PART 2: MWL NDACHA AMUUMBUA UST KIMWERI, MTUME MUHAMMAD SIYO ROHO WA KWELI, NA HAKUTUMWA NA YESU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 272

  • @geofreymulei5695
    @geofreymulei5695 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenyenzi mungu akubariki Sana mwalimu dacha hadi hawa wabudu dini amurudie mwenyenzi mungu kwa hakika KAZI unayo maana hawatakuelewa kwa maana walimkataa hadi yesu Mwenyewe

  • @alyaqdhan5206
    @alyaqdhan5206 11 วันที่ผ่านมา +3

    Mwenyezi Mungu anasema: Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu. --ar_Ra`d 43

    • @janetmwende7280
      @janetmwende7280 9 วันที่ผ่านมา

      Ata kuseme roho wa kweli ni Muhammad,yesu amesema atanena yanayotoka kwake,yesu amesema atakufa ,mbona Muhammad akatae hakukufa ,iyo si maneno ya yesu , Muhammad anakataa maneno ya yesu,hawezi kua msaidizi

    • @alyaqdhan5206
      @alyaqdhan5206 9 วันที่ผ่านมา

      @ Sisi Waislamu hatuna shida ya kutafuta dalili kutoka Bibilie kuthibitisha kama Muhammad ni Mtume zinatutosha ziliomo ndani ya Quruani na ziko nyingi, nakupa moja wapo: Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama na kusujudu wakitafuta fadhila na radhi za Mwenyezi Mungu. al_fatH 29 karibu sana kwenye Uislamu

  • @erickluther8393
    @erickluther8393 10 วันที่ผ่านมา +3

    Ndacha ni mwalimu mzuri sana anaweza kuwafundisha wote

    • @karimuabdala3234
      @karimuabdala3234 10 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 haeleweki

    • @dasilvajr9647
      @dasilvajr9647 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@karimuabdala3234wewe ndo humwelewi kwa sababu ya itikadi zako

    • @philipochieng3363
      @philipochieng3363 5 วันที่ผ่านมา

      @@karimuabdala3234 wajinga husema hivo

  • @Janvier-u4u
    @Janvier-u4u 11 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu akubariki

    • @abdallahhamisi45
      @abdallahhamisi45 10 วันที่ผ่านมา

      Hamna mwalimu hapo jamaa anapindisha maneno

    • @Janvier-u4u
      @Janvier-u4u 10 วันที่ผ่านมา +1

      @@abdallahhamisi45 towa kapindisha aje

  • @pascalkalama
    @pascalkalama 10 วันที่ผ่านมา +4

    Roho wa kweli tulie ahidiwa anakaa na sisi ata milele bt Muhammad kafa kwa hivo siye

    • @sofymoha
      @sofymoha 2 วันที่ผ่านมา

      Kila nafsi itaonja mauti....mtume alikuwa mwanadamu hakuwa mungu.....na mitume wengine wote walio kufa,,,Ibrahim , Musa,,,daud ..na wengine walikufa...Sasa wewe mtume kufa ndio inakusumbuwa? Na Kuna wale hawakufa....kama yesu,,,na wengine waliochukuliwa wakiwa hai

  • @isaackarisa-ek5nu
    @isaackarisa-ek5nu 7 วันที่ผ่านมา +1

    Asifiwe Yesu mwana wa Mungu alie hai

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 11 วันที่ผ่านมา +9

    Waislamu mlituchokoza wenyewe kipindi hicho wakristo tulikuwa hatufuatilii udhaifu uliopo kwènye quruani .siku hiz kwa sababu quruani inaandikwa kwa kiswahili tunaisoma . Uislam syo dini ya Mungu ni dini ya kishetani kama zilivyodini nyingine kama frimasoni , hindu , budha na nyinginezo

    • @jumanjenga7682
      @jumanjenga7682 11 วันที่ผ่านมา

      Ndacha lugha haelewi.Anasoma atakavyo yeye.

    • @GeorgeMunyi-b5r
      @GeorgeMunyi-b5r 11 วันที่ผ่านมา

      Ukweli Una Uma Sana hiyo ni kweli kaka

    • @karimuabdala3234
      @karimuabdala3234 10 วันที่ผ่านมา

      Qur'an haina mapungufu wewe au nyinyi ndio munamapungufu yenu ya kibinadamu

    • @SharonAron-t1j
      @SharonAron-t1j 10 วันที่ผ่านมา

      @@joachimluhamo3042 yani wapo kama wanne wanawanyoosha kuna xmum ni shida na mwalim chaka uwiii hawapumui mwanzo ilikuwa wanahangaika na biblia sana sasa wanatukana tu kwa comment

    • @hamadnassor2523
      @hamadnassor2523 6 วันที่ผ่านมา

      Mmh ww utakujaelewa cku moja ukitolewa roho ila ndugu yangu njoo katika uislam

  • @wakeshojana
    @wakeshojana 11 วันที่ผ่านมา +3

    Yesu alituambia Nabii wa mwisho wa Mungui ni yeye Mwenyewe!!
    Matayo 21:37 "Mwishowe akamtuma mwanae kwao akisema, ‘Bila shaka watamheshimu mwanangu."
    Lakini waislamu wamedanganywa wasiamini Yesu ni Mwana wa Mungu wakababaishiwa yesu feki kwa jina issa bin maryam!!
    Yohana 3:18 "Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakumwamini Mwana pekee wa Mungu.

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 11 วันที่ผ่านมา +1

      Sasa yesu, nabii au Mungu, au mtoto wa Mungu mbna hamuelewek

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 11 วันที่ผ่านมา +1

      @@mudighurayra
      Kuna Yesu Kristo na issa bin maryam...wewe unaongelea kuhusu issa....toka huko

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@mudighurayra😂😂😂😂

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 10 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@wakeshojanakwahiyo yesu ni nabii wa mwisho wa mungu

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 10 วันที่ผ่านมา +1

      @
      Naam.....alipofanyika mwili, akaja kama Mwana, Nabii, Mwalimu. mchungaji etc - Yohana 1:14

  • @Furahinikatkabwana
    @Furahinikatkabwana 11 วันที่ผ่านมา +2

    Uislam ni mzigo niwabishi kuliko kawaida,na waongo sana,na wanatukana sana ,WAISLAM roho wakweli sio marehem muhamad mzinz ni roho mtakatif

  • @JohnOuya-w7j
    @JohnOuya-w7j 11 วันที่ผ่านมา +2

    Yesu alicema yule atakaye kuja ni roho wa kweli naye atanitukuza mimi,sasa tukiangalia mutume muhamadi sifazake hajawai mutukuza yesu hata maramoja,badala ya kumutukuza yesu anamudhalilisha,anasema yesu sii mwana wa mungu,na yesu anasema mimi ni mwana wa mungu,muhamadi anakata mungu hana mutoto sasa huyu muhamadi sii roho wa kweli no,

    • @ZayyanaBamuni
      @ZayyanaBamuni 11 วันที่ผ่านมา

      Soma Qur-ani uone inavomtukuza nabiì Issa au kwaakili yako kumtukuza ni kumwita mungu??

    • @pascalvirgilio7208
      @pascalvirgilio7208 11 วันที่ผ่านมา

      Toa AYA inayosema muhammad inayomtukuza Yesu?

    • @samxx411
      @samxx411 11 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@ZayyanaBamunitatizo Hawa hawasomi ila wapo kwa ushabiki, wakristo wengi biblia hawaijui

    • @ZayyanaBamuni
      @ZayyanaBamuni 10 วันที่ผ่านมา

      @@pascalvirgilio7208 19:30 Qur-ani
      Yule mtoto akasema:Hakika mimi ni mja wa Mlmungu,Amenipa kitabu,na amenifanya Nabii,na amenifanya nibarikiwe popote nilipo,na ameniusia sala na zakka maadam nihai,na ameniusia kumfanyia wema mamaangu wala hakunifanya niwe jeuri muovu,na amani ipo juu yangu siku nilipozaliwa na siku nitakapokufa na siku nitakapofufuliwa kuwa hai,huyu ni lssa bin Maryam,hii ndio kauli ya hakki ambayo wakristo wanaifanyia shaka

    • @ZayyanaBamuni
      @ZayyanaBamuni 10 วันที่ผ่านมา

      @@samxx411 ndio maana wanachoambiwa na wachungaji wao wanafata,wananunulishwa mpaka mapapai ya upako

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ndacha uko sawa endelea kuwachoma kwa neno la MUNGU hata kama wanakejeli songa zaidi mbele

  • @hatibumakondemakondemakond1479
    @hatibumakondemakondemakond1479 8 วันที่ผ่านมา +2

    Ndacha ndie babalao waislamu

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 11 วันที่ผ่านมา +2

    Nyinyi makafri Mohamed ni mtume wa Mungu ukubali ukatae yeye ni mtume wa Mungu tu hata Yesu ni mtume wa Mungu japo wayahudi hadi leo hii hawajamkubali yesu ni mtume wa Mungu wanadai mtoto wa zinaa ukifika kwa wayahudi useme habari za yesu utafukuzwa siku hiyo hiyo

    • @interiorpaintingdesign9307
      @interiorpaintingdesign9307 10 วันที่ผ่านมา

      Unamlazimishia MUNGU mutume mpakaji Wa watoto Jina ata adabu Jina heshima Kwa mwenyezi MUNGU. Eshimu MUNGU Bo's Wacha kumpa mtume kafiri mpakaji Wa watoto. Muwaji

  • @chapchap-oz1ou
    @chapchap-oz1ou 11 วันที่ผ่านมา +3

    WAISLAMU WAKILAZIMISHA MUHAMMAD NDIYE ROHO WA KWELI ATAKUJA BAADA YA YESU...BASI PIA WAKUBALI YESU NI MUNGU MANAKE HUYO ROHO ANATUMWA NA YESU!!
    Yohana 16:7 Lakini nawaambia kweli kwamba kuondoka kwangu ni kwa faida yenu kwa maana nisipoondoka, yule Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda nitamtuma aje kwenu.
    KILA SIKU TUNAWAAMBIA YESU NI MUNGU NA ISSA BIN MARYAM SIO YESU KRISTO !!

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 11 วันที่ผ่านมา

      Wamezibwa akili na mungu wa dunia hii.
      2 Wakorintho 4:4 Kwa upande wao, mungu wa dunia hii ametia giza akili za wasioamini, ili wasione mwanga wa Injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ana sura ya Mungu.

    • @JohnOuya-w7j
      @JohnOuya-w7j 11 วันที่ผ่านมา +2

      😅😅😅 muhamadi hawezi kua roho uwongo wawaislamu

    • @wakeshojana
      @wakeshojana 11 วันที่ผ่านมา

      @
      WITHOUT LIES, ISLAM DIES!!

    • @chapchap-oz1ou
      @chapchap-oz1ou 11 วันที่ผ่านมา

      @
      Uongo kila kitu...Mungu awanusuru!!

    • @chapchap-oz1ou
      @chapchap-oz1ou 11 วันที่ผ่านมา

      @@JohnOuya-w7j
      Waislamu hutetea uongo....inakubalika kwa ajili ya allah (TAQQIYAH).....mungu wao hana uwezo wowote ule wa kujitetea.
      Ndio manake ukiritadi, ndugu zako wana haki ya kukuuwa badala ya wakuwachie Mungu siku ya kiama akuhukumu!!

  • @ulimwengumaulid7397
    @ulimwengumaulid7397 11 วันที่ผ่านมา +3

    Ndacha anauliza YESU aliacha kitu gani mpaka Muhammad aje???
    Embu tumuulize Yesu, Je uliwaambia wanafunzi wako mambo yote??? Yesu anajibu hivi,
    Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa.
    Yohana 16:12
    Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.
    Yohana 16:13
    Je ni lini mambo hayo tutapata habari zake??? Yesu anasema
    Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu.
    Yohana 16:7
    ZINGATIA.
    Usije ukasema eti huyo roho, ni Roho Mtakatifu, ni MUHAMMAD (S.A.W) kwa maana Roho Mtakatifu Yupo hata kabla Yesu Hajazaliwa, alipokua hai Yupo, lakin Roho huyu sharti Yesu aondoke ndo Aje, Yesu asipoondoka huyo msaidizi haji,
    Hapa kipindi anatabiliwa Yohana, Roho mtakatifu Yupo,
    Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.
    Luka 1:15
    Hapa kipindi anataviriwa Yesu, Roho mtakatifu Yupo,
    Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
    Mathayo 1:20

  • @samxx411
    @samxx411 10 วันที่ผ่านมา +4

    Ndacha anajichanganya ikisha hayupo kutofautisha roho mtakatifu na roho wa kweli. Mi nadhani yupo kiubishi zaidi kwa vile ni uislamu

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 10 วันที่ผ่านมา

      tulia na majini wako apo!

    • @dasilvajr9647
      @dasilvajr9647 10 วันที่ผ่านมา +1

      Roho siyo nafsi mzee roho ni hekima ya Mungu mwenyewe unaweza pia kusema ni Mungu mwenyewe kwamba, roho wa Mungu, roho ya Mungu, Roho Mtakatifu, roho wa kweli (sentensi zote hizo ina maana ya kitu kimoja).

    • @paschalcosmas6093
      @paschalcosmas6093 10 วันที่ผ่านมา +1

      Roho mtakatifu ndiye Roho wa kweli, tulia ufundishwe

    • @EverlyneOuko
      @EverlyneOuko 7 วันที่ผ่านมา

      kifipi 😂😂😂

  • @basilejuma
    @basilejuma 10 วันที่ผ่านมา +1

    slam imebaki kuzikwa, juzi wanasema eti mtume wao alipaa mbinguni, uislam kwishaaaa

  • @abubakarhajjabubakarhajj1252
    @abubakarhajjabubakarhajj1252 10 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu Ndacha hiyo aya huwezi kuibadilisha hata ukataka wajisumbua itabaki hivo hivo roho wa kweli ni MUHAMMAD (SAW)

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 10 วันที่ผ่านมา

      akili zako zimejaa mavi,roho wakweli ni nani mjinga ww!

    • @moshajexplore
      @moshajexplore 10 วันที่ผ่านมา +1

      Na amekufa kwa sumu

  • @basilejuma
    @basilejuma 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mohamed naskia kaburi lake yalindwa hadi leo, jameni musitete marehemu anangoja kuingia motoni,mpinga kristo

  • @GeorgeMunyi-b5r
    @GeorgeMunyi-b5r 11 วันที่ผ่านมา +2

    Waislamu ndio makafiri wanapinga kauli tangulizi ya bibilia uislamu ni ukafiri ni vile hawajui

    • @alyaqdhan5206
      @alyaqdhan5206 11 วันที่ผ่านมา

      Ongea Kwa maandiko, tuonyeshe maandiko, na kama anae kuja baadae ni muongo basi hata Yesu amekuja na Injiili baada ya Musa na Tourati yake

    • @sofymoha
      @sofymoha 2 วันที่ผ่านมา

      Wewe ndio kafiri...
      Mtu yeyote ambaye anasema mungu Yuko na mtoto ni kafiri..wewe hata hufwati mafindisho ya bibilia....mkiambiwa msile nguruwe mnamkula, bibilia iliwaambia msujudu....na mrukuu.mnapiga magoti ..huoni mnafanya kinyume Cha maandiko

  • @alyaqdhan5206
    @alyaqdhan5206 11 วันที่ผ่านมา +1

    Hatima ya makafiri ni hii kama Qur’aan inavyo sema: Hakika wale walio zikataa Ishara zetu tutawaingiza Motoni. Kila zitapo wiva ngozi zao tutawabadilishia ngozi nyengine ili waionje hiyo adhabu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na Mwenye hikima. --an_nisaa' 56

    • @Furahinikatkabwana
      @Furahinikatkabwana 11 วันที่ผ่านมา +1

      Ishaga gani za kuzin na kitoto,au kusilimisha shetan,

    • @alyaqdhan5206
      @alyaqdhan5206 11 วันที่ผ่านมา +1

      @ Hamna aya moja ndani ya Qur’aan inasema hayo mawili uliyo yataja

    • @alyaqdhan5206
      @alyaqdhan5206 10 วันที่ผ่านมา

      Nyinyi Wakristo mpaka sasa hamuelewani kuhusu Mungu wa kumuabudu, Katoliki laabudu miungu mitatu ( Trinity ) na Wasabato pamoja na Jehova’s Witnesses wanapinga hilo wanasema huo ni Ukafiri, Wasabato na Katoliki wanaamini kama Yesu ni Mungu wakati Jehova’s Witnesses wanasema kama huo ni ukafiri.

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 วันที่ผ่านมา +2

    wakristo tunajivunia huyu mwamba mwalimu wa walimu bwana francis-ndacha,akuna muislamu duniani anawezana na ndacha akuna na hapatikani!

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 11 วันที่ผ่านมา

      Ndio mwisho wa upeo wako wa kufikiria apo

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 วันที่ผ่านมา

      @badruseif1318 ww mwenyewe unafikiria nini kama sio kusafiri kwenda maccah kubusu jiwe jeusi full stop,mijinga mikubwa!

    • @ZayyanaBamuni
      @ZayyanaBamuni 11 วันที่ผ่านมา

      Duh!kumbe wakristo hakuna wasomi

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 วันที่ผ่านมา

      @ZayyanaBamuni waislamu ndio amuna wasomi ndio maana mnabaki mnaoa kila kutwa!

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 11 วันที่ผ่านมา

      @@JeanMuzaliwa-bs6qh ndio Akili yako ilipoishia apo hulaumiki

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cw 11 วันที่ผ่านมา +1

    Mwz mungu ametuumba ametupa akili akasema tumwabudu na akatuacha huru kwaiyo shauli yako kama utafaulu au utakufulu lakini haki ipo wazi na batiri ipo wazi

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 11 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe ndacha utaenda kujuta mbele ya mungu wewetafuta sifa zawatu❤

    • @Furahinikatkabwana
      @Furahinikatkabwana 11 วันที่ผ่านมา

      Atakae juta ni wewe maana upo kwenye njia ya kuzimu

    • @KevinAtito
      @KevinAtito 10 วันที่ผ่านมา

      Mbn ajute na anasema kweli ,

    • @KevinAtito
      @KevinAtito 10 วันที่ผ่านมา

      Mhamadi haezi kuwa roho wa kweli kisha na maana Ana dhambi

    • @charlesmapunda-g5l
      @charlesmapunda-g5l 10 วันที่ผ่านมา

      Kweli kama Mungu Allah atampata kwasababu anampinga ila Mungu wa kweli atamlinda nyie kaeni na Mungu wenu wa Majini Allah ambaye ni Shetani huo ndio ukweli mtake msitake mmepotezwa na Majini.

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 10 วันที่ผ่านมา

      Sikiliza hoja acha makasiriko

  • @JumaNongwa
    @JumaNongwa 11 วันที่ผ่านมา

    "Atanena yote atakayoyasikia"kiimani ya kigalatia roho mtakatifu nae ni nafsi ya mungu swali mungu ananena yake au anayoyasikia

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 10 วันที่ผ่านมา

      Hujaelewa aliyosikia kwa yesu maana yeye yesu ndo alimtuma

  • @khammadjeffa515
    @khammadjeffa515 11 วันที่ผ่านมา +2

    Ndacha anapata shida Sana kubambanya , kuokotaokota vipande huku na kule na kuchanganya

    • @Furahinikatkabwana
      @Furahinikatkabwana 11 วันที่ผ่านมา

      Ungefunguka akili ungetoka huko kwenye njia ya kuzim

    • @abdallahhamisi45
      @abdallahhamisi45 10 วันที่ผ่านมา

      Anajitungia tafisiri

    • @Furahinikatkabwana
      @Furahinikatkabwana 10 วันที่ผ่านมา

      @@abdallahhamisi45 tutabak hivihivi hakuna mtu aliumbwa akaambia din yako ni hii usijitaid kufundisha uongo

    • @moshajexplore
      @moshajexplore 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@abdallahhamisi45 How are you Mr stone kisser? 😂😂

    • @moshajexplore
      @moshajexplore 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@abdallahhamisi45 Ametunga gani hiyo au amesoma?

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 6 วันที่ผ่านมา

    Mwenye kuelewa akwelewe mwenye jazba abaki nayo neno limefika

  • @obedkalinga9704
    @obedkalinga9704 10 วันที่ผ่านมา

    Hivi ni binadamu gani aliyeishi pangoni zaidi ya waganga kienyeji wenye mizimu ya asili, Muhammad alikuwa na mapepo au mashetani au majini maana hao kwa asili ya jamii ya binadamu wote wanaamini pangoni ni kwa majoka, bundi, popo, mashetani, na majini.

    • @sadyrajabu9318
      @sadyrajabu9318 8 วันที่ผ่านมา

      Hujasoma historia ndugu wanadamu tuliishi mapangoni kabla yakujenga nahata baada yakujenga tulienda kupumzikanna nawengie waliendelea kuishi

  • @ZayyanaBamuni
    @ZayyanaBamuni 11 วันที่ผ่านมา

    Wakristo hamna hoja za kumpinga Mtume Muhammad mnalazimisha tu,hoja dhaifuuu

    • @misscesty5817
      @misscesty5817 11 วันที่ผ่านมา

      Mtatushawishi vipi tumfwate nabii ambaye anagonja hukumu kama kama sisi wanadamu

    • @Furahinikatkabwana
      @Furahinikatkabwana 11 วันที่ผ่านมา

      Hatuwez kuacha njia ya uzima tufuate njia ya kuzimu

  • @jafaryramadhani-y5v
    @jafaryramadhani-y5v 9 วันที่ผ่านมา

    Wee utaangaikaa ujui

  • @sadyrajabu9318
    @sadyrajabu9318 8 วันที่ผ่านมา

    Kwamtazamo wangu naona ndacha anatumia mawazo yake mwenyewe kichwani kwamaana yule wakiislamu alikua anafundisha kielimu na ushadi

  • @abedihussenikhalfan4007
    @abedihussenikhalfan4007 11 วันที่ผ่านมา

    Msimulizi nijibuni swari kwamjibu wa imani yenu Yesu ni mngu je mtume wa mwisho ni nan

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 11 วันที่ผ่านมา

      Shida iliyopo ni kuzungumzia jambo lisilopo mezani.

    • @MjInsightMedia
      @MjInsightMedia 11 วันที่ผ่านมา

      @@abedihussenikhalfan4007 hauna mafunzo ya ukristo yanayofunza kua Yesu ni Mungu na hakuna mkristo WA ukweli anayesema Yesu ni Mungu kwaivyo soma maandiko vizuri na utaelewa.

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 วันที่ผ่านมา

      nenda masjid ukawaulize vipufu wenzio masheikh wako watakujibu!

    • @alyaqdhan5206
      @alyaqdhan5206 11 วันที่ผ่านมา

      Wewe Jeanmzaliwa, ni kweli hamna andiko kwenye Bibilie Yesu kasema Kama yeye ni Mungu na kama kunaandiko tuonyeshe

  • @EverlyneOuko
    @EverlyneOuko 7 วันที่ผ่านมา +1

    hakuna mwisilamu atakupali 😂😂😂😂😂

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 11 วันที่ผ่านมา +2

    Ndacha uwelewake wa lugha ni changa Moto.Hajui lugha.

  • @mclone8234
    @mclone8234 10 วันที่ผ่านมา +1

    SIMULIZI WAUKIZE MASHEKH KAMA QURAN ALISHUSHIWA MTUME AKIWA NA MIAKA 40 NAKUENDELEA NA AKIWA KWANZA NA MKE MMOJA
    KWA NINI QURAN INASEMA OENI MMOJA AU MWISHO WA NNE SWALI NI JE KWANINI MTUME MOHAMED ALIOA WAKE 11 MPAKA ANAKUFA ?! JE ALIPINGANA NA MANENO NA AMRI ZA MUNGU!? kwenye QURAN!??

  • @petergoyandi5699
    @petergoyandi5699 10 วันที่ผ่านมา

    Ndacha mwalimu na hiyo elimu bila kua naroho wa Mungu huwezi elewa utapinga 😂😂😂 waislam mpooo nyie hamna elimu kwa habari ya rohoo

  • @AliAbdallah-i6h
    @AliAbdallah-i6h 9 วันที่ผ่านมา

    Nyie mkataeni tu Nabii Muhammad ila huo ndo moto wenu Wakristo kosa hilo tu sisi hatubagui mitume wala manabii kwetu wite tunawapend na kuwaamini

  • @Khalidmghosi
    @Khalidmghosi 10 วันที่ผ่านมา

    Ndacha Ivi wajua mana ya Masiah

  • @MwalimJecha
    @MwalimJecha 11 วันที่ผ่านมา +2

    Jamani musimfuate ndacha atakuingizeni motoni siku ya kiama

    • @alyaqdhan5206
      @alyaqdhan5206 11 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 10 วันที่ผ่านมา

      Nyie ndomtaingia motoni mamajini yenu mudy halikuwa mzinzi kambaka hadi bint wa miaka 9 hangekuwa mwanangu kafanyia ivyo ningemkata mabao mudy mpaka hangejuta

    • @alyaqdhan5206
      @alyaqdhan5206 10 วันที่ผ่านมา

      @@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl Unadalili gani kama sisi Waislamu tutakwenda Motoni? Lete dalili tuisome sio warusha maneno ya hasira

  • @abdallahhamisi45
    @abdallahhamisi45 10 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa maelezo ya "roho wa kweli" dah Ndacha muongo sana.
    Kapiga porojo nyingi kutuaminisha kwamba neno hilo sio Mtume Muhammad SAW kwa kuchanganya baina ya roho mtakatifu, roho ya Yesu na hiyo roho wa Kweli.
    Lakini kutetea hilo andiko ameshindwa

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 10 วันที่ผ่านมา +1

      Duuu kweli kuna watu vichaa yani anatoa maandiko na ushahid bado huelewii

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 10 วันที่ผ่านมา

      Roho mwenyewe anatoa maneno kwa yesu anatuletea sisi wafunzi wake

    • @abdallahhamisi45
      @abdallahhamisi45 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@nicholousmtemi3902Yesu hana roho?

    • @abdallahhamisi45
      @abdallahhamisi45 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@nicholousmtemi3902kichaa ni wewe usielewa maelezo ya ndacha. Yeye amekataa hilo andiko bila hoja. Ametumia maandiko mengine tofauti na hilo kujibia

    • @moshajexplore
      @moshajexplore 10 วันที่ผ่านมา

      Hii nguruwe iko kila mahali 😂😂😂

  • @alyaqdhan5206
    @alyaqdhan5206 10 วันที่ผ่านมา

    Sisi Waislamu zinatutosha dalili za Quruani ambayo ni maneno ya Mwenyezi Mungu zinazo thibitisha kama Muhammad ni Mtume wa Mungu. Someni aya hii moja, lakini ziko nyingi kwenye Quruani: Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama na kusujudu wakitafuta fadhila na radhi za Mwenyezi Mungu. Alama zao zi katika nyuso zao, kwa athari ya kusujudu. al_fatH 29

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 10 วันที่ผ่านมา

      sisi wakristo atunaga dalili tupo na kweli yote ndani ya biblia straight forward,biblia imenyooka bhana,Mungu wa biblia anajisemea mwenyewe asemewi na mtu kama vile mungu wa quran!

    • @alyaqdhan5206
      @alyaqdhan5206 10 วันที่ผ่านมา

      @ Nyinyi Wakristo mpaka sasa hamuelewani kuhusu Mungu wa kumuabudu, Katoliki laabudu miungu mitatu ( Trinity ) na Wasabato pamoja na Jehova’s Witnesses wanapinga hilo wanasema huo ni Ukafiri, Wasabato na Katoliki wanaamini kama Yesu ni Mungu wakati Jehova’s Witnesses wanasema kama huo ni ukafiri. Sasa nyinyi mnaabudu Mungu yupi?

  • @YusufDaudi-v5f
    @YusufDaudi-v5f 10 วันที่ผ่านมา

    Huyo ana hoya Kila wakati wakimbia miadhara Bure kabisha

  • @Saidesaideinacio
    @Saidesaideinacio 9 วันที่ผ่านมา

    Hivi roho anakufaa kweli😂😂😂

  • @chikandajr.1051
    @chikandajr.1051 2 วันที่ผ่านมา

    Ndasa anaijua sana Biblia

  • @AliJuma-eg8tq
    @AliJuma-eg8tq 10 วันที่ผ่านมา +4

    Ndacha Bado sanaaaaa
    Huna jpya

    • @abdallahhamisi45
      @abdallahhamisi45 10 วันที่ผ่านมา +1

      Anapindisha maneno ya Quran muongo sana jamaa

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 10 วันที่ผ่านมา

      Nyie ndo mnapindisha maneno yan yesu hamtabir maudy takataka ile nyie waislam endeleeni kuswaria mudyi nakumuombea msamaa kwa mungu

    • @moshajexplore
      @moshajexplore 10 วันที่ผ่านมา

      Hana jipya kama mtume wako mjinga 😂😂

    • @AliJuma-eg8tq
      @AliJuma-eg8tq 10 วันที่ผ่านมา

      @@moshajexplore Mtume wangu ndo kipenz Cha mwenyez mungu hana baya choyo chako tu ndo tatzo

    • @moshajexplore
      @moshajexplore 9 วันที่ผ่านมา

      @@AliJuma-eg8tq kijinga Ana dhambi

  • @raymondijacob6452
    @raymondijacob6452 10 วันที่ผ่านมา

    Mungu muongoze huyu ndacha akika anapambana na nawatu wasiyo taka ukweli

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 10 วันที่ผ่านมา

      Yani maandiko yanasomwa ila bado hawaelewii na wanabisha

    • @sofymoha
      @sofymoha 2 วันที่ผ่านมา

      Kama wewe,,,maana ndacha ni SDA....hawaweki msalaba kanisani...hawasherehekei kirisimasi ..na wewe je

  • @Khalidmghosi
    @Khalidmghosi 10 วันที่ผ่านมา

    Leo ndio nasikia ndacha akibabaika

    • @moshajexplore
      @moshajexplore 10 วันที่ผ่านมา

      Hata hautawahi kubali mtume wako ni mbakaji 😂😂😂

    • @Khalidmghosi
      @Khalidmghosi 10 วันที่ผ่านมา

      @ sababu hujui mana ya manabii ata usiongee mana wew unaolewa unahoa na yesu hakua na bibi inamana wew pia usiwe na mke kama kweli ukifwata manabii

    • @moshajexplore
      @moshajexplore 10 วันที่ผ่านมา

      @@Khalidmghosi Ungetoa andiko alikuja kuoa ama amesema tusioe

    • @moshajexplore
      @moshajexplore 10 วันที่ผ่านมา

      @@Khalidmghosi wewe ndiyo haujui maana ya nabii. Ungetuambia Muhammad alitabiri nini ili awe nabii

  • @SumaB3677-b1z
    @SumaB3677-b1z 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mtakukuluka lakini Mta Kiri wenyew

  • @abdallahhamisi45
    @abdallahhamisi45 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo kwenye "roho wa kweli" ume uliza swali vizuri bwana simulizi lakini jibu lake ana kimbilia kwenye Quran 😅😅😅.
    Atumbie andiko lake kwenye bibilia.
    Akaja kuchanganya baina ya roho wa kweli na roho mtakatifu.
    Roho wa kweli ni mtume Mohammad SAW.
    Roho mtakatifu ni malaika Jibril.
    Akaja kuchanganya kwa kutumia maandiko yenye neno roho sasa ilimradi asijibu swali 😂😂😂

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 10 วันที่ผ่านมา

      Nyie waslam mmefungwa namajini msitambue ukwer wewe biblia nalikitabu lenu lamajini wapi nawapi nyie waislam subirni tu mwende kuzm tu

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 10 วันที่ผ่านมา

      Hapo hapo mbele aliendelea kusema huyo roho wa kweli haonekani na ataishi milele sasa Muhammad haonekani

    • @abdallahhamisi45
      @abdallahhamisi45 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@nicholousmtemi3902haya je hilo andiko kajibu?

    • @abdallahhamisi45
      @abdallahhamisi45 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hlndio unacho jua tu

  • @ngerejaboniface2596
    @ngerejaboniface2596 11 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa kama maandiko yanasema Roho wa kweli atakaa nanyi milele na wakati Mohamed alishakufa kwahiyo waislamu wanamaanisha roho Alishakwishakufa? Unajua waislam msituchanganye na mizimu yenu! Mtuache na yesu wetu!

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 11 วันที่ผ่านมา

      Kuna shida kwenye kukariri na hadithi na maswahaba nk. Vurugu za kutosha. Imani iliyosambazwa kwa upanga siyo mchezo !!

    • @Furahinikatkabwana
      @Furahinikatkabwana 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@richardnganya2311kwakweli kuuelewa uislam ni mzigo,unatakiwa ule matunda na mbogamboga akili itulie

  • @hassantoure7472
    @hassantoure7472 11 วันที่ผ่านมา

    @SimuliziZone Ikikupendeza,,Wakutanishe Mwalimu Kada na huyu ndacha ,kama vile ulifanya ndacha na mbogo

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 11 วันที่ผ่านมา

    Muhammad alitumwa na majini mashetani mapepo wachafu na ndio waliomkaba pangoni ushaidi ni yeye kusema amechezewa na mashetani

  • @samxx411
    @samxx411 11 วันที่ผ่านมา

    Ndacha hana elimu hata kidogo ingawa anasoma kwa walimu wa kiislamu

  • @ShaibuMtalagulia
    @ShaibuMtalagulia 11 วันที่ผ่านมา

    Ndacha acha kupotosha watu kwasababu ya masilahi yako utachomwa wewe shauri yako

  • @SabihaibrahimRajabu
    @SabihaibrahimRajabu 11 วันที่ผ่านมา

    Hata akimkanaa Mungu alimteuwa ndacha atasaidia nini

  • @kaderbakshamin2345
    @kaderbakshamin2345 11 วันที่ผ่านมา

    Ndacha acha kupoteza watu kwa usanii wako unapindisha hizo aya iko siku utajuta uliyokuwa unayafanya kupotosha watu

    • @Furahinikatkabwana
      @Furahinikatkabwana 11 วันที่ผ่านมา

      Wakujuta ni nyie mlio potezwa na mtume mzinz,njia ya uzima ni yesu,na sio mud ninjia ya jehanam

    • @kaderbakshamin2345
      @kaderbakshamin2345 11 วันที่ผ่านมา

      @Furahinikatkabwana endeleeni kijidanganya mungu akupeni umri muyaone huko mbeleni

    • @Furahinikatkabwana
      @Furahinikatkabwana 11 วันที่ผ่านมา

      @kaderbakshamin2345 huwez kutoa mtu kwenye nusu aende kwenye giza,na wala siwez fuata watu wanaosilimisha mashetan

    • @Furahinikatkabwana
      @Furahinikatkabwana 11 วันที่ผ่านมา

      @kaderbakshamin2345 hakuna kujipa matumain Mungu akija haangilii uislam wenu,wenyewe ni njia ya kuzim mnajisumbua kutetea waarabu na wao hata hawawajui

    • @kaderbakshamin2345
      @kaderbakshamin2345 10 วันที่ผ่านมา

      Poleni sana subirini wakati ufike

  • @kaderbakshamin2345
    @kaderbakshamin2345 11 วันที่ผ่านมา

    Wenzako wengi wameacha hizo tabia na wameona ukweli sio wewe mmoja na usanii wako

  • @SabihaibrahimRajabu
    @SabihaibrahimRajabu 11 วันที่ผ่านมา

    Hii ndio sifa ya kafiri ili uwe kafiri ni lazima uwe mpingaji wa Mungu sasa hatutegemei kafiri kuwasifia mitume wote

  • @mussamohammedy8014
    @mussamohammedy8014 10 วันที่ผ่านมา

    SIMULIZI, NAOMBA MUULIZE NDACHA.MWANZO 16-12 INAZUNGUMZA HABARI YA ISMAIL INASEMA HIVI; Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu,mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakua juu yake,naye atakaa mblele yao ndugu zake wote. je? ndugu wa ismail ni akina nani? na kama ni isaka wapi katika biblia kumeeleza habari ya ismail kuwa mbele ya ndugu zake wote au kusudio la hilo andiko ilikua ni nini? kuna mkono wake kuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote kuwa juu yake naomba majibu kwa ndacha.

  • @ShaibuMtalagulia
    @ShaibuMtalagulia 11 วันที่ผ่านมา

    Ndacha bwana anaulizwa anachukia sasa analazimishq tuerewe lakini pia anajikanyaga mm simuerewi kabisa

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 11 วันที่ผ่านมา

    Ndacha anafundisha hadi unajisikia utukufu wa Mungu unakushukia .sio waalimu wa kiislamu wao hutumia mafundisho ya uongo wakibadilisha vifungu vya biblia ili kuilinda dini yao ya kiislamu

  • @alerts9917
    @alerts9917 10 วันที่ผ่านมา

    Waislamu wanachanganyikiwa roho wa kweli eti ni mohamed mara ni gabrielle 😅. Yesu yeye mwenyewe aliposema mtapata roho wa kweli aliwambia wanafunzi wake wongonje jerusalem hadi wapate yeye kwani walikua wanangoja mwahamedi 😅

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 10 วันที่ผ่านมา

    Ndomana hukienda kwenye nchi za kiislam ukioji vitu kama ivi unachinjwa hatak kabisa huoji

  • @jafaryramadhani-y5v
    @jafaryramadhani-y5v 9 วันที่ผ่านมา

    Shida qurani uijui na utaka bira kuijua kiswahiri hujui

    • @moshantoj
      @moshantoj 9 วันที่ผ่านมา

      Kweli kama vile mtume wako ambaye hajui kusoma na kuandika 😂😂😂

  • @SebastianKisokola
    @SebastianKisokola 10 วันที่ผ่านมา

    Kuna ishara zanaletwa na kuruan mnakazi ninyi sasa hy mtume wenu anafaida gani umekuja kufanya nini yesu yeye wa mwanzo na wa mwisho hy mnamwita muhamed wawap tena

  • @MosesLubely
    @MosesLubely 9 วันที่ผ่านมา

    Fanya mpango wakutane

  • @Laysonmwakajila
    @Laysonmwakajila 11 วันที่ผ่านมา

    Ndugu zangu wa isram kuwen seriously kama Biblia kusoma hachen maana mnafos kuwa Muhammad kuwa ni Roho dah kwel ndugu zangu

  • @mussamohammedy8014
    @mussamohammedy8014 11 วันที่ผ่านมา

    NDACHA SAWA KWA UELEWA WAKO BASI TUAMBIE WEWE ROHO ANENAE KWA MUJIBU WA ANDIKO HILO NI NANI

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 10 วันที่ผ่านมา

      Mbona kaelezea roho anayenena ni kwetu sisi

  • @Skeletonking2116
    @Skeletonking2116 11 วันที่ผ่านมา

    Lakini Yohana Mbatizaji alikufa kabla Yesu hajafa

  • @swalehissa777
    @swalehissa777 10 วันที่ผ่านมา

    Simulizi leo umemueza huyo muongo mkubwa hana hata haya huku akijaribu kudanganya zaidi huyu jamaa ni iblisi mwenyewe

  • @khammadjeffa515
    @khammadjeffa515 11 วันที่ผ่านมา

    Kama kuna kitabu hujichanganya basi ni bibilia, huku inakubali huku inakataa

  • @JumaNongwa
    @JumaNongwa 11 วันที่ผ่านมา

    Sheikh kimweri tunakuomba ukamnyooshe kafiri ndacha kaitetee dini ya haki inshaallah huyu kafiri hana hoja ni makelele tu katumie hekima huenda yeye akawa black board kwa wengine kusilimu kwa idhini ya Allah

  • @najimumasoud4245
    @najimumasoud4245 10 วันที่ผ่านมา

    Inabidi awepo mwalimu na huyo ndacha ndo tutapata mantiki

  • @karimuabdala3234
    @karimuabdala3234 10 วันที่ผ่านมา

    Ndacha analalamika na kushutumu tu aonyeshi madai yake

  • @KhamisAli-o9r
    @KhamisAli-o9r 10 วันที่ผ่านมา

    Sasa huyu mtangazaji mwenywe pia ni mgalatia,,kwa nini asingemueka pamoja na huyo shekhe Kimweri

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 11 วันที่ผ่านมา

    Kwani nyinyi wakristo yesu ni nani kwenu

    • @davidbarnabas-e8f
      @davidbarnabas-e8f 10 วันที่ผ่านมา

      Mungu

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@davidbarnabas-e8f😂😂😂😂😂😂😂. Nabii wa mwisho ni nani?

  • @AliKimanga-h6n
    @AliKimanga-h6n 10 วันที่ผ่านมา

    Ndacha mnafiki mkubwa wewe,kama ulisoma kitabu cha Maisha ya Nabii Muhamad,ktk kitabu kile kuna miujiza mingi ya Muhamad,mbuzi mgonjwa alitoa maziwa mengi,ngamia wa siraka alidodomea na mengineyo.leo unabisha Muhammad hakua na miujiza

    • @AareMjungu
      @AareMjungu 10 วันที่ผ่านมา

      😂

  • @salisali3738
    @salisali3738 11 วันที่ผ่านมา

    Simulizi ndacha ana ongea bila dalili yote yote ya ushahidi ana toa kichwani kwake hana lolote muongo mtupu

  • @ramadhanmwinyi8856
    @ramadhanmwinyi8856 10 วันที่ผ่านมา

    Wakutanishe tupate hoja zilizoshiba

  • @AareMjungu
    @AareMjungu 10 วันที่ผ่านมา

    Waabudu mashetani kazi mnayo kwa hiki kichwa.
    Waadhili wote wa kiislam wapotezwa, sijui nini kitawaokoa.
    Ndacha ni Messi wa Wakristo

  • @MosesKubo
    @MosesKubo 11 วันที่ผ่านมา

    kiboko cha waislam huyo waislam waongo sn

  • @fettymcharuko7341
    @fettymcharuko7341 10 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂changamka kama kimweli wewe toa madini tukusikie unaboa huna lolote wadangaje wagalatia wenzako😂😂😂huyooo

  • @MosesKubo
    @MosesKubo 11 วันที่ผ่านมา

    muhamad muongo sana yupo motoni sasa

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 9 วันที่ผ่านมา

    Waislamu ni wajinga wanatafuta Muhammad kwa Biblia aiii Hao wamechanganyikiwa..potelea mbali na majinni yenu!

  • @jamalAlly-p2y
    @jamalAlly-p2y 11 วันที่ผ่านมา +3

    Sasa amuumbue wakati huyo ndacha hana dini kitabu wala nabii alietumwa kwao maana ukristo na yesu ni vitu viwili tofauti yesu mpaka anaondoka haujui ukristo au ana anaandiko huyo ndacha wenu yesu aliwahi kuingia kanisani? Au aliwahi kuendesha ibada zinazoitwa misa au hata hio rosary mnazozivaa anazijua?Maana dini hana kisha anazungumzia ya mtukufu wa daraja bw mhammad s a w nyinyi kina ndacha endeleeni kuineza biblia ilioanzishwa na wazungu na dini yenu mpya ambayo huyo yesu wala haijui kamwee wewe unachotakiwa uendelee kumsema tu vibaya bw mhammad s a w sisi waislam hatushangai yaani utakua sawa nawale maqaafir wa makka

    • @qwerqasd8597
      @qwerqasd8597 11 วันที่ผ่านมา +1

      Sipendi makafir wanavyo mkosea heshima nabii wa mwisho wa umma huu Muhamad s a w

    • @chapchap-oz1ou
      @chapchap-oz1ou 11 วันที่ผ่านมา

      @@qwerqasd8597 MAKAFIRI NI WAISLAMU- YUDA 1:4
      MUHAMMAD SIO MTUME....
      CHAGUA KORAN 46:9 AU YOHANA 14:6 KAMA UKNAZO AKILII

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@qwerqasd8597muhamad ni Nabii alietumwa na shetani

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@qwerqasd8597akili imejaa kinyesi eti nabii wa mwisho nyie mnashida gani?

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 วันที่ผ่านมา +1

      jitaidi kula vizuri ili akili zako zitumike vizuri maana sio kila kinacho itwa chakula ni chakula no!

  • @abedihussenikhalfan4007
    @abedihussenikhalfan4007 11 วันที่ผ่านมา

    Hilii kijamaa nikiongo balaa Yesu amesema mm nikionndoka atakuja roho wa kwerii ww unasema yuko ndani yenu ndio majibu hayo kafiri bwana anabaki kuwa kafiriii 2

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 วันที่ผ่านมา

      shetani mkubwa ww,ata akili una ww!

    • @KevinAtito
      @KevinAtito 11 วันที่ผ่านมา

      Roho wakweli sio mtu bana wee enda uko

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 วันที่ผ่านมา

      @@KevinAtito achana na wao majini!

    • @chapchap-oz1ou
      @chapchap-oz1ou 11 วันที่ผ่านมา

      Manabi wote walitumwa na Mungu......kutokana na madai yako "Yesu amesema mm nikionndoka atakuja roho" YESU NI MUNGU kama yeye ndo anamtuma roho ambaye ni muhammad kwa akili zako.
      Yohana 16:7 Lakini nawaambia kweli kwamba kuondoka kwangu ni kwa faida yenu kwa maana nisipoondoka, yule Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda nitamtuma aje kwenu.

    • @johnwabwile4404
      @johnwabwile4404 11 วันที่ผ่านมา

      Ukikubali anayoyasema obviously utabatizwa! Ndipo uendelee kuwa msikitini lazima ukatae ukweli!

  • @JumaNongwa
    @JumaNongwa 11 วันที่ผ่านมา

    Makafiri munapoongea msisahau nukuu zenu andika linasema nitakapoondoka ndio roho wa kweli atakuja jiulizeni kwani wakati yesu yupo duniani je roho mtakatifu hakuwepo kwa imani yenu maandiko yenu yanasema huko kuzaliwa kwa yesu tu kulipatikana kwa uweza wa roho mtakatifu inamaana roho mtakatifu yupo kitambo hata yesu hajazaliwa kwa hiyo hakusubir yesu aondoke ndo yeye aje tumieni akili kidogo

    • @chapchap-oz1ou
      @chapchap-oz1ou 11 วันที่ผ่านมา

      Yohana 16:7 Lakini nawaambia kweli kwamba kuondoka kwangu ni kwa faida yenu kwa maana nisipoondoka, yule Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda nitamtuma aje kwenu.
      KAMA MUHAMMAD NDIYE, ROHO,,,,YESU NI MUNGU...MANAKE MANABII HUTUMWA NA MUNGU...
      KAFIRI NI MUISLAMU - YUDA 1:4

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 11 วันที่ผ่านมา +1

      wakafiri duniani ni waislamu!

    • @chapchap-oz1ou
      @chapchap-oz1ou 11 วันที่ผ่านมา

      @ Ukweli mtupu!!

    • @KevinAtito
      @KevinAtito 10 วันที่ผ่านมา

      Juma nongwe anaumwa kila wakati yani Ana uchungu kama mwanamke wa kuzaa