Maokoto yanaingia kwao Sisi wajinga huku tunabaki hamuwezi, fulani ni bora Kuliko fulani ,mara matusi, kwahili tujitahidi kuwa na ushabiki wa kistaarabu
Kuna wajinga wengine hapahapa wanaleta eti flani hamuwezi flani.hayo ni mapenzi yako na si mapenzi ya watu wengine.Kwanza hawa jamaa wana ule utani wa jadi ambao unafurahisha na unavutia.
Mabest wamekutana tena😂..kakosekana yule wa azam team ikamilike
Hongerenisana maashaallaah
Ali komwe anajikaza kupambana na Ahmed lkn hamuwez ht kdg, Ahmed Ali semaj la dunia yuko juu sn 😂😂😂
Hujui kitu unazungumzia ushabiki tuu
Yaani yeye anachoona mpira TU wakati wasemaji wanaingiza fweza hongereni wasemaji
Kwani wamekwambia wanashindana hapo?
Mmeuwa sana
Nimependa mnavyo fanya kazi pamoja bila kujali kua ni watani wajadi
Unayeteseka ni ww maana Hawa watu ni kama wanajuana sana nivile wanakusanya maokoto tu
Hawa jamaa nawakunali sana
Wasemaji bora ila semaji la dunia noma
Hawa ni marafiki SANA ndicho nachoweza kusema
Sana tena wanapendana Sana BGP kwaoo💪
Aise
Apo cmtumi fundi nitakua naenda mwenyewe namm nazitaka hizo
Aaaaaah kasim kimbute mwanasheria msomi mare wa same aaaaah! aka bambinyo huyo
Ahmed nihatali
Mim yanga ashamed ally ni msemaj wa logo ngum?
Huwa nafurahi Sana nikiwaona mmekaa sehemu moja , nachekaga Sana mkitaniana.
Watu sahihi, Kwa Jambo muhimu. Hawa watu vibonzo kweli , yaani Ni Raha wakiwa pamoja.
Mnavyofanya kazi inapendeza.
Alikuwa mjinga mjinga sasaivi mjinga mjinga ni wewe Ahmed Ali 😂😂😂💛💚
Hapo mtu anaeongea point ni ally kamwe comedy ni hamed ally hiyo ndio fact
Kwani nani zaidi kati ya baba mwenye nyumba na baba mwenye gari?
Kamwe humuwezi Ahmedi kwa Vibonzo
Semaji kuwa makini na hao nyuma mwiko wasije wakurushie majini
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Awa jama wanajuan saaan shida ni za kwenu hawa wala hata wahan shida
Maokoto yanaingia kwao Sisi wajinga huku tunabaki hamuwezi, fulani ni bora Kuliko fulani ,mara matusi, kwahili tujitahidi kuwa na ushabiki wa kistaarabu
Kuna wajinga wengine hapahapa wanaleta eti flani hamuwezi flani.hayo ni mapenzi yako na si mapenzi ya watu wengine.Kwanza hawa jamaa wana ule utani wa jadi ambao unafurahisha na unavutia.