NDACHA AMBANANISHA DR SULLE KUHUSU MTUME MUHAMMAD NA YESU NIPO TAYARI KUSLIMU NIWE MUISLAM NDACHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 74

  • @MonicaMpokwa-p1b
    @MonicaMpokwa-p1b 3 วันที่ผ่านมา +1

    Aminaaaaaaa nitamuomba Baba kwa jina la Yesu na nimeshapokea

  • @JohnOuya-w7j
    @JohnOuya-w7j 3 วันที่ผ่านมา +5

    Correct mwalimu ndacha,hawa waalimu wa kiislamu wanakatakata aya kwa bibilia hawawezi soma aya yote na wamalize,juu ni wajanja ndio wapate wafuasi

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 วันที่ผ่านมา

      Ukweli kabisa Hawa Bure Kitu

    • @GeraldKaparata
      @GeraldKaparata วันที่ผ่านมา

      Kweli awa niwajanja wa Hera tu

  • @EssauMsukwa
    @EssauMsukwa 2 วันที่ผ่านมา +2

    Warumi 8:11
    [11]Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.

  • @MonicaMpokwa-p1b
    @MonicaMpokwa-p1b 3 วันที่ผ่านมา +1

    Asante Yesu kwa kuwa upo ndan yangu🙏🙏🙏

  • @MonicaMpokwa-p1b
    @MonicaMpokwa-p1b 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu azidi kukutumia na mimi namtukuza Mungu aliye juu kupitia mwalimu ndacha.

  • @ManuelMAICONandenga
    @ManuelMAICONandenga 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Waislamu nyinji,mumekufa katika imani,

  • @MonicaMpokwa-p1b
    @MonicaMpokwa-p1b 3 วันที่ผ่านมา +1

    Injili ni tamu jaman❤❤❤

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 2 วันที่ผ่านมา +1

    JESUS I love you forever ❣️❣️❣️❣️❣️😂😂😂😂😂

  • @MonicaMpokwa-p1b
    @MonicaMpokwa-p1b 3 วันที่ผ่านมา +1

    Haleluyaaaaaaaaaaaa

  • @MonicaMpokwa-p1b
    @MonicaMpokwa-p1b 3 วันที่ผ่านมา

    Amen amen and amen

  • @ManuelMAICONandenga
    @ManuelMAICONandenga 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Muamadi ni ntume wa majini sio wa mungu,

  • @MonicaMpokwa-p1b
    @MonicaMpokwa-p1b 3 วันที่ผ่านมา

    Nami ni mfuasi wa YESU

  • @MonicaMpokwa-p1b
    @MonicaMpokwa-p1b 3 วันที่ผ่านมา

    YESU yu ndan yangu na siyo mwamed

    • @AlmasiLukamya
      @AlmasiLukamya วันที่ผ่านมา

      Mjinga ww hujielewi

  • @sarahwanjiru5269
    @sarahwanjiru5269 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mwalimu good job GOD Bless you

  • @MonicaMpokwa-p1b
    @MonicaMpokwa-p1b 3 วันที่ผ่านมา +1

    I love you JESUS🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @MonicaMpokwa-p1b
    @MonicaMpokwa-p1b 3 วันที่ผ่านมา

    Aminaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @ChandeDaudi
    @ChandeDaudi 2 วันที่ผ่านมา +1

    Ulimwengu wa sayansi

  • @AlmasiLukamya
    @AlmasiLukamya วันที่ผ่านมา

    Mimi naitwa almasi nipo mwanza, NDACHA HANA HOJA MAANA HATA YESU HKUWEZA WALUHUSU WANAFUNZI WAENDE OUT YA ISRAEL ,MATHAYO 10:5 YESU ALIWAKATAZA, MATHAYO 28:19 ETY KAWALUHUSU ,HUU NI UONGO MAANA YESU HAKWEND OUT YA ISRAEL ANAEBISHA ANITAFUTE

    • @issakayogoma7463
      @issakayogoma7463 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Uko tayari kujadili mkuu Anza na mimi

    • @GloriousRestorationTV
      @GloriousRestorationTV 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Akutafute una hoja????
      Sema upewe maandiko, huna hoja!!!!

  • @AlmasiLukamya
    @AlmasiLukamya วันที่ผ่านมา

    Kama kweli neno mataifa inawakilisha dunia nzima ,NDACHA AJIBU SWALI HILI YEREMIA 25:17-19, INASEMA NDIPO NITAWANYOSHA MATAIFA 12:13 12:16 12:16 12:16 YOTE KIKOMBE HIKI, SASA ATAJE TAIFA LA KENYA NI NANI KANYWESHWA NA TANZANIA PIA ???

  • @ChandeDaudi
    @ChandeDaudi 2 วันที่ผ่านมา

    Wakuombwa ni mwenyezi mungu sio yesu,yesu ni mtu na nabii

    • @vincentdaud9954
      @vincentdaud9954 2 วันที่ผ่านมา

      Muabudu majini tulia

    • @bassambashirou4604
      @bassambashirou4604 2 วันที่ผ่านมา

      KAFIRI YEYOTE AJAWAHI KUMILIKI UFAHAMU ​@@vincentdaud9954

    • @JustusNteghay
      @JustusNteghay 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ni zaidi ya nabii,ndo maana yuko mbinguni,ambako moh hawezi kupata hata kigoda cha kukalia

    • @JustusNteghay
      @JustusNteghay 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Tunamwomba Yesu na tunapata na majini yanatukimbia.

  • @AlmasiLukamya
    @AlmasiLukamya วันที่ผ่านมา

    Kama kweli neno mataifa inawakilisha dunia nzima ,NDACHA AJIBU SWALI HILI YEREMIA 25:17-19, INASEMA NDIPO NITAWANYOSHA MATAIFA YOTE KIKOMBE HIKI, SASA ATAJE TAIFA LA KENYA NI NANI KANYWESHWA NA TANZANIA PIA ???

  • @ChandeDaudi
    @ChandeDaudi 2 วันที่ผ่านมา

    Dunia ni kubwa kuliko ulimwengu

  • @MonicaMpokwa-p1b
    @MonicaMpokwa-p1b 3 วันที่ผ่านมา

    Ukampe hyo sule somo la Roho mtakatifu

  • @ChandeDaudi
    @ChandeDaudi 2 วันที่ผ่านมา

    Ulimwengu wa michezo,ulimwengu wa vijana,ulimwengu wa dunia

  • @SirajiSaidi-io6kq
    @SirajiSaidi-io6kq 2 วันที่ผ่านมา

    Wewe Ndacha katika yesu atafufuka yeye anasema ninani?

  • @safarisafari7388
    @safarisafari7388 2 วันที่ผ่านมา

    Ndacha hata wewe unajua bibilia hai aminiki so lazma zirukwe Kwa sababu zina mdhihaki mungu Kwa wale wanajua

    • @LovelyComputerChip-cj4wz
      @LovelyComputerChip-cj4wz 2 วันที่ผ่านมา

      Umeona bibilia ikisema mungu katuma mashetani kwa makafiri unazungumza nini?

    • @safarisafari7388
      @safarisafari7388 2 วันที่ผ่านมา

      @LovelyComputerChip-cj4wz ndacha anasema waislamu huruka maandiko.ndio nasema huezi amini bibilia yote,kunawaliolenga kuharibu maandiko na wako ndani so tunafaa tunapo soma Tue makini Sana maana hata saahi bibilia zinatungwa na kuandikwa.......kuna wenye hawaamini agano lakale eti ilipita🤣 how?wakati yesu alikuja akasema,sikuja kuitangua torati Bali kuisisitiza 👍👍

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 I see you and laugh really Yani unapingana kushinda ama kujifunza wewe Mutu hatari Sana

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 วันที่ผ่านมา

      ​@@LovelyComputerChip-cj4wz😂😂😂

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 วันที่ผ่านมา

      ​@@safarisafari7388leta Ike originally ndio tukuamini kama haipo nyamaza

  • @shiracque8524
    @shiracque8524 2 วันที่ผ่านมา

    Niujinga Wawa hislamu ❤❤❤

    • @AlmasiLukamya
      @AlmasiLukamya วันที่ผ่านมา

      Ww fara maandiko huyajui huoni kama ndacha anasema uongo, niulize mm

  • @kilimanjarotv255
    @kilimanjarotv255 3 วันที่ผ่านมา

    Mwambie ndacha atafute biblia ya Ethiopia atapata maandiko YAKUTOSHA kwenye midahalo

  • @mustafam2462
    @mustafam2462 วันที่ผ่านมา

    wewe simulizi wacheni nyinyi na ndacha kuchezea akili za watu baadaye ya wewe kuwahoji waalimu wa kiisilamu na kuweka programme hizo zako za editing na ndacha, tafadhali simulizi kuwa MKWELI!

  • @ChandeDaudi
    @ChandeDaudi 2 วันที่ผ่านมา

    Ulimwengu wa wanahabari

  • @ibrahimadab9151
    @ibrahimadab9151 2 วันที่ผ่านมา

    Nyinyi wakiristo mnadani Bibilia ni kitabu cha mungu ,you're in a wrong way na mtajuta siku ya Kiyama,ati kila wakati yesu, yesu. Yesu ni mtume wa mungu na ametumwa hawa waisraeli pekee yake sio ulimwengu lakini Prophet Muhammad P.B.U.H was sent to the whole world so Christians is better for you to believe the words of God in the Qura'an not bible.

    • @vincentdaud9954
      @vincentdaud9954 2 วันที่ผ่านมา +1

      😅😅😅😅😅😅😅 Eti muhammad mnachekesha mbona wafuasi wake wamejaa
      Chuki jaziba visasi shiriki ubaguzi ndo vimewajaa hulka haya yananipa mashaka na imani hii

    • @MarthaMasha
      @MarthaMasha 2 วันที่ผ่านมา +1

      Weee ongea ikutoke ulale

    • @JustusNteghay
      @JustusNteghay 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Nipe mafundisho 3 tu Yesu ambayo Mohamad alikuja kuthibitisha kadri ya quran.

    • @petergoyandi5699
      @petergoyandi5699 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Pinga kwa hoja kua biblia sio kitabu cha mungu leta andiko . Nasi twajua Quran ni hadithi iliyo andikwa 😂😂😂na hatusemi

    • @JustusNteghay
      @JustusNteghay 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Baki na mohamad wako na uishie aliko Mohamad.Nami nabaki na Yesu wangu niishie aliko Yesu wangu.Moh anapodanganya alienda mbinguni,je alimemwona Yesu?Alikwenda kufanya nini?Kama hakuonana na yesu,basi aliishia mwezini,yanakopatikana majini

  • @swalehissa777
    @swalehissa777 4 วันที่ผ่านมา

    Wewe simulizi kwanini huyu jamaa anakufanya mpumbavu. Something wrong with him. He’s suffering toxic in his brain. He just talks nonsense and to convince you.

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 4 วันที่ผ่านมา +2

      tulia dawa imekufika ww mpinga kristo!

    • @GeorgeMunyi-b5r
      @GeorgeMunyi-b5r 3 วันที่ผ่านมา +3

      Ukweli Una Uma

    • @GeorgeMunyi-b5r
      @GeorgeMunyi-b5r 3 วันที่ผ่านมา +2

      We ndio Una talk nonsense

    • @swalehissa777
      @swalehissa777 3 วันที่ผ่านมา

      @ what is wrong with you sick man. You garbage

    • @charokazungu1655
      @charokazungu1655 3 วันที่ผ่านมา

      Mpinga kristo nyamaza

  • @ChandeDaudi
    @ChandeDaudi 2 วันที่ผ่านมา

    Simulizi wewe ni msomi kuliko huyo ndacha hajui hata kiswahili

    • @LovelyComputerChip-cj4wz
      @LovelyComputerChip-cj4wz 2 วันที่ผ่านมา +1

      Umeumwa na nini maandiko simulizi anaona yakisomwa

    • @FulgenceNombo
      @FulgenceNombo 2 วันที่ผ่านมา

      Wewe ni mpuuzi na u gizani,, kwahiyo Akili au maarifa yanajulikana kwa kuongea Lugha ya kiswahili au nyingne yoyote kama kiingerezaMungu wa Mbinguni aliyefunuliwa na YESU Kristo akurehemu.

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 2 วันที่ผ่านมา

      Ebu wachana na upendeleo wewe sikiliza Hoja ;ukatae mwenyewe tu

  • @ChandeDaudi
    @ChandeDaudi 2 วันที่ผ่านมา

    Wakuombwa ni mwenyezi mungu sio yesu,yesu ni mtu na nabii

    • @FabianSimkonda
      @FabianSimkonda 2 วันที่ผ่านมา

      Njili lazima ihubiriwe

    • @LovelyComputerChip-cj4wz
      @LovelyComputerChip-cj4wz 2 วันที่ผ่านมา

      Mwombeni mungu kupitia jina langu atawapa hapo sio jina la majini au muhamadi jina la yesu 😅

  • @AlmasiLukamya
    @AlmasiLukamya วันที่ผ่านมา

    Kama kweli neno mataifa inawakilisha dunia nzima ,NDACHA AJIBU SWALI HILI YEREMIA 25:17-19, INASEMA NDIPO NITAWANYOSHA MATAIFA YOTE KIKOMBE HIKI, SASA ATAJE TAIFA LA KENYA NI NANI KANYWESHWA NA TANZANIA PIA ???

  • @AlmasiLukamya
    @AlmasiLukamya วันที่ผ่านมา

    Kama kweli neno mataifa inawakilisha dunia nzima ,NDACHA AJIBU SWALI HILI YEREMIA 25:17-19, INASEMA NDIPO NITAWANYOSHA MATAIFA YOTE KIKOMBE HIKI, SASA ATAJE TAIFA LA KENYA NI NANI KANYWESHWA NA TANZANIA PIA ???