Jemedari, kama mtu hata Simu amezima au amebadikisha, rafiki yake hapatikani na nyumba yake amehama sasa email unafikiri atafungua au atajibu?? Mbona kama unaona email ndiyo njia sahihi zaidi kuliko Mawasiliano mengine?
Waandishi jaribuni kuwa mkiuliza swali na mkijibiwa kifasaha, msilazimishe mtu kwenda tofauti na swali, na mkishajibiwa basi kaeni mlijadili na zaidi kutoa ushauri na timu husika, msilazimishe mtu mmoja mlie muuliza swali yeye asimame pekeake kujibu kitu ambacho cyo. Sijui huwa mnajisikilizaaa.... Haaaa...
Kauli hiyo haitoi uhalali wa kutozingatia utaratibu wa kuondoka. Kama wengine waliomba kuondoka, ht Asha alikuwa na fursa ya kufanya hivyo! Kimsingi, alichofanya huyu binti hakikubaliki na ni kiashiria cha kukosa fadhila kwa Simba SC iliyomfikisha hapo!
Km kuna timu inamhitaji si ifuate utaratibu?Anajiunga vipi na timu wakati ana mkataba?Waadishi mbona nyie ni makanjanja mnashabikia hilo wakati mnajua utaratibu?
Tatizo la waandishi wetu, huwa wanauliza swali ambalo tayari wanamajibu Yao, wewe kama mwandishi wa habari unaulizwa swali unajibiwa Bado ni mchezaji wetu, wewe unalazimisha Kwamba ameshasajiliwa pengine, Sasa umeuliza swali la Nini!!? Mbona kama mnamforce meneja aseme kitu ambacho akina uthibitisho!? Umeuliza swali kuthibitisha kubali majibu uliyopewa na cyo kuforce mtu ajibu kuendana na ulichonacho kichwani, jamaniii....
Jemedari acha gubu ya mchezaji wako Manulla.crown zingatieni conflict o interest huyo ana hasira na simba kisa msimamizi wa Aishi manulla.muomdowniyeyw meneja wa mchezaji,ceo jkt mchambuzi crown.hii ni mbaya kuliko udhamini wa kwenye ligi.anatumia nafasi yake kukandamiza aliotofautina nao kwenye biashara
Kuna namna sasa viongozi wa simba wanapaswa kua wakali kwa hawa wachezaji. Maana mazoea hujenga tabia yani kila anaetaka kujfunza uhuni wa kuiba wachezaji anajfunzia simba. Nadhan Aisha kajfunza kwa KIBU.viongoz wetu mbadilike
Sasa wewe jemedali unakomaa kumbe huna hata hoja , we fala kweli . Kwani mtu kuwa na mkataba maana yake ni nini? Huyo hata hawezi kutusumbua , wewe nani mpaka tukwambie ? Mengine yataishia ndani. Jemedari na wewe huenda ndiye mmoja wa hao.
Yaani nyinyi watu nawashangaa sana kwani hamjui kuwa jemadari saidi 0:00 inamuuma sana kuhusu manula ndiyo maana anatoa maneno machafu kwa simba, mchezaji wake manula kumuweka benchi jemadari roho inamuuma pili yeye na kitenge wanabiashara ya kutafuta mabwana hao ni wasenge wa jangwani
Huyu anae itwa jemedari Huyu ni fara tu.... Wewe jemedari Acha ujinga wako wa utopolo Umetumwa na utopolo?? Ni heri yako endelea na hao utopolo... Pia na huu msimu endeleeni kununua TFF na marefa kama ilivo kawaida yenu!!!!!!
HIYO NDIO TAFSIRI YA UBAYA UBWELA...KAMA MLIVYOWAFANYIA KMC KWA AWESU AWESU KWA KUMSAJILI AKIWA NA MKATABA WA MWAKA NA NYIE KUWENI WAPOLE MUACHENI AENDE ANAPOTAKA
Kazumari umefeli sana kwa unayoyahoji,ajitafakari fny kaz professionally🙏
WEWE AISHA MNUKA KM UNAFANYA UJINGA UNAONDOKA BILA KUAGA UTAFUNGIWA WEWE NI MJINGA SANA UNAHARIBU KIWANGO CHA MPIRA WAKO.
Jemedari, kama mtu hata Simu amezima au amebadikisha, rafiki yake hapatikani na nyumba yake amehama sasa email unafikiri atafungua au atajibu?? Mbona kama unaona email ndiyo njia sahihi zaidi kuliko Mawasiliano mengine?
Waandishi jaribuni kuwa mkiuliza swali na mkijibiwa kifasaha, msilazimishe mtu kwenda tofauti na swali, na mkishajibiwa basi kaeni mlijadili na zaidi kutoa ushauri na timu husika, msilazimishe mtu mmoja mlie muuliza swali yeye asimame pekeake kujibu kitu ambacho cyo. Sijui huwa mnajisikilizaaa.... Haaaa...
Jemedari kichwa box..... Sasa kama mtu hataki mawasiliano hata ukimtumia email hatojibu....
Wewe jemadari kama mtu amesema sina emails nina namba za simu unamlazimishaje? Mwache aende sheria si zipo
Kauli hiyo haitoi uhalali wa kutozingatia utaratibu wa kuondoka. Kama wengine waliomba kuondoka, ht Asha alikuwa na fursa ya kufanya hivyo! Kimsingi, alichofanya huyu binti hakikubaliki na ni kiashiria cha kukosa fadhila kwa Simba SC iliyomfikisha hapo!
Tulishakubaliana mchezaji Kama furaha aruhusiwe kuondoka.kama fei.hata Kama msichana Tena ndo muhimu asisumbuliwe
@@chuchumeta8374kumbuka mchezaji ana mkataba wa mwaka mmoja kisheria ilitakiwa avunje mkataba wake ndy aondoke.
Ni hivyo tu, mliyoyaanzisha nyie ndiyo yanayoendelezwa na wengine. Aweso mlimchukua vivyohivyo kwahiyo tulieni dawa iwaingie.
Mm ninachoona wachezajiwetu Awana elimu jemedar Leo una mashwali
Ata kuwa mchepukaj
Km kuna timu inamhitaji si ifuate utaratibu?Anajiunga vipi na timu wakati ana mkataba?Waadishi mbona nyie ni makanjanja mnashabikia hilo wakati mnajua utaratibu?
Tatizo la waandishi wetu, huwa wanauliza swali ambalo tayari wanamajibu Yao, wewe kama mwandishi wa habari unaulizwa swali unajibiwa Bado ni mchezaji wetu, wewe unalazimisha Kwamba ameshasajiliwa pengine, Sasa umeuliza swali la Nini!!? Mbona kama mnamforce meneja aseme kitu ambacho akina uthibitisho!? Umeuliza swali kuthibitisha kubali majibu uliyopewa na cyo kuforce mtu ajibu kuendana na ulichonacho kichwani, jamaniii....
Kwan hata kama akawa na hiyo email alafu ukamtumia letter alafu akaacha kuijibu nn kitafanyika😅😅
Jemedai unakausege wew
ila Jemedari akili yake mbovu, nadhani njaaaa
No professionalism hapo , hasa huyo Aisha
Jemedari acha gubu ya mchezaji wako Manulla.crown zingatieni conflict o interest huyo ana hasira na simba kisa msimamizi wa Aishi manulla.muomdowniyeyw meneja wa mchezaji,ceo jkt mchambuzi crown.hii ni mbaya kuliko udhamini wa kwenye ligi.anatumia nafasi yake kukandamiza aliotofautina nao kwenye biashara
Huko aloko atakwama, mn simba ndo imemfikisha hapo alipo huko atakwama tu mn niulimbukeni
Jemedari hacha ushabiki mpaka kwa hao Simba qun,hiyo chuki yako hii Simba hiyo roho yako polisi wanamtafuta mwalifu na hawampati sembuse Simba
Kuna namna sasa viongozi wa simba wanapaswa kua wakali kwa hawa wachezaji. Maana mazoea hujenga tabia yani kila anaetaka kujfunza uhuni wa kuiba wachezaji anajfunzia simba. Nadhan Aisha kajfunza kwa KIBU.viongoz wetu mbadilike
Katongozwa mbio kwa bwana
Awezi kuchetimu nyingine wakati anamkataba nasimba
Ww jemedali hata ukimwamba kama hataki kutekeleza kama ameamu naumemfunguli na kabadilsha unaulizwa swali lakipumbavu sana
Sasa wewe jemedali unakomaa kumbe huna hata hoja , we fala kweli . Kwani mtu kuwa na mkataba maana yake ni nini? Huyo hata hawezi kutusumbua , wewe nani mpaka tukwambie ? Mengine yataishia ndani. Jemedari na wewe huenda ndiye mmoja wa hao.
Lakini Simba acheni kubembeleza wachezaji
Ila jemadar bhana unazingua bhana imeli nimali ya mtu binafs
Kwa hiyo Jemedari wewe unataka Simba wachukue Polisi wakamkamate Aisha? Simba wajibu wao wameshamaliza huyo Aisha ataonekana tu
Ahahahaha uyo jamaaa ni unga aisee.....
Jemadari!!!!! Kama mtu kaweza kubadili namba ya simu atashindwaje kuifuta email? Unaongea saana!!!
jemedari tulikuambia lazma useme ya moyoni. utaumia sana kaka pole.
Aiseee kuna muda ukisikiliza mtu anavo uliza, unajikuta unaanza kujiuliza pia... Eti muajiri amfuatilie muajiriwa anapo kaa, anapo hama nk... Unprofessional kabisaaa.... Mchezaji anatakiwa kurudi kazini, full stop... Anyway ahahahaha
Jemedari kenge kweli
kwnn jemedal leo kawa wa hovyo cjawah ona..
Kwanini akimbie😂?
Hpa inaonekan Jemedar kahusika kumtorosha huyu Binti anaongea Kwa hsira sana
Abari zenu ❤❤❤
Kalifuata guu au
Achana na Jemadari .anakusumbua bure
Jemedari una maswali ya kijinga junya la yanga.fala
Huyo binti Hana fadhila kama chama ni walewale aende tu kwa ni Simba queens itakufa? Haifi na ya wanaume haifi
Acha utotot jemedari kwani email hazifutwi, badilishwa au blocked. Nyumba ya pazia wewe si unawasimamia wachezaji vipi huyu hujamsimamaia?
Jemedari huna akili
Yaani nyinyi watu nawashangaa sana kwani hamjui kuwa jemadari saidi 0:00 inamuuma sana kuhusu manula ndiyo maana anatoa maneno machafu kwa simba, mchezaji wake manula kumuweka benchi jemadari roho inamuuma pili yeye na kitenge wanabiashara ya kutafuta mabwana hao ni wasenge wa jangwani
Aisha juma anatamaa na hajielewi badala ya kutumikia mkataba wake kwanza anafanya mambo yake kihuni acha atakula mbivu kama kibu denga
Jenedali hamna kitu
Kwani yeye nani aende zake uko nyiti tu
Good morning Humu ndani 😂😂
Mnashangaa Aisha kuondoka?Mbona nyie waandishi mnashoboka sana?Kipi cha ajabu?Simba ni kubwa kuliko mchezaji..
Jemedari kwani ni lazima mtu kuwa na imeli? Unakuwa mkali KM umetumwa? ACHANA NA SIMBA.
Jemedali umekosa weledi leo.Unakurupuka na maswali ya hovyo.
Jemedari we yangaaa
Hiyo takataka haituhusu,yenu hiyo
Yaani Jemedari na Kitenge kama wamezaliwa siku moja kwa ujuaji!!!
Kwani kamaunamjua mchezaji anapo kaa akiamua kufanya uharifu kamahuo siwanaweza kuhama
Mfungaji bora ndio sababu ya kutoroka?Simba si ndio ilimfanya aonekane?Jemedari wewe nini huelewi?
Wanataka kufanya kama kibu nikumfungia tuu
huyo meneja kama choko hata kujieleza hawezi quma kweli
HAO WAANDISHI NI MAADUI WA SIMBA SC!😂😢😅
SELE ACHANA NA JEMEDARI HUYO HAELEWI UNAMWELEKEZA YEYE ANAENDELEA KUULIZA MASWALI.
Huy jemedar mbn hasubiri mtu aelezee vizur anakurupuka kurupka
Aende tu wenzake wanaendelea vizuri kuliko alivyokuwepo huyo njiti
Huyu anae itwa jemedari
Huyu ni fara tu....
Wewe jemedari Acha ujinga wako wa utopolo
Umetumwa na utopolo??
Ni heri yako endelea na hao utopolo...
Pia na huu msimu endeleeni kununua TFF na marefa kama ilivo kawaida yenu!!!!!!
Leo Mimi niwapili naomba like zangu 😂😂🎉🎉❤
Ww mfitinishaji tu huna lolote
HIYO NDIO TAFSIRI YA UBAYA UBWELA...KAMA MLIVYOWAFANYIA KMC KWA AWESU AWESU KWA KUMSAJILI AKIWA NA MKATABA WA MWAKA NA NYIE KUWENI WAPOLE MUACHENI AENDE ANAPOTAKA
Jemedali unamaswali ya kitoto kama sio msomi