulalama kia S hicho
Huyu jamaa Nimemuelewa aliposema kwamba MO alilalamika ametoa bil 20 wamezila...leo katoa hela za usajili Halafu kawarudisha walewale.....🤣🤣🤣....lkn MAKOLO washasahau 🤣🤣🤣
Bado hamjasema bado hamjasema bado bado kumbe kuna wana simba wanaakili hivi ndio maana mimi nilivyo ona simba inasajili wale madogo ndio nikaona hawa hawawezi kumleta mchezaji kama Aziz ki feitoto pacome kwasababu pesa inapelekwa ndogo lafu tunaambiwa pesa nyingi sana sasa hivi tunaambiwa bilioni 7 kuelekea 8 kabisa si kupigwa uko
Yan wewe jamaa unaakili na wewe hupewi posho ya kusifia kama wakina kisugu ila kweli timu ya Simba ni mbovu asilimia 100 kama wachezaj wanatudanganya ma MVP wakila nchi then uwanjan 0 huo ni utapeli wakuaminika ko tutazid kuitwa madunduka had 2030
Mashabiki maandazi Sasa kweli wewe unaona timu iko vizuri kabisa? 😂😂 Kumbuka ligi ndio imeanza huko kujitafuta ni mpaka lini? Mkija kushtuka yanga bingwa na mnaishia nafasi ya nne😂😂
Kaka nimekuelewa hoja zako big up
Feruzi umeeleweka,,,nimekuelewa,na upo sahihi kabisa.
Jamaa anaongea ukweli ambao haupendwi na mashabiki wengi wa simba! Ninachokiona mimi pale simba bado wanaishi kimazoea na kufanya mambo ya kizamani wakati muda umeshatuacha na mambo yamebadilika sana, simba ikitaka kuhama huko iliko inatakiwa mabadiliko ya uongozi na uwekezaji, mfadhili mwingine pia mwenye kiu ya mafanikio na sio ujanja ujanja unaondelea pale simba! Scouting ya simba ni mbovu haijawahi kutokea, pale simba kwa Sasa labda ashuke Malaika Kuja kufanya miujiza lakini kwa Sasa simba ni kama mtibwa tu hakuna tofauti
Hao hawawezi kukuelwa kwa vile wamekalia oohh bahasha, oohh gsm, oohh wanakunywa supu, oohh wachawi, oohh wanapendelewa, bas vurugu mtupuuuuuuuu.
Huyu si alikua anasifia usajili😂😂😂? Sasa hivi vipi! Huyu huyu! Kasifia sana Mo! Na Bado! Mechi moja tu mnalia, subirini 😂😂😂
😂😂 safiii,eti unajenga tim kwa ma MVP wanchi za kigeni,wasidanganye watu😂😂🎉🎉🎉
Jamaaa kaongea Kwa uchungu sana kweli Simba mashabiki wapo wa dhati kabisa ila uongozi wao tu ndio shida.
Hawa ndio simba wenye kujitambua sio wale simba oya oya
straiker anakimbia anafumba macho😂😂😂
Mambo ninayoyapenda haya 😂😂😂
Napenda waendelee kufarakana 😂
@@jaffjeff6912na watatafutana msimu huu 😂😂😂 ,
@@errydeo8865 muda simrefu utawasikia kocha aendani na timu au atumtaki Mangungu 😂 😂 tumemis sana hivo vitu
@@jaffjeff6912 aisee,msimu huu utakuwa raha sana! Weshaanza,Yanga wanatumia madawa ya kuongeza nguvu🤣🤣🤣( sio uchawi tena) kocha wao,bado hajawashiwa moto, na msauzi asivyopenda kuwakiwa na mweusi! ( Mkaburu yule) Wee?
Nyie mnamtukana mtu Kwa kuongea ukweli mnazidi kulilaani timu lenu shauri yenu
Hao ukiwaambia timu nzuri Haina shida wanakupigia makofi ila ukikosoa utatengwa
Hamia yanga
Feruzi Mimi nakuelewa endelea kutujengea timu yetu wewe na Miraji tupo nyuma yenu tunaopenda maendeleo ya Simba
nimechukua hii brother Yule mtoto alivyo na akiliiiii kazi tunayo
Simba wanachukua wachezaji ambao hawana viwango
Bado kaka,mazoea yanatabuuu
Upo vizuri sana jamaa yangu na Brandi itashuka sana
Kolo wote kama mngekuwa kama huyu mwenzenu mngekua tayali mko mbali sana huu ndo ukweli mchungu kolo fungukeni mnadanganywa na viongozi wenu wabovu duniani koye hakuna mhindi anaendesha club yampira zaidi ya rugby
Hamna kitu, alikuwa anasifia usaji wao😂😂sasa HIVI wameanza kuona hamna usajili wa bilioni 7😂😂! MO NA UONGOZI,na msemaji wao, wanawadanganya! Na namwambia kolo msimu huu, watapigwa sana !
JAMA anajua mupila
Umeeleweka kaka
Acha inyeshe tuone panapovuja😢😢
😂😂😂😂😂Mshambuliaji kafumba macho!
😂😂😂😂 Simba ilikua bora wakati Yanga walikua hawana uwezo.
Kweli wanakata pumzi wanakata Moto, kama kapombe hadi miguu inakufa ganzi na kugandana wanacheza kwa mihemko kuwafurahisha washabiki kutegemea sifa kutoka kwa mashabiki
Nyiye mashabiki wasimba msikileni sana anachoongea Nasoro hapo mmekalia kumsikiliza msemaji wenu na porojo zake kila mala
😅😅Nimecheka kwa nguvu
Simba ubabaishaji kwenye sajili unashida pia uongozi haunawatu wa mpira
Kaka umeongea pont❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hahahaaaa makolo hawapendi kuwaambia ukweli
Mh!Mtani kwa apo ulipofika umeumia vya kutosha,naweka utani pembeni nasema pole Mtani
Yanga bingwa tena
😊😊😊😊😊😊
Daa feruzi toka nimekufahamu leo umeongea ukweli na kama viongozi wako watakusikiliza ukweli unaongea wataufanyia kazi ila kama bado wanachumia tumbo mtateseka sana
Unaongea kwa mbwembe mashabiki wa Yanga wanakufurahia tu...miaka mitano ya Nyuma ulikuwa unaongea Nini..Yanga walisafa miaka 3 ya nyuma na walichukua wachezaji kutoka Congo ... brother ni suala la Muda tu...huo ndio Mpira lkn kama unaongea kwa kutafuta Viewers na hiyo on line media yako big up
Asante kaka waeleze ukweli viongozi wa makolo Bado usajili wamefeli🤣🤣🤣🤣🤣
Kawchana
Duuuu😂
hamjui mpira simba ktk mechi mbili goli saba mnalalamika simba iliyochukua ubingwa haikuwahi pata goli saba ktk mechi mbili za mwanzo
Kak kwa timu gani goli 7 wachezaj wasio na vibali😂😂😂😂
Mashabiki w a simba wanapenda upuuzi wa gb 64 tu mwingine akiongea ukweli anaambiwa mamluki
Wenzenu wanakwenda kuhemea supermarket wakat nyie mnakwenda kuzoazoa wachezaji wa kurujuwani😂😂😂😂😂
Huyu jamaa namuenea huruma maana amejaa ushabiki kweli ingawa wengi watachukia
Bora sema kaka achana na kina gb 64 chaji hamna pale
Lina roho mbaya uso mbaya Tabia mbaya akili mbovo nguruwe Poli usituvuruge sisi Simba sio watu was matusi unalazimisha tukutukane wew kama n kipofu ss tunaona Simba imebadilika sana
Kubali ukweli
Uko vzr kaka
SIMBA MKIPATA VIJANA KAMA HAWA 10 MTAELEWEKA
Kweli Koloa wangekua kama huyu jamaa duu
Wewe yanga umetimwa
Huyo ana machungu kukuzidi wewe
Usifungue code
Aliekosea ni elisasi angeachezesha mechi kihalali tukawanyoosha hakuna kolo angekuwa anatowa matusi
Simba tuwe making San na hawa watu,, kushindwa mara tatu ni sehemu ya mchezo mbona ht wao walisubir miaka mnee? Ndio tumefer lkn hatupasw kulalama kia
S hicho
Watu wanakuja wanakupiga wewe tuh 😂😂😂Mara Tatu jamaa Anapointi sanaaa asikilizweeee😅
Huyu kocha wa academic siyo tim
Ajalewa kweli huyu
Yaani mpaka mseme na bando mtakoma kenge nyinyi
Feruzi waambie ukwel ao madunduka wasuojielewa
Mapeema kazi imeanza
😂😂😂😂😂😂😂
Huyu ndio ana akili simba nzima 😂
ubaya ubwela
Wewe ndio mnjanja simba imekua timu ya komedi sasa ivi msemaji wa makolo anadanganya mashabiki alafu mashabiki wana mshangilia atari sana kwakweli
Huyu jamaa Nimemuelewa aliposema kwamba MO alilalamika ametoa bil 20 wamezila...leo katoa hela za usajili Halafu kawarudisha walewale.....🤣🤣🤣....lkn MAKOLO washasahau 🤣🤣🤣
Mapemaa wameanza ndio mechi ya kwanza tu.
Huyu bro anajitambua una udunduka kidogo
Akiongea MCHOME, Sam SIMBA, utasikia ohhh, yanga wale! Ila wanasema ukweli
Sngekuwa simba angekuwa na mkia
Makoro Wengi hawata mwelewa huyu jamaa lakini naamini watamwelewa mda c mrefu kabisaaaa.
Waambie hao wengine hajielewi timu bovu upon sawa
Ulieva jez ya Simba ndo nimekuelewa naligi yetu sasaivi imekuwa
Kaka unahoja ya mhm sana achana akina ksugu
Jamaa anaongea pwent alf anaongea kwa uchungu
Tengeneza timu yako bwege ww kazi kulalamika tu,timu hii ya Simba haina shida yeyote ni muunganiko tu ndo kilichobaki...
Wewe ni taahira
Wachezaji wazuri mimi naona shida ni kundi la ufundi na Kocha
Kunywasoda kwa mangi nakujakulipa
Ongea qaq kolo make hawakuelewi😢😢😅😅
Sasa c uwende ya proo Sasa kipi unalalamika
Hivi steve umeandika nn dah! Mazwazwa ww.
Huyu jamaaa kaongea fact kabisa , maoni murua kabisa
Ahamed amesikia??
Hii ni brain 🧠🧠🧠 ya kwanza kuliko wote simba
Huyu ni mtu mwenye akili zake. Huyu sio chawa. Huyu ni mtu hambae hanajua mpira. Sio kama wale wakina kisugu. Na Gb.
Bado hamjasema bado hamjasema bado bado kumbe kuna wana simba wanaakili hivi ndio maana mimi nilivyo ona simba inasajili wale madogo ndio nikaona hawa hawawezi kumleta mchezaji kama Aziz ki feitoto pacome kwasababu pesa inapelekwa ndogo lafu tunaambiwa pesa nyingi sana sasa hivi tunaambiwa bilioni 7 kuelekea 8 kabisa si kupigwa uko
Nyiee makoro gamondi atawafukuzisha makocha wengi Africa poreni sana
SIMBA HAINA SHABIKI ZUZU
Semasema baba ukweli Simba mbovu wakubali wakatae hawana levo ya wachezaji wa yanga alafu vijana hahahahah sijaona vijana kamahao
Wewe kweli ni kolo unae jitambua wewe waache watafute muunganiko sisi makombe tunachukua😂
Mm ni shabik wa yanga ila mwamba upo vizur unaongea pwent
Yan wewe jamaa unaakili na wewe hupewi posho ya kusifia kama wakina kisugu ila kweli timu ya Simba ni mbovu asilimia 100 kama wachezaj wanatudanganya ma MVP wakila nchi then uwanjan 0 huo ni utapeli wakuaminika ko tutazid kuitwa madunduka had 2030
Muko wengi nyinyi
Huyu shabiki maandazi kapenda mpira ukubwani
Wewe ndie andaz usiye jitambua
Duuuh @Mohammed basi Simba nzuri wamesajir wachesaji viwango vya juu
Wezio wengi mandundu sana hawaoni ayo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Njaa anakusimbuampuuzi
Angalia sana tutakufungiia na ujifunze kuongea wewe
Ushakunywa supu ya vibudu unasumbua wanaume
kwani wewe lazima ubaki simba nenda huko nyinyi wapenzi wa mchongo tumeshawagundua hamtubabaishi hulazimishi kuwa simba mnajifanya simba kutaka mtuvuruge hamfanikiwi
Ww n brain zero!!! Na m kuchukua ubingwa wa ndan tuu tunakomaa!!!
Mashabiki maandazi Sasa kweli wewe unaona timu iko vizuri kabisa? 😂😂 Kumbuka ligi ndio imeanza huko kujitafuta ni mpaka lini? Mkija kushtuka yanga bingwa na mnaishia nafasi ya nne😂😂
@@dawayao2837alafu utasikia Gsm anatimu nyingi
Mbona mapema hivi nyie makolo
Huyu naye ni mkundu tu.
Mara ubwelaaa,misemo ya kijinga kijingaaa🤣🤣🤣🤣💚💛👍💪💪zetu dua cku zote
Hivi kumbe dunduka ni nazi isiyokua na kitu
Dunduka ni nazi isiyokua na kitu ety😂😂😂😂😂😂
Huyu ni mamluki.
Huyu mbumbumbu kweli anashida gani