AISHA MNUNKA AWAKIMBIA WENZAKE KAMBINI / MENEJA SELEMANI AANIKA WAZI KISA CHOTE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 68

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kazumari umefeli sana kwa unayoyahoji,ajitafakari fny kaz professionally🙏

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 หลายเดือนก่อน +6

    WEWE AISHA MNUKA KM UNAFANYA UJINGA UNAONDOKA BILA KUAGA UTAFUNGIWA WEWE NI MJINGA SANA UNAHARIBU KIWANGO CHA MPIRA WAKO.

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jemedari, kama mtu hata Simu amezima au amebadikisha, rafiki yake hapatikani na nyumba yake amehama sasa email unafikiri atafungua au atajibu?? Mbona kama unaona email ndiyo njia sahihi zaidi kuliko Mawasiliano mengine?

  • @AgnesNjau-iq3gf
    @AgnesNjau-iq3gf 2 หลายเดือนก่อน

    Waandishi jaribuni kuwa mkiuliza swali na mkijibiwa kifasaha, msilazimishe mtu kwenda tofauti na swali, na mkishajibiwa basi kaeni mlijadili na zaidi kutoa ushauri na timu husika, msilazimishe mtu mmoja mlie muuliza swali yeye asimame pekeake kujibu kitu ambacho cyo. Sijui huwa mnajisikilizaaa.... Haaaa...

  • @herbethlukogela7657
    @herbethlukogela7657 2 หลายเดือนก่อน

    Jemedari kichwa box..... Sasa kama mtu hataki mawasiliano hata ukimtumia email hatojibu....

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe jemadari kama mtu amesema sina emails nina namba za simu unamlazimishaje? Mwache aende sheria si zipo

  • @enockmlyuka6475
    @enockmlyuka6475 2 หลายเดือนก่อน +6

    Kauli hiyo haitoi uhalali wa kutozingatia utaratibu wa kuondoka. Kama wengine waliomba kuondoka, ht Asha alikuwa na fursa ya kufanya hivyo! Kimsingi, alichofanya huyu binti hakikubaliki na ni kiashiria cha kukosa fadhila kwa Simba SC iliyomfikisha hapo!

    • @chuchumeta8374
      @chuchumeta8374 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tulishakubaliana mchezaji Kama furaha aruhusiwe kuondoka.kama fei.hata Kama msichana Tena ndo muhimu asisumbuliwe

    • @DandiGadafi
      @DandiGadafi 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@chuchumeta8374kumbuka mchezaji ana mkataba wa mwaka mmoja kisheria ilitakiwa avunje mkataba wake ndy aondoke.

    • @johnmsabaha7399
      @johnmsabaha7399 2 หลายเดือนก่อน

      Ni hivyo tu, mliyoyaanzisha nyie ndiyo yanayoendelezwa na wengine. Aweso mlimchukua vivyohivyo kwahiyo tulieni dawa iwaingie.

  • @ManizoTheboy-ko1hw
    @ManizoTheboy-ko1hw 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mm ninachoona wachezajiwetu Awana elimu jemedar Leo una mashwali

  • @JackMaganga
    @JackMaganga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ata kuwa mchepukaj

  • @joelmichael9752
    @joelmichael9752 2 หลายเดือนก่อน +1

    Km kuna timu inamhitaji si ifuate utaratibu?Anajiunga vipi na timu wakati ana mkataba?Waadishi mbona nyie ni makanjanja mnashabikia hilo wakati mnajua utaratibu?

  • @AgnesNjau-iq3gf
    @AgnesNjau-iq3gf 2 หลายเดือนก่อน

    Tatizo la waandishi wetu, huwa wanauliza swali ambalo tayari wanamajibu Yao, wewe kama mwandishi wa habari unaulizwa swali unajibiwa Bado ni mchezaji wetu, wewe unalazimisha Kwamba ameshasajiliwa pengine, Sasa umeuliza swali la Nini!!? Mbona kama mnamforce meneja aseme kitu ambacho akina uthibitisho!? Umeuliza swali kuthibitisha kubali majibu uliyopewa na cyo kuforce mtu ajibu kuendana na ulichonacho kichwani, jamaniii....

  • @saidkombo9904
    @saidkombo9904 2 หลายเดือนก่อน

    Kwan hata kama akawa na hiyo email alafu ukamtumia letter alafu akaacha kuijibu nn kitafanyika😅😅

  • @jacobopaul6440
    @jacobopaul6440 2 หลายเดือนก่อน

    Jemedai unakausege wew

  • @andrewmagelewanya5124
    @andrewmagelewanya5124 2 หลายเดือนก่อน +1

    ila Jemedari akili yake mbovu, nadhani njaaaa

  • @majestyjames6499
    @majestyjames6499 2 หลายเดือนก่อน +1

    No professionalism hapo , hasa huyo Aisha

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jemedari acha gubu ya mchezaji wako Manulla.crown zingatieni conflict o interest huyo ana hasira na simba kisa msimamizi wa Aishi manulla.muomdowniyeyw meneja wa mchezaji,ceo jkt mchambuzi crown.hii ni mbaya kuliko udhamini wa kwenye ligi.anatumia nafasi yake kukandamiza aliotofautina nao kwenye biashara

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huko aloko atakwama, mn simba ndo imemfikisha hapo alipo huko atakwama tu mn niulimbukeni

  • @MoshiTindwa
    @MoshiTindwa 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jemedari hacha ushabiki mpaka kwa hao Simba qun,hiyo chuki yako hii Simba hiyo roho yako polisi wanamtafuta mwalifu na hawampati sembuse Simba

  • @Mbagosalumu-c9k
    @Mbagosalumu-c9k 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna namna sasa viongozi wa simba wanapaswa kua wakali kwa hawa wachezaji. Maana mazoea hujenga tabia yani kila anaetaka kujfunza uhuni wa kuiba wachezaji anajfunzia simba. Nadhan Aisha kajfunza kwa KIBU.viongoz wetu mbadilike

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 2 หลายเดือนก่อน +3

    Katongozwa mbio kwa bwana

  • @ManizoTheboy-ko1hw
    @ManizoTheboy-ko1hw 2 หลายเดือนก่อน +1

    Awezi kuchetimu nyingine wakati anamkataba nasimba

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 2 หลายเดือนก่อน

    Ww jemedali hata ukimwamba kama hataki kutekeleza kama ameamu naumemfunguli na kabadilsha unaulizwa swali lakipumbavu sana

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa wewe jemedali unakomaa kumbe huna hata hoja , we fala kweli . Kwani mtu kuwa na mkataba maana yake ni nini? Huyo hata hawezi kutusumbua , wewe nani mpaka tukwambie ? Mengine yataishia ndani. Jemedari na wewe huenda ndiye mmoja wa hao.

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 2 หลายเดือนก่อน

    Lakini Simba acheni kubembeleza wachezaji

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ila jemadar bhana unazingua bhana imeli nimali ya mtu binafs

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa hiyo Jemedari wewe unataka Simba wachukue Polisi wakamkamate Aisha? Simba wajibu wao wameshamaliza huyo Aisha ataonekana tu

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 2 หลายเดือนก่อน

    Jemadari!!!!! Kama mtu kaweza kubadili namba ya simu atashindwaje kuifuta email? Unaongea saana!!!

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali1747 2 หลายเดือนก่อน +2

    jemedari tulikuambia lazma useme ya moyoni. utaumia sana kaka pole.

  • @nathanaelchezalikatundu8869
    @nathanaelchezalikatundu8869 2 หลายเดือนก่อน

    Aiseee kuna muda ukisikiliza mtu anavo uliza, unajikuta unaanza kujiuliza pia... Eti muajiri amfuatilie muajiriwa anapo kaa, anapo hama nk... Unprofessional kabisaaa.... Mchezaji anatakiwa kurudi kazini, full stop... Anyway ahahahaha

  • @godfreymkelemi9663
    @godfreymkelemi9663 2 หลายเดือนก่อน

    Jemedari kenge kweli

  • @augustinokessy
    @augustinokessy 2 หลายเดือนก่อน +1

    kwnn jemedal leo kawa wa hovyo cjawah ona..

  • @UfundiSaidi-em2fb
    @UfundiSaidi-em2fb 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanini akimbie😂?

  • @ozuabrahamu8079
    @ozuabrahamu8079 2 หลายเดือนก่อน

    Hpa inaonekan Jemedar kahusika kumtorosha huyu Binti anaongea Kwa hsira sana

  • @DaudomataAmade
    @DaudomataAmade 2 หลายเดือนก่อน

    Abari zenu ❤❤❤

  • @emmanuelmsafi9581
    @emmanuelmsafi9581 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kalifuata guu au

  • @laurencekagoma9998
    @laurencekagoma9998 2 หลายเดือนก่อน +1

    Achana na Jemadari .anakusumbua bure

  • @LiisaMaisha-is1hi
    @LiisaMaisha-is1hi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jemedari una maswali ya kijinga junya la yanga.fala

  • @MagrethCostantine
    @MagrethCostantine 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo binti Hana fadhila kama chama ni walewale aende tu kwa ni Simba queens itakufa? Haifi na ya wanaume haifi

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 2 หลายเดือนก่อน +1

    Acha utotot jemedari kwani email hazifutwi, badilishwa au blocked. Nyumba ya pazia wewe si unawasimamia wachezaji vipi huyu hujamsimamaia?

  • @rogersdavis3058
    @rogersdavis3058 2 หลายเดือนก่อน

    Jemedari huna akili

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 หลายเดือนก่อน

    Yaani nyinyi watu nawashangaa sana kwani hamjui kuwa jemadari saidi 0:00 inamuuma sana kuhusu manula ndiyo maana anatoa maneno machafu kwa simba, mchezaji wake manula kumuweka benchi jemadari roho inamuuma pili yeye na kitenge wanabiashara ya kutafuta mabwana hao ni wasenge wa jangwani

  • @user-rl1vr1fd1r
    @user-rl1vr1fd1r 2 หลายเดือนก่อน

    Aisha juma anatamaa na hajielewi badala ya kutumikia mkataba wake kwanza anafanya mambo yake kihuni acha atakula mbivu kama kibu denga

  • @Kaizadannymgawa
    @Kaizadannymgawa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jenedali hamna kitu

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani yeye nani aende zake uko nyiti tu

  • @erickmillanei4346
    @erickmillanei4346 2 หลายเดือนก่อน

    Good morning Humu ndani 😂😂

  • @joelmichael9752
    @joelmichael9752 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mnashangaa Aisha kuondoka?Mbona nyie waandishi mnashoboka sana?Kipi cha ajabu?Simba ni kubwa kuliko mchezaji..

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jemedari kwani ni lazima mtu kuwa na imeli? Unakuwa mkali KM umetumwa? ACHANA NA SIMBA.

  • @AlcherausMalinzi
    @AlcherausMalinzi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jemedali umekosa weledi leo.Unakurupuka na maswali ya hovyo.

  • @michaelmazoya9244
    @michaelmazoya9244 2 หลายเดือนก่อน

    Jemedari we yangaaa

    • @chuchumeta8374
      @chuchumeta8374 2 หลายเดือนก่อน

      Hiyo takataka haituhusu,yenu hiyo

  • @sadickmkanda8214
    @sadickmkanda8214 2 หลายเดือนก่อน

    Yaani Jemedari na Kitenge kama wamezaliwa siku moja kwa ujuaji!!!

  • @Shemahonge-ku7xx
    @Shemahonge-ku7xx 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani kamaunamjua mchezaji anapo kaa akiamua kufanya uharifu kamahuo siwanaweza kuhama

  • @joelmichael9752
    @joelmichael9752 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mfungaji bora ndio sababu ya kutoroka?Simba si ndio ilimfanya aonekane?Jemedari wewe nini huelewi?

  • @HussenMadimbwala
    @HussenMadimbwala 2 หลายเดือนก่อน

    Wanataka kufanya kama kibu nikumfungia tuu

  • @daveyjackson1561
    @daveyjackson1561 2 หลายเดือนก่อน +1

    huyo meneja kama choko hata kujieleza hawezi quma kweli

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 2 หลายเดือนก่อน

    HAO WAANDISHI NI MAADUI WA SIMBA SC!😂😢😅

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 หลายเดือนก่อน

    SELE ACHANA NA JEMEDARI HUYO HAELEWI UNAMWELEKEZA YEYE ANAENDELEA KUULIZA MASWALI.

  • @PaschalPeter-mr4yk
    @PaschalPeter-mr4yk 2 หลายเดือนก่อน

    Huy jemedar mbn hasubiri mtu aelezee vizur anakurupuka kurupka

  • @willymdeka6034
    @willymdeka6034 2 หลายเดือนก่อน +1

    Aende tu wenzake wanaendelea vizuri kuliko alivyokuwepo huyo njiti

  • @alihumaid3492
    @alihumaid3492 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu anae itwa jemedari
    Huyu ni fara tu....
    Wewe jemedari Acha ujinga wako wa utopolo
    Umetumwa na utopolo??
    Ni heri yako endelea na hao utopolo...
    Pia na huu msimu endeleeni kununua TFF na marefa kama ilivo kawaida yenu!!!!!!

  • @DaudomataAmade
    @DaudomataAmade 2 หลายเดือนก่อน +2

    Leo Mimi niwapili naomba like zangu 😂😂🎉🎉❤

  • @MzeeSuleiman-g4u
    @MzeeSuleiman-g4u 2 หลายเดือนก่อน

    Ww mfitinishaji tu huna lolote

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 2 หลายเดือนก่อน +1

    HIYO NDIO TAFSIRI YA UBAYA UBWELA...KAMA MLIVYOWAFANYIA KMC KWA AWESU AWESU KWA KUMSAJILI AKIWA NA MKATABA WA MWAKA NA NYIE KUWENI WAPOLE MUACHENI AENDE ANAPOTAKA

  • @suleimanlilibemtombo3712
    @suleimanlilibemtombo3712 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jemedali unamaswali ya kitoto kama sio msomi